Zoezi la 1 (a) Ainisha maana ya sunnah kilugha na kisheria.
Zoezi la
1 (a) Ainisha maana ya sunnah kilugha na kisheria.
(b) Ainisha maana ya Hadith kilugha na Kisheria.
(c) Kiutendaji kufuata sunnah ya Mtume (s.a.w) ni kufanya yafuatayo:
(i)___________________
(ii)___________________.
(iii)__________________
(iv)___________________.
2. (a) Kazi ya uandishi wa Hadith mpaka kupata vitabu sita sahihi vinavyotegemewa na Waislamu, imepitiwa na vipindi vine vya historia vifuatavyo:
(i)________________.
(ii)________________.
(iii)________________.
(iv)________________.
(b) Taja sababu nne zilizopelekea uandishi wa Hadith usishamiri wakati wa Mtume (s.a.w).
3. (a) Isnad ya Hadith ni _______________________________
(b) Matin ya Hadith ni _______________________________
(c) Nukuu Hadith yoyote kisha uoneshe Isnad na Matini ya Hadith hiyo.
(d) Matin ya Hadith itakuwa sahihi iwapo itatekeleza masharti yafutayo:
(i) ______________
(ii) ______________.
(iii) ______________
(iv) ______________.
(v) ______________
4. Toa maelezo mafupi juu ya:
(a) Hadtih Nabawiyyi.
(d) Hadith Mutawatir.
(b) Hadith Dhaifu.
(e) Hadith Qudusiyyi.
(c) Hadith Maudhuu.
Umeionaje Makala hii.. ?
Ibada yavfubga ni katika ibadavanbazo hufanya nakaribia dini zote kubwa. Ibada hii imekuwaikikabiliw na naswlo mengi.
Soma Zaidi...2; mbegu ya uhai uliyo changanyikaUmbile la mwanadamu limepitia hatua nyingi sana kama tutakavyoendelea mbele kuonalakini ukiachilia mbali na hatua zote alizopitia mwanadamu wakati wa kuumbwa lakiniumbile la mwanadamu bado limebakia kuwa dhalili kama ALLA
Soma Zaidi...Kipengele hichi kina maswali mbalimbali kuhusiana na dini na mitazamo mbalimbali.
Soma Zaidi...Dini anayostahiki kufuata mwanadamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...