Maswali juu ya hadithi

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya)

Zoezi la 6.

  1. (a)  Nini maana ya Hadith kilugha na kisheria.

(b)  Eleza kwa muhtasari maana ya maneno yafuatayo:

    (i)  Matin (ii)  Isnad   (iii)  Riwaya   (iv)  Hadith Qudussiyu. (v)  Hadith Ahad.

  1. (a)  Wakati wa Mtume (s.a.w), hapakuwepo na uandishi wa Hadith. Toa sababu tano.

(b)  Ni sababu zipi zilizopelekea uandishi wa Hadith kuwa na hitajio kubwa katika kipindi cha Maswahaba?

  1. (a)  Taja vitabu viwili vilivyoandikwa pamoja na waandishi wake katika kipindi cha Maswahaba.

(b) (i) Orodhesha maimamu wanne mashuhuri waliojitokeza kwa uandishi wa    Hadith katika kipindi cha Tabi’ina.

    (ii)  Taja majina ya Vitabu viwili na maimam walivyoviandika katika kipindi cha Tabi’ina.

  1. Bainisha kwa muhtasari maimam sita waliojitokeza katika kipindi cha Tabi’i Tabi’ina.
  2. Eleza kwa ufupi yafuatayo;

(a)  Al-Qatadaya    (b)  Al-Muwattah  (c)  Hadith Nnabawwi  (d)  Hadith Mutawattir.

 

  1. (a)  Maimam sita walioandika “Sahihu Sitta”, vitabu vyao vinamadaraja tofauti ya usahihi wa Hadith. Changanua madaraja hao kutokana na usahihi wa Hadith.

(b)  Ni yapi masharti yaliyotumika katika kuhakiki usahihi wa Hadith?

      (c)  Bainisha aina kuu za Hadith.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jifunze Main: Dini File: Download PDF Views 2671

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Assalam Baada yakufariki wazazi wake mtume alilelewa nanani???

Mtume Muhammad s.a.w amezaliwa yatima asiyena baba. Lakini hii haikumfanya asipate maelezo bora yaliyo mazuri. Je unajuwa aliyemlea baada ya kufariki kwa mama yake?.

Soma Zaidi...
Kitabu Cha Dua 120

Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.

Soma Zaidi...
(xi)Hutoa Zakat na Sadakat

Waumini wa kweli waliofuzu hutoa Zakat wakiwa na mali na hutoa misaada na huduma waziwezazo kwa wanaadamu wenziwe kwa kadiri ya haja ilivyojitokeza.

Soma Zaidi...
NENO LA AWALI

Darasa la elimu inayohusu ujauzito na namna ya kulea mimba

Soma Zaidi...
Aina za hadithi

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...