Uhakiki wa hadithi za mtume
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Uhakiki wa Hadith za Mtume (s.a.w).
- Hadith za Mtume (s.a.w) zilihakikiwa kupitia njia mbili kuu;
- Uhakiki wa Isnad.
- Ulizingatia na kuchambua msururu wa wapokezi (wasimulizi) wa Hadith
kwa kuangalia historia yake, ucha-Mungu wake, tabia yake, n.k.
- Uhakiki wa Matin.
- Ulizingatia usahihi wa Hadith kupitia masharti na vigezo vifuatavyo;
- Isipingane na aya za Qur’an.
- Isipingane na Hadith nyingine iliyothibitika kuwa ni sahihi.
- Isimzulie Mtume (s.a.w) kufanya jambo ambalo ni kinyume na Uislamu.
- Isipingane na hakika au uhalisia (fact).
- Isipingane na hakika au uhalisia wa kihistoria (historical fact).
- Isiwe na maneno ya uwongo ndani yake.
- Isiwe inaahidi adhabu kubwa sana kwa kosa dogo sana na kuahidi malipo makubwa sana kwa tendo (amali) dogo sana.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 ai web app 👉4 Kitau cha Fiqh 👉5 Madrasa kiganjani 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
👉1 Simulizi za Hadithi Audio 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 ai web app 👉4 Kitau cha Fiqh 👉5 Madrasa kiganjani 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
Umbwaji wa mwanadamu kutoka Nutfa (tone la mbegu za uzazi), alaqah (tone la damu, mudgha (pande la nyama) na kuwa mtu kamili
عَنْ أَبِي عَبْدِ الرَّحْمَنِ عَبْدِ اللَّهِ بْنِ مَسْعُودٍ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ قَالَ: حَدَّثَنَا رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم ...
Soma Zaidi...Je wajuwa kuwa jua hujizungurusha kwenye mhimili wake?
Tulipokuwa shule tulisoma kuwa jua halizunguruki, ila dunia ndio huzunguka jua.
Soma Zaidi...UANDISHI WA HADITHI WAKATI WA TABI'INA
Wakati wa Wafuasi wa masahaba (Tabi'ina)101-200 A.
Soma Zaidi...Kwanini Ni muhimu kusimamisha uislamu katika jamii
Dini anayostahiki kufuata mwanadamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...