picha

Uandishi wa hadithi wakati wa mtume (s.a.w)

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

  1. SUNNAH NA HADITH 

     6.1 Uandishi wa Hadith za Mtume (s.a.w).

I. Uandishi wa Hadith wakati wa Mtume (s.a.w).

          -    Hapakuwa na uandishi mkubwa wa Hadith wakati wa Mtume (s.a.w) kwa sababu zifuatazo;

  1. Mtume (s.a.w) mwenyewe alikuwepo, hivyo walimfuata kupata maelekezo yake na kuiga mwenendo wake.

 

  1. Kipindi hicho maswahaba walijishughulisha sana na uandishi, uifadhi na utekelezaji wa mafundisho wa Qur’an katika maisha yao yote.

 

  1. Mwanzo, Mtume (s.a.w) aliwakataza maswahaba wake kuandika Hadith ili wasijekuchanganya na aya za Qur’an.

- Lakini hata alipowaruhusu hawakujishughulisha kuandika Hadith tena,  

   kwani walizoea kutoandika.

 

  1. Kipindi hicho, Mtume (s.a.w) na maswahaba walijishughulisha zaidi katika kuusimamisha Uislamu na kuuhami na maadui.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Jifunze Main: Post File: Download PDF Views 4314

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉4 Dua za Mitume na Manabii     👉5 ai web app     👉6 Bongolite - Game zone - Play free game    

Post zinazofanana:

Je wajuwa kuwa jua hujizungurusha kwenye mhimili wake?

Tulipokuwa shule tulisoma kuwa jua halizunguruki, ila dunia ndio huzunguka jua.

Soma Zaidi...
Zoezi

Maswali mbalimbali yanayohusu elimu ya dini ya kiislamu na mwongozo wa elimu na elimu mazingira.

Soma Zaidi...
Kitabu Cha Darsa za Funga

Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.

Soma Zaidi...
nini maana ya Unafiki na sifa za unafiki katika quran na sunnah

Mnafiki ni yule anayeukubali Uislamu mdomoni (kwa kauli tu) lakini moyoni mwake na katika matendo yake anaukanusha.

Soma Zaidi...
Husimamisha swala

Husimamisha swala katika maisha yao yote.

Soma Zaidi...