Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Uandishi wa Hadith Wakati wa Tabi’i Tabi’ina (wafuasi wa wafuasi wa
maswahaba, 201 – 300 A.H).
- Ni kipindi hiki wanazuoni sita walijitokeza waliokusanya na kuchambua kwa umakini mkubwa Hadith sahihi na kuziandika katika vitabu sita mashuhuri kama, “Sahihu Sitta” ambavyo ni;
- Ni kitabu cha Muhammad bin Ismail Abu Abdallah Al-Ju’fi – mashuhuri
kama Imam Bukhari wa mji wa Bukhara, Urusi (194 A.H/810 A.D – 256
A.H/870 A.D).
- Alikusanya Hadith 600,000 na kuhifadhi 200,000 na alihakiki na kuandika
Hadith 7,275 tu katika kitabu chake.
- Kitabu chake ndio namba moja kwa usahihi wa Hadith, mashuhuri kwa jina
la “Al-Jami’u Al-Sahihi” au “Sahihi Bukhari”.
- Ni kitabu cha Abu Husain Muslim bin Al-Hajjaj mashuhuri – Imam Muslim
wa mji wa Misabur, (202 A.H/818A.D – 261 A.H/875 A.D).
- Alikusanya Hadith 300,000 na alizohakiki na kuziandika katika kitabu chake
ni 9,200 tu.
- Kitabu chake ni namba mbili kwa usahihi wa Hadith, mashuhuri kwa jina la
“Sahihi Muslim”
- Ni kitabu cha hadith cha Imam Abu Daud (203 – 275 A.H).
- Alikusanya Hadith 500,000 na alizohakiki na kuziandika ni 4,800 katika
kitabu chake kiitwacho, “Sunan Abi Daud”.
- Ni kitabu cha Hadith cha Abu Isa Muhammad bin Issa bin Sarwa bin
Shaddad, mashuhuri kama Imam At-Tirmidh (209 – 279 A.H).
- Aliandika kitabu cha Hadith mashuhuri kwa jina la, “Jami’u”.
- Ni kitabu cha Hadith cha Muhammad bin Yazid – mashuhuri kwa jina la
Imam Ibn Majah (209 A.H – 295 A.H).
- Aliandika cha Hadith mashuhuri kama, “Sunanu Ibn Majah” au “Sunnah
Ibn Majah”.
- Ni kitabu cha Hadith cha Abu Abdur-Rahman Ahmad bin An-Nasai –
mashuhuri kwa jina la, Imam An-Nasai (214 – 303 A.H).
- Aliandika kitabu cha Hadith mashuhuri kama, “Sunan An-Nasai” au
“Sunnah An-Nasai”.
- Hadith za Bukhari na Muslim ndio daraja la kwanza kwa usahihi na za
Maimam Abu Daud, Tirmidh, Ibn Majah na An-Nasai ni daraja la pili kwa
usahihi.
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu
Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF
Share On
Facebook
or
Whatsapp
Imesomwa mara 1466
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi
👉2 Madrasa kiganjani
👉3 Kitabu cha Afya
👉4 Kitau cha Fiqh
HADITHI YA MZEE WA KWANZA NA MBUZI
Download kitabu Hiki Bofya hapa HADITHI YA MZEE WA KWANZA NA MBUZI WAKE. Soma Zaidi...
Epuka kukata tamaa, na yajuwe madhara ya kukata tamaa
37. Soma Zaidi...
Ukarimu na Sifa za kuwa Mkarimu na faida zake
30. Soma Zaidi...
Assalam Baada yakufariki wazazi wake mtume alilelewa nanani???
Mtume Muhammad s.a.w amezaliwa yatima asiyena baba. Lakini hii haikumfanya asipate maelezo bora yaliyo mazuri. Je unajuwa aliyemlea baada ya kufariki kwa mama yake?. Soma Zaidi...
KULA HALALI NA ZILICHO KIZURI NI AMRI KATIKA UISLAMU
عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ قَالَ: قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم "إنَّ اللَّهَ طَيِّبٌ لَا يَقْبَلُ إلَّا طَي... Soma Zaidi...
Aina za hadithi
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...
(ix)Wenye kuhifadhi swala
Waumini wa kweli waliofuzu huhifadhi swala kwa kutekeleza kwa ukamilifu shuruti zote za swala nguzo zote za swala na huswali kama alivyoswali Mtume (s. Soma Zaidi...
Faida za kuwa na Huruma Kwenye Uislamu
23. Soma Zaidi...
DARSA LA KUJIFUNZA KUHUSU QURAN NA SUNNAH
Soma Zaidi...
Kitabu Cha Darsa za dua
Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet. Soma Zaidi...