Python somo la 47: Jinsi ya kupokea na kuchakata fomu
Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kupokea na kuchakata fomu
? Lengo la Somo
Kufahamu jinsi ya:
✅ Kutengeneza fomu ya HTML katika template ya Django
✅ Kutuma taarifa kwa kutumia njia salama ya POST
✅ Kupokea taarifa hizo katika views.py
✅ Kuzionyesha kwenye template kama uthibitisho au ujumbe wa mafanikio
? 1. Kutengeneza Fomu ya HTML
Tunatengeneza template ya HTML iliyo na fomu ambayo itatuma data kwa njia ya POST.
? Faili: templates/menu/fomu.html
<!DOCTYPE html>
<html>
<head>
<title>Fomu ya Mawasiliano</title>
</head>
<body>
<h2>Wasiliana Nasi</h2>
{% if error %}
<p style="color:red;">{{ error }}</p>
{% endif %}
<form method="post">
{% csrf_token %}
<label for="jina">Jina:</label>
<input type="text" name="jina" id="jina" required>
<br><br>
<label for="ujumbe">Ujumbe:</label>
<textarea name="ujumbe" id="ujumbe" rows="5" required></textarea>
<br><br>
<input type="submit" value="Tuma">
</form>
</body>
</html>
? Maelezo Muhimu:
-
method="post": Taarifa zitatumwa kwa njia ya POST (salama). -
{% csrf_token %}: Django inalinda dhidi ya mashambulizi ya CSRF. -
required: Huakikisha mtumiaji hajapuuza field.
⚙️ 2. Kuandaa View ya Kupokea Fomu
? Faili: views.py
from django.shortcuts import render
def fomu_view(request):
if request.method == 'POST':
jina = request.POST.get('jina')
ujumbe = request.POST.get('ujumbe')
if jina and ujumbe:
context = {
'jina': jina,
'ujumbe': ujumbe,
}
return render(request, 'menu/taarifa.html', context)
else:
return render(request, 'menu/fomu.html', {'error': 'Tafadhali jaza mashamba yote.'})
return render(request, 'menu/fomu.html')
? Maelezo ya View Hii:
| Kipengele | Kazi Yake |
|---|---|
request.meth... |
help_outlineZoezi la Maswali
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 Bongolite - Game zone - Play free game 👉3 Dua za Mitume na Manabii 👉4 kitabu cha Simulizi 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
Python somo la 49: Jinsi ya ku host project ya Django
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website ya Django. Hapa tutakwenda kutuma plaform ya pythonanywhere.com.
Soma Zaidi...Python somo la 59: Kufanya Mahesabu (Aggregations) Katika Django
Katika somo hili tutajifunza jinsi ya kutumia Django ORM kufanya mahesabu mbalimbali kama Sum, Avg, Count, Max, Min, pamoja na kupunguza idadi ya items zinazoonekana kwenye dashboard (LIMIT). Pia tutajifunza namna ya kutengeneza “difference” kati ya thamani kubwa na ndogo bila kubadilisha functions zozote ulizokwisha ziandika.
Soma Zaidi...Python somo la 62 Kupakia picha (upload) na kuisoma kutoka kwenye database
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kushughulika na faili, kama ku upload faili kwenye django.
Soma Zaidi...PYTHON - somo la 2: Sheria za uandishi wa pyhton yaani syntax za python
Katika somo hili utakwenda kujifunza syntaxy za python yaani sheria na kanuni za kuandika code za python
Soma Zaidi...PYTHON - somo la 3: Jinsi ya kuandika variable kwenye python
Katika somo hili utajifunza maana ya variable, na sheria za kutengeneza variable kwenye python. Pia utajifunza maneno ambayo hayafai kutumiwa kama variable
Soma Zaidi...Python somo la 58: Jinsi ya Kuboresha Django Admin
Katika somo hili tutajifunza mambo matatu muhimu ya kuboresha admin ya Django: Jinsi ya kubadili header za Django Admin Jinsi ya kuongeza columns zinazojitokeza kwenye admin list Jinsi ya kuweka limit ya rows zinazoonekana kwa kila ukurasa (pagination)
Soma Zaidi...