Uandishi wa hadithi wakati wa maswahaba wa mtume (s.a.w)
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Uandishi wa Hadith wakati wa Maswahaba wa Mtume (s.a.w) (11 A.H – 101 A.H).
- Kipindi hiki kilichukua karne moja tangu kufariki (kutawafu) Mtume (s.a.w) hadi kufariki swahaba wa mwisho.
- Uandishi wa Hadith kipindi hiki haukuwa mkubwa sana ambao haukutosheleza mahitajio ya Hadith wakati huo, ulikuwa uandishi wa aina mbili tu;
- Kitabu cha Hadith cha ‘Al-Qatadaya’ cha Ali (r.a).
- Juzuu (Pamphlet) ya Hadith iliyoandikwa na Ibn Abbas (r.a).
- Katika kipindi hiki, haja ya uandishi wa Hadith ilijitokeza kwa sababu zifuatazo;
- Dola ya Kiislamu ilipanuka sana na ikawa kuna hitajio kubwa la kuiendesha kwa mujibu wa mafundisho ya Qur’an na ya Hadith pia.
- Makhalifah wanne waongofu, waliongoza Dola ya Kiislamu kwa mujibu wa Qur’an na Sunnah kwa kutoa hukumu mbali mbali.
- Kuzuka ugomvi baina ya Ali (r.a) na Muawiya (r.a) na waislamu kugawanyika makundi matatu na Hadith kutumika vibaya kulingana na matashi ya kila kundi.
- Kuporomoka kwa Dola ya Kiislamu na kuibuka tawala za Kifalme, hivyo zilizuka hadith za uongo.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi 👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉3 web hosting 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 Madrasa kiganjani
👉1 kitabu cha Simulizi 👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉3 web hosting 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
Majina ya vijana wa pangoni
Makala hii inakwenda kukutajia majina ya vijana saba wa pangoni
Soma Zaidi...