KULA HALALI NA ZILICHO KIZURI NI AMRI KATIKA UISLAMU

KULA HALALI NA ZILICHO KIZURI NI AMRI KATIKA UISLAMU

عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ قَالَ: قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم "إنَّ اللَّهَ طَيِّبٌ لَا يَقْبَلُ إلَّا طَي...

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

KULA HALALI NA ZILICHO KIZURI NI AMRI KATIKA UISLAMU

HADITHI YA 10

عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ قَالَ: قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم "إنَّ اللَّهَ طَيِّبٌ لَا يَقْبَلُ إلَّا طَيِّبًا، وَإِنَّ اللَّهَ أَمَرَ الْمُؤْمِنِينَ بِمَا أَمَرَ بِهِ الْمُرْسَلِينَ فَقَالَ تَعَالَى: "يَا أَيُّهَا الرُّسُلُ كُلُوا مِنْ الطَّيِّبَاتِ وَاعْمَلُوا صَالِحًا"، وَقَالَ تَعَالَى: "يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا كُلُوا مِنْ طَيِّبَاتِ مَا رَزَقْنَاكُمْ" ثُمَّ ذَكَرَ الرَّجُلَ يُطِيلُ السَّفَرَ أَشْعَثَ أَغْبَرَ يَمُدُّ يَدَيْهِ إلَى السَّمَاءِ: يَا رَبِّ! يَا رَبِّ! وَمَطْعَمُهُ حَرَامٌ، وَمَشْرَبُهُ حَرَامٌ، وَمَلْبَسُهُ حَرَامٌ، وَغُذِّيَ بِالْحَرَامِ، فَأَنَّى يُسْتَجَابُ لَهُ؟".
[رَوَاهُ مُسْلِمٌ]

Kwa mapokezi ya Abu Hurayrah (ra):
Mjumbe wa Mwenyezi Mungu ((s.a.w)) Amesema, "Mwenyezi Mungu Mtukufu ni Mzuri na anakubali mambo mazuri (mema). Na hakika Mwenyezi Mungu amewaamrisha waumini kufanya yale ambayo Amewaamuru Mitume.

Kwani Mwenyezi Amesema: "Enyi Mitume! Kuleni kila vyakula vizurit [kila aina ya vyakula halal (kisheria)], na fanya matendo mema. "[23:51] na Mwenyezi Amesema:" Enyi mlio amini! Kuleni vitu vilivyo vizuri (halali) ambavyo tumekupeni.

Kisha akataja habari ya Mtu mmoja ambaye alikuwa yupo safarini, safari ndefu akiwa manywele yapo timtim amechafuka mavumbi akavyoosha mikono yake angani kuomba dua akisema "Ewe Bwana! Ee Mola! ”Wakati chakula chake ni haram (kisicho halali), kinywaji chake ni haram, mavazi yake ni haram, na amelelewa na chakula kilicho haram, kwa hivyo [dua yake] inawezaje kujibiwa? [Muslim]


                   

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jifunze Main: Dini File: Download PDF Views 631

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

quran na sayansi
quran na sayansi

QURANI KATIKA ZAMA ZA SAYANSI NA TEKNOLOJIAAsalaalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh.

Soma Zaidi...
Assalam Baada yakufariki wazazi wake mtume alilelewa nanani???
Assalam Baada yakufariki wazazi wake mtume alilelewa nanani???

Mtume Muhammad s.a.w amezaliwa yatima asiyena baba. Lakini hii haikumfanya asipate maelezo bora yaliyo mazuri. Je unajuwa aliyemlea baada ya kufariki kwa mama yake?.

Soma Zaidi...
(xiii)Huwa muaminifu
(xiii)Huwa muaminifu

Waumini wa kweli waliofuzu huchunga amana.

Soma Zaidi...
quran na sayansi
quran na sayansi

2:UUMBWAJI KWA MAJI YA UZAZIUumbwaji wa mwanadamu umepitia hatua mbalimbali na haya yote yamefanywa kwa sababumaalumu ili tipate mazingatio.

Soma Zaidi...
jamii somo la 26
jamii somo la 26

(vii)Hufanya bias hara na Allah (s.

Soma Zaidi...
Aina za hadithi
Aina za hadithi

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...