Tanzu (makundi) za hadithi

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

-  Kutokana na usahihi, hadith zimegawanyika makundi manne;

  1. Hadith Sahihi.

                -  Ni Hadith zenye wasimulizi wote wenye sifa zilizokamilika na kuwa na  

                    matini sahihi.

 

  1. Hadith Hasan.

   - Ni Hadith zenye matini sahihi lakini baadhi ya wasimulizi wake 

      wamekuwa dhaifu.   

 

  1. Hadith Dhaifu.

      -  Ni Hadith yenye matini sahihi lakini miongoni mwa wasimulizi wake 

          wanakasoro kubwa zilizojitokeza.

      -  Hadith za namna hii haziaminiki na si za kutegemea.   

 

  1. Hadith Maudhu’u.

      -  Ni Hadith ya uwongo ambayo Mtume (s.a.w) amezuliwa nayo.

      -  Hizi ni Hadith zinazopingana na Qur’an na Hadith zilizo sahihi pia.

 

-  Kutokana na Umashuhuri, Hadith zimegawanyika makundi mawili;

  1. Hadith Mutawatir.

-  Ni Hadith yenye kusimuliwa na watu wengi kwa nyakati tofauti, wanne 

    au zaidi wote wakiwa na sifa kamili. 

-  Hadith hizi ni ndio zenye kukubalika na watu wote.

 

  1. Hadith Ahad.

-  Ni Hadith ambayo ina wasimulizi wenye sifa zilizokamilika, lakini 

    hawana mfungamano au msururu wa wasimulizi una mapengo kati kati.


                    -  Ni Hadith zisizokubalika kwa watu wengi, ni za mashaka mashaka na si                             za kutegemea.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jifunze Main: Dini File: Download PDF Views 2281

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Kitabu Cha Darsa za Sira

Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.

Soma Zaidi...
Neno la awali

Asalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh Sifanjema zinamstahikia Allah Mola wa viumbe, muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo.

Soma Zaidi...
Elimu

Uwanja wa elimu na maarifa

Soma Zaidi...
Aina za hadithi

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Uandishi wa hadithi wakati wa tabii tabiina

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
KULA HALALI NA ZILICHO KIZURI NI AMRI KATIKA UISLAMU

عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ قَالَ: قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم "إنَّ اللَّهَ طَيِّبٌ لَا يَقْبَلُ إلَّا طَي...

Soma Zaidi...
Uandishi wa hadithi wakati wa mtume (s.a.w)

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Kitabu Cha Darsa za dua

Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.

Soma Zaidi...
HUYU NDIYE MUUMINI WA KWELI KATIKA UISLAMU

عَنْ أَبِي حَمْزَةَ أَنَسِ بْنِ مَالِكٍ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ خَادِمِ رَسُولِ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم عَنْ النَّبِيِّ صلى الله عليه ?...

Soma Zaidi...