image

Uandishi wa hadithi wakati wa tabii tabiina

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Uandishi wa Hadith Wakati wa Tabi’i Tabi’ina (wafuasi wa wafuasi wa   

       maswahaba, 201 – 300 A.H).

 

 

 

  1. Tabia na mwenendo wa kila msimulizi (mpokezi) wa Hadith hiyo.
  2. Usahihi wa Matin ya Hadith hiyo.

 

      -    Ni kipindi hiki wanazuoni sita walijitokeza waliokusanya na kuchambua kwa umakini mkubwa Hadith sahihi na kuziandika katika vitabu sita mashuhuri kama, “Sahihu Sitta” ambavyo ni;

 

  1.   Sahihi Al-Bukhari.

          -  Ni kitabu cha Muhammad bin Ismail Abu Abdallah Al-Ju’fi – mashuhuri  

              kama Imam Bukhari wa mji wa Bukhara, Urusi (194 A.H/810 A.D – 256

              A.H/870 A.D).

 

          -  Alikusanya Hadith 600,000 na kuhifadhi 200,000 na alihakiki na kuandika

              Hadith 7,275 tu katika kitabu chake. 

           

          -  Kitabu chake ndio namba moja kwa usahihi wa Hadith, mashuhuri kwa jina 

              la “Al-Jami’u Al-Sahihi” au “Sahihi Bukhari”. 

 

  1.   Sahihi Muslim.

-  Ni kitabu cha Abu Husain Muslim bin Al-Hajjaj mashuhuri – Imam Muslim 

    wa mji wa Misabur, (202 A.H/818A.D – 261 A.H/875 A.D).

 

          -  Alikusanya Hadith 300,000 na alizohakiki na kuziandika katika kitabu chake 

              ni 9,200 tu.

 

          -  Kitabu chake ni namba mbili kwa usahihi wa Hadith, mashuhuri kwa jina la 

            “Sahihi Muslim”

 

  1.   Sunan Abu Daud.

          -  Ni kitabu cha hadith cha Imam Abu Daud (203 – 275 A.H).

          -  Alikusanya Hadith 500,000 na alizohakiki na kuziandika ni 4,800 katika 

                                 kitabu chake kiitwacho, “Sunan Abi Daud”.    

 

  1.   Jami’u at-Tirmidh.

-  Ni kitabu cha Hadith cha Abu Isa Muhammad bin Issa bin Sarwa bin 

    Shaddad, mashuhuri kama Imam At-Tirmidh (209 – 279 A.H).

-  Aliandika kitabu cha Hadith mashuhuri kwa jina la, “Jami’u”.

 

  1.   Sunnah (Sunan) Ibn Majah.

-  Ni kitabu cha Hadith cha Muhammad bin Yazid – mashuhuri kwa jina la 

    Imam Ibn Majah (209 A.H – 295 A.H).

-  Aliandika cha Hadith mashuhuri kama, “Sunanu Ibn Majah” au “Sunnah 

    Ibn Majah”.

 

  1.   Sunnah (Sunan) An-Nasai.

-  Ni kitabu cha Hadith cha Abu Abdur-Rahman Ahmad bin An-Nasai – 

   mashuhuri kwa jina la, Imam An-Nasai (214 – 303 A.H). 

-  Aliandika kitabu cha Hadith mashuhuri kama, “Sunan An-Nasai” au 

   “Sunnah An-Nasai”.

 

        -  Hadith za Bukhari na Muslim ndio daraja la kwanza kwa usahihi na za 

            Maimam Abu Daud, Tirmidh, Ibn Majah na An-Nasai ni daraja la pili kwa 

                             usahihi.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Jifunze Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1639


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Simulizi za Hadithi Audio     👉5 Kitau cha Fiqh     👉6 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

nini maana ya Unafiki na sifa za unafiki katika quran na sunnah
Mnafiki ni yule anayeukubali Uislamu mdomoni (kwa kauli tu) lakini moyoni mwake na katika matendo yake anaukanusha. Soma Zaidi...

DARSA ZA DINI YA KIISLAMU KAMA QURAN, FIQH, SIRA, AFYA, TAJWID NA TAFSIR ZA QURAN
Soma Zaidi...

viapo
20. Soma Zaidi...

(xvi)Huepuka ugomvi na mabishano
Waumini wa kweli huepuka kabisa tabia ya ugomvi na mabishano. Soma Zaidi...

Nini maana ya kutosheka na faida za kutosheka
32. Soma Zaidi...

Uandishi wa hadithi wakati wa tabii tabiina
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Kujiepusha na Chuki na Uadui
26. Soma Zaidi...

Je wajuwa kuwa jua hujizungurusha kwenye mhimili wake?
Tulipokuwa shule tulisoma kuwa jua halizunguruki, ila dunia ndio huzunguka jua. Soma Zaidi...

Epuka kuwa muoga na yajue madhara ya uwoga
36. Soma Zaidi...

VITABU VYA DINI
Soma Zaidi...

Faida za Kuwa mwenye Subira na Uvumilivu
29. Soma Zaidi...

jamii somo la 32
Soma Zaidi...