Je wajuwa kuwa jua hujizungurusha kwenye mhimili wake?

Je wajuwa kuwa jua hujizungurusha kwenye mhimili wake?

Tulipokuwa shule tulisoma kuwa jua halizunguruki, ila dunia ndio huzunguka jua.

Jua huzunguka kwenye mhimili wake mara moja katika takriban siku 27. ... Kwa kuwa Jua ni mpira wa gesi/plasma, si lazima lizunguke kwa uthabiti kama sayari na miezi dhabiti. Kwa kweli, maeneo ya Ikweta ya Jua huzunguka kwa kasi (kuchukua siku 24 tu) kuliko maeneo ya polar (ambayo huzunguka mara moja kwa zaidi ya siku 30).

 

Ugunduzi huu ulikuwepo toka miaka ya 1600 AD na Mwanafizikia aliyefahamika kwa jina la Galileo Galilei. Ugunduzi huu unamaanisha kuwa Jua linafanya rotation na pia lina revolution kuzunguka centre of galaxy.

 

Galileo Galilei alikuwa mtaalamu wa fizikia, hisabati na astronomia kutoka nchini Italia. Anakumbukwa kwa sababu aliweka misingi ya mbinu mpya za sayansi zinazoendelea kutumika hadi leo. Wikipedia

Tarehe ya kuzaliwa: 15 Februari 1564

Mahali alikozaliwaPisa, Italia

Alikufa: 8 Januari 1642, Arcetri, Italia

Bongoclass
Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya hapa chini kuipakua sasa!

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jifunze Main: Dini File: Download PDF Views 917

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Maswali juu ya hadithi
Maswali juu ya hadithi

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya)

Soma Zaidi...
Nani Muadilifu na zipi sifa za mtu muadilifu kwenye uislamu
Nani Muadilifu na zipi sifa za mtu muadilifu kwenye uislamu

Uadilifu ni usimamizi wa ukweli na kutoa haki kwa kila anayestahiki kulingana na ukweli.

Soma Zaidi...
quran na sayansi
quran na sayansi

2; mbegu ya uhai uliyo changanyikaUmbile la mwanadamu limepitia hatua nyingi sana kama tutakavyoendelea mbele kuonalakini ukiachilia mbali na hatua zote alizopitia mwanadamu wakati wa kuumbwa lakiniumbile la mwanadamu bado limebakia kuwa dhalili kama ALLA

Soma Zaidi...
Mawaidha Kutokwa kwa Shekhe
Mawaidha Kutokwa kwa Shekhe

Karibu kwenye Darsa za mawaidha na Mafundisho ya dini.

Soma Zaidi...
Uandishi wa hadithi wakati wa tabiina (wafuasi wa maswahaba)
Uandishi wa hadithi wakati wa tabiina (wafuasi wa maswahaba)

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...