Python somo la 20: Aina za parameter kwenye function

Katika somo hili tutakwend akujifunza kwa urefu zaidi kuhusu parameter ambazo hutumika kwenye functions

Aina za Parameter Kwenye Function - Python

Katika somo hili, tutajadili aina za parameter zinazotumika kwenye Python function. Pia, tutaangazia jinsi ya kutumia parameter hizi kwa mpangilio sahihi na kufanya kazi na argument.

 


 

Utaratibu wa Parameter

Mfano:

 

def intro(umri: int, jinsia: str):

    print(f"Umri wako ni miaka {umri} na jinsia yako ni {jinsia}.")



def details():

    # Omba maelezo kutoka kwa mtumiaji

    umri = int(input("Andika umri wako: "))

    jinsia = input("Andika jinsia yako: ")

 

    # Piga intro() kwa kutumia maelezo yaliyotolewa

    intro(umri, jinsia)



# Simamia utekelezaji wa details()

details()



 

Ikiwa utachanganya mpangilio au aina ya data, Python itaripoti kosa.

 


 

Default Parameters

Mfano:

 

def salamu(umri: int, jinsia: str, makazi: str = "Tanzania"):

    print(f"Umri wako ni miaka {umri}, jinsia yako ni {jinsia}, unaishi {makazi}.")

 

# Programu inaanza moja kwa moja hapa

umri = int(input("Andika umri wako: "))

jinsia = input("Andika jinsia yako: ")

salamu(umri, jinsia)



 

Hapa, kama mtumiaji hatajaza sehemu ya makazi, itatumia thamani ya default Tanzania.

 


 

Optional Parameters

Mfano:

def salamu(umri: int, jinsia: str, mkoa: str = None):

    if mkoa:

        print(f"Umri wako ni miaka {umri}, jinsia yako ni {jinsia}, unaishi {mkoa}.")

    else:

        print(f"Umri wako ni miaka {umri}, jinsia yako ni {jinsia}.")

 

# Kuomba maingizo ya mtumiaji moja kwa moja

umri = int(input("Andika umri wako: "))

jinsia = input("Andika jinsia yako: ")

mkoa = input("Andika Mkoa unaoishi (acha wazi kama hakuna): ")

 

# Kuita function moja kwa moja

salamu(umri, jinsia, mkoa if mkoa else None)



 


 

Required Parameters

Mfano:

def salamu(umri: int, jinsia: str):

    print(f"Umri wako ni miaka {umri} na jinsia yako ni {jinsia}.")

salamu(7,)

 

Hapo lazima upate error kwa sababu hujaweka parameter ya pili.

 

Hii inahitaji argument zote mbili (umri na jinsia) ili kufanikisha utekelezaji.

 


 

Function Kama Parameter

Mfano:

def ongeza(a: int, b: int) -> int:

    return a + b

 

def toa(a: int, b: int) -> int:

    return a - b

 

def operesheni(func, x: int, y: int):

    return func(x, y)

 

# Kutumia function `ongeza` na `toa` kama parameter

result1 = operesheni(ongeza, 10, 5)

print(f"Matokeo ya ongeza: {result1}")  # Output: 15

 

result2 = operesheni(toa, 10, 5)

print(f"Matokeo ya toa: {result2}")  # Output: 5

 



Matumizi ya alama ( -> int: ).

Katika Python, sehemu -> int inajulikana kama type hint au type annotation. Inatumika kuonyesha aina ya thamani ambayo function inatarajiwa kurudisha (return type). Hii haibadilishi jinsi Python inavyotekeleza function, bali inatoa mwongozo kwa wasomaji wa msimbo au zana za uchambuzi wa msimbo kama linters au IDEs.

Mfano Rahisi:

 

def ongeza(a: int, b: int) -> int:

    return a + b

 


 

Function Kama Variable

Mfano:

def salamu():

    return "Habari! Karibu katika Python."

 

# Kutumia function kama variable

ujumbe = salamu

 

# Kuitumia variable kuendesha function

print(ujumbe())  # Hii itachapisha: Habari! Karibu katika Python.



 

 


 

Callback Functions

 

Mfano:

# Function ya callback

def salamu():

    print("Habari kutoka salamu!")

 

# Function inayopokea callback

def tumia_callback(callback):

    print("Niko kwenye function kuu.")

    callback()  # Inatekeleza function ya callback

 

# Kuitumia

tumia_callback(salamu)

 

 

Maelezo ya Mfano:

  1. salamu() ni function ambayo tunatumia kama callback.

  2. tumia_callback(callback) ni function inayopokea function nyingine kama argument (callback).

  3. Ndani ya tumia_callback, function ya callback inaitwa kwa kutumia jina lake (callback()).

 

 


 

Mwisho

Katika somo hili, tumeona aina mbalimbali za parameter, jinsi ya kuzitumia, na umuhimu wake kwenye Python function. Katika somo lijalo, tutajadili methods zinazofanya kazi mbalimbali kwenye data.

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Python Main: ICT File: Download PDF Views 243

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Python somo la 19: Aina za Function

Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python.

Soma Zaidi...
PYTHON somo la 11: Matumizi ya comperison eperator katika python

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator. Hasa hapa tutakwend akujifunz akuhusu comparison operaor.

Soma Zaidi...
Python somo la 40: Jinsi ya Kuunda Simple Navigation Menu Katika Django

Katika somo hili utajifunza Jinsi ya Kuunda Simple Navigation Menu Katika Django kwa kutumia template

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 4: Aina za data kwenye python

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye python. hapa utajifunza aina kuu 3 za data.

Soma Zaidi...
Python somo la 39: Jinsi ya Kuongeza Kurasa Nyingine Katika Django View

Katika somo hili utakwenda kujifunza zaidi kuhusu Jinsi ya Kuongeza Kurasa Nyingine Katika Django View

Soma Zaidi...
Python somo la 31: Jinsi ya kutengeneza faili na folder

Katika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili

Soma Zaidi...
Python somo la 23: Library kwenye python

Hapa utajifunza maana ya library, kazi zake aina zake na jinsi ya ku install lirary

Soma Zaidi...
Python somo la 25: Sheria za uandishi wa class

Katika somo hili utajifunza maana ya class, sheria za uandishi wake na mifano halisi

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 10: string method na zinavyofanya kazi

Katika somo hili utakwenda kujfnza kuhusu string method nyinginezo. Katika somo lililopita tulijifunza kuhusu string indexing.

Soma Zaidi...