Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Kutokana na usahihi, hadith zimegawanyika makundi manne;
- Ni Hadith zenye wasimulizi wote wenye sifa zilizokamilika na kuwa na
matini sahihi.
- Ni Hadith zenye matini sahihi lakini baadhi ya wasimulizi wake
wamekuwa dhaifu.
- Ni Hadith yenye matini sahihi lakini miongoni mwa wasimulizi wake
wanakasoro kubwa zilizojitokeza.
- Hadith za namna hii haziaminiki na si za kutegemea.
- Ni Hadith ya uwongo ambayo Mtume (s.a.w) amezuliwa nayo.
- Hizi ni Hadith zinazopingana na Qur’an na Hadith zilizo sahihi pia.
- Kutokana na Umashuhuri, Hadith zimegawanyika makundi mawili;
- Ni Hadith yenye kusimuliwa na watu wengi kwa nyakati tofauti, wanne
au zaidi wote wakiwa na sifa kamili.
- Hadith hizi ni ndio zenye kukubalika na watu wote.
- Ni Hadith ambayo ina wasimulizi wenye sifa zilizokamilika, lakini
hawana mfungamano au msururu wa wasimulizi una mapengo kati kati.
- Ni Hadith zisizokubalika kwa watu wengi, ni za mashaka mashaka na si za kutegemea.
Umeionaje Makala hii.. ?
Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.
Soma Zaidi...Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukutajia majina ya vijana saba wa pangoni
Soma Zaidi...Kipengele hichi kina maswali mbalimbali kuhusiana na dini na mitazamo mbalimbali.
Soma Zaidi...Ni ipi haki ya mwanamke kwenye mirathi endapo atafiwa na mume wake, ilihali yeye ni mke wa pili?
Soma Zaidi...