Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya)
Zoezi la 6.
(b) Eleza kwa muhtasari maana ya maneno yafuatayo:
(i) Matin (ii) Isnad (iii) Riwaya (iv) Hadith Qudussiyu. (v) Hadith Ahad.
(b) Ni sababu zipi zilizopelekea uandishi wa Hadith kuwa na hitajio kubwa katika kipindi cha Maswahaba?
(b) (i) Orodhesha maimamu wanne mashuhuri waliojitokeza kwa uandishi wa Hadith katika kipindi cha Tabi’ina.
(ii) Taja majina ya Vitabu viwili na maimam walivyoviandika katika kipindi cha Tabi’ina.
(a) Al-Qatadaya (b) Al-Muwattah (c) Hadith Nnabawwi (d) Hadith Mutawattir.
(b) Ni yapi masharti yaliyotumika katika kuhakiki usahihi wa Hadith?
(c) Bainisha aina kuu za Hadith.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ قَالَ: قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم "إنَّ اللَّهَ طَيِّبٌ لَا يَقْبَلُ إلَّا طَي...
Soma Zaidi...Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...