Aina za hadithi
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Aina za Hadith.
- Kuna aina kuu mbili za Hadith.
- Hadith an-Nabawiyyi.
- Ni Hadith ambayo matin yake ni kauli ya Mtume (s.a.w) mwenyewe katika
kuelezea jambo.
- Huanza kwa kauli; amesema Mtume wa Allah, “…………”
- Hadith Qudusiyyi.
- Ni Hadith ambayo matin yake (msimulizi wake) ni kauli ya Mtume (s.a.w)
kama alivyoipokea kutoka kwa Allah (s.w) nje ya Qur’an.
- Huanza kwa kauli; mfano: Abu Hurairah (r.a) amesimulia kuwa Mtume wa
Allah amesema, Allah (s.w) amesema, “…...” Matin yake ni kauli ya Allah
katika “………”.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 kitabu cha Simulizi 👉2 ai web app 👉3 Dua za Mitume na Manabii 👉4 Madrasa kiganjani 👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉6 web hosting
Post zinazofanana:
swali langu nikwamba Mimi nimeolewa make wa pili nimeishi ndaniya ndoa miaka 22 mume akafikwa na mauti je ninahaki ya kupata mirathi?
Ni ipi haki ya mwanamke kwenye mirathi endapo atafiwa na mume wake, ilihali yeye ni mke wa pili?
Soma Zaidi...Neno la awali
Asalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh Sifanjema zinamstahikia Allah Mola wa viumbe, muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo.
Soma Zaidi...Zingatio:
Swala husimama kwa kuhifadhiwa na kuswaliwa kwa khushui na kudumu na swala katika maisha yote.
Soma Zaidi...