Uhakiki wa hadithi za mtume
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Uhakiki wa Hadith za Mtume (s.a.w).
- Hadith za Mtume (s.a.w) zilihakikiwa kupitia njia mbili kuu;
- Uhakiki wa Isnad.
- Ulizingatia na kuchambua msururu wa wapokezi (wasimulizi) wa Hadith
kwa kuangalia historia yake, ucha-Mungu wake, tabia yake, n.k.
- Uhakiki wa Matin.
- Ulizingatia usahihi wa Hadith kupitia masharti na vigezo vifuatavyo;
- Isipingane na aya za Qur’an.
- Isipingane na Hadith nyingine iliyothibitika kuwa ni sahihi.
- Isimzulie Mtume (s.a.w) kufanya jambo ambalo ni kinyume na Uislamu.
- Isipingane na hakika au uhalisia (fact).
- Isipingane na hakika au uhalisia wa kihistoria (historical fact).
- Isiwe na maneno ya uwongo ndani yake.
- Isiwe inaahidi adhabu kubwa sana kwa kosa dogo sana na kuahidi malipo makubwa sana kwa tendo (amali) dogo sana.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 web hosting 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 kitabu cha Simulizi 👉5 Bongolite - Game zone - Play free game 👉6 Kitau cha Fiqh
👉1 web hosting 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 kitabu cha Simulizi 👉5 Bongolite - Game zone - Play free game 👉6 Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
Uchambuzi wa hadithi za mtume
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Kitabu Cha Darsa za dua
Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.
Soma Zaidi...