Uhakiki wa hadithi za mtume

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

-    Hadith za Mtume (s.a.w) zilihakikiwa kupitia njia mbili kuu;

  1.  Uhakiki wa Isnad.

-  Ulizingatia na kuchambua msururu wa wapokezi (wasimulizi) wa Hadith  

   kwa kuangalia historia yake, ucha-Mungu wake, tabia yake, n.k.

  1. Uhakiki wa Matin.

-  Ulizingatia usahihi wa Hadith kupitia masharti na vigezo vifuatavyo;

  1. Isipingane na aya za Qur’an.
  2. Isipingane na Hadith nyingine iliyothibitika kuwa ni sahihi.
  3. Isimzulie Mtume (s.a.w) kufanya jambo ambalo ni kinyume na Uislamu.
  4. Isipingane na hakika au uhalisia (fact).
  5. Isipingane na hakika au uhalisia wa kihistoria (historical fact).
  6. Isiwe na maneno ya uwongo ndani yake.
  7. Isiwe inaahidi adhabu kubwa sana kwa kosa dogo sana na kuahidi malipo makubwa sana kwa tendo (amali) dogo sana.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jifunze Main: Dini File: Download PDF Views 3345

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

quran na sayansi

QURANI KATIKA ZAMA ZA SAYANSI NA TEKNOLOJIAAsalaalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh.

Soma Zaidi...
(xiii)Huwa muaminifu

Waumini wa kweli waliofuzu huchunga amana.

Soma Zaidi...
Kitabu Cha Dua 120

Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.

Soma Zaidi...
Aina za hadithi

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Uandishi wa hadithi wakati wa tabii tabiina

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
KULA HALALI NA ZILICHO KIZURI NI AMRI KATIKA UISLAMU

عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ قَالَ: قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم "إنَّ اللَّهَ طَيِّبٌ لَا يَقْبَلُ إلَّا طَي...

Soma Zaidi...