Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kupokea na kuchakata fomu
Kufahamu jinsi ya:
✅ Kutengeneza fomu ya HTML katika template ya Django
✅ Kutuma taarifa kwa kutumia njia salama ya POST
✅ Kupokea taarifa hizo katika views.py
✅ Kuzionyesha kwenye template kama uthibitisho au ujumbe wa mafanikio
Tunatengeneza template ya HTML iliyo na fomu ambayo itatuma data kwa njia ya POST.
? Faili: templates/menu/fomu.html
<!DOCTYPE html>
<html>
<head>
<title>Fomu ya Mawasiliano</title>
</head>
<body>
<h2>Wasiliana Nasi</h2>
{% if error %}
<p style="color:red;">{{ error }}</p>
{% endif %}
<form method="post">
{% csrf_token %}
<label for="jina">Jina:</label>
<input type="text" name="jina" id="jina" required>
<br><br>
<label for="ujumbe">Ujumbe:</label>
<textarea name="ujumbe" id="ujumbe" rows="5" required></textarea>
<br><br>
<input type="submit" value="Tuma">
</form>
</body>
</html>
? Maelezo Muhimu:
method="post": Taarifa zitatumwa kwa njia ya POST (salama).
{% csrf_token %}: Django inalinda dhidi ya mashambulizi ya CSRF.
required: Huakikisha mtumiaji hajapuuza field.
? Faili: views.py
from django.shortcuts import render
def fomu_view(request):
if request.method == 'POST':
jina = request.POST.get('jina')
ujumbe = request.POST.get('ujumbe')
if jina and ujumbe:
context = {
'jina': jina,
'ujumbe': ujumbe,
}
return render(request, 'menu/taarifa.html', context)
else:
return render(request, 'menu/fomu.html', {'error': 'Tafadhali jaza mashamba yote.'})
return render(request, 'menu/fomu.html')
? Maelezo ya View Hii:
| Kipengele | Kazi Yake |
|---|---|
request.method == 'POST' |
Inaangalia kama fomu imetumwa |
req">...Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu help_outlineZoezi la Maswali
info
Jaza maswali yote au baadhi kisha bofya kitufe cha kutuma majibu hapo chini.
Umeionaje Makala hii.. ? Nzuri Mbaya Save
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game 👉2 web hosting 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 Kitau cha Fiqh 👉5 Simulizi za Hadithi Audio 👉6 kitabu cha Simulizi Post zinazofanana:Python somo la 20: Aina za parameter kwenye functionKatika somo hili tutakwend akujifunza kwa urefu zaidi kuhusu parameter ambazo hutumika kwenye functions Soma Zaidi...Python somo la 59: Kufanya Mahesabu (Aggregations) Katika DjangoKatika somo hili tutajifunza jinsi ya kutumia Django ORM kufanya mahesabu mbalimbali kama Sum, Avg, Count, Max, Min, pamoja na kupunguza idadi ya items zinazoonekana kwenye dashboard (LIMIT). Pia tutajifunza namna ya kutengeneza “difference” kati ya thamani kubwa na ndogo bila kubadilisha functions zozote ulizokwisha ziandika. Soma Zaidi...Python somo la 56: Kuongeza Data Katika Database kwa Kutumia Django Admin na Django ShellKatika somo hili tutajifunza njia mbili muhimu za kuongeza data kwenye database katika project yetu ya pybongo (app: menu). Njia hizi ni: Kutumia Django Admin Kutumia Django Shell Utafahamu pia jinsi ya kusajili models kwenye admin, jinsi ya kuingia admin panel, na namna ya kutengeneza entries mpya za MenuItem. Soma Zaidi...Python somo la 52: Kutengeneza table na kufanya Migrations Katika DjangoKatika somo hili tutajifunza jinsi Django hutumia migrations kuunda na kubadilisha tables kwenye database kulingana na models tunazoandika. Tutapitia maana ya migration, hatua za kuitumia, umuhimu wake, misingi ya makemigrations na migrate, pamoja na mfano halisi kutoka kwenye project yetu ya pybongo (app: menu). Soma Zaidi...Python somo la 19: Aina za FunctionKatika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python. Soma Zaidi...Python somo la 38: Kubadilisha landing page ya Django FrameworkKatika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili ukurasa wa landing page wa Django na kuweka ukurasa tunaoutaka sisi. Soma Zaidi...Python somo la 29: Encaosulation kwneye pythonKatika somo hili utajifunza maana ya encapsulation na sheria za uandishi wake Soma Zaidi...PYHON - somo la 5: Aina za data list, turple, dictionary na booleanKatika somo hili tunakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python. Soma Zaidi...Python somo la 28: inheritance kwenye OOPKatika somo hili utakwenda kujifunz amaana ya inheritance na sheria za kuiandika inheritance. Soma Zaidi...Python somo la 61: Jinsi ya kutuma email kwenye djangoKatika maeneo ya development, tunahitaji kutuma email mara nyingi kwa madhumuni ya: Kujaribu mfumo wa OTP Password reset System notifications Activation codes Lakini mara nyingi hatutaki emails ziondoke kwenda kwa watu halisi wakati bado tupo kwenye majaribio. Soma Zaidi... |