image

jamii zoezi

Zoezi 2:1 1.

Zoezi 2:1 1.

Zoezi 2:1 1.

Allah (s.w) hatumuoni kwa macho lakini tunamuona kwa akili zetu kwa


2. “Katika kuumbwa mbingu na ardhi na mfuatano wa usiku na mchana, ziko alama (hoja) za kuonyesha kuwepo Allah (a.w) kwa wenye akili.” (3:190).


Ainisha alama kumi (10) zilizo katika maumbile ya mbinguni na ardhini zinazothibitisha kuwepo Allah (s.w).


3.“... Na katika nafsi zenu (pia zimo ishara hizo), Je, hamuoni?” (51:20-22) Orodhesha dalili kumi (10) katika nafsi ya mwanaadamu zinazothibitisha kuwepo Allah (s.w)


. 4.Kwa kurejea kisa cha watu wa tembo (As-habul-fyl) kilichosimuliwa katika Suratul-fyl (1 05:1 -5) thibitisha kuwepo kwa Allah (s.w).


5.Taja mambo saba (7) katika maisha ya Mitume yanayothibitisha kuwepo kwa Allah (s.w).


6.Taja dalili tatu (3) katika mafundisho ya Mitume zinazothibitisha kuwepo Allah (s.w).


7.Katika Qur-an na Hadithi sahihi tumefahamishwa sifa (majina) mbali mbali za Allah (s.w) ili 8.Eleza kwa muhutasari ni vipi Allah (s.w) hushirikishwa katika: (a) Dhati yake.


(b) Sifa zake.


(c) Hukumu zake.


(d) Mamlaka yake.


9.Kina cha uovu wa shirk kinabainishwa katika Qur-an kuwa: (a) (b) (c) 10.Allah (s.w) ameikemea vikali shirk kwa sababu ..................................... * *** *** *** *** * *




                   




           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2018-08-01     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 72


Download our Apps
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Uhakiki wa hadithi za mtume
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Elimu
Uwanja wa elimu na maarifa Soma Zaidi...

Zoezi 2:2
Soma Zaidi...

Epuka kuwa muoga na yajue madhara ya uwoga
36. Soma Zaidi...

(xi)Hutoa Zakat na Sadakat
Waumini wa kweli waliofuzu hutoa Zakat wakiwa na mali na hutoa misaada na huduma waziwezazo kwa wanaadamu wenziwe kwa kadiri ya haja ilivyojitokeza. Soma Zaidi...

Mtazamo wa Uislamu juu ya usawa kati ya mwanaume na mwanamke
Soma Zaidi...

Uandishi wa hadithi wakati wa maswahaba wa mtume (s.a.w)
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Mawaidha Kutokwa kwa Shekhe
Karibu kwenye Darsa za mawaidha na Mafundisho ya dini. Soma Zaidi...

(viii)Wenye khushui katika swala
Waumini wa kweli waliofuzu huwa na khushui (unyenyekevu) katika swala. Soma Zaidi...

Uandishi wa hadithi wakati wa tabiina (wafuasi wa maswahaba)
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

HUYU NDIYE MUUMINI WA KWELI KATIKA UISLAMU
عَنْ أَبِي حَمْزَةَ أَنَسِ بْنِ مَالِكٍ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ خَادِمِ رَسُولِ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم عَنْ النَّبِيِّ صلى الله عليه ?... Soma Zaidi...

Iv shekh haifai kufunga kwa nia utimize jambo labda kuna kitu unakitaka kwhy unaamua kugunga ili kama kuzidisha maombi kwa mungu jambo lifanikiwe
Ibada yavfubga ni katika ibadavanbazo hufanya nakaribia dini zote kubwa. Ibada hii imekuwaikikabiliw na naswlo mengi. Soma Zaidi...