Aina za hadithi
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Aina za Hadith.
- Kuna aina kuu mbili za Hadith.
- Hadith an-Nabawiyyi.
- Ni Hadith ambayo matin yake ni kauli ya Mtume (s.a.w) mwenyewe katika
kuelezea jambo.
- Huanza kwa kauli; amesema Mtume wa Allah, “…………”
- Hadith Qudusiyyi.
- Ni Hadith ambayo matin yake (msimulizi wake) ni kauli ya Mtume (s.a.w)
kama alivyoipokea kutoka kwa Allah (s.w) nje ya Qur’an.
- Huanza kwa kauli; mfano: Abu Hurairah (r.a) amesimulia kuwa Mtume wa
Allah amesema, Allah (s.w) amesema, “…...” Matin yake ni kauli ya Allah
katika “………”.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
π1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) π2 Madrasa kiganjani π3 kitabu cha Simulizi π4 ai web app π5 Kitau cha Fiqh π6 web hosting
π1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) π2 Madrasa kiganjani π3 kitabu cha Simulizi π4 ai web app π5 Kitau cha Fiqh π6 web hosting
Post zinazofanana:
Kitabu Cha Darsa za Funga
Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.
Soma Zaidi...