picha

Python somo la 20: Aina za parameter kwenye function

Katika somo hili tutakwend akujifunza kwa urefu zaidi kuhusu parameter ambazo hutumika kwenye functions

Aina za Parameter Kwenye Function - Python

Katika somo hili, tutajadili aina za parameter zinazotumika kwenye Python function. Pia, tutaangazia jinsi ya kutumia parameter hizi kwa mpangilio sahihi na kufanya kazi na argument.

 


 

Utaratibu wa Parameter

Mfano:

 

def intro(umri: int, jinsia: str):

    print(f"Umri wako ni miaka {umri} na jinsia yako ni {jinsia}.")



def details():

    # Omba maelezo kutoka kwa mtumiaji

    umri = int(input("Andika umri wako: "))

    jinsia = input("Andika jinsia yako: ")

 

    # Piga intro() kwa kutumia maelezo yaliyotolewa

    intro(umri, jinsia)



# Simamia utekelezaji wa details()

details()



 

Ikiwa utachanganya mpangilio au aina ya data, Python itaripoti kosa.

 


 

Default Parameters

Mfano:

 

def salamu(umri: int, jinsia: str, makazi: str = "Tanzania"):

    print(f"Umri wako ni miaka {umri}, jinsia yako ni {jinsia}, unaishi {makazi}.")

 

# Programu inaanza moja kwa moja hapa

umri = int(input("Andika umri wako: "))

jinsia = input("Andika jinsia yako: ")

salamu(umri, jinsia)



 

Hapa, kama mtumiaji hatajaza sehemu ya makazi, itatumia thamani ya default Tanzania.

 


 

Optional Parameters

Mfano:

def salamu(umri: int, jinsia: str, mkoa: str = None):

    if mkoa:

        print(f"Umri wako ni miaka {umri}, jinsia yako ni {jinsia}, unaishi {mkoa}.")

    else:

        print(f"Umri wako ni miaka {umri}, jinsia yako ni {jinsia}.")

 

# Kuomba maingizo ya mtumiaji moja kwa moja

umri = int(input("Andika umri wako: "))

jinsia = input("Andika jinsia yako: ")

mkoa = input("Andika Mkoa unaoishi (acha wazi kama hakuna): ")

 

# Kuita function moja kwa moja

salamu(umri, jinsia, mkoa if mkoa else None)



 


 

Required Parameters

Mfano:

def salamu(umri: int, jinsia: str):

    print(f"Umri wako ni miaka {umri} na jinsia yako ni {jinsia}.")

salamu(7,)

 

Hapo lazima upate error kwa sababu hujaweka parameter ya pili.

 

Hii inahitaji argument zote mbili (umri na jinsia) ili kufanikisha utekelezaji.

 


 

Function Kama Parameter

Mfano:

def ongeza(a: int, b: int) -> int:

    return a + b

 

def toa(a: int, b: int) -> int:

    return a - b

 

def operesheni(func, x: int, y: int):

    return func(x, y)

 

# Kutumia function `ongeza` na `toa` kama parameter

result1 = operesheni(ongeza, 10, 5)

print(f"Matokeo ya ongeza: {result1}")  # Output: 15

 

result2 = operesheni(toa, 10, 5)

print(f"Matokeo ya toa: {result2}")  # Output: 5

 



Matumizi ya alama ( -> int: ).

Katika Python, sehemu -> int inajulikana kama type hint au type annotation. Inatumika kuonyesha aina ya thamani ambayo function inatarajiwa kurudisha (return type). Hii haibadilishi jinsi Python inavyotekeleza function, bali inatoa mwongozo kwa wasomaji wa msimbo au zana za uchambuzi wa msimbo kama linters au IDEs.

Mfano Rahisi:

 

def ongeza(a: int, b: int) -> int:

    return a + b

 


 

Function Kama Variable

Mfano:

def salamu():

    return "Habari! Karibu katika Python."

 

# Kutumia function kama variable

ujumbe = salamu

 

# Kuitumia variable kuendesha function

print(ujumbe())  # Hii itachapisha: Habari! Karibu katika Python.



 

 


 

Callback Functions

 

Mfano:

# Function ya callback

def salamu():

    print("Habari kutoka salamu!")

 

# Function inayopokea callback

def tumia_callback(callback):

    print("Niko kwenye function kuu.")

    callback()  # Inatekeleza function ya callback

 

# Kuitumia

tumia_callback(salamu)

 

 

Maelezo ya Mfano:

  1. salamu() ni function ambayo tunatumia kama callback.

  2. tumia_callback(callback) ni function inayopokea function nyingine kama argument (callback).

  3. Ndani ya tumia_callback, function ya callback inaitwa kwa kutumia jina lake (callback()).

 

 


 

Mwisho

Katika somo hili, tumeona aina mbalimbali za parameter, jinsi ya kuzitumia, na umuhimu wake kwenye Python function. Katika somo lijalo, tutajadili methods zinazofanya kazi mbalimbali kwenye data.

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-11-26 Topic: Python Main: ICT File: Download PDF Views 671

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
πŸ‘‰1 Bongolite - Game zone - Play free game    πŸ‘‰2 Kitau cha Fiqh    πŸ‘‰3 Madrasa kiganjani    πŸ‘‰4 Dua za Mitume na Manabii    πŸ‘‰5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    πŸ‘‰6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Python somo la 21: Module katika python

Katika somo hili utakwend akujifunz amaana ya module, kazi zake, aina zake na jinsi ya kuandika modile

Soma Zaidi...
Python somo la 56: Kuongeza Data Katika Database kwa Kutumia Django Admin na Django Shell

Katika somo hili tutajifunza njia mbili muhimu za kuongeza data kwenye database katika project yetu ya pybongo (app: menu). Njia hizi ni: Kutumia Django Admin Kutumia Django Shell Utafahamu pia jinsi ya kusajili models kwenye admin, jinsi ya kuingia admin panel, na namna ya kutengeneza entries mpya za MenuItem.

Soma Zaidi...
Python somo la 42: Template tag

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhsu Template Tag nini na kazi zake. Pia utajifunza sheria za uandishi wake.

Soma Zaidi...
Python somo la 32: Jinsi ya kusoma mafaili

Katika somo hili utakwenda kujifunz ajinsi ya kusoma mafaili na mitindo mbalimbali ya kusoma data

Soma Zaidi...
Python somo la 40: Jinsi ya Kuunda Simple Navigation Menu Katika Django

Katika somo hili utajifunza Jinsi ya Kuunda Simple Navigation Menu Katika Django kwa kutumia template

Soma Zaidi...
Python somo la 16: Jinsi ya kutumia break na continue kwenye loop

Katika somo hili tunakwenda kujifunza matumizi ya break na continue kwenye loop

Soma Zaidi...
Python somo la 25: Sheria za uandishi wa class

Katika somo hili utajifunza maana ya class, sheria za uandishi wake na mifano halisi

Soma Zaidi...
Python somo la 59: Kufanya Mahesabu (Aggregations) Katika Django

Katika somo hili tutajifunza jinsi ya kutumia Django ORM kufanya mahesabu mbalimbali kama Sum, Avg, Count, Max, Min, pamoja na kupunguza idadi ya items zinazoonekana kwenye dashboard (LIMIT). Pia tutajifunza namna ya kutengeneza β€œdifference” kati ya thamani kubwa na ndogo bila kubadilisha functions zozote ulizokwisha ziandika.

Soma Zaidi...
Python somo la 22: Package kwenye Python

Hapa utakwenda kujifunz amaana ya package, aina zake na jinsi ya kuandika package.

Soma Zaidi...
Python somo la 13: Kutumia condition statement - if, else, elif

Katika somo hili tutakwend akuziona aina za condition statement kwneye python na jinsi ya kuzitumia

Soma Zaidi...