Katika somo hili utakwenda kujifunza syntaxy za python yaani sheria na kanuni za kuandika code za python
Kujuwa kanuni ni jambo la kwanza na la msngi zana kwa kila luga ya kikompyuta. Kanuni hizi zitakurahisishia hatua za ujifunzaji na utendeaji kazi wa language hiyo.
Kwanza tutajifunza kuweka comment. Comment ni hint ambazo programmer anaandika kwa lengo la kuelezea mstari wa code na kikundi cha code. Melezo haya huwa komyuta inayapuuza wakati wa ku run program. Yaani comment haikuhsiki katika utendaji kazi wa program.
Kwa ufui unaweza kusema commect ni maelekezo kwa ajili ya programmer lakini code ni maelekezo kwa ajili ya kompyuta.
Sasa kwenye python comment ya mstari mmoja utaiweka kwa kuanza na alama hii # yaani alama ya reli kisha itafuata comment yako.
Mfano
#print hutumika ku dislay text
print("haloo bongoclass")
Code hizi zitakupa matokeo haloo bongoclass na hayo maandikshi yaliofuata baada ya reli hayatahusika kwenye program yetu. Kwa kutumia njia hiyo unaweza ku comment mistari i ngi zaidi angalia mfano hapo chini
#print hutumika ku dislay text
#alama ya reli hutumika ku comment mstari mmoja
print("haloo bongoclass")
Sasa endapo unataka ku comment para graph nzima utatumia alama “”” au alama hizi ‘’’ hizo ni alama za funga semi. Angalia mfano hapo chini:-
"""print hutumika ku dislay text
alama ya reli hutumika ku comment mstari mmoja
print("haloo bongoclass")
"""
print("mafunzo ya python")
Hizo zitakupa matokeo mafunzo ya python na maandisi yote yalobaki ni comment hivyo kompyuta imeyapuuzia. Mfano huo ni sawa na huu hapa chini:-
'''print hutumika ku dislay text
alama ya reli hutumika ku comment mstari mmoja
print("haloo bongoclass")
'''
print("mafunzo ya python")
2. KWENYE KUACHA NAFASI (IDENTATION)
Identation ni ile nafasi inayoachwa mwanzoni mwa code. Sasa python haio kama lugha nyingine ambapo kikundi cha code hutofautishwa na ala ya } hivyo ili inatumia identation.
Angalia code hizi
Code hizo hapo hazina shida. Lakini endapo utawacha nafasi apo itakuelea error. Tofauti na lugha yingine kama php ambazo hazijali uwache nafasi ama usiwache. Jaribu ku run code hizo hapo chini
Hizo hapo hazitafanya kazi kwa sababuumewaca nafasi apo mwanzo. Utapata identation Error
Pia kwenye code block unatakiwa uwache nafasi ili kutofautisha na code block nyingine. Kwa mfan">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili tutakwend akujifunza jinsi ya kutumia while loop kwneye python
Soma Zaidi...Katika somo hili uatajifunza jinsi gani unaweza kutumia view kma logic kuuma data kwenye template
Soma Zaidi...Somo hili linazungumzia hatua ya kuunda navigation menu na kutumia template inheritance kwa njia ya kitaalamu katika Django.
Soma Zaidi...Ni nini maana ya django framework na inafanya kazi gani
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu nadharia ya data abstraction na kazi zake kwenye OOP
Soma Zaidi...Katika somo hili, tutajifunza: Maana ya Python shell na umuhimu wake. Tofauti kati ya shell na terminal ya kawaida. Matumizi ya shell, hususan kwenye Django. Amri muhimu zaidi za Python shell, zilizotokana na models na views zako za pybongo.
Soma Zaidi...Hapa utakwenda kujifunz amaana ya package, aina zake na jinsi ya kuandika package.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz amaana ya inheritance na sheria za kuiandika inheritance.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujfunza operator nyingine kama assignment operator logical, identity operator na membership operator.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza maana ya library, kazi zake aina zake na jinsi ya ku install lirary
Soma Zaidi...