jamii somo la 34
(xv)Kuishi na watu kwa wema
Waumini wa kweli huishi na watu wema kwa kuwathamini na kuwaheshimu; kujizuia na kuwafanyia watu kibri, kujizuia na kujikweza na kujitukuza mbele ya wengine, kujizuia na kuwadhalilisha watu na kuwavunjia heshima.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
π1 Dua za Mitume na Manabii π2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina π3 Kitau cha Fiqh π4 Bongolite - Game zone - Play free game π5 Simulizi za Hadithi Audio π6 kitabu cha Simulizi
π1 Dua za Mitume na Manabii π2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina π3 Kitau cha Fiqh π4 Bongolite - Game zone - Play free game π5 Simulizi za Hadithi Audio π6 kitabu cha Simulizi
Post zinazofanana:
quran na sayansi
2; mbegu ya uhai uliyo changanyikaUmbile la mwanadamu limepitia hatua nyingi sana kama tutakavyoendelea mbele kuonalakini ukiachilia mbali na hatua zote alizopitia mwanadamu wakati wa kuumbwa lakiniumbile la mwanadamu bado limebakia kuwa dhalili kama ALLA
Soma Zaidi...Zingatio:
Swala husimama kwa kuhifadhiwa na kuswaliwa kwa khushui na kudumu na swala katika maisha yote.
Soma Zaidi...