Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Uchambuzi wa Hadith za Mtume (s.a.w).
aliyoyaridhia.
hadi kwa msimuliaji wa hadith hiyo.
Mfano wa Matin na Isnad ya Hadith;
Amesimulia Abdallah toka kwa Malik toka Abu Hurairah ambaye ameeleza kuwa Mtume wa Allah amesema, “Mlaji mwenye ………..ni sawa na …..” (Tirmidh).
Isnad, ni Wapokezi (wasimulizi) wa Hadith; Abdallah, Malik na Abu Hurairah.
Matin, ni Kauli ya Mtume (s.a.w); “Mlaji mwenye…..ni sawa na ….”.
Maneno yaliyo katika, “……….” ndio Matin ya Hadith.
Rawi (Rawahu): ni mkusanyaji, mwandishi, mpokezi wa Hadith.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Kipengele hichi kina maswali mbalimbali kuhusiana na dini na mitazamo mbalimbali.
Soma Zaidi...2; mbegu ya uhai uliyo changanyikaUmbile la mwanadamu limepitia hatua nyingi sana kama tutakavyoendelea mbele kuonalakini ukiachilia mbali na hatua zote alizopitia mwanadamu wakati wa kuumbwa lakiniumbile la mwanadamu bado limebakia kuwa dhalili kama ALLA
Soma Zaidi...Uadilifu ni usimamizi wa ukweli na kutoa haki kwa kila anayestahiki kulingana na ukweli.
Soma Zaidi...