Uchambuzi wa hadithi za mtume

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Uchambuzi wa Hadith za Mtume (s.a.w).

                aliyoyaridhia. 

                  hadi kwa msimuliaji wa hadith hiyo. 

 

Mfano wa Matin na Isnad ya Hadith;

Amesimulia Abdallah toka kwa Malik toka Abu Hurairah ambaye ameeleza kuwa Mtume wa Allah amesema, “Mlaji mwenye ………..ni sawa na …..” (Tirmidh).

 

Isnad, ni Wapokezi (wasimulizi) wa Hadith; Abdallah, Malik na Abu Hurairah.

Matin,  ni Kauli ya Mtume (s.a.w); “Mlaji mwenye…..ni sawa na ….”. 

          Maneno yaliyo katika, “……….” ndio Matin ya Hadith. 

 

                  Rawi (Rawahu): ni mkusanyaji, mwandishi, mpokezi wa Hadith.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jifunze Main: Dini File: Download PDF Views 3066

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Neno la awali

Asalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh Sifanjema zinamstahikia Allah Mola wa viumbe, muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo.

Soma Zaidi...
Matukio ya kihistoria katika masiku 10 ya Dhul Hija -Mfunguo tatu

Haya ni matukio ya kihistoria yanayoamiika kutokea ndani ya masiku 10 ya Mfunguo tatu.

Soma Zaidi...
jamii somo la 26

(vii)Hufanya bias hara na Allah (s.

Soma Zaidi...
Elimu

Uwanja wa elimu na maarifa

Soma Zaidi...