Mtume Muhammad s.a.w amezaliwa yatima asiyena baba. Lakini hii haikumfanya asipate maelezo bora yaliyo mazuri. Je unajuwa aliyemlea baada ya kufariki kwa mama yake?.
ðŸ”Swali
Assalam ghalaykum natumaini ni mzima waafya. Baada yakufariki wazazi wake mtume alilelewa nanani???
Jibu:
âœï¸ Baada ya kuzaliwa mtume alinyonya kwa mama yake kisha kwa thuaibatul islamiy
âœï¸ kisha kwa bi halima kwa miaka 4
âœï¸ Kisha akaendelea kulelewa na mamayake kwa miaka tena 2 hadi alipirafiki manayake
âœï¸ kisha alilelewa na babu yake kwa mika tena 2 hadi alipofariki babu yake
âœï¸ kisha akalelewa na baba yake mdogo baada ya kufariki babu.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowDini anayostahiki kufuata mwanadamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Uadilifu ni usimamizi wa ukweli na kutoa haki kwa kila anayestahiki kulingana na ukweli.
Soma Zaidi...Kuna malipo makubwa kwa ambaye amejenga msikiti kwa ajili ya kuoatavradhi za Allah.
Soma Zaidi...