16.
16. Kuepuka Mabishano
Mabishano husababisha ugomvi, maudhi au kudharauliana. Mabishano yaweza kutibua mahusiano mzuri kati ya watu. Hivyo Uislamu unatukataza kubishana. Tunatakiwa tuzungumze na watu na kufahamishana mambo kwa hoja na sio kwa mabishano. Tunafundishwa katika Qur-an kuwa tukizungumza na watu ambao hawataki kuelewa bali wanafurahia ubishi tu, basi tusiendelee kuzungumza nao. Bali tuagane nao kwa salama.
โNa waja (wema) wa Rahman ni wale wanaotembea katika ardhi kwa unyenyekevu na wajinga wakisema nao, huwajibu โSalama โ. (25:63)
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 277
Sponsored links
๐1 Kitabu cha Afya
๐2 Kitau cha Fiqh
๐3 kitabu cha Simulizi
๐4 Madrasa kiganjani
Uchambuzi wa hadithi za mtume
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...
Assalam Baada yakufariki wazazi wake mtume alilelewa nanani???
Mtume Muhammad s.a.w amezaliwa yatima asiyena baba. Lakini hii haikumfanya asipate maelezo bora yaliyo mazuri. Je unajuwa aliyemlea baada ya kufariki kwa mama yake?. Soma Zaidi...
(xi)Hutoa Zakat na Sadakat
Waumini wa kweli waliofuzu hutoa Zakat wakiwa na mali na hutoa misaada na huduma waziwezazo kwa wanaadamu wenziwe kwa kadiri ya haja ilivyojitokeza. Soma Zaidi...
Kitabu Cha Darsa za Funga
Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet. Soma Zaidi...
Faida za Kuwa mwenye Subira na Uvumilivu
29. Soma Zaidi...
(xiii)Huwa muaminifu
Waumini wa kweli waliofuzu huchunga amana. Soma Zaidi...
HUYU NDIYE MUUMINI WA KWELI KATIKA UISLAMU
ุนููู ุฃูุจูู ุญูู
ูุฒูุฉู ุฃูููุณู ุจููู ู
ูุงูููู ุฑูุถููู ุงูููู ุนููููู ุฎูุงุฏูู
ู ุฑูุณูููู ุงูููููู ุตูู ุงููู ุนููู ู ุณูู
ุนููู ุงููููุจูููู ุตูู ุงููู ุนููู ?... Soma Zaidi...
Kuwa na mwenye haya, na faida zake
24. Soma Zaidi...
ZOEZI
Zoezi laย 1 (a) Ainisha maana ya sunnah kilugha na kisheria. Soma Zaidi...
Nini maana ya Husda, na ni yapi madhara yake
34. Soma Zaidi...
Nini maana ya Kibri, madhara yake na kujiepusha na kibri
18. Soma Zaidi...