Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya)
Zoezi la 6.
(b) Eleza kwa muhtasari maana ya maneno yafuatayo:
(i) Matin (ii) Isnad (iii) Riwaya (iv) Hadith Qudussiyu. (v) Hadith Ahad.
(b) Ni sababu zipi zilizopelekea uandishi wa Hadith kuwa na hitajio kubwa katika kipindi cha Maswahaba?
(b) (i) Orodhesha maimamu wanne mashuhuri waliojitokeza kwa uandishi wa Hadith katika kipindi cha Tabi’ina.
(ii) Taja majina ya Vitabu viwili na maimam walivyoviandika katika kipindi cha Tabi’ina.
(a) Al-Qatadaya (b) Al-Muwattah (c) Hadith Nnabawwi (d) Hadith Mutawattir.
(b) Ni yapi masharti yaliyotumika katika kuhakiki usahihi wa Hadith?
(c) Bainisha aina kuu za Hadith.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Ibada yavfubga ni katika ibadavanbazo hufanya nakaribia dini zote kubwa. Ibada hii imekuwaikikabiliw na naswlo mengi.
Soma Zaidi...Waumini wa kweli waliofuzu hutoa Zakat wakiwa na mali na hutoa misaada na huduma waziwezazo kwa wanaadamu wenziwe kwa kadiri ya haja ilivyojitokeza.
Soma Zaidi...QURANI KATIKA ZAMA ZA SAYANSI NA TEKNOLOJIAAsalaalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh.
Soma Zaidi...Haya ni matukio ya kihistoria yanayoamiika kutokea ndani ya masiku 10 ya Mfunguo tatu.
Soma Zaidi...