Fadhila za kujenga msikiti

Kuna malipo makubwa kwa ambaye amejenga msikiti kwa ajili ya kuoatavradhi za Allah.

 ู…ูŽู†ู’ ุจูŽู†ูŽู‰ ู…ูŽุณู’ุฌูุฏู‹ุง ูŠูุฐู’ูƒูŽุฑู ูููŠู‡ู ุงุณู’ู…ู ุงู„ู„ู‘ูŽู‡ู ุจูŽู†ูŽู‰ ุงู„ู„ู‘ูŽู‡ู ู„ูŽู‡ู ุจูŽูŠู’ุชู‹ุง ูููŠ ุงู„ู’ุฌูŽู†ู‘ูŽุฉู 

 

Amesema Mtume Muhammad SAW kuwa "mwenye kujenga msikiti ili litajwe jina la Mwenyezi Mungu basi Mwenezi Mungu atamjengea mtu huyo nyumba ya peponi. โ€‹โ€‹โ€‹โ€‹โ€‹โ€‹

Imepokewa na Ibn Majah kutoka kwa Umar Ibn alkhattab

 

Fadhila hizi hatazioata tu yule aliyetoa pesa za kujengwa ila hatavwalioshirikibkwa sadaka zao ama kushiriki kwa namna yeyote ile ila iwe ni kwa ajili ya Allah na si kwa ajili ya kutaka sifa. 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jifunze Main: Dini File: Download PDF Views 2254

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    ๐Ÿ‘‰2 Madrasa kiganjani    ๐Ÿ‘‰3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    ๐Ÿ‘‰4 Simulizi za Hadithi Audio    ๐Ÿ‘‰5 Bongolite - Game zone - Play free game    ๐Ÿ‘‰6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana: