Zoezi la 5
Maswali mbalimbali kuhusu fiqih
Zoezi la 5.
- (a) Nini maana ya ‘ibada’?
(b) Orodhesha ibada maalumu kama ulivyojifunza.
2.“Sikuwaumba majini na watu ila wapate kuniabudu” (51:56).
Kwa kurejea aya hii, bainisha ni kwa vipi mwanaadamu anaweza kumuabudu Mwenyezi Mungu (s.w) katika kila kipengele cha maisha.
3.Ni upi uhusiano kati ya ibada maalumu na maisha ya kila siku?
4.Onesha upotofu juu ya dhana kwamba, ‘ibada maalumu ndio lengo kuu la kuumbwa mwanaadamu’.
5.Kwa kurejea aya ya Qur’an (3:190-191), fafanua namna ambavyo maumbile na viumbe mbali mbali vimeumbwa kumtumikia mwanaadamu ili afikie lengo la kuumbwa kwake.
6.Eleza kwa muhtasari, kwa nini waislamu katika jamii yako hawafikii lengo la kuumbwa kwao pamoja na kutekeleza ibada maalumu.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 Kitabu cha Afya π2 Simulizi za Hadithi Audio π3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) π4 Bongolite - Game zone - Play free game π5 ai web app π6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
Kushika mwenendo wa kati "Na ushike mwenendo wa katiβ¦." (31:19)
Mwenendo wa kati ni mwenendo ulioepukana na kibri na majivuno kwa upande mmoja na ulioepukkana na udhalili na unyonge kwa upande mwingine.
Soma Zaidi...