Zoezi la 5

Maswali mbalimbali kuhusu fiqih

Zoezi la 5.

  1. (a)  Nini maana ya ‘ibada’?

(b)  Orodhesha ibada maalumu kama ulivyojifunza.

 

2.“Sikuwaumba majini na watu ila wapate kuniabudu” (51:56).

Kwa kurejea aya hii, bainisha ni kwa vipi mwanaadamu anaweza kumuabudu Mwenyezi Mungu (s.w) katika kila kipengele cha maisha.

 

3.Ni upi uhusiano kati ya ibada maalumu na maisha ya kila siku?

 

4.Onesha upotofu juu ya dhana kwamba, ‘ibada maalumu ndio lengo kuu la kuumbwa mwanaadamu’.

 

5.Kwa kurejea aya ya Qur’an (3:190-191), fafanua namna ambavyo maumbile na viumbe mbali mbali vimeumbwa kumtumikia mwanaadamu ili afikie lengo la kuumbwa kwake.

 

6.Eleza kwa muhtasari, kwa nini waislamu katika jamii yako hawafikii lengo la kuumbwa kwao pamoja na kutekeleza ibada maalumu.

 

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jifunze Main: Dini File: Download PDF Views 1632

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Uandishi wa hadithi wakati wa tabiina (wafuasi wa maswahaba)

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Zoezi la 3

Kipengele hichi kina maswali mbalimbali kuhusiana na dini na mitazamo mbalimbali.

Soma Zaidi...
Neno la awali

Asalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh Sifanjema zinamstahikia Allah Mola wa viumbe, muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo.

Soma Zaidi...
MAADILI MEMA KATIKA UISLAMU

Yajuwe maadili mema yaliyotajwa katika quran

Soma Zaidi...