Zoezi la 3

Kipengele hichi kina maswali mbalimbali kuhusiana na dini na mitazamo mbalimbali.

Zoezi la 3.

  1. Nini maana ya neno ‘Dini’ kwa mtazamo wa,
      1. Kikafiri.
      2. Kiislamu.
  2. (a)  Bainisha dini kubwa hapa Ulimwenguni.

(b)  Taja makundi ya dini za wanaadamu.

 

3.“Je! Wanataka dini isiyokuwa ya Mwenyezi Mungu na hali kila kilichomo mbinguni na ardhini kimejisalimisha kwake kipende kisipende………” (3:83).

Kwa kwa kuzingatia aya hii toa mafunzo mawili (2) yanayohusiana na Dini.

 

4.(a)  Toa maana mbili za neno “Islam”

(b)  Nani muislamu?

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jifunze Main: Dini File: Download PDF Views 1666

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana: