Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Uchambuzi wa Hadith za Mtume (s.a.w).
aliyoyaridhia.
hadi kwa msimuliaji wa hadith hiyo.
Mfano wa Matin na Isnad ya Hadith;
Amesimulia Abdallah toka kwa Malik toka Abu Hurairah ambaye ameeleza kuwa Mtume wa Allah amesema, “Mlaji mwenye ………..ni sawa na …..” (Tirmidh).
Isnad, ni Wapokezi (wasimulizi) wa Hadith; Abdallah, Malik na Abu Hurairah.
Matin, ni Kauli ya Mtume (s.a.w); “Mlaji mwenye…..ni sawa na ….”.
Maneno yaliyo katika, “……….” ndio Matin ya Hadith.
Rawi (Rawahu): ni mkusanyaji, mwandishi, mpokezi wa Hadith.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.
Soma Zaidi...Download kitabu Hiki Bofya hapa HADITHI YA MZEE WA KWANZA NA MBUZI WAKE.
Soma Zaidi...Kipengele hichi kina maswali mbalimbali kuhusiana na dini na mitazamo mbalimbali.
Soma Zaidi...