picha

Zoezi la 5

Maswali mbalimbali kuhusu fiqih

Zoezi la 5.

  1. (a)  Nini maana ya ‘ibada’?

(b)  Orodhesha ibada maalumu kama ulivyojifunza.

 

2.“Sikuwaumba majini na watu ila wapate kuniabudu” (51:56).

Kwa kurejea aya hii, bainisha ni kwa vipi mwanaadamu anaweza kumuabudu Mwenyezi Mungu (s.w) katika kila kipengele cha maisha.

 

3.Ni upi uhusiano kati ya ibada maalumu na maisha ya kila siku?

 

4.Onesha upotofu juu ya dhana kwamba, ‘ibada maalumu ndio lengo kuu la kuumbwa mwanaadamu’.

 

5.Kwa kurejea aya ya Qur’an (3:190-191), fafanua namna ambavyo maumbile na viumbe mbali mbali vimeumbwa kumtumikia mwanaadamu ili afikie lengo la kuumbwa kwake.

 

6.Eleza kwa muhtasari, kwa nini waislamu katika jamii yako hawafikii lengo la kuumbwa kwao pamoja na kutekeleza ibada maalumu.

 

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2021/12/30/Thursday - 08:46:53 am Topic: Jifunze Main: Dini File: Download PDF Views 2042

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
πŸ‘‰1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    πŸ‘‰2 Kitau cha Fiqh    πŸ‘‰3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    πŸ‘‰4 Dua za Mitume na Manabii    πŸ‘‰5 Kitabu cha Afya    πŸ‘‰6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Iv shekh haifai kufunga kwa nia utimize jambo labda kuna kitu unakitaka kwhy unaamua kugunga ili kama kuzidisha maombi kwa mungu jambo lifanikiwe

Ibada yavfubga ni katika ibadavanbazo hufanya nakaribia dini zote kubwa. Ibada hii imekuwaikikabiliw na naswlo mengi.

Soma Zaidi...
Elimu

Uwanja wa elimu na maarifa

Soma Zaidi...
Husimamisha swala

Husimamisha swala katika maisha yao yote.

Soma Zaidi...
Zoezi la 3

Kipengele hichi kina maswali mbalimbali kuhusiana na dini na mitazamo mbalimbali.

Soma Zaidi...
(xiii)Huwa muaminifu

Waumini wa kweli waliofuzu huchunga amana.

Soma Zaidi...
NENO LA AWALI

Darasa la elimu inayohusu ujauzito na namna ya kulea mimba

Soma Zaidi...
Kwanini Ni muhimu kusimamisha uislamu katika jamii

Dini anayostahiki kufuata mwanadamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Kushika mwenendo wa kati "Na ushike mwenendo wa kati…." (31:19)

Mwenendo wa kati ni mwenendo ulioepukana na kibri na majivuno kwa upande mmoja na ulioepukkana na udhalili na unyonge kwa upande mwingine.

Soma Zaidi...
Aina za hadithi

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...