Kipengele hichi kina maswali mbalimbali kuhusiana na dini na mitazamo mbalimbali.
Zoezi la 3.
(b) Taja makundi ya dini za wanaadamu.
3.“Je! Wanataka dini isiyokuwa ya Mwenyezi Mungu na hali kila kilichomo mbinguni na ardhini kimejisalimisha kwake kipende kisipende………” (3:83).
Kwa kwa kuzingatia aya hii toa mafunzo mawili (2) yanayohusiana na Dini.
4.(a) Toa maana mbili za neno “Islam”
(b) Nani muislamu?
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Asalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh Sifanjema zinamstahikia Allah Mola wa viumbe, muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo.
Soma Zaidi...Waumini wa kweli huepuka kabisa tabia ya ugomvi na mabishano.
Soma Zaidi...Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...عَنْ أَبِي عَبْدِ الرَّحْمَنِ عَبْدِ اللَّهِ بْنِ مَسْعُودٍ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ قَالَ: حَدَّثَنَا رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم ...
Soma Zaidi...