picha

Uhakiki wa hadithi za mtume

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

-    Hadith za Mtume (s.a.w) zilihakikiwa kupitia njia mbili kuu;

  1.  Uhakiki wa Isnad.

-  Ulizingatia na kuchambua msururu wa wapokezi (wasimulizi) wa Hadith  

   kwa kuangalia historia yake, ucha-Mungu wake, tabia yake, n.k.

  1. Uhakiki wa Matin.

-  Ulizingatia usahihi wa Hadith kupitia masharti na vigezo vifuatavyo;

  1. Isipingane na aya za Qur’an.
  2. Isipingane na Hadith nyingine iliyothibitika kuwa ni sahihi.
  3. Isimzulie Mtume (s.a.w) kufanya jambo ambalo ni kinyume na Uislamu.
  4. Isipingane na hakika au uhalisia (fact).
  5. Isipingane na hakika au uhalisia wa kihistoria (historical fact).
  6. Isiwe na maneno ya uwongo ndani yake.
  7. Isiwe inaahidi adhabu kubwa sana kwa kosa dogo sana na kuahidi malipo makubwa sana kwa tendo (amali) dogo sana.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Jifunze Main: Post File: Download PDF Views 4185

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
πŸ‘‰1 Kitabu cha Afya     πŸ‘‰2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     πŸ‘‰3 Kitau cha Fiqh     πŸ‘‰4 kitabu cha Simulizi     πŸ‘‰5 Simulizi za Hadithi Audio     πŸ‘‰6 ai web app    

Post zinazofanana:

Zingatio:

Swala husimama kwa kuhifadhiwa na kuswaliwa kwa khushui na kudumu na swala katika maisha yote.

Soma Zaidi...
ZOEZI

Zoezi laΒ 1 (a) Ainisha maana ya sunnah kilugha na kisheria.

Soma Zaidi...
(viii)Wenye khushui katika swala

Waumini wa kweli waliofuzu huwa na khushui (unyenyekevu) katika swala.

Soma Zaidi...