Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Kutokana na usahihi, hadith zimegawanyika makundi manne;
- Ni Hadith zenye wasimulizi wote wenye sifa zilizokamilika na kuwa na
matini sahihi.
- Ni Hadith zenye matini sahihi lakini baadhi ya wasimulizi wake
wamekuwa dhaifu.
- Ni Hadith yenye matini sahihi lakini miongoni mwa wasimulizi wake
wanakasoro kubwa zilizojitokeza.
- Hadith za namna hii haziaminiki na si za kutegemea.
- Ni Hadith ya uwongo ambayo Mtume (s.a.w) amezuliwa nayo.
- Hizi ni Hadith zinazopingana na Qur’an na Hadith zilizo sahihi pia.
- Kutokana na Umashuhuri, Hadith zimegawanyika makundi mawili;
- Ni Hadith yenye kusimuliwa na watu wengi kwa nyakati tofauti, wanne
au zaidi wote wakiwa na sifa kamili.
- Hadith hizi ni ndio zenye kukubalika na watu wote.
- Ni Hadith ambayo ina wasimulizi wenye sifa zilizokamilika, lakini
hawana mfungamano au msururu wa wasimulizi una mapengo kati kati.
- Ni Hadith zisizokubalika kwa watu wengi, ni za mashaka mashaka na si za kutegemea.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
QURANI KATIKA ZAMA ZA SAYANSI NA TEKNOLOJIAAsalaalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh.
Soma Zaidi...Waumini wa kweli waliofuzu huwa na khushui (unyenyekevu) katika swala.
Soma Zaidi...عَنْ أَبِي عَبْدِ الرَّحْمَنِ عَبْدِ اللَّهِ بْنِ مَسْعُودٍ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ قَالَ: حَدَّثَنَا رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم ...
Soma Zaidi...Asalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh Sifanjema zinamstahikia Allah Mola wa viumbe, muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo.
Soma Zaidi...Kuna malipo makubwa kwa ambaye amejenga msikiti kwa ajili ya kuoatavradhi za Allah.
Soma Zaidi...Maswali mbalimbali yanayohusu elimu ya dini ya kiislamu na mwongozo wa elimu na elimu mazingira.
Soma Zaidi...Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...