picha

Aina za hadithi

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

-    Kuna aina kuu mbili za Hadith.

  1. Hadith an-Nabawiyyi.

-  Ni Hadith ambayo matin yake ni kauli ya Mtume (s.a.w) mwenyewe katika  

    kuelezea jambo.

-  Huanza kwa kauli; amesema Mtume wa Allah, “…………” 

 

  1. Hadith Qudusiyyi.

                -  Ni Hadith ambayo matin yake (msimulizi wake) ni kauli ya Mtume (s.a.w) 

    kama alivyoipokea kutoka kwa Allah (s.w) nje ya Qur’an.  

 

-  Huanza kwa kauli; mfano: Abu Hurairah (r.a) amesimulia kuwa Mtume wa 

   Allah amesema, Allah (s.w) amesema, “…...” Matin yake ni kauli ya Allah     

   katika “………”.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Jifunze Main: Post File: Download PDF Views 5479

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Bongolite - Game zone - Play free game     👉3 Simulizi za Hadithi Audio     👉4 Madrasa kiganjani     👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉6 ai web app    

Post zinazofanana:

Neno la awali

Asalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh Sifanjema zinamstahikia Allah Mola wa viumbe, muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo.

Soma Zaidi...
Tanzu (makundi) za hadithi

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Elimu

Uwanja wa elimu na maarifa

Soma Zaidi...
KULA HALALI NA ZILICHO KIZURI NI AMRI KATIKA UISLAMU

عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ قَالَ: قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم "إنَّ اللَّهَ طَيِّبٌ لَا يَقْبَلُ إلَّا طَي...

Soma Zaidi...
quran na sayansi

2:UUMBWAJI KWA MAJI YA UZAZIUumbwaji wa mwanadamu umepitia hatua mbalimbali na haya yote yamefanywa kwa sababumaalumu ili tipate mazingatio.

Soma Zaidi...