image

Tanzu (makundi) za hadithi

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

-  Kutokana na usahihi, hadith zimegawanyika makundi manne;

  1. Hadith Sahihi.

                -  Ni Hadith zenye wasimulizi wote wenye sifa zilizokamilika na kuwa na  

                    matini sahihi.

 

  1. Hadith Hasan.

   - Ni Hadith zenye matini sahihi lakini baadhi ya wasimulizi wake 

      wamekuwa dhaifu.   

 

  1. Hadith Dhaifu.

      -  Ni Hadith yenye matini sahihi lakini miongoni mwa wasimulizi wake 

          wanakasoro kubwa zilizojitokeza.

      -  Hadith za namna hii haziaminiki na si za kutegemea.   

 

  1. Hadith Maudhu’u.

      -  Ni Hadith ya uwongo ambayo Mtume (s.a.w) amezuliwa nayo.

      -  Hizi ni Hadith zinazopingana na Qur’an na Hadith zilizo sahihi pia.

 

-  Kutokana na Umashuhuri, Hadith zimegawanyika makundi mawili;

  1. Hadith Mutawatir.

-  Ni Hadith yenye kusimuliwa na watu wengi kwa nyakati tofauti, wanne 

    au zaidi wote wakiwa na sifa kamili. 

-  Hadith hizi ni ndio zenye kukubalika na watu wote.

 

  1. Hadith Ahad.

-  Ni Hadith ambayo ina wasimulizi wenye sifa zilizokamilika, lakini 

    hawana mfungamano au msururu wa wasimulizi una mapengo kati kati.


                    -  Ni Hadith zisizokubalika kwa watu wengi, ni za mashaka mashaka na si                             za kutegemea.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1751


Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 Kitabu cha Afya     ๐Ÿ‘‰2 Madrasa kiganjani     ๐Ÿ‘‰3 Kitau cha Fiqh     ๐Ÿ‘‰4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

UANDISHI WA HADITHI WAKATI WA TABI'INA
Wakati wa Wafuasi wa masahaba (Tabi'ina)101-200 A. Soma Zaidi...

Husimamisha swala
Husimamisha swala katika maisha yao yote. Soma Zaidi...

quran na sayansi
2:UUMBWAJI KWA MAJI YA UZAZIUumbwaji wa mwanadamu umepitia hatua mbalimbali na haya yote yamefanywa kwa sababumaalumu ili tipate mazingatio. Soma Zaidi...

(x)Wenye kuepuka lagh-wi
Waumini wa kweli waliofuzu hujiepusha na Lagh-wi. Soma Zaidi...

(xiii)Huwa muaminifu
Waumini wa kweli waliofuzu huchunga amana. Soma Zaidi...

madhara ya kusengenya, na namna ya kuepuna usengenyaji
13. Soma Zaidi...

Elimu
Uwanja wa elimu na maarifa Soma Zaidi...

HUYU NDIYE MUUMINI WA KWELI KATIKA UISLAMU
ุนูŽู†ู’ ุฃูŽุจููŠ ุญูŽู…ู’ุฒูŽุฉูŽ ุฃูŽู†ูŽุณู ุจู’ู†ู ู…ูŽุงู„ููƒู ุฑูŽุถููŠูŽ ุงู„ู„ู‡ู ุนูŽู†ู’ู‡ู ุฎูŽุงุฏูู…ู ุฑูŽุณููˆู„ู ุงู„ู„ูŽู‘ู‡ู ุตู„ู‰ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆ ุณู„ู… ุนูŽู†ู’ ุงู„ู†ูŽู‘ุจููŠูู‘ ุตู„ู‰ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ?... Soma Zaidi...

(xi)Hutoa Zakat na Sadakat
Waumini wa kweli waliofuzu hutoa Zakat wakiwa na mali na hutoa misaada na huduma waziwezazo kwa wanaadamu wenziwe kwa kadiri ya haja ilivyojitokeza. Soma Zaidi...

Nani Muadilifu na zipi sifa za mtu muadilifu kwenye uislamu
Uadilifu ni usimamiziย wa ukweli na kutoaย hakiย kwa kila anayestahikiย kulingana na ukweli. Soma Zaidi...

Faida za Kuwa mwenye Subira na Uvumilivu
29. Soma Zaidi...

jamii somo la 35
Hutekeleza ahadi zao wanapoahidiana na wanaadamu wenziwao maadamu ni katika mipaka ya Allah (s. Soma Zaidi...