Katika somo hili tutajifunza njia mbili muhimu za kuongeza data kwenye database katika project yetu ya pybongo (app: menu). Njia hizi ni: Kutumia Django Admin Kutumia Django Shell Utafahamu pia jinsi ya kusajili models kwenye admin, jinsi ya kuingia admin panel, na namna ya kutengeneza entries mpya za MenuItem.
Baada ya kutengeneza models na kufanya migrations, hatua inayofuata ni kujaza database kwa data. Django hutupatia njia rahisi na salama za kufanya hivyo. Somo hili litakuongoza hatua kwa hatua jinsi ya kuongeza taarifa za vyakula, bei, muda wa upatikanaji na maelezo kwenye database.
Django Admin ni paneli ya kusimamia database bila kuandika SQL yoyote. Lakini ili uitumie:
Kwenye terminal:
python manage.py createsuperuser
Utaulizwa:
Username
Password
Hizi ndiyo utatumia kuingia admin panel.
Ili model ionekane kwenye Django Admin, lazima usajili ndani ya admin.py.
Faili: menu/admin.py
from django.contrib import admin
from .models import MenuItem
admin.site.register(MenuItem)
Sasa Django Admin itahusisha model yetu ya MenuItem.
Endesha server:
python manage.py runserver
Kisha kwenye browser fungua:
http://localhost:8000/admin/
Ingia kwa username na password ulizounda.
Sasa utaona sehemu ya MenuItem ikiwa ndani ya app menu.
Bofya Menu Items
Chagua Add Menu Item
Jaza:
jina
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo ili utajifunza hatuwa kwa hatuwa za ku install Django, kutengeneza project na kutengeneza app
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu maana ya python na kazi zake. pia jinsi ya kuandaa kifaa chako kwa ajili ya somo.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza vipi django inaweza kuwasiliana na database, utajifunza kuusu orm na model
Soma Zaidi...Somo hili linazungumzia hatua ya kuunda navigation menu na kutumia template inheritance kwa njia ya kitaalamu katika Django.
Soma Zaidi...Ni nini maana ya django framework na inafanya kazi gani
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya class, sheria za uandishi wake na mifano halisi
Soma Zaidi...Katika somo hili uatajifunza jinsi gani unaweza kutumia view kma logic kuuma data kwenye template
Soma Zaidi...Katika somo hili tutaangalia jinsi ya kutengeneza fomu ya HTML kwa ajili ya kuingiza data kwenye jedwali la MenuItem, pamoja na kutengeneza view itakayopokea data hiyo na kuihifadhi kwenye database. Pia tutaunganisha form na URL route.
Soma Zaidi...Katika somo hili tunakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python.
Soma Zaidi...