Uandishi wa hadithi wakati wa maswahaba wa mtume (s.a.w)

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Uandishi wa Hadith wakati wa Maswahaba wa Mtume (s.a.w) (11 A.H – 101 A.H).

 

  1. Kitabu cha Hadith cha ‘Al-Qatadaya’ cha Ali (r.a).
  2. Juzuu (Pamphlet) ya Hadith iliyoandikwa na Ibn Abbas (r.a).



 

  1.    Dola ya Kiislamu ilipanuka sana na ikawa kuna hitajio kubwa la kuiendesha kwa mujibu wa mafundisho ya Qur’an na ya Hadith pia.

 

  1.    Makhalifah wanne waongofu, waliongoza Dola ya Kiislamu kwa mujibu wa Qur’an na Sunnah kwa kutoa hukumu mbali mbali.  

 

  1.    Kuzuka ugomvi baina ya Ali (r.a) na Muawiya (r.a) na waislamu kugawanyika makundi matatu na Hadith kutumika vibaya kulingana na matashi ya kila kundi.

 

  1.    Kuporomoka kwa Dola ya Kiislamu na kuibuka tawala za Kifalme, hivyo zilizuka hadith za uongo.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jifunze Main: Dini File: Download PDF Views 3044

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

(xi)Hutoa Zakat na Sadakat

Waumini wa kweli waliofuzu hutoa Zakat wakiwa na mali na hutoa misaada na huduma waziwezazo kwa wanaadamu wenziwe kwa kadiri ya haja ilivyojitokeza.

Soma Zaidi...
HISTORIA YA UANDISHI WA HADITHI

Historia fupi ya uandishi wa Hadith za Mtume (s.

Soma Zaidi...
(viii)Wenye khushui katika swala

Waumini wa kweli waliofuzu huwa na khushui (unyenyekevu) katika swala.

Soma Zaidi...
Kitabu Cha Darsa za dua

Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.

Soma Zaidi...
quran na sayansi

2:UUMBWAJI KWA MAJI YA UZAZIUumbwaji wa mwanadamu umepitia hatua mbalimbali na haya yote yamefanywa kwa sababumaalumu ili tipate mazingatio.

Soma Zaidi...
Majina ya vijana wa pangoni

Makala hii inakwenda kukutajia majina ya vijana saba wa pangoni

Soma Zaidi...
Kitabu Cha Darsa za Sira

Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.

Soma Zaidi...