Zoezi la 1 (a) Ainisha maana ya sunnah kilugha na kisheria.
Zoezi la
1 (a) Ainisha maana ya sunnah kilugha na kisheria.
(b) Ainisha maana ya Hadith kilugha na Kisheria.
(c) Kiutendaji kufuata sunnah ya Mtume (s.a.w) ni kufanya yafuatayo:
(i)___________________
(ii)___________________.
(iii)__________________
(iv)___________________.
2. (a) Kazi ya uandishi wa Hadith mpaka kupata vitabu sita sahihi vinavyotegemewa na Waislamu, imepitiwa na vipindi vine vya historia vifuatavyo:
(i)________________.
(ii)________________.
(iii)________________.
(iv)________________.
(b) Taja sababu nne zilizopelekea uandishi wa Hadith usishamiri wakati wa Mtume (s.a.w).
3. (a) Isnad ya Hadith ni _______________________________
(b) Matin ya Hadith ni _______________________________
(c) Nukuu Hadith yoyote kisha uoneshe Isnad na Matini ya Hadith hiyo.
(d) Matin ya Hadith itakuwa sahihi iwapo itatekeleza masharti yafutayo:
(i) ______________
(ii) ______________.
(iii) ______________
(iv) ______________.
(v) ______________
4. Toa maelezo mafupi juu ya:
(a) Hadtih Nabawiyyi.
(d) Hadith Mutawatir.
(b) Hadith Dhaifu.
(e) Hadith Qudusiyyi.
(c) Hadith Maudhuu.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Mtume Muhammad s.a.w amezaliwa yatima asiyena baba. Lakini hii haikumfanya asipate maelezo bora yaliyo mazuri. Je unajuwa aliyemlea baada ya kufariki kwa mama yake?.
Soma Zaidi...2:UUMBWAJI KWA MAJI YA UZAZIUumbwaji wa mwanadamu umepitia hatua mbalimbali na haya yote yamefanywa kwa sababumaalumu ili tipate mazingatio.
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukutajia majina ya vijana saba wa pangoni
Soma Zaidi...Wakati wa Wafuasi wa masahaba (Tabi'ina)101-200 A.
Soma Zaidi...Na kuwapambanua wale waliokuwa wanafiki.
Soma Zaidi...