Katika somo hili tutajifunza njia mbili muhimu za kuongeza data kwenye database katika project yetu ya pybongo (app: menu). Njia hizi ni: Kutumia Django Admin Kutumia Django Shell Utafahamu pia jinsi ya kusajili models kwenye admin, jinsi ya kuingia admin panel, na namna ya kutengeneza entries mpya za MenuItem.
Baada ya kutengeneza models na kufanya migrations, hatua inayofuata ni kujaza database kwa data. Django hutupatia njia rahisi na salama za kufanya hivyo. Somo hili litakuongoza hatua kwa hatua jinsi ya kuongeza taarifa za vyakula, bei, muda wa upatikanaji na maelezo kwenye database.
Django Admin ni paneli ya kusimamia database bila kuandika SQL yoyote. Lakini ili uitumie:
Kwenye terminal:
python manage.py createsuperuser
Utaulizwa:
Username
Password
Hizi ndiyo utatumia kuingia admin panel.
Ili model ionekane kwenye Django Admin, lazima usajili ndani ya admin.py.
Faili: menu/admin.py
from django.contrib import admin
from .models import MenuItem
admin.site.register(MenuItem)
Sasa Django Admin itahusisha model yetu ya MenuItem.
Endesha server:
python manage.py runserver
Kisha kwenye browser fungua:
http://localhost:8000/admin/
Ingia kwa username na password ulizounda.
Sasa utaona sehemu ya MenuItem ikiwa ndani ya app menu.
Bofya Menu Items
Chagua Add Menu Item
Jaza:
jina
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Ni nini maana ya django framework na inafanya kazi gani
Soma Zaidi...Katika somo hili tunakwenda kujifunza matumizi ya break na continue kwenye loop
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza ktengeneza model kwa ajili ya database table ya menu yetu.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye python. hapa utajifunza aina kuu 3 za data.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika function, kuweka parameter na kuitumia function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza vipi django inaweza kuwasiliana na database, utajifunza kuusu orm na model
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kushughulika na faili, kama ku upload faili kwenye django.
Soma Zaidi...Katika somo ili utajifunza hatuwa kwa hatuwa za ku install Django, kutengeneza project na kutengeneza app
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akuziona aina za condition statement kwneye python na jinsi ya kuzitumia
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili
Soma Zaidi...