jamii zoezi

Zoezi 2:1 1.

Zoezi 2:1 1.

Zoezi 2:1 1.

Allah (s.w) hatumuoni kwa macho lakini tunamuona kwa akili zetu kwa


2. β€œKatika kuumbwa mbingu na ardhi na mfuatano wa usiku na mchana, ziko alama (hoja) za kuonyesha kuwepo Allah (a.w) kwa wenye akili.” (3:190).


Ainisha alama kumi (10) zilizo katika maumbile ya mbinguni na ardhini zinazothibitisha kuwepo Allah (s.w).


3.β€œ... Na katika nafsi zenu (pia zimo ishara hizo), Je, hamuoni?” (51:20-22) Orodhesha dalili kumi (10) katika nafsi ya mwanaadamu zinazothibitisha kuwepo Allah (s.w)


. 4.Kwa kurejea kisa cha watu wa tembo (As-habul-fyl) kilichosimuliwa katika Suratul-fyl (1 05:1 -5) thibitisha kuwepo kwa Allah (s.w).


5.Taja mambo saba (7) katika maisha ya Mitume yanayothibitisha kuwepo kwa Allah (s.w).


6.Taja dalili tatu (3) katika mafundisho ya Mitume zinazothibitisha kuwepo Allah (s.w).


7.Katika Qur-an na Hadithi sahihi tumefahamishwa sifa (majina) mbali mbali za Allah (s.w) ili 8.Eleza kwa muhutasari ni vipi Allah (s.w) hushirikishwa katika: (a) Dhati yake.


(b) Sifa zake.


(c) Hukumu zake.


(d) Mamlaka yake.


9.Kina cha uovu wa shirk kinabainishwa katika Qur-an kuwa: (a) (b) (c) 10.Allah (s.w) ameikemea vikali shirk kwa sababu ..................................... * *** *** *** *** * *




                   


Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jifunze Main: Dini File: Download PDF Views 675

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
πŸ‘‰1 Dua za Mitume na Manabii    πŸ‘‰2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    πŸ‘‰3 kitabu cha Simulizi    πŸ‘‰4 Simulizi za Hadithi Audio    πŸ‘‰5 Kitau cha Fiqh    πŸ‘‰6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Kitabu Cha Darsa za Funga

Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.

Soma Zaidi...
Kitabu Cha Dua 120

Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.

Soma Zaidi...
quran na sayansi

QURANI KATIKA ZAMA ZA SAYANSI NA TEKNOLOJIAAsalaalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh.

Soma Zaidi...
Mawaidha Kutokwa kwa Shekhe

Karibu kwenye Darsa za mawaidha na Mafundisho ya dini.

Soma Zaidi...
Kitabu Cha Darsa za dua

Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.

Soma Zaidi...