Uandishi wa hadithi wakati wa tabiina (wafuasi wa maswahaba)

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Uandishi wa Hadith Wakati wa Tabi’ina (wafuasi wa maswahaba), 

      (101 A.H – 200 A.H).

 

 

  1.   Imamu Abu Hanifa Al-Nu’man bin Thabit (80 – 150A.H).

        -  Mwanachuoni wa Qur’an na Hadith katika mji wa Kufa, Iraq.

        -  Alitoa Fat’wa za kifiq kwa kutumia Qur’an, Hadith na Ijmaa.

        -  Hakuandika kitabu chochote.

 

  1.   Imam Malik bin Anas (95 – 179 A.H).

          -  Mwanachuoni mcha-Mungu wa mji wa Madinah.

          -    Aliandika kitabu mashuhuri cha Hadith kiitwacho, “Al-Muwatta”   kilichotegemewa na umma wa waislamu katika ibada maalum tu.

-  Alifutu mas’ala ya Uislamu kwa mujibu wa Qur’an na Sunnah tu.

   

  1.   Imam Muhammad bin Idris Al-Shafii (150 – 204 A.H).

-  Mwanachuoni mkubwa wa sheria za Kiislamu aliyezaliwa Gaza, Palestina.

-  Imam Malik bin Anas ni miongoni mwa walimu wake.

-  Alitoa fat’wa kwa mujibu wa Qur’an,  Hadith na Ijmaa (na Qiyaas pia).

-  Hakuandika kitabu chochote cha Hadith. 

 

  1.   Imam Ahmad bin Muhammad bin Hambal (164 – 241 A.H).

-  Mwanachuoni mkubwa wa Fiqh na elimu ya Hadith aliyezaliwa mji wa

    Baghdad, Iraq.

 -  Imam Shafii alikuwa mwalimu wake.

 -  Imam Ahmad alitoa fat’wa tofauti na mwalimu wake, Imam Shafii lakini

     waliheshimiana sana.

 -  Aliandika kitabu cha Hadith kiitwacho, “Isnad ya Ibn Hambal”

     kilichokusanya zaidi ya Hadith 30,000.    

 

  1. Al-Muwatta cha Imam Malik bin Anas.
  2. Isnad ya Ibn Hambal (Musnad Ahmad) cha Imam Ahmad bin Hambal.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jifunze Main: Dini File: Download PDF Views 2768

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

NENO LA AWALI

Darasa la elimu inayohusu ujauzito na namna ya kulea mimba

Soma Zaidi...
Kitabu Cha Quran na sayansi

Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.

Soma Zaidi...
Fadhila za kujenga msikiti

Kuna malipo makubwa kwa ambaye amejenga msikiti kwa ajili ya kuoatavradhi za Allah.

Soma Zaidi...
jamii somo la 26

(vii)Hufanya bias hara na Allah (s.

Soma Zaidi...
Kitabu Cha Darsa za dua

Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.

Soma Zaidi...