Uhakiki wa hadithi za mtume
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Uhakiki wa Hadith za Mtume (s.a.w).
- Hadith za Mtume (s.a.w) zilihakikiwa kupitia njia mbili kuu;
- Uhakiki wa Isnad.
- Ulizingatia na kuchambua msururu wa wapokezi (wasimulizi) wa Hadith
kwa kuangalia historia yake, ucha-Mungu wake, tabia yake, n.k.
- Uhakiki wa Matin.
- Ulizingatia usahihi wa Hadith kupitia masharti na vigezo vifuatavyo;
- Isipingane na aya za Qur’an.
- Isipingane na Hadith nyingine iliyothibitika kuwa ni sahihi.
- Isimzulie Mtume (s.a.w) kufanya jambo ambalo ni kinyume na Uislamu.
- Isipingane na hakika au uhalisia (fact).
- Isipingane na hakika au uhalisia wa kihistoria (historical fact).
- Isiwe na maneno ya uwongo ndani yake.
- Isiwe inaahidi adhabu kubwa sana kwa kosa dogo sana na kuahidi malipo makubwa sana kwa tendo (amali) dogo sana.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
π1 kitabu cha Simulizi π2 Simulizi za Hadithi Audio π3 Kitabu cha Afya π4 Kitau cha Fiqh π5 Dua za Mitume na Manabii π6 ai web app
π1 kitabu cha Simulizi π2 Simulizi za Hadithi Audio π3 Kitabu cha Afya π4 Kitau cha Fiqh π5 Dua za Mitume na Manabii π6 ai web app
Post zinazofanana:
Kushika mwenendo wa kati "Na ushike mwenendo wa katiβ¦." (31:19)
Mwenendo wa kati ni mwenendo ulioepukana na kibri na majivuno kwa upande mmoja na ulioepukkana na udhalili na unyonge kwa upande mwingine.
Soma Zaidi...Sifa za wanafiki zilizotajwa katika surat Al-Imran
Na kuwapambanua wale waliokuwa wanafiki.
Soma Zaidi...(xvi)Huepuka ugomvi na mabishano
Waumini wa kweli huepuka kabisa tabia ya ugomvi na mabishano.
Soma Zaidi...