Python somo la 37: Jinsi ya ku install Django na kutengeneza project na app

Python somo la 37: Jinsi ya ku install Django na kutengeneza project na app

Katika somo ili utajifunza hatuwa kwa hatuwa za ku install Django, kutengeneza project na kutengeneza app

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Katika Django, project na app ni vipengele viwili muhimu sana lakini vinavyofanya kazi tofauti. Hapa chini ni maelezo ya kila kimoja kwa lugha rahisi. Nimekuandaia video ya somo hili kwenye ukurasa wa course ya django.  Tembelea ukurasa wa course  bofya menu kisha chguwa Django framework. Ama tembelea link hii https://bit.ly/4kdPule

 


🔷 Project ni nini?

Project ni mfumo mzima wa tovuti unaosimamia mipangilio (settings), usalama, routes (urls), na mawasiliano ya jumla ya programu. Ni mzizi wa kila kitu kinachofanyika kwenye Django. 

Mfano:

Ndani ya project, tunapata:


🔶 App ni nini?

App ni sehemu ndogo ndani ya project inayoshughulika na kazi maalum au kipengele maalum cha tovuti. App ni kama module au component. Project moja inaweza kuwa na app moja au zaidi, kila moja ikiwa na jukumu tofauti.

Mfano:

Katika somo letu, tutatengeneza app kwa jina: menu

Ndani ya app, tunapata mafaili kama:


🔁 Uhusiano kati ya Project na App


Mfano kwa kutumia somo letu:


Ukihitaji mchoro wa kuelezea uhusiano huu kwa picha au mfano halisi zaidi, naweza kukuandalia.

 

Kuunda Project (pybongo) na App (menu)

Hapa tutajifunza hatua kwa hatua jinsi ya kuanza kutumia Django kwa kutengeneza project iitwayo pybongo na app iitwayo menu. Nitakuwa ninakuandikia command ambazo utakuwa unzi run kwenye terminal.

Tutapitia:

  1. Kutayarisha mazingira

  2. Kuinstall Django

  3. Kuunda project pybongo

  4. Kuunda app menu

  5. Kuelewa structure ya project na app

  6. Kuunganisha app kwenye projec">...

    Download Post hii hapa

    Download App Yetu

    Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

    Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

    help_outlineZoezi la Maswali

    info Jaza maswali yote au baadhi kisha bofya kitufe cha kutuma majibu hapo chini.
    1 Faili gani ndani ya app menu hutumika kuandika code za kuwasiliana na database?
    2 Baada ya kutumia startapp menu, folda mpya inayoitwa menu huundwa. Kazi ya faili views.py ndani ya folda hiyo ni ipi?
    3 Ili app menu itambulike na project ya pybongo, inapaswa kuongezwa kwenye sehemu gani?
    4 Ili kuunda project mpya ya Django inayoitwa pybongo, ni ipi kati ya amri zifuatazo hutumika?
    5 Amri ipi inatumika kuanzisha development server ya Django?

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:45 Topic: Python Main: ICT File: Download PDF Views 224

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

    Post zinazofanana:

    Python somo la 44: Data Manipulation katika Django Templates
    Python somo la 44: Data Manipulation katika Django Templates

    Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kucheza na data kuzibadili kwa namna mbali mbali kwenye template

    Soma Zaidi...
    Python somo la 20: Aina za parameter kwenye function
    Python somo la 20: Aina za parameter kwenye function

    Katika somo hili tutakwend akujifunza kwa urefu zaidi kuhusu parameter ambazo hutumika kwenye functions

    Soma Zaidi...
    Python somo la 49: Jinsi ya ku host project ya Django
    Python somo la 49: Jinsi ya ku host project ya Django

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website ya Django. Hapa tutakwenda kutuma plaform ya pythonanywhere.com.

    Soma Zaidi...
    Python somo la 25: Sheria za uandishi wa class
    Python somo la 25: Sheria za uandishi wa class

    Katika somo hili utajifunza maana ya class, sheria za uandishi wake na mifano halisi

    Soma Zaidi...
    Python somo la 15: Jinsi ya kutumia while loop
    Python somo la 15: Jinsi ya kutumia while loop

    Katika somo hili tutakwend akujifunza jinsi ya kutumia while loop kwneye python

    Soma Zaidi...
    Python somo la 31: Jinsi ya kutengeneza faili na folder
    Python somo la 31: Jinsi ya kutengeneza faili na folder

    Katika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili

    Soma Zaidi...
    Python somo la 45: Kutumia Loops na Conditions katika Django Templates
    Python somo la 45: Kutumia Loops na Conditions katika Django Templates

    Katika somo hili utakwend akujifunza kuchakata data kwa Kutumia Loops na Conditions katika Django Templates

    Soma Zaidi...
    PYTHON somo la 11: Matumizi ya comperison eperator katika python
    PYTHON somo la 11: Matumizi ya comperison eperator katika python

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator. Hasa hapa tutakwend akujifunz akuhusu comparison operaor.

    Soma Zaidi...
    Python somo la 24: Nini maana ya Object Oriented Programming
    Python somo la 24: Nini maana ya Object Oriented Programming

    Hapa tunakwenda kujifunza kuhusu OOP ambapo ni miongoni mwa mitindo ya uandishi wa code

    Soma Zaidi...
    Python somo la 40: Jinsi ya Kuunda Simple Navigation Menu Katika Django
    Python somo la 40: Jinsi ya Kuunda Simple Navigation Menu Katika Django

    Katika somo hili utajifunza Jinsi ya Kuunda Simple Navigation Menu Katika Django kwa kutumia template

    Soma Zaidi...