Menu



Maswali juu ya hadithi

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya)

Zoezi la 6.

  1. (a)  Nini maana ya Hadith kilugha na kisheria.

(b)  Eleza kwa muhtasari maana ya maneno yafuatayo:

    (i)  Matin (ii)  Isnad   (iii)  Riwaya   (iv)  Hadith Qudussiyu. (v)  Hadith Ahad.

  1. (a)  Wakati wa Mtume (s.a.w), hapakuwepo na uandishi wa Hadith. Toa sababu tano.

(b)  Ni sababu zipi zilizopelekea uandishi wa Hadith kuwa na hitajio kubwa katika kipindi cha Maswahaba?

  1. (a)  Taja vitabu viwili vilivyoandikwa pamoja na waandishi wake katika kipindi cha Maswahaba.

(b) (i) Orodhesha maimamu wanne mashuhuri waliojitokeza kwa uandishi wa    Hadith katika kipindi cha Tabi’ina.

    (ii)  Taja majina ya Vitabu viwili na maimam walivyoviandika katika kipindi cha Tabi’ina.

  1. Bainisha kwa muhtasari maimam sita waliojitokeza katika kipindi cha Tabi’i Tabi’ina.
  2. Eleza kwa ufupi yafuatayo;

(a)  Al-Qatadaya    (b)  Al-Muwattah  (c)  Hadith Nnabawwi  (d)  Hadith Mutawattir.

 

  1. (a)  Maimam sita walioandika “Sahihu Sitta”, vitabu vyao vinamadaraja tofauti ya usahihi wa Hadith. Changanua madaraja hao kutokana na usahihi wa Hadith.

(b)  Ni yapi masharti yaliyotumika katika kuhakiki usahihi wa Hadith?

      (c)  Bainisha aina kuu za Hadith.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jifunze Main: Dini File: Download PDF Views 2510

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Fadhila za kujenga msikiti

Kuna malipo makubwa kwa ambaye amejenga msikiti kwa ajili ya kuoatavradhi za Allah.

Soma Zaidi...
Neno la awali

Asalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh Sifanjema zinamstahikia Allah Mola wa viumbe, muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo.

Soma Zaidi...
Kitabu Cha Quran na sayansi

Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.

Soma Zaidi...
Zoezi

Maswali mbalimbali yanayohusu elimu ya dini ya kiislamu na mwongozo wa elimu na elimu mazingira.

Soma Zaidi...