Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Uandishi wa Hadith Wakati wa Tabi’i Tabi’ina (wafuasi wa wafuasi wa
maswahaba, 201 – 300 A.H).
- Ni kipindi hiki wanazuoni sita walijitokeza waliokusanya na kuchambua kwa umakini mkubwa Hadith sahihi na kuziandika katika vitabu sita mashuhuri kama, “Sahihu Sitta” ambavyo ni;
- Ni kitabu cha Muhammad bin Ismail Abu Abdallah Al-Ju’fi – mashuhuri
kama Imam Bukhari wa mji wa Bukhara, Urusi (194 A.H/810 A.D – 256
A.H/870 A.D).
- Alikusanya Hadith 600,000 na kuhifadhi 200,000 na alihakiki na kuandika
Hadith 7,275 tu katika kitabu chake.
- Kitabu chake ndio namba moja kwa usahihi wa Hadith, mashuhuri kwa jina
la “Al-Jami’u Al-Sahihi” au “Sahihi Bukhari”.
- Ni kitabu cha Abu Husain Muslim bin Al-Hajjaj mashuhuri – Imam Muslim
wa mji wa Misabur, (202 A.H/818A.D – 261 A.H/875 A.D).
- Alikusanya Hadith 300,000 na alizohakiki na kuziandika katika kitabu chake
ni 9,200 tu.
- Kitabu chake ni namba mbili kwa usahihi wa Hadith, mashuhuri kwa jina la
“Sahihi Muslim”
- Ni kitabu cha hadith cha Imam Abu Daud (203 – 275 A.H).
- Alikusanya Hadith 500,000 na alizohakiki na kuziandika ni 4,800 katika
kitabu chake kiitwacho, “Sunan Abi Daud”.
- Ni kitabu cha Hadith cha Abu Isa Muhammad bin Issa bin Sarwa bin
Shaddad, mashuhuri kama Imam At-Tirmidh (209 – 279 A.H).
- Aliandika kitabu cha Hadith mashuhuri kwa jina la, “Jami’u”.
- Ni kitabu cha Hadith cha Muhammad bin Yazid – mashuhuri kwa jina la
Imam Ibn Majah (209 A.H – 295 A.H).
- Aliandika cha Hadith mashuhuri kama, “Sunanu Ibn Majah” au “Sunnah
Ibn Majah”.
- Ni kitabu cha Hadith cha Abu Abdur-Rahman Ahmad bin An-Nasai –
mashuhuri kwa jina la, Imam An-Nasai (214 – 303 A.H).
- Aliandika kitabu cha Hadith mashuhuri kama, “Sunan An-Nasai” au
“Sunnah An-Nasai”.
- Hadith za Bukhari na Muslim ndio daraja la kwanza kwa usahihi na za
Maimam Abu Daud, Tirmidh, Ibn Majah na An-Nasai ni daraja la pili kwa
usahihi.
Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa
Mwandhishi Tarehe 2022/01/08/Saturday - 12:18:49 am Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1240
Sababu za kutokea kwa saratani ya matiti
Saratani ya matiti ji moja kati ya saratani zinazosumbuwa wqnawake wengi. Katika somo hili utajifunza chanzo cha kutokea saratani ya matiti Soma Zaidi...
Dalilili za mimba Kuharibika
Kuharibika kwa mimba ni upotevu wa hiari wa ujauzito kabla ya wiki ya 20. Takriban asilimia 10 hadi 20 ya mimba zinazojulikana huisha kwa kuharibika kwa mimba. Lakini idadi halisi labda ni kubwa zaidi kwa sababu mimba nyingi hutokea mapema sana katika u Soma Zaidi...
Vyakula vya vitamin E
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin E Soma Zaidi...
Mafunzo yatokanayo na maandalizi ya mtume ki-wahay
Bara arabu zama za jahiliyyah (EDK form 2 dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...
Maandalizi ya hijrah ya mtume na waislamu kuhamia madinah
Bara arabu zama za jahiliyyah (EDK form 2 dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...
Huduma ya kwanza kwa mwenye jeraha linalotoa damu
Posti inahusu huduma ya kwanza kwa mwenye jeraha linalotoa damu.huduma ya kwanza Ni kumsaidia mtu alie pata jeraha au ajali kabla hajamwona dactari au kufika hospitalinia. Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula kungumanga/nutmeg
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kungumanga/nutmeg Soma Zaidi...
Namna ya kuzuia maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo, hizi ni njia ambazo zinapaswa kufuatwa ili kutokomeza kabisa maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo. Soma Zaidi...
Njia za kujilinda na kujikinga na UTI
Somo hili linakwenda kukuletea njia za kujilinda na kujikinga na UTI Soma Zaidi...
Maambukizi kwenye uume
Post hii inahusu zaidi maambukizi kwenye uume, maambukizi hata utokea kwenye kichwa Cha uume kwa kitaalamu huitwa Balanitis, zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa ugonjwa huu. Soma Zaidi...
Huduma ya kwanza kwa mwenye uchafu kwenye sikio.
Posti hii inaelezea kuhusiana na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kqa mgonjwa aliyeingiliwa na kitu au uchafu kwenye sikio. Soma Zaidi...
Shida ya kifua kubana inaweza kuwa dalili ya maambukizi ya ukimwi
Kubana kwa kifuwa ni katika hali ambazo si naweza kuhatarisha maisha. Huwenda kuwa ni miongoni mwa dalili za magonjwa mengi. Je unadhani na HIv na UKIMWI ni moja ya magonjwa hayo? Soma Zaidi...