image

Uandishi wa hadithi wakati wa maswahaba wa mtume (s.a.w)

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Uandishi wa Hadith wakati wa Maswahaba wa Mtume (s.a.w) (11 A.H – 101 A.H).

 

  1. Kitabu cha Hadith cha ‘Al-Qatadaya’ cha Ali (r.a).
  2. Juzuu (Pamphlet) ya Hadith iliyoandikwa na Ibn Abbas (r.a).



 

  1.    Dola ya Kiislamu ilipanuka sana na ikawa kuna hitajio kubwa la kuiendesha kwa mujibu wa mafundisho ya Qur’an na ya Hadith pia.

 

  1.    Makhalifah wanne waongofu, waliongoza Dola ya Kiislamu kwa mujibu wa Qur’an na Sunnah kwa kutoa hukumu mbali mbali.  

 

  1.    Kuzuka ugomvi baina ya Ali (r.a) na Muawiya (r.a) na waislamu kugawanyika makundi matatu na Hadith kutumika vibaya kulingana na matashi ya kila kundi.

 

  1.    Kuporomoka kwa Dola ya Kiislamu na kuibuka tawala za Kifalme, hivyo zilizuka hadith za uongo.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 2183


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

Maswali juu ya hadithi
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya) Soma Zaidi...

(xiii)Huwa muaminifu
Waumini wa kweli waliofuzu huchunga amana. Soma Zaidi...

jamii somo la 26
(vii)Hufanya bias hara na Allah (s. Soma Zaidi...

Elimu
Uwanja wa elimu na maarifa Soma Zaidi...

Mtazamo wa Uislamu juu ya usawa kati ya mwanaume na mwanamke
Soma Zaidi...

(xvi)Huepuka ugomvi na mabishano
Waumini wa kweli huepuka kabisa tabia ya ugomvi na mabishano. Soma Zaidi...

tawhid
Soma Zaidi...

Zoezi la 5
Maswali mbalimbali kuhusu fiqih Soma Zaidi...

Kuwa na mwenye haya, na faida zake
24. Soma Zaidi...

dharura
14. Soma Zaidi...

KULA HALALI NA ZILICHO KIZURI NI AMRI KATIKA UISLAMU
عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ قَالَ: قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم "إنَّ اللَّهَ طَيِّبٌ لَا يَقْبَلُ إلَّا طَي... Soma Zaidi...

jamii somo la 32
Soma Zaidi...