Tulipokuwa shule tulisoma kuwa jua halizunguruki, ila dunia ndio huzunguka jua.
Jua huzunguka kwenye mhimili wake mara moja katika takriban siku 27. ... Kwa kuwa Jua ni mpira wa gesi/plasma, si lazima lizunguke kwa uthabiti kama sayari na miezi dhabiti. Kwa kweli, maeneo ya Ikweta ya Jua huzunguka kwa kasi (kuchukua siku 24 tu) kuliko maeneo ya polar (ambayo huzunguka mara moja kwa zaidi ya siku 30).
Ugunduzi huu ulikuwepo toka miaka ya 1600 AD na Mwanafizikia aliyefahamika kwa jina la Galileo Galilei. Ugunduzi huu unamaanisha kuwa Jua linafanya rotation na pia lina revolution kuzunguka centre of galaxy.
Galileo Galilei alikuwa mtaalamu wa fizikia, hisabati na astronomia kutoka nchini Italia. Anakumbukwa kwa sababu aliweka misingi ya mbinu mpya za sayansi zinazoendelea kutumika hadi leo. Wikipedia
Tarehe ya kuzaliwa: 15 Februari 1564
Mahali alikozaliwa: Pisa, Italia
Alikufa: 8 Januari 1642, Arcetri, Italia
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Asalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh Sifanjema zinamstahikia Allah Mola wa viumbe, muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo.
Soma Zaidi...Mwenendo wa kati ni mwenendo ulioepukana na kibri na majivuno kwa upande mmoja na ulioepukkana na udhalili na unyonge kwa upande mwingine.
Soma Zaidi...Download kitabu Hiki Bofya hapa HADITHI YA MZEE WA KWANZA NA MBUZI WAKE.
Soma Zaidi...QURANI KATIKA ZAMA ZA SAYANSI NA TEKNOLOJIAAsalaalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh.
Soma Zaidi...2; mbegu ya uhai uliyo changanyikaUmbile la mwanadamu limepitia hatua nyingi sana kama tutakavyoendelea mbele kuonalakini ukiachilia mbali na hatua zote alizopitia mwanadamu wakati wa kuumbwa lakiniumbile la mwanadamu bado limebakia kuwa dhalili kama ALLA
Soma Zaidi...Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.
Soma Zaidi...Wakati wa Wafuasi wa masahaba (Tabi'ina)101-200 A.
Soma Zaidi...