Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Kutokana na usahihi, hadith zimegawanyika makundi manne;
- Ni Hadith zenye wasimulizi wote wenye sifa zilizokamilika na kuwa na
matini sahihi.
- Ni Hadith zenye matini sahihi lakini baadhi ya wasimulizi wake
wamekuwa dhaifu.
- Ni Hadith yenye matini sahihi lakini miongoni mwa wasimulizi wake
wanakasoro kubwa zilizojitokeza.
- Hadith za namna hii haziaminiki na si za kutegemea.
- Ni Hadith ya uwongo ambayo Mtume (s.a.w) amezuliwa nayo.
- Hizi ni Hadith zinazopingana na Qur’an na Hadith zilizo sahihi pia.
- Kutokana na Umashuhuri, Hadith zimegawanyika makundi mawili;
- Ni Hadith yenye kusimuliwa na watu wengi kwa nyakati tofauti, wanne
au zaidi wote wakiwa na sifa kamili.
- Hadith hizi ni ndio zenye kukubalika na watu wote.
- Ni Hadith ambayo ina wasimulizi wenye sifa zilizokamilika, lakini
hawana mfungamano au msururu wa wasimulizi una mapengo kati kati.
- Ni Hadith zisizokubalika kwa watu wengi, ni za mashaka mashaka na si za kutegemea.
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa
Mwandhishi Tarehe 2022/01/08/Saturday - 12:36:34 am Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1621
Download our Apps
👉1 kitabu cha Simulizi
👉2 Kitabu cha Afya
👉3 Kitau cha Fiqh
👉4 Madrasa kiganjani
Nini maana ya Husda, na ni yapi madhara yake
34. Soma Zaidi...
Umbwaji wa mwanadamu kutoka Nutfa (tone la mbegu za uzazi), alaqah (tone la damu, mudgha (pande la nyama) na kuwa mtu kamili
عَنْ أَبِي عَبْدِ الرَّحْمَنِ عَبْدِ اللَّهِ بْنِ مَسْعُودٍ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ قَالَ: حَدَّثَنَا رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم ... Soma Zaidi...
HISTORIA YA UANDISHI WA HADITHI
Historia fupi ya uandishi wa Hadith za Mtume (s. Soma Zaidi...
Uandishi wa hadithi wakati wa tabii tabiina
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...
Elimu
Uwanja wa elimu na maarifa Soma Zaidi...
Mtazamo wa Uislamu juu ya usawa kati ya mwanaume na mwanamke
Soma Zaidi...
Nini maana ya Kibri, madhara yake na kujiepusha na kibri
17. Soma Zaidi...
Ukarimu na Sifa za kuwa Mkarimu na faida zake
30. Soma Zaidi...
(viii)Wenye khushui katika swala
Waumini wa kweli waliofuzu huwa na khushui (unyenyekevu) katika swala. Soma Zaidi...
HUYU NDIYE MUUMINI WA KWELI KATIKA UISLAMU
عَنْ أَبِي حَمْزَةَ أَنَسِ بْنِ مَالِكٍ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ خَادِمِ رَسُولِ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم عَنْ النَّبِيِّ صلى الله عليه ?... Soma Zaidi...
sura ya 02
Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa Soma Zaidi...
Neno la awali
Asalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh Sifanjema zinamstahikia Allah Mola wa viumbe, muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo. Soma Zaidi...