picha

Fadhila za kujenga msikiti

Kuna malipo makubwa kwa ambaye amejenga msikiti kwa ajili ya kuoatavradhi za Allah.

 مَنْ بَنَى مَسْجِدًا يُذْكَرُ فِيهِ اسْمُ اللَّهِ بَنَى اللَّهُ لَهُ بَيْتًا فِي الْجَنَّةِ 

 

Amesema Mtume Muhammad SAW kuwa "mwenye kujenga msikiti ili litajwe jina la Mwenyezi Mungu basi Mwenezi Mungu atamjengea mtu huyo nyumba ya peponi. ​​​​​​

Imepokewa na Ibn Majah kutoka kwa Umar Ibn alkhattab

 

Fadhila hizi hatazioata tu yule aliyetoa pesa za kujengwa ila hatavwalioshirikibkwa sadaka zao ama kushiriki kwa namna yeyote ile ila iwe ni kwa ajili ya Allah na si kwa ajili ya kutaka sifa. 

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Jifunze Main: Post File: Download PDF Views 2795

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉2 web hosting     👉3 ai web app     👉4 Kitau cha Fiqh     👉5 kitabu cha Simulizi     👉6 Dua za Mitume na Manabii    

Post zinazofanana:

Uandishi wa hadithi wakati wa maswahaba wa mtume (s.a.w)

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Uhakiki wa hadithi za mtume

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Zoezi la 3

Kipengele hichi kina maswali mbalimbali kuhusiana na dini na mitazamo mbalimbali.

Soma Zaidi...
(x)Wenye kuepuka lagh-wi

Waumini wa kweli waliofuzu hujiepusha na Lagh-wi.

Soma Zaidi...