Zoezi la 5

Maswali mbalimbali kuhusu fiqih

Zoezi la 5.

  1. (a)  Nini maana ya ‘ibada’?

(b)  Orodhesha ibada maalumu kama ulivyojifunza.

 

2.“Sikuwaumba majini na watu ila wapate kuniabudu” (51:56).

Kwa kurejea aya hii, bainisha ni kwa vipi mwanaadamu anaweza kumuabudu Mwenyezi Mungu (s.w) katika kila kipengele cha maisha.

 

3.Ni upi uhusiano kati ya ibada maalumu na maisha ya kila siku?

 

4.Onesha upotofu juu ya dhana kwamba, ‘ibada maalumu ndio lengo kuu la kuumbwa mwanaadamu’.

 

5.Kwa kurejea aya ya Qur’an (3:190-191), fafanua namna ambavyo maumbile na viumbe mbali mbali vimeumbwa kumtumikia mwanaadamu ili afikie lengo la kuumbwa kwake.

 

6.Eleza kwa muhtasari, kwa nini waislamu katika jamii yako hawafikii lengo la kuumbwa kwao pamoja na kutekeleza ibada maalumu.

 

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jifunze Main: Dini File: Download PDF Views 1896

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 web hosting    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana: