Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya)
Zoezi la 6.
(b) Eleza kwa muhtasari maana ya maneno yafuatayo:
(i) Matin (ii) Isnad (iii) Riwaya (iv) Hadith Qudussiyu. (v) Hadith Ahad.
(b) Ni sababu zipi zilizopelekea uandishi wa Hadith kuwa na hitajio kubwa katika kipindi cha Maswahaba?
(b) (i) Orodhesha maimamu wanne mashuhuri waliojitokeza kwa uandishi wa Hadith katika kipindi cha Tabi’ina.
(ii) Taja majina ya Vitabu viwili na maimam walivyoviandika katika kipindi cha Tabi’ina.
(a) Al-Qatadaya (b) Al-Muwattah (c) Hadith Nnabawwi (d) Hadith Mutawattir.
(b) Ni yapi masharti yaliyotumika katika kuhakiki usahihi wa Hadith?
(c) Bainisha aina kuu za Hadith.
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu
Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF
Share On
Facebook
or
Whatsapp
Imesomwa mara 2142
Sponsored links
๐1 Madrasa kiganjani
๐2 Kitabu cha Afya
๐3 kitabu cha Simulizi
๐4 Kitau cha Fiqh
Umbwaji wa mwanadamu kutoka Nutfa (tone la mbegu za uzazi), alaqah (tone la damu, mudgha (pande la nyama) na kuwa mtu kamili
ุนููู ุฃูุจูู ุนูุจูุฏู ุงูุฑููุญูู
ููู ุนูุจูุฏู ุงูููููู ุจููู ู
ูุณูุนููุฏู ุฑูุถููู ุงูููู ุนููููู ููุงูู: ุญูุฏููุซูููุง ุฑูุณูููู ุงูููููู ุตูู ุงููู ุนููู ู ุณูู
... Soma Zaidi...
dharura
14. Soma Zaidi...
jamii somo la 35
Hutekeleza ahadi zao wanapoahidiana na wanaadamu wenziwao maadamu ni katika mipaka ya Allah (s. Soma Zaidi...
kuwa mwenye huruma na faida zake
25. Soma Zaidi...
Maswali juu ya hadithi
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya) Soma Zaidi...
Epuka kukata tamaa, na yajuwe madhara ya kukata tamaa
37. Soma Zaidi...
(xi)Hutoa Zakat na Sadakat
Waumini wa kweli waliofuzu hutoa Zakat wakiwa na mali na hutoa misaada na huduma waziwezazo kwa wanaadamu wenziwe kwa kadiri ya haja ilivyojitokeza. Soma Zaidi...
NENO LA AWALI
Darasa la elimu inayohusu ujauzito na namna ya kulea mimba Soma Zaidi...
HUYU NDIYE MUUMINI WA KWELI KATIKA UISLAMU
ุนููู ุฃูุจูู ุญูู
ูุฒูุฉู ุฃูููุณู ุจููู ู
ูุงูููู ุฑูุถููู ุงูููู ุนููููู ุฎูุงุฏูู
ู ุฑูุณูููู ุงูููููู ุตูู ุงููู ุนููู ู ุณูู
ุนููู ุงููููุจูููู ุตูู ุงููู ุนููู ?... Soma Zaidi...
Faida za kuwa na Huruma Kwenye Uislamu
23. Soma Zaidi...
Zijuwe Faida za Kuwa na Istiqama (Msimamo Thabiti)
38. Soma Zaidi...
Kushika mwenendo wa kati "Na ushike mwenendo wa katiโฆ." (31:19)
Mwenendo wa kati ni mwenendo ulioepukana na kibri na majivuno kwa upande mmoja na ulioepukkana na udhalili na unyonge kwa upande mwingine. Soma Zaidi...