swali langu nikwamba Mimi nimeolewa make wa pili nimeishi ndaniya ndoa miaka 22 mume akafikwa na mauti je ninahaki ya kupata mirathi?
Ni ipi haki ya mwanamke kwenye mirathi endapo atafiwa na mume wake, ilihali yeye ni mke wa pili?
🕋 Swali:
swali langu nikwamba Mimi nimeolewa make wa pili nimeishi ndaniya ndoa miaka 22 mume akafikwa na mauti je ninahaki ya kupata mirathi?🕋
👉Jibu
🕋🕋Katika uislamu mirathi ni haki ya wenye kurithi. Na inatakiwa mirathivigawanywe haraka iwezekanapo baada ya kumaliza mazishi.
👉 warithi wa marehemu ni pamoja na watoto, wakr, na wazazi wake yaani baba na mama. Endapo hawa watakosekana sheria itaangaliwa mpaka wapatikane wa kurithi.
👉 Bila ya kujali marehemu ana watoto wangapi na wake wangapi. Kila mmoja anatakiwa apate hakivyake yavkurithi maadamvyupo kwenue sheria.
👉 Hatavkama mke ameishi na mumewe kwa muda wa siku moja, basi anatakiwa apate mirathi. Mirathi pia itahusisha mtoto aliyeko tumboni yaani mimba.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitau cha Fiqh 👉2 ai web app 👉3 Dua za Mitume na Manabii 👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 web hosting
Post zinazofanana:
Uandishi wa hadithi wakati wa maswahaba wa mtume (s.a.w)
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...HADITHI YA MZEE WA KWANZA NA MBUZI
Download kitabu Hiki Bofya hapa HADITHI YA MZEE WA KWANZA NA MBUZI WAKE.
Soma Zaidi...