Aina za hadithi
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Aina za Hadith.
- Kuna aina kuu mbili za Hadith.
- Hadith an-Nabawiyyi.
- Ni Hadith ambayo matin yake ni kauli ya Mtume (s.a.w) mwenyewe katika
kuelezea jambo.
- Huanza kwa kauli; amesema Mtume wa Allah, “…………”
- Hadith Qudusiyyi.
- Ni Hadith ambayo matin yake (msimulizi wake) ni kauli ya Mtume (s.a.w)
kama alivyoipokea kutoka kwa Allah (s.w) nje ya Qur’an.
- Huanza kwa kauli; mfano: Abu Hurairah (r.a) amesimulia kuwa Mtume wa
Allah amesema, Allah (s.w) amesema, “…...” Matin yake ni kauli ya Allah
katika “………”.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 Kitau cha Fiqh π2 Kitabu cha Afya π3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina π4 Simulizi za Hadithi Audio π5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) π6 kitabu cha Simulizi
Post zinazofanana:
Je wajuwa kuwa jua hujizungurusha kwenye mhimili wake?
Tulipokuwa shule tulisoma kuwa jua halizunguruki, ila dunia ndio huzunguka jua.
Soma Zaidi...Kushika mwenendo wa kati "Na ushike mwenendo wa katiβ¦." (31:19)
Mwenendo wa kati ni mwenendo ulioepukana na kibri na majivuno kwa upande mmoja na ulioepukkana na udhalili na unyonge kwa upande mwingine.
Soma Zaidi...