Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya)
Zoezi la 6.
(b) Eleza kwa muhtasari maana ya maneno yafuatayo:
(i) Matin (ii) Isnad (iii) Riwaya (iv) Hadith Qudussiyu. (v) Hadith Ahad.
(b) Ni sababu zipi zilizopelekea uandishi wa Hadith kuwa na hitajio kubwa katika kipindi cha Maswahaba?
(b) (i) Orodhesha maimamu wanne mashuhuri waliojitokeza kwa uandishi wa Hadith katika kipindi cha Tabi’ina.
(ii) Taja majina ya Vitabu viwili na maimam walivyoviandika katika kipindi cha Tabi’ina.
(a) Al-Qatadaya (b) Al-Muwattah (c) Hadith Nnabawwi (d) Hadith Mutawattir.
(b) Ni yapi masharti yaliyotumika katika kuhakiki usahihi wa Hadith?
(c) Bainisha aina kuu za Hadith.
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Jifunze Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 2434
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya
👉2 Madrasa kiganjani
👉3 kitabu cha Simulizi
👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉5 Simulizi za Hadithi Audio
👉6 Kitau cha Fiqh
Epuka kuwa muoga na yajue madhara ya uwoga
36. Soma Zaidi...
(ix)Wenye kuhifadhi swala
Waumini wa kweli waliofuzu huhifadhi swala kwa kutekeleza kwa ukamilifu shuruti zote za swala nguzo zote za swala na huswali kama alivyoswali Mtume (s. Soma Zaidi...
Uhakiki wa hadithi za mtume
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...
kuwa mwenye huruma na faida zake
25. Soma Zaidi...
Neno la awali
Asalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh Sifanjema zinamstahikia Allah Mola wa viumbe, muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo. Soma Zaidi...
UANDISHI WA HADITHI WAKATI WA MASWAHABA
Wakati wa Masahaba wa Mtume (s. Soma Zaidi...
Kitabu Cha Darsa za dua
Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet. Soma Zaidi...
DARSA ZA DINI YA KIISLAMU KAMA QURAN, FIQH, SIRA, AFYA, TAJWID NA TAFSIR ZA QURAN
Soma Zaidi...
quran na sayansi
Soma Zaidi...
Zoezi la 3
Kipengele hichi kina maswali mbalimbali kuhusiana na dini na mitazamo mbalimbali. Soma Zaidi...
Madhara ya matusi katika jamii, na Kujiepusha na Matusi
15. Soma Zaidi...