Mtume Muhammad s.a.w amezaliwa yatima asiyena baba. Lakini hii haikumfanya asipate maelezo bora yaliyo mazuri. Je unajuwa aliyemlea baada ya kufariki kwa mama yake?.
ðŸ”Swali
Assalam ghalaykum natumaini ni mzima waafya. Baada yakufariki wazazi wake mtume alilelewa nanani???
Jibu:
âœï¸ Baada ya kuzaliwa mtume alinyonya kwa mama yake kisha kwa thuaibatul islamiy
âœï¸ kisha kwa bi halima kwa miaka 4
âœï¸ Kisha akaendelea kulelewa na mamayake kwa miaka tena 2 hadi alipirafiki manayake
âœï¸ kisha alilelewa na babu yake kwa mika tena 2 hadi alipofariki babu yake
âœï¸ kisha akalelewa na baba yake mdogo baada ya kufariki babu.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Ibada yavfubga ni katika ibadavanbazo hufanya nakaribia dini zote kubwa. Ibada hii imekuwaikikabiliw na naswlo mengi.
Soma Zaidi...Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.
Soma Zaidi...2; mbegu ya uhai uliyo changanyikaUmbile la mwanadamu limepitia hatua nyingi sana kama tutakavyoendelea mbele kuonalakini ukiachilia mbali na hatua zote alizopitia mwanadamu wakati wa kuumbwa lakiniumbile la mwanadamu bado limebakia kuwa dhalili kama ALLA
Soma Zaidi...