picha

Maswali juu ya hadithi

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya)

Zoezi la 6.

  1. (a)  Nini maana ya Hadith kilugha na kisheria.

(b)  Eleza kwa muhtasari maana ya maneno yafuatayo:

    (i)  Matin (ii)  Isnad   (iii)  Riwaya   (iv)  Hadith Qudussiyu. (v)  Hadith Ahad.

  1. (a)  Wakati wa Mtume (s.a.w), hapakuwepo na uandishi wa Hadith. Toa sababu tano.

(b)  Ni sababu zipi zilizopelekea uandishi wa Hadith kuwa na hitajio kubwa katika kipindi cha Maswahaba?

  1. (a)  Taja vitabu viwili vilivyoandikwa pamoja na waandishi wake katika kipindi cha Maswahaba.

(b) (i) Orodhesha maimamu wanne mashuhuri waliojitokeza kwa uandishi wa    Hadith katika kipindi cha Tabi’ina.

    (ii)  Taja majina ya Vitabu viwili na maimam walivyoviandika katika kipindi cha Tabi’ina.

  1. Bainisha kwa muhtasari maimam sita waliojitokeza katika kipindi cha Tabi’i Tabi’ina.
  2. Eleza kwa ufupi yafuatayo;

(a)  Al-Qatadaya    (b)  Al-Muwattah  (c)  Hadith Nnabawwi  (d)  Hadith Mutawattir.

 

  1. (a)  Maimam sita walioandika “Sahihu Sitta”, vitabu vyao vinamadaraja tofauti ya usahihi wa Hadith. Changanua madaraja hao kutokana na usahihi wa Hadith.

(b)  Ni yapi masharti yaliyotumika katika kuhakiki usahihi wa Hadith?

      (c)  Bainisha aina kuu za Hadith.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/01/08/Saturday - 12:40:44 am Topic: Jifunze Main: Dini File: Download PDF Views 3421

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 web hosting    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 ai web app    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

quran na sayansi

2:UUMBWAJI KWA MAJI YA UZAZIUumbwaji wa mwanadamu umepitia hatua mbalimbali na haya yote yamefanywa kwa sababumaalumu ili tipate mazingatio.

Soma Zaidi...
KULA HALALI NA ZILICHO KIZURI NI AMRI KATIKA UISLAMU

عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ قَالَ: قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم "إنَّ اللَّهَ طَيِّبٌ لَا يَقْبَلُ إلَّا طَي...

Soma Zaidi...
MAADILI MEMA KATIKA UISLAMU

Yajuwe maadili mema yaliyotajwa katika quran

Soma Zaidi...
sura ya 02

Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa

Soma Zaidi...
NENO LA AWALI

Darasa la elimu inayohusu ujauzito na namna ya kulea mimba

Soma Zaidi...
Je wajuwa kuwa jua hujizungurusha kwenye mhimili wake?

Tulipokuwa shule tulisoma kuwa jua halizunguruki, ila dunia ndio huzunguka jua.

Soma Zaidi...
quran na sayansi

QURANI KATIKA ZAMA ZA SAYANSI NA TEKNOLOJIAAsalaalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh.

Soma Zaidi...