Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Kuna aina kuu mbili za Hadith.
- Ni Hadith ambayo matin yake ni kauli ya Mtume (s.a.w) mwenyewe katika
kuelezea jambo.
- Huanza kwa kauli; amesema Mtume wa Allah, “…………”
- Ni Hadith ambayo matin yake (msimulizi wake) ni kauli ya Mtume (s.a.w)
kama alivyoipokea kutoka kwa Allah (s.w) nje ya Qur’an.
- Huanza kwa kauli; mfano: Abu Hurairah (r.a) amesimulia kuwa Mtume wa
Allah amesema, Allah (s.w) amesema, “…...” Matin yake ni kauli ya Allah
katika “………”.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
ุนููู ุฃูุจูู ุนูุจูุฏู ุงูุฑููุญูู ููู ุนูุจูุฏู ุงูููููู ุจููู ู ูุณูุนููุฏู ุฑูุถููู ุงูููู ุนููููู ููุงูู: ุญูุฏููุซูููุง ุฑูุณูููู ุงูููููู ุตูู ุงููู ุนููู ู ุณูู ...
Soma Zaidi...Waumini wa kweli huepuka kabisa tabia ya ugomvi na mabishano.
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukutajia majina ya vijana saba wa pangoni
Soma Zaidi...Uadilifu ni usimamiziย wa ukweli na kutoaย hakiย kwa kila anayestahikiย kulingana na ukweli.
Soma Zaidi...