picha

Uandishi wa hadithi wakati wa tabiina (wafuasi wa maswahaba)

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Uandishi wa Hadith Wakati wa Tabi’ina (wafuasi wa maswahaba), 

      (101 A.H – 200 A.H).

 

 

  1.   Imamu Abu Hanifa Al-Nu’man bin Thabit (80 – 150A.H).

        -  Mwanachuoni wa Qur’an na Hadith katika mji wa Kufa, Iraq.

        -  Alitoa Fat’wa za kifiq kwa kutumia Qur’an, Hadith na Ijmaa.

        -  Hakuandika kitabu chochote.

 

  1.   Imam Malik bin Anas (95 – 179 A.H).

          -  Mwanachuoni mcha-Mungu wa mji wa Madinah.

          -    Aliandika kitabu mashuhuri cha Hadith kiitwacho, “Al-Muwatta”   kilichotegemewa na umma wa waislamu katika ibada maalum tu.

-  Alifutu mas’ala ya Uislamu kwa mujibu wa Qur’an na Sunnah tu.

   

  1.   Imam Muhammad bin Idris Al-Shafii (150 – 204 A.H).

-  Mwanachuoni mkubwa wa sheria za Kiislamu aliyezaliwa Gaza, Palestina.

-  Imam Malik bin Anas ni miongoni mwa walimu wake.

-  Alitoa fat’wa kwa mujibu wa Qur’an,  Hadith na Ijmaa (na Qiyaas pia).

-  Hakuandika kitabu chochote cha Hadith. 

 

  1.   Imam Ahmad bin Muhammad bin Hambal (164 – 241 A.H).

-  Mwanachuoni mkubwa wa Fiqh na elimu ya Hadith aliyezaliwa mji wa

    Baghdad, Iraq.

 -  Imam Shafii alikuwa mwalimu wake.

 -  Imam Ahmad alitoa fat’wa tofauti na mwalimu wake, Imam Shafii lakini

     waliheshimiana sana.

 -  Aliandika kitabu cha Hadith kiitwacho, “Isnad ya Ibn Hambal”

     kilichokusanya zaidi ya Hadith 30,000.    

 

  1. Al-Muwatta cha Imam Malik bin Anas.
  2. Isnad ya Ibn Hambal (Musnad Ahmad) cha Imam Ahmad bin Hambal.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Jifunze Main: Post File: Download PDF Views 3075

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
πŸ‘‰1 Dua za Mitume na Manabii     πŸ‘‰2 ai web app     πŸ‘‰3 Madrasa kiganjani     πŸ‘‰4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     πŸ‘‰5 Kitau cha Fiqh     πŸ‘‰6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zinazofanana:

jamii somo la 35

Hutekeleza ahadi zao wanapoahidiana na wanaadamu wenziwao maadamu ni katika mipaka ya Allah (s.

Soma Zaidi...
Mawaidha Kutokwa kwa Shekhe

Karibu kwenye Darsa za mawaidha na Mafundisho ya dini.

Soma Zaidi...
Kushika mwenendo wa kati "Na ushike mwenendo wa kati…." (31:19)

Mwenendo wa kati ni mwenendo ulioepukana na kibri na majivuno kwa upande mmoja na ulioepukkana na udhalili na unyonge kwa upande mwingine.

Soma Zaidi...
Maswali juu ya hadithi

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya)

Soma Zaidi...