Uhakiki wa hadithi za mtume
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Uhakiki wa Hadith za Mtume (s.a.w).
- Hadith za Mtume (s.a.w) zilihakikiwa kupitia njia mbili kuu;
- Uhakiki wa Isnad.
- Ulizingatia na kuchambua msururu wa wapokezi (wasimulizi) wa Hadith
kwa kuangalia historia yake, ucha-Mungu wake, tabia yake, n.k.
- Uhakiki wa Matin.
- Ulizingatia usahihi wa Hadith kupitia masharti na vigezo vifuatavyo;
- Isipingane na aya za Qur’an.
- Isipingane na Hadith nyingine iliyothibitika kuwa ni sahihi.
- Isimzulie Mtume (s.a.w) kufanya jambo ambalo ni kinyume na Uislamu.
- Isipingane na hakika au uhalisia (fact).
- Isipingane na hakika au uhalisia wa kihistoria (historical fact).
- Isiwe na maneno ya uwongo ndani yake.
- Isiwe inaahidi adhabu kubwa sana kwa kosa dogo sana na kuahidi malipo makubwa sana kwa tendo (amali) dogo sana.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya 👉2 ai web app 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉6 Madrasa kiganjani
👉1 Kitabu cha Afya 👉2 ai web app 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
Kitabu Cha Darsa za dua
Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.
Soma Zaidi...Je wajuwa kuwa jua hujizungurusha kwenye mhimili wake?
Tulipokuwa shule tulisoma kuwa jua halizunguruki, ila dunia ndio huzunguka jua.
Soma Zaidi...Kitabu Cha Darsa za Funga
Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.
Soma Zaidi...