Uandishi wa hadithi wakati wa maswahaba wa mtume (s.a.w)
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Uandishi wa Hadith wakati wa Maswahaba wa Mtume (s.a.w) (11 A.H – 101 A.H).
- Kipindi hiki kilichukua karne moja tangu kufariki (kutawafu) Mtume (s.a.w) hadi kufariki swahaba wa mwisho.
- Uandishi wa Hadith kipindi hiki haukuwa mkubwa sana ambao haukutosheleza mahitajio ya Hadith wakati huo, ulikuwa uandishi wa aina mbili tu;
- Kitabu cha Hadith cha ‘Al-Qatadaya’ cha Ali (r.a).
- Juzuu (Pamphlet) ya Hadith iliyoandikwa na Ibn Abbas (r.a).
- Katika kipindi hiki, haja ya uandishi wa Hadith ilijitokeza kwa sababu zifuatazo;
- Dola ya Kiislamu ilipanuka sana na ikawa kuna hitajio kubwa la kuiendesha kwa mujibu wa mafundisho ya Qur’an na ya Hadith pia.
- Makhalifah wanne waongofu, waliongoza Dola ya Kiislamu kwa mujibu wa Qur’an na Sunnah kwa kutoa hukumu mbali mbali.
- Kuzuka ugomvi baina ya Ali (r.a) na Muawiya (r.a) na waislamu kugawanyika makundi matatu na Hadith kutumika vibaya kulingana na matashi ya kila kundi.
- Kuporomoka kwa Dola ya Kiislamu na kuibuka tawala za Kifalme, hivyo zilizuka hadith za uongo.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
π1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) π2 Bongolite - Game zone - Play free game π3 web hosting π4 Simulizi za Hadithi Audio π5 Kitau cha Fiqh π6 ai web app
π1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) π2 Bongolite - Game zone - Play free game π3 web hosting π4 Simulizi za Hadithi Audio π5 Kitau cha Fiqh π6 ai web app
Post zinazofanana:
Kushika mwenendo wa kati "Na ushike mwenendo wa katiβ¦." (31:19)
Mwenendo wa kati ni mwenendo ulioepukana na kibri na majivuno kwa upande mmoja na ulioepukkana na udhalili na unyonge kwa upande mwingine.
Soma Zaidi...quran na sayansi
2; mbegu ya uhai uliyo changanyikaUmbile la mwanadamu limepitia hatua nyingi sana kama tutakavyoendelea mbele kuonalakini ukiachilia mbali na hatua zote alizopitia mwanadamu wakati wa kuumbwa lakiniumbile la mwanadamu bado limebakia kuwa dhalili kama ALLA
Soma Zaidi...