Aina za hadithi

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

-    Kuna aina kuu mbili za Hadith.

  1. Hadith an-Nabawiyyi.

-  Ni Hadith ambayo matin yake ni kauli ya Mtume (s.a.w) mwenyewe katika  

    kuelezea jambo.

-  Huanza kwa kauli; amesema Mtume wa Allah, “…………” 

 

  1. Hadith Qudusiyyi.

                -  Ni Hadith ambayo matin yake (msimulizi wake) ni kauli ya Mtume (s.a.w) 

    kama alivyoipokea kutoka kwa Allah (s.w) nje ya Qur’an.  

 

-  Huanza kwa kauli; mfano: Abu Hurairah (r.a) amesimulia kuwa Mtume wa 

   Allah amesema, Allah (s.w) amesema, “…...” Matin yake ni kauli ya Allah     

   katika “………”.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jifunze Main: Dini File: Download PDF Views 4882

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 web hosting    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

(x)Wenye kuepuka lagh-wi

Waumini wa kweli waliofuzu hujiepusha na Lagh-wi.

Soma Zaidi...
Elimu

Uwanja wa elimu na maarifa

Soma Zaidi...
(xi)Hutoa Zakat na Sadakat

Waumini wa kweli waliofuzu hutoa Zakat wakiwa na mali na hutoa misaada na huduma waziwezazo kwa wanaadamu wenziwe kwa kadiri ya haja ilivyojitokeza.

Soma Zaidi...
Kitabu Cha Darsa za Funga

Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.

Soma Zaidi...
(xvi)Huepuka ugomvi na mabishano

Waumini wa kweli huepuka kabisa tabia ya ugomvi na mabishano.

Soma Zaidi...