picha

ZOEZI

Zoezi la 1 (a) Ainisha maana ya sunnah kilugha na kisheria.

ZOEZI

Zoezi la 
1 (a) Ainisha maana ya sunnah kilugha na kisheria.
(b) Ainisha maana ya Hadith kilugha na Kisheria.
(c) Kiutendaji kufuata sunnah ya Mtume (s.a.w) ni kufanya yafuatayo:
(i)___________________
(ii)___________________.
(iii)__________________
(iv)___________________.

2. (a) Kazi ya uandishi wa Hadith mpaka kupata vitabu sita sahihi vinavyotegemewa na Waislamu, imepitiwa na vipindi vine vya historia vifuatavyo:
(i)________________. 
(ii)________________.
(iii)________________.
(iv)________________.

(b) Taja sababu nne zilizopelekea uandishi wa Hadith usishamiri wakati wa Mtume (s.a.w).

3. (a) Isnad ya Hadith ni _______________________________
(b) Matin ya Hadith ni _______________________________
(c) Nukuu Hadith yoyote kisha uoneshe Isnad na Matini ya Hadith hiyo.
(d) Matin ya Hadith itakuwa sahihi iwapo itatekeleza masharti yafutayo:
(i) ______________ 
(ii) ______________.
(iii) ______________
(iv) ______________.
(v) ______________

4. Toa maelezo mafupi juu ya:
(a) Hadtih Nabawiyyi.
(d) Hadith Mutawatir.
(b) Hadith Dhaifu. 
(e) Hadith Qudusiyyi.
(c) Hadith Maudhuu.


                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2018-08-01 Topic: Jifunze Main: Dini File: Download PDF Views 1044

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

(x)Wenye kuepuka lagh-wi

Waumini wa kweli waliofuzu hujiepusha na Lagh-wi.

Soma Zaidi...
Aina za hadithi

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Elimu

Uwanja wa elimu na maarifa

Soma Zaidi...
Husimamisha swala

Husimamisha swala katika maisha yao yote.

Soma Zaidi...
(viii)Wenye khushui katika swala

Waumini wa kweli waliofuzu huwa na khushui (unyenyekevu) katika swala.

Soma Zaidi...
Maswali juu ya hadithi

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya)

Soma Zaidi...