Haya ni matukio ya kihistoria yanayoamiika kutokea ndani ya masiku 10 ya Mfunguo tatu.
Uwanja wa elimu na maarifa
Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa
Mwenendo wa kati ni mwenendo ulioepukana na kibri na majivuno kwa upande mmoja na ulioepukkana na udhalili na unyonge kwa upande mwingine.
Na kuwapambanua wale waliokuwa wanafiki.
Darasa la elimu inayohusu ujauzito na namna ya kulea mimba
Wakati wa Wafuasi wa masahaba (Tabi'ina)101-200 A.
Wakati wa Masahaba wa Mtume (s.
Historia fupi ya uandishi wa Hadith za Mtume (s.
20.
Asalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh Sifanjema zinamstahikia Allah Mola wa viumbe, muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo.
2; mbegu ya uhai uliyo changanyikaUmbile la mwanadamu limepitia hatua nyingi sana kama tutakavyoendelea mbele kuonalakini ukiachilia mbali na hatua zote alizopitia mwanadamu wakati wa kuumbwa lakiniumbile la mwanadamu bado limebakia kuwa dhalili kama ALLA
2:UUMBWAJI KWA MAJI YA UZAZIUumbwaji wa mwanadamu umepitia hatua mbalimbali na haya yote yamefanywa kwa sababumaalumu ili tipate mazingatio.
QURANI KATIKA ZAMA ZA SAYANSI NA TEKNOLOJIAAsalaalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh.
Zoezi 2:1 1.
1.
Waumini wa kweli huepuka kabisa tabia ya ugomvi na mabishano.
Hutekeleza ahadi zao wanapoahidiana na wanaadamu wenziwao maadamu ni katika mipaka ya Allah (s.
Waumini wa kweli waliofuzu huchunga amana.
Waumini wa kweli waliofuzu hutoa Zakat wakiwa na mali na hutoa misaada na huduma waziwezazo kwa wanaadamu wenziwe kwa kadiri ya haja ilivyojitokeza.
Waumini wa kweli waliofuzu hujiepusha na Lagh-wi.
Swala husimama kwa kuhifadhiwa na kuswaliwa kwa khushui na kudumu na swala katika maisha yote.
Waumini wa kweli waliofuzu huhifadhi swala kwa kutekeleza kwa ukamilifu shuruti zote za swala nguzo zote za swala na huswali kama alivyoswali Mtume (s.
Waumini wa kweli waliofuzu huwa na khushui (unyenyekevu) katika swala.
(vii)Hufanya bias hara na Allah (s.
Huwa wepesi wa kutoa msaada kwa hali na mali kwa wanaadamu wenziwe wanaohitajia msaada.
Husimamisha swala katika maisha yao yote.
1.
Yajuwe maadili mema yaliyotajwa katika quran
عَنْ أَبِي حَمْزَةَ أَنَسِ بْنِ مَالِكٍ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ خَادِمِ رَسُولِ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم عَنْ النَّبِيِّ صلى الله عليه ?...
عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ قَالَ: قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم "إنَّ اللَّهَ طَيِّبٌ لَا يَقْبَلُ إلَّا طَي...
عَنْ أَبِي عَبْدِ الرَّحْمَنِ عَبْدِ اللَّهِ بْنِ مَسْعُودٍ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ قَالَ: حَدَّثَنَا رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم ...
Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.
Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.
Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.
Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.
Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.
Zoezi la 1 (a) Ainisha maana ya sunnah kilugha na kisheria.
Download kitabu Hiki Bofya hapa HADITHI YA MZEE WA KWANZA NA MBUZI WAKE.
14.
Uadilifu ni usimamizi wa ukweli na kutoa haki kwa kila anayestahiki kulingana na ukweli.
Mnafiki ni yule anayeukubali Uislamu mdomoni (kwa kauli tu) lakini moyoni mwake na katika matendo yake anaukanusha.
Uwanja wa elimu na maarifa
Makala hii inakwenda kukutajia majina ya vijana saba wa pangoni
Kuna malipo makubwa kwa ambaye amejenga msikiti kwa ajili ya kuoatavradhi za Allah.
Ni ipi haki ya mwanamke kwenye mirathi endapo atafiwa na mume wake, ilihali yeye ni mke wa pili?
Dini anayostahiki kufuata mwanadamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya)
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Maswali mbalimbali kuhusu fiqih
Kipengele hichi kina maswali mbalimbali kuhusiana na dini na mitazamo mbalimbali.
Maswali mbalimbali yanayohusu elimu ya dini ya kiislamu na mwongozo wa elimu na elimu mazingira.
Tulipokuwa shule tulisoma kuwa jua halizunguruki, ila dunia ndio huzunguka jua.
Karibu kwenye Darsa za mawaidha na Mafundisho ya dini.
Ibada yavfubga ni katika ibadavanbazo hufanya nakaribia dini zote kubwa. Ibada hii imekuwaikikabiliw na naswlo mengi.
Mtume Muhammad s.a.w amezaliwa yatima asiyena baba. Lakini hii haikumfanya asipate maelezo bora yaliyo mazuri. Je unajuwa aliyemlea baada ya kufariki kwa mama yake?.