Maswali mbalimbali kuhusu fiqih
Zoezi la 5.
(b) Orodhesha ibada maalumu kama ulivyojifunza.
2.“Sikuwaumba majini na watu ila wapate kuniabudu” (51:56).
Kwa kurejea aya hii, bainisha ni kwa vipi mwanaadamu anaweza kumuabudu Mwenyezi Mungu (s.w) katika kila kipengele cha maisha.
3.Ni upi uhusiano kati ya ibada maalumu na maisha ya kila siku?
4.Onesha upotofu juu ya dhana kwamba, ‘ibada maalumu ndio lengo kuu la kuumbwa mwanaadamu’.
5.Kwa kurejea aya ya Qur’an (3:190-191), fafanua namna ambavyo maumbile na viumbe mbali mbali vimeumbwa kumtumikia mwanaadamu ili afikie lengo la kuumbwa kwake.
6.Eleza kwa muhtasari, kwa nini waislamu katika jamii yako hawafikii lengo la kuumbwa kwao pamoja na kutekeleza ibada maalumu.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Ibada yavfubga ni katika ibadavanbazo hufanya nakaribia dini zote kubwa. Ibada hii imekuwaikikabiliw na naswlo mengi.
Soma Zaidi...Kipengele hichi kina maswali mbalimbali kuhusiana na dini na mitazamo mbalimbali.
Soma Zaidi...Dini anayostahiki kufuata mwanadamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Mwenendo wa kati ni mwenendo ulioepukana na kibri na majivuno kwa upande mmoja na ulioepukkana na udhalili na unyonge kwa upande mwingine.
Soma Zaidi...