PYTHON - somo la 2: Sheria za uandishi wa pyhton yaani syntax za python
Katika somo hili utakwenda kujifunza syntaxy za python yaani sheria na kanuni za kuandika code za python
Kujuwa kanuni ni jambo la kwanza na la msngi zana kwa kila luga ya kikompyuta. Kanuni hizi zitakurahisishia hatua za ujifunzaji na utendeaji kazi wa language hiyo.
- KWENYE COMMENT
Kwanza tutajifunza kuweka comment. Comment ni hint ambazo programmer anaandika kwa lengo la kuelezea mstari wa code na kikundi cha code. Melezo haya huwa komyuta inayapuuza wakati wa ku run program. Yaani comment haikuhsiki katika utendaji kazi wa program.
Kwa ufui unaweza kusema commect ni maelekezo kwa ajili ya programmer lakini code ni maelekezo kwa ajili ya kompyuta.
Sasa kwenye python comment ya mstari mmoja utaiweka kwa kuanza na alama hii # yaani alama ya reli kisha itafuata comment yako.
Mfano
#print hutumika ku dislay text
print("haloo bongoclass")
Code hizi zitakupa matokeo haloo bongoclass na hayo maandikshi yaliofuata baada ya reli hayatahusika kwenye program yetu. Kwa kutumia njia hiyo unaweza ku comment mistari i ngi zaidi angalia mfano hapo chini
#print hutumika ku dislay text
#alama ya reli hutumika ku comment mstari mmoja
print("haloo bongoclass")
Sasa endapo unataka ku comment para graph nzima utatumia alama “”” au alama hizi ‘’’ hizo ni alama za funga semi. Angalia mfano hapo chini:-
"""print hutumika ku dislay text
alama ya reli hutumika ku comment mstari mmoja
print("haloo bongoclass")
"""
print("mafunzo ya python")
Hizo zitakupa matokeo mafunzo ya python na maandisi yote yalobaki ni comment hivyo kompyuta imeyapuuzia. Mfano huo ni sawa na huu hapa chini:-
'''print hutumika ku dislay text
alama ya reli hutumika ku comment mstari mmoja
print("haloo bongoclass")
'''
print("mafunzo ya python")
2. KWENYE KUACHA NAFASI (IDENTATION)
Identation ni ile nafasi inayoachwa mwanzoni mwa code. Sasa python haio kama lugha nyingine ambapo kikundi cha code hutofautishwa na ala ya } hivyo ili inatumia identation.
Angalia code hizi
Code hizo hapo hazina shida. Lakini endapo utawacha nafasi apo itakuelea error. Tofauti na lugha yingine kama php ambazo hazijali uwache nafasi ama usiwache. Jaribu ku run code hizo hapo chini
Hizo hapo hazitafanya kazi kwa sababuumewaca nafasi apo mwanzo. Utapata ident...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 ai web app 👉3 Simulizi za Hadithi Audio 👉4 web hosting 👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉6 Dua za Mitume na Manabii
Post zinazofanana:
Python somo la 47: Jinsi ya kupokea na kuchakata fomu
Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kupokea na kuchakata fomu
Soma Zaidi...Python somo la 33: Jinsi ya kupata taarifa za faili
Katika somo hili utakwend akujifunz anamna ya kuwez akupata taarifa zinazohusu faili
Soma Zaidi...PYTHON somo la 12: assignment operator, logical operator, identity oeprator na membership operator
Katika somo hili utakwenda kujfunza operator nyingine kama assignment operator logical, identity operator na membership operator.
Soma Zaidi...Python somo la 25: Sheria za uandishi wa class
Katika somo hili utajifunza maana ya class, sheria za uandishi wake na mifano halisi
Soma Zaidi...Python somo la 19: Aina za Function
Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python.
Soma Zaidi...