Uandishi wa hadithi wakati wa tabiina (wafuasi wa maswahaba)

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Uandishi wa Hadith Wakati wa Tabi’ina (wafuasi wa maswahaba), 

      (101 A.H – 200 A.H).

 

 

  1.   Imamu Abu Hanifa Al-Nu’man bin Thabit (80 – 150A.H).

        -  Mwanachuoni wa Qur’an na Hadith katika mji wa Kufa, Iraq.

        -  Alitoa Fat’wa za kifiq kwa kutumia Qur’an, Hadith na Ijmaa.

        -  Hakuandika kitabu chochote.

 

  1.   Imam Malik bin Anas (95 – 179 A.H).

          -  Mwanachuoni mcha-Mungu wa mji wa Madinah.

          -    Aliandika kitabu mashuhuri cha Hadith kiitwacho, “Al-Muwatta”   kilichotegemewa na umma wa waislamu katika ibada maalum tu.

-  Alifutu mas’ala ya Uislamu kwa mujibu wa Qur’an na Sunnah tu.

   

  1.   Imam Muhammad bin Idris Al-Shafii (150 – 204 A.H).

-  Mwanachuoni mkubwa wa sheria za Kiislamu aliyezaliwa Gaza, Palestina.

-  Imam Malik bin Anas ni miongoni mwa walimu wake.

-  Alitoa fat’wa kwa mujibu wa Qur’an,  Hadith na Ijmaa (na Qiyaas pia).

-  Hakuandika kitabu chochote cha Hadith. 

 

  1.   Imam Ahmad bin Muhammad bin Hambal (164 – 241 A.H).

-  Mwanachuoni mkubwa wa Fiqh na elimu ya Hadith aliyezaliwa mji wa

    Baghdad, Iraq.

 -  Imam Shafii alikuwa mwalimu wake.

 -  Imam Ahmad alitoa fat’wa tofauti na mwalimu wake, Imam Shafii lakini

     waliheshimiana sana.

 -  Aliandika kitabu cha Hadith kiitwacho, “Isnad ya Ibn Hambal”

     kilichokusanya zaidi ya Hadith 30,000.    

 

  1. Al-Muwatta cha Imam Malik bin Anas.
  2. Isnad ya Ibn Hambal (Musnad Ahmad) cha Imam Ahmad bin Hambal.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jifunze Main: Dini File: Download PDF Views 2731

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
πŸ‘‰1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    πŸ‘‰2 Kitabu cha Afya    πŸ‘‰3 Dua za Mitume na Manabii    πŸ‘‰4 Simulizi za Hadithi Audio    πŸ‘‰5 Kitau cha Fiqh    πŸ‘‰6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Uandishi wa hadithi wakati wa mtume (s.a.w)

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
ZOEZI

Zoezi laΒ 1 (a) Ainisha maana ya sunnah kilugha na kisheria.

Soma Zaidi...
Elimu

Uwanja wa elimu na maarifa

Soma Zaidi...
HADITHI YA MZEE WA KWANZA NA MBUZI

Download kitabu Hiki Bofya hapa HADITHI YA MZEE WA KWANZA NA MBUZI WAKE.

Soma Zaidi...
Matukio ya kihistoria katika masiku 10 ya Dhul Hija -Mfunguo tatu

Haya ni matukio ya kihistoria yanayoamiika kutokea ndani ya masiku 10 ya Mfunguo tatu.

Soma Zaidi...