Zoezi la 3
Kipengele hichi kina maswali mbalimbali kuhusiana na dini na mitazamo mbalimbali.
Zoezi la 3.
- Nini maana ya neno ‘Dini’ kwa mtazamo wa,
-
- Kikafiri.
- Kiislamu.
-
- (a) Bainisha dini kubwa hapa Ulimwenguni.
(b) Taja makundi ya dini za wanaadamu.
3.“Je! Wanataka dini isiyokuwa ya Mwenyezi Mungu na hali kila kilichomo mbinguni na ardhini kimejisalimisha kwake kipende kisipende………” (3:83).
Kwa kwa kuzingatia aya hii toa mafunzo mawili (2) yanayohusiana na Dini.
4.(a) Toa maana mbili za neno “Islam”
(b) Nani muislamu?
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app 👉2 kitabu cha Simulizi 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 Kitabu cha Afya 👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉1 ai web app 👉2 kitabu cha Simulizi 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 Kitabu cha Afya 👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
(xvi)Huepuka ugomvi na mabishano
Waumini wa kweli huepuka kabisa tabia ya ugomvi na mabishano.
Soma Zaidi...(viii)Wenye khushui katika swala
Waumini wa kweli waliofuzu huwa na khushui (unyenyekevu) katika swala.
Soma Zaidi...HADITHI YA MZEE WA KWANZA NA MBUZI
Download kitabu Hiki Bofya hapa HADITHI YA MZEE WA KWANZA NA MBUZI WAKE.
Soma Zaidi...Fadhila za kujenga msikiti
Kuna malipo makubwa kwa ambaye amejenga msikiti kwa ajili ya kuoatavradhi za Allah.
Soma Zaidi...