Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Uchambuzi wa Hadith za Mtume (s.a.w).
aliyoyaridhia.
hadi kwa msimuliaji wa hadith hiyo.
Mfano wa Matin na Isnad ya Hadith;
Amesimulia Abdallah toka kwa Malik toka Abu Hurairah ambaye ameeleza kuwa Mtume wa Allah amesema, “Mlaji mwenye ………..ni sawa na …..” (Tirmidh).
Isnad, ni Wapokezi (wasimulizi) wa Hadith; Abdallah, Malik na Abu Hurairah.
Matin, ni Kauli ya Mtume (s.a.w); “Mlaji mwenye…..ni sawa na ….”.
Maneno yaliyo katika, “……….” ndio Matin ya Hadith.
Rawi (Rawahu): ni mkusanyaji, mwandishi, mpokezi wa Hadith.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Ni ipi haki ya mwanamke kwenye mirathi endapo atafiwa na mume wake, ilihali yeye ni mke wa pili?
Soma Zaidi...Asalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh Sifanjema zinamstahikia Allah Mola wa viumbe, muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo.
Soma Zaidi...Haya ni matukio ya kihistoria yanayoamiika kutokea ndani ya masiku 10 ya Mfunguo tatu.
Soma Zaidi...