Uhakiki wa hadithi za mtume
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Uhakiki wa Hadith za Mtume (s.a.w).
- Hadith za Mtume (s.a.w) zilihakikiwa kupitia njia mbili kuu;
- Uhakiki wa Isnad.
- Ulizingatia na kuchambua msururu wa wapokezi (wasimulizi) wa Hadith
kwa kuangalia historia yake, ucha-Mungu wake, tabia yake, n.k.
- Uhakiki wa Matin.
- Ulizingatia usahihi wa Hadith kupitia masharti na vigezo vifuatavyo;
- Isipingane na aya za Qur’an.
- Isipingane na Hadith nyingine iliyothibitika kuwa ni sahihi.
- Isimzulie Mtume (s.a.w) kufanya jambo ambalo ni kinyume na Uislamu.
- Isipingane na hakika au uhalisia (fact).
- Isipingane na hakika au uhalisia wa kihistoria (historical fact).
- Isiwe na maneno ya uwongo ndani yake.
- Isiwe inaahidi adhabu kubwa sana kwa kosa dogo sana na kuahidi malipo makubwa sana kwa tendo (amali) dogo sana.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
π1 Kitabu cha Afya π2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina π3 Kitau cha Fiqh π4 kitabu cha Simulizi π5 Simulizi za Hadithi Audio π6 ai web app
π1 Kitabu cha Afya π2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina π3 Kitau cha Fiqh π4 kitabu cha Simulizi π5 Simulizi za Hadithi Audio π6 ai web app
Post zinazofanana:
Zingatio:
Swala husimama kwa kuhifadhiwa na kuswaliwa kwa khushui na kudumu na swala katika maisha yote.
Soma Zaidi...(viii)Wenye khushui katika swala
Waumini wa kweli waliofuzu huwa na khushui (unyenyekevu) katika swala.
Soma Zaidi...