Mtume Muhammad s.a.w amezaliwa yatima asiyena baba. Lakini hii haikumfanya asipate maelezo bora yaliyo mazuri. Je unajuwa aliyemlea baada ya kufariki kwa mama yake?.
ðŸ”Swali
Assalam ghalaykum natumaini ni mzima waafya. Baada yakufariki wazazi wake mtume alilelewa nanani???
Jibu:
âœï¸ Baada ya kuzaliwa mtume alinyonya kwa mama yake kisha kwa thuaibatul islamiy
âœï¸ kisha kwa bi halima kwa miaka 4
âœï¸ Kisha akaendelea kulelewa na mamayake kwa miaka tena 2 hadi alipirafiki manayake
âœï¸ kisha alilelewa na babu yake kwa mika tena 2 hadi alipofariki babu yake
âœï¸ kisha akalelewa na baba yake mdogo baada ya kufariki babu.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
2:UUMBWAJI KWA MAJI YA UZAZIUumbwaji wa mwanadamu umepitia hatua mbalimbali na haya yote yamefanywa kwa sababumaalumu ili tipate mazingatio.
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukutajia majina ya vijana saba wa pangoni
Soma Zaidi...Huwa wepesi wa kutoa msaada kwa hali na mali kwa wanaadamu wenziwe wanaohitajia msaada.
Soma Zaidi...Uadilifu ni usimamizi wa ukweli na kutoa haki kwa kila anayestahiki kulingana na ukweli.
Soma Zaidi...