Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Kuna aina kuu mbili za Hadith.
- Ni Hadith ambayo matin yake ni kauli ya Mtume (s.a.w) mwenyewe katika
kuelezea jambo.
- Huanza kwa kauli; amesema Mtume wa Allah, “…………”
- Ni Hadith ambayo matin yake (msimulizi wake) ni kauli ya Mtume (s.a.w)
kama alivyoipokea kutoka kwa Allah (s.w) nje ya Qur’an.
- Huanza kwa kauli; mfano: Abu Hurairah (r.a) amesimulia kuwa Mtume wa
Allah amesema, Allah (s.w) amesema, “…...” Matin yake ni kauli ya Allah
katika “………”.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Wakati wa Wafuasi wa masahaba (Tabi'ina)101-200 A.
Soma Zaidi...Kipengele hichi kina maswali mbalimbali kuhusiana na dini na mitazamo mbalimbali.
Soma Zaidi...Maswali mbalimbali yanayohusu elimu ya dini ya kiislamu na mwongozo wa elimu na elimu mazingira.
Soma Zaidi...Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.
Soma Zaidi...