Uhakiki wa hadithi za mtume

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

-    Hadith za Mtume (s.a.w) zilihakikiwa kupitia njia mbili kuu;

  1.  Uhakiki wa Isnad.

-  Ulizingatia na kuchambua msururu wa wapokezi (wasimulizi) wa Hadith  

   kwa kuangalia historia yake, ucha-Mungu wake, tabia yake, n.k.

  1. Uhakiki wa Matin.

-  Ulizingatia usahihi wa Hadith kupitia masharti na vigezo vifuatavyo;

  1. Isipingane na aya za Qur’an.
  2. Isipingane na Hadith nyingine iliyothibitika kuwa ni sahihi.
  3. Isimzulie Mtume (s.a.w) kufanya jambo ambalo ni kinyume na Uislamu.
  4. Isipingane na hakika au uhalisia (fact).
  5. Isipingane na hakika au uhalisia wa kihistoria (historical fact).
  6. Isiwe na maneno ya uwongo ndani yake.
  7. Isiwe inaahidi adhabu kubwa sana kwa kosa dogo sana na kuahidi malipo makubwa sana kwa tendo (amali) dogo sana.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jifunze Main: Dini File: Download PDF Views 3555

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 web hosting    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Dua za Mitume na Manabii   

Post zinazofanana:

Elimu

Uwanja wa elimu na maarifa

Soma Zaidi...
(x)Wenye kuepuka lagh-wi

Waumini wa kweli waliofuzu hujiepusha na Lagh-wi.

Soma Zaidi...
Umbwaji wa mwanadamu kutoka Nutfa (tone la mbegu za uzazi), alaqah (tone la damu, mudgha (pande la nyama) na kuwa mtu kamili

عَنْ أَبِي عَبْدِ الرَّحْمَنِ عَبْدِ اللَّهِ بْنِ مَسْعُودٍ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ قَالَ: حَدَّثَنَا رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم ...

Soma Zaidi...
(xiii)Huwa muaminifu

Waumini wa kweli waliofuzu huchunga amana.

Soma Zaidi...
(xi)Hutoa Zakat na Sadakat

Waumini wa kweli waliofuzu hutoa Zakat wakiwa na mali na hutoa misaada na huduma waziwezazo kwa wanaadamu wenziwe kwa kadiri ya haja ilivyojitokeza.

Soma Zaidi...
(xvi)Huepuka ugomvi na mabishano

Waumini wa kweli huepuka kabisa tabia ya ugomvi na mabishano.

Soma Zaidi...
Kwanini Ni muhimu kusimamisha uislamu katika jamii

Dini anayostahiki kufuata mwanadamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...