Uandishi wa hadithi wakati wa maswahaba wa mtume (s.a.w)
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Uandishi wa Hadith wakati wa Maswahaba wa Mtume (s.a.w) (11 A.H – 101 A.H).
- Kipindi hiki kilichukua karne moja tangu kufariki (kutawafu) Mtume (s.a.w) hadi kufariki swahaba wa mwisho.
- Uandishi wa Hadith kipindi hiki haukuwa mkubwa sana ambao haukutosheleza mahitajio ya Hadith wakati huo, ulikuwa uandishi wa aina mbili tu;
- Kitabu cha Hadith cha ‘Al-Qatadaya’ cha Ali (r.a).
- Juzuu (Pamphlet) ya Hadith iliyoandikwa na Ibn Abbas (r.a).
- Katika kipindi hiki, haja ya uandishi wa Hadith ilijitokeza kwa sababu zifuatazo;
- Dola ya Kiislamu ilipanuka sana na ikawa kuna hitajio kubwa la kuiendesha kwa mujibu wa mafundisho ya Qur’an na ya Hadith pia.
- Makhalifah wanne waongofu, waliongoza Dola ya Kiislamu kwa mujibu wa Qur’an na Sunnah kwa kutoa hukumu mbali mbali.
- Kuzuka ugomvi baina ya Ali (r.a) na Muawiya (r.a) na waislamu kugawanyika makundi matatu na Hadith kutumika vibaya kulingana na matashi ya kila kundi.
- Kuporomoka kwa Dola ya Kiislamu na kuibuka tawala za Kifalme, hivyo zilizuka hadith za uongo.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app 👉2 kitabu cha Simulizi 👉3 Simulizi za Hadithi Audio 👉4 web hosting 👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉6 Bongolite - Game zone - Play free game
👉1 ai web app 👉2 kitabu cha Simulizi 👉3 Simulizi za Hadithi Audio 👉4 web hosting 👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉6 Bongolite - Game zone - Play free game
Post zinazofanana:
Je wajuwa kuwa jua hujizungurusha kwenye mhimili wake?
Tulipokuwa shule tulisoma kuwa jua halizunguruki, ila dunia ndio huzunguka jua.
Soma Zaidi...(ix)Wenye kuhifadhi swala
Waumini wa kweli waliofuzu huhifadhi swala kwa kutekeleza kwa ukamilifu shuruti zote za swala nguzo zote za swala na huswali kama alivyoswali Mtume (s.
Soma Zaidi...