Zoezi 2:1 1.
Zoezi 2:1 1.
Allah (s.w) hatumuoni kwa macho lakini tunamuona kwa akili zetu kwa
2. โKatika kuumbwa mbingu na ardhi na mfuatano wa usiku na mchana, ziko alama (hoja) za kuonyesha kuwepo Allah (a.w) kwa wenye akili.โ (3:190).
Ainisha alama kumi (10) zilizo katika maumbile ya mbinguni na ardhini zinazothibitisha kuwepo Allah (s.w).
3.โ... Na katika nafsi zenu (pia zimo ishara hizo), Je, hamuoni?โ (51:20-22) Orodhesha dalili kumi (10) katika nafsi ya mwanaadamu zinazothibitisha kuwepo Allah (s.w)
. 4.Kwa kurejea kisa cha watu wa tembo (As-habul-fyl) kilichosimuliwa katika Suratul-fyl (1 05:1 -5) thibitisha kuwepo kwa Allah (s.w).
5.Taja mambo saba (7) katika maisha ya Mitume yanayothibitisha kuwepo kwa Allah (s.w).
6.Taja dalili tatu (3) katika mafundisho ya Mitume zinazothibitisha kuwepo Allah (s.w).
7.Katika Qur-an na Hadithi sahihi tumefahamishwa sifa (majina) mbali mbali za Allah (s.w) ili 8.Eleza kwa muhutasari ni vipi Allah (s.w) hushirikishwa katika: (a) Dhati yake.
(b) Sifa zake.
(c) Hukumu zake.
(d) Mamlaka yake.
9.Kina cha uovu wa shirk kinabainishwa katika Qur-an kuwa: (a) (b) (c) 10.Allah (s.w) ameikemea vikali shirk kwa sababu ..................................... * *** *** *** *** * *
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Jifunze Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 324
Sponsored links
๐1
Madrasa kiganjani
๐2
Kitabu cha Afya
๐3
Kitau cha Fiqh
๐4
Simulizi za Hadithi Audio
๐5
kitabu cha Simulizi
๐6
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Sifa za wanafiki zilizotajwa katika surat Al-Imran
Na kuwapambanua wale waliokuwa wanafiki. Soma Zaidi...
Kuepuka mabishano na madhara ya kugombana
16. Soma Zaidi...
HUYU NDIYE MUUMINI WA KWELI KATIKA UISLAMU
ุนููู ุฃูุจูู ุญูู
ูุฒูุฉู ุฃูููุณู ุจููู ู
ูุงูููู ุฑูุถููู ุงูููู ุนููููู ุฎูุงุฏูู
ู ุฑูุณูููู ุงูููููู ุตูู ุงููู ุนููู ู ุณูู
ุนููู ุงููููุจูููู ุตูู ุงููู ุนููู ?... Soma Zaidi...
jamii somo la 35
Hutekeleza ahadi zao wanapoahidiana na wanaadamu wenziwao maadamu ni katika mipaka ya Allah (s. Soma Zaidi...
Kwanini Ni muhimu kusimamisha uislamu katika jamii
Dini anayostahiki kufuata mwanadamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...
(ix)Wenye kuhifadhi swala
Waumini wa kweli waliofuzu huhifadhi swala kwa kutekeleza kwa ukamilifu shuruti zote za swala nguzo zote za swala na huswali kama alivyoswali Mtume (s. Soma Zaidi...
(x)Wenye kuepuka lagh-wi
Waumini wa kweli waliofuzu hujiepusha na Lagh-wi. Soma Zaidi...
KULA HALALI NA ZILICHO KIZURI NI AMRI KATIKA UISLAMU
ุนููู ุฃูุจูู ููุฑูููุฑูุฉู ุฑูุถููู ุงูููู ุนููููู ููุงูู: ููุงูู ุฑูุณูููู ุงูููููู ุตูู ุงููู ุนููู ู ุณูู
"ุฅููู ุงูููููู ุทููููุจู ููุง ููููุจููู ุฅูููุง ุทูู... Soma Zaidi...
Epuka kuwa muoga na yajue madhara ya uwoga
36. Soma Zaidi...
DARSA LA KUJIFUNZA KUHUSU QURAN NA SUNNAH
Soma Zaidi...