ZOEZI

ZOEZI

Zoezi la 1 (a) Ainisha maana ya sunnah kilugha na kisheria.

Download Post hii hapa

ZOEZI

Zoezi la 
1 (a) Ainisha maana ya sunnah kilugha na kisheria.
(b) Ainisha maana ya Hadith kilugha na Kisheria.
(c) Kiutendaji kufuata sunnah ya Mtume (s.a.w) ni kufanya yafuatayo:
(i)___________________
(ii)___________________.
(iii)__________________
(iv)___________________.

2. (a) Kazi ya uandishi wa Hadith mpaka kupata vitabu sita sahihi vinavyotegemewa na Waislamu, imepitiwa na vipindi vine vya historia vifuatavyo:
(i)________________. 
(ii)________________.
(iii)________________.
(iv)________________.

(b) Taja sababu nne zilizopelekea uandishi wa Hadith usishamiri wakati wa Mtume (s.a.w).

3. (a) Isnad ya Hadith ni _______________________________
(b) Matin ya Hadith ni _______________________________
(c) Nukuu Hadith yoyote kisha uoneshe Isnad na Matini ya Hadith hiyo.
(d) Matin ya Hadith itakuwa sahihi iwapo itatekeleza masharti yafutayo:
(i) ______________ 
(ii) ______________.
(iii) ______________
(iv) ______________.
(v) ______________

4. Toa maelezo mafupi juu ya:
(a) Hadtih Nabawiyyi.
(d) Hadith Mutawatir.
(b) Hadith Dhaifu. 
(e) Hadith Qudusiyyi.
(c) Hadith Maudhuu.


                   

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jifunze Main: Dini File: Download PDF Views 721

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana: