PYTHON - somo la 2: Sheria za uandishi wa pyhton yaani syntax za python

Katika somo hili utakwenda kujifunza syntaxy za python yaani sheria na kanuni za kuandika code za python

Kujuwa kanuni ni jambo la kwanza na la msngi zana kwa kila luga ya kikompyuta. Kanuni hizi zitakurahisishia hatua za ujifunzaji na utendeaji kazi wa language hiyo.

 

  1. KWENYE COMMENT

Kwanza tutajifunza kuweka comment. Comment ni hint ambazo programmer anaandika kwa lengo la kuelezea mstari wa code na kikundi cha code. Melezo haya huwa komyuta inayapuuza wakati wa ku run program. Yaani comment haikuhsiki katika utendaji kazi wa program.

 

Kwa ufui unaweza kusema commect ni maelekezo kwa ajili ya programmer lakini code ni maelekezo kwa ajili ya kompyuta.

 

Sasa kwenye python comment ya mstari mmoja utaiweka kwa kuanza na alama hii yaani alama ya reli kisha itafuata comment yako. 

Mfano

#print hutumika ku dislay text

print("haloo bongoclass")

 

Code hizi zitakupa matokeo haloo bongoclass na hayo maandikshi yaliofuata baada ya reli hayatahusika kwenye program yetu. Kwa kutumia njia hiyo unaweza ku comment mistari i ngi zaidi angalia mfano hapo chini

#print hutumika ku dislay text

#alama ya reli hutumika ku comment mstari mmoja

print("haloo bongoclass")

 

Sasa endapo unataka ku comment para graph nzima utatumia alama “””  au alama hizi ‘’’ hizo ni alama za funga semi. Angalia mfano hapo chini:-

"""print hutumika ku dislay text

alama ya reli hutumika ku comment mstari mmoja

print("haloo bongoclass")

"""

print("mafunzo ya python")

 

Hizo zitakupa matokeo mafunzo ya python na maandisi yote yalobaki ni comment hivyo kompyuta imeyapuuzia. Mfano huo ni sawa na huu hapa chini:-

'''print hutumika ku dislay text

alama ya reli hutumika ku comment mstari mmoja

print("haloo bongoclass")

'''

print("mafunzo ya python")

 

2. KWENYE KUACHA NAFASI (IDENTATION)

Identation ni ile nafasi inayoachwa mwanzoni mwa code. Sasa python haio kama lugha nyingine ambapo kikundi cha code hutofautishwa na ala ya } hivyo ili inatumia identation. 

 

Angalia code hizi 

Code hizo hapo hazina shida. Lakini endapo utawacha nafasi apo itakuelea error. Tofauti na lugha yingine kama php ambazo hazijali uwache nafasi ama usiwache. Jaribu ku run code hizo hapo chini

Hizo hapo hazitafanya kazi kwa sababuumewaca nafasi apo mwanzo. Utapata identation Error

Pia kwenye code block unatakiwa uwache nafasi ili kutofautisha na code block nyingine. Kwa mfan">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Python Main: ICT File: Download PDF Views 984

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 web hosting    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Dua za Mitume na Manabii    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Python somo la 28: inheritance kwenye OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunz amaana ya inheritance na sheria za kuiandika inheritance.

Soma Zaidi...
Python somo la 43: Kutuma Data kutoka View kwenda Template katika Django

Katika somo hili uatajifunza jinsi gani unaweza kutumia view kma logic kuuma data kwenye template

Soma Zaidi...
Python somo la 19: Aina za Function

Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python.

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 10: string method na zinavyofanya kazi

Katika somo hili utakwenda kujfnza kuhusu string method nyinginezo. Katika somo lililopita tulijifunza kuhusu string indexing.

Soma Zaidi...
Python somo la 35: Jinsi ya kutumia MYSQL kwenye python

Katika somo hili utajifunz akutumia database kwenye python

Soma Zaidi...
PYHON - somo la 5: Aina za data list, turple, dictionary na boolean

Katika somo hili tunakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python.

Soma Zaidi...
Python somo la 14: Jinsi ya kutumia For loop

Katika somo hili utakwend akujifunza matumizi ya for loop kwneye python

Soma Zaidi...
Python somo la 13: Kutumia condition statement - if, else, elif

Katika somo hili tutakwend akuziona aina za condition statement kwneye python na jinsi ya kuzitumia

Soma Zaidi...
Python somo la 36: Django framework - Utangulizi

Ni nini maana ya django framework na inafanya kazi gani

Soma Zaidi...
Python somo la 15: Jinsi ya kutumia while loop

Katika somo hili tutakwend akujifunza jinsi ya kutumia while loop kwneye python

Soma Zaidi...