image

Aina za hadithi

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

-    Kuna aina kuu mbili za Hadith.

  1. Hadith an-Nabawiyyi.

-  Ni Hadith ambayo matin yake ni kauli ya Mtume (s.a.w) mwenyewe katika  

    kuelezea jambo.

-  Huanza kwa kauli; amesema Mtume wa Allah, “…………” 

 

  1. Hadith Qudusiyyi.

                -  Ni Hadith ambayo matin yake (msimulizi wake) ni kauli ya Mtume (s.a.w) 

    kama alivyoipokea kutoka kwa Allah (s.w) nje ya Qur’an.  

 

-  Huanza kwa kauli; mfano: Abu Hurairah (r.a) amesimulia kuwa Mtume wa 

   Allah amesema, Allah (s.w) amesema, “…...” Matin yake ni kauli ya Allah     

   katika “………”.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 2982


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

kuwa mwenye huruma na faida zake
25. Soma Zaidi...

jamii somo la 35
Hutekeleza ahadi zao wanapoahidiana na wanaadamu wenziwao maadamu ni katika mipaka ya Allah (s. Soma Zaidi...

Mtazamo wa Uislamu juu ya usawa kati ya mwanaume na mwanamke
Soma Zaidi...

Elimu
Uwanja wa elimu na maarifa Soma Zaidi...

Kitabu Cha Dua 120
Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet. Soma Zaidi...

Zoezi - 4
Soma Zaidi...

kuwa mwenye kusamehe, na faida zake
27. Soma Zaidi...

Husimamisha swala
Husimamisha swala katika maisha yao yote. Soma Zaidi...

Madhara ya matusi katika jamii, na Kujiepusha na Matusi
15. Soma Zaidi...

viapo
20. Soma Zaidi...

Kitabu Cha Quran na sayansi
Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet. Soma Zaidi...

quran na sayansi
QURANI KATIKA ZAMA ZA SAYANSI NA TEKNOLOJIAAsalaalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh. Soma Zaidi...