(vii)Hufanya bias hara na Allah (s.
(vii)Hufanya bias hara na Allah (s.w)
Wanafanya jitihada za makusudi kwa kutumia mali zao na kujitoa muhanga nafsi zao ili kuhakikisha kuwa dini ya Allah inasimama katika jamii.
Yaani wanajitahidi kwa jitihada zao zote ili kuzifanya sharia za Allah (s.w) ziwe ndizo zinazotawala harakati zote za maisha ya jamii.
Pia sifa za Waumini zinabainishwa katika Suratul-Muuminuun kama aya zifuatavyo:Hakika wamefuzu Waumini ambao katika swala zao huwa wanyenyekevu.(23:1-2)Na ambao hujiepusha na Lagh-wi (mambo ya upuuzi).
Na ambao Zaka wanaitekeleza.(23:3-4)Na ambao tupu zao wanazihifadhi isipokuwa kwa wake zao au kwa (wanawake) wale iliyomiliki mikono yao ya kuume. Basi hao ndio wasiolaumiwa.(23:5-6)Lakini anayetaka kinyume cha haya, basi hao ndio warukao mipaka.
Na ambao amana zao na ahadi zao w anaziangalia (23:7-8).Na ambao swala zao wanazihifadhi. Hao ndio w a rith i(2 3:9-10).Ambao watarithi Firdaus (Pepo ya daraja ya juu) wakae humo milele. (23:11)
Kutokana na aya hizi tunajifunza kuwa waumini wa kweli waliofuzu na watakaostahiki kupata pepo ya Firdaus, ya daraja ya juu kabisa ni wale wanaojipamba na sifa zifuatazo:
Umeionaje Makala hii.. ?
Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.
Soma Zaidi...Waumini wa kweli waliofuzu huwa na khushui (unyenyekevu) katika swala.
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukutajia majina ya vijana saba wa pangoni
Soma Zaidi...2; mbegu ya uhai uliyo changanyikaUmbile la mwanadamu limepitia hatua nyingi sana kama tutakavyoendelea mbele kuonalakini ukiachilia mbali na hatua zote alizopitia mwanadamu wakati wa kuumbwa lakiniumbile la mwanadamu bado limebakia kuwa dhalili kama ALLA
Soma Zaidi...Dini anayostahiki kufuata mwanadamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...