Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Kutokana na usahihi, hadith zimegawanyika makundi manne;
- Ni Hadith zenye wasimulizi wote wenye sifa zilizokamilika na kuwa na
matini sahihi.
- Ni Hadith zenye matini sahihi lakini baadhi ya wasimulizi wake
wamekuwa dhaifu.
- Ni Hadith yenye matini sahihi lakini miongoni mwa wasimulizi wake
wanakasoro kubwa zilizojitokeza.
- Hadith za namna hii haziaminiki na si za kutegemea.
- Ni Hadith ya uwongo ambayo Mtume (s.a.w) amezuliwa nayo.
- Hizi ni Hadith zinazopingana na Qur’an na Hadith zilizo sahihi pia.
- Kutokana na Umashuhuri, Hadith zimegawanyika makundi mawili;
- Ni Hadith yenye kusimuliwa na watu wengi kwa nyakati tofauti, wanne
au zaidi wote wakiwa na sifa kamili.
- Hadith hizi ni ndio zenye kukubalika na watu wote.
- Ni Hadith ambayo ina wasimulizi wenye sifa zilizokamilika, lakini
hawana mfungamano au msururu wa wasimulizi una mapengo kati kati.
- Ni Hadith zisizokubalika kwa watu wengi, ni za mashaka mashaka na si za kutegemea.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Jifunze Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 2100
Sponsored links
π1
Kitabu cha Afya
π2
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
π3
Madrasa kiganjani
π4
kitabu cha Simulizi
π5
Simulizi za Hadithi Audio
π6
Kitau cha Fiqh
Epuka kuwa muoga na yajue madhara ya uwoga
36. Soma Zaidi...
viapo
20. Soma Zaidi...
ZOEZI
Zoezi laΒ 1 (a) Ainisha maana ya sunnah kilugha na kisheria. Soma Zaidi...
(x)Wenye kuepuka lagh-wi
Waumini wa kweli waliofuzu hujiepusha na Lagh-wi. Soma Zaidi...
Kwanini Ni muhimu kusimamisha uislamu katika jamii
Dini anayostahiki kufuata mwanadamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...
Zoezi la 5
Maswali mbalimbali kuhusu fiqih Soma Zaidi...
Kuepuka mabishano na madhara ya kugombana
16. Soma Zaidi...
NENO LA AWALI
Darasa la elimu inayohusu ujauzito na namna ya kulea mimba Soma Zaidi...
jamii somo la 34
Soma Zaidi...