AINA ZA HADITHI


image


Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)


  • Aina za Hadith.

-    Kuna aina kuu mbili za Hadith.

  1. Hadith an-Nabawiyyi.

-  Ni Hadith ambayo matin yake ni kauli ya Mtume (s.a.w) mwenyewe katika  

    kuelezea jambo.

-  Huanza kwa kauli; amesema Mtume wa Allah, “…………” 

 

  1. Hadith Qudusiyyi.

                -  Ni Hadith ambayo matin yake (msimulizi wake) ni kauli ya Mtume (s.a.w) 

    kama alivyoipokea kutoka kwa Allah (s.w) nje ya Qur’an.  

 

-  Huanza kwa kauli; mfano: Abu Hurairah (r.a) amesimulia kuwa Mtume wa 

   Allah amesema, Allah (s.w) amesema, “…...” Matin yake ni kauli ya Allah     

   katika “………”.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Mafunzo ya html kwa kiswahili       ðŸ‘‰    2 Mafunzo ya php       ðŸ‘‰    3 Madrasa kiganjani       ðŸ‘‰    4 Hadiythi za alif lela u lela       ðŸ‘‰    5 Jifunze fiqh       ðŸ‘‰    6 Maktaba ya vitabu    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Maana ya uislamu.
Kwenye kipengele hichi titajifunza maana ya uislamu,na maana nyingine tofauti. Soma Zaidi...

image Kusimamisha swala za faradh katika nyakati za dharura.
Kipengele hichi tutajifunza namna ya kusimamisha swala ukiwa safarini na vitani na nguzo zake. Soma Zaidi...

image Vita vya uhudi
Dola ya uislamu madinah (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Zoezi la 5
Maswali mbalimbali kuhusu fiqih Soma Zaidi...

image Aina za tawafu
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Mgawanyo wa elimu usiokubalika katika uislamu
Mgawanyo wa elimu usiokubalika katika uislamu Ni upi? (EDK form 1: mgawanyo wa elimu usiokubalika katika uislamu) Soma Zaidi...

image Kumuamini malaika wa mwenyezi Mungu...
Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Dhana ya haki na uadilifu katika uislamu
Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3:dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Uandishi wa hadithi wakati wa tabii tabiina
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Tofauti kati ya fiqh na sheria
Kipengele hichi tutajifunza tofauti kati ua fiqh na sheria. Soma Zaidi...