Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Kuna aina kuu mbili za Hadith.
- Ni Hadith ambayo matin yake ni kauli ya Mtume (s.a.w) mwenyewe katika
kuelezea jambo.
- Huanza kwa kauli; amesema Mtume wa Allah, “…………”
- Ni Hadith ambayo matin yake (msimulizi wake) ni kauli ya Mtume (s.a.w)
kama alivyoipokea kutoka kwa Allah (s.w) nje ya Qur’an.
- Huanza kwa kauli; mfano: Abu Hurairah (r.a) amesimulia kuwa Mtume wa
Allah amesema, Allah (s.w) amesema, “…...” Matin yake ni kauli ya Allah
katika “………”.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.
Soma Zaidi...Mwenendo wa kati ni mwenendo ulioepukana na kibri na majivuno kwa upande mmoja na ulioepukkana na udhalili na unyonge kwa upande mwingine.
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukutajia majina ya vijana saba wa pangoni
Soma Zaidi...