picha
PHP - SOMO LA 62: PROJECT YA CRUDE OPERATION KWA KUTUMIA PHP - OOP NA MYSQL DATABASE

Katika project hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PHP OOP na MySQL database.

picha
PHP SOMO LA 61: JINSI YA KUFANYA LOOP KWENYE CLASS KW AKUTUMIA FOREACH LOOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya iteration kwenye PHP OOP hapa tutakwenda kuiona jinsi inavyofanya kazi pamoja na foreach...

picha
PHP SOMO LA 60: NAMESPACE NA MATUMIZI YAKE KWENYE PHP

Katika somo hili utakwendakujifunza concept ya namespaces na jinsi inavyosaidi kwenye OOP

picha
PHP SOMO LA 59: STATIC PROPERTY KWENYE PHP

Katika somo hili utakwend kujifunza kuhusu static property na jnsi inavyotumika

picha
PHP SOMO LA 58: STATIC METHOD KWENYE PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static method na inavtotumika kwenye OOP

picha
PHP SOMO LA 57: CLASS TRAITS KWENYE PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya traits kwenye OOP. hii itakusaidia ku solve baadhi ya changamoto zinazotokana na inheritance

picha
PHP SOMO LA 56:CLASS INTERFACE NA POLYMORPHISM KWENYE PHP OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya interface na concept ya polymorphism kwenye PHP OOP.

picha
PHP SOMOL LA 55: PHP ABSTRACT CLASS NA ABSTRACT METHOD

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP.

picha
PHP SOMO LA 54: PHP OOP CLASS CONSTANT

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.

picha
PHP SOMO LA 53: CLASS INHERITANCE KWENYE PHP OBJECT ORIENTED PROGRAMMING

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class inheritance kwenye object oriented programming.

picha
PHP SOMO LA 52: AINA ZA ACCESS MODIFIRE NA ZINAVYOTOFAUTIANA.

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu access modifier ili kuweza kuthibiti nama ya kuzitumia properties kwenye class.

picha
JINSI YA KUPATA LOCATION YA MTU LWA KUTUMIA IP ADDRESS

Katika post hii utajifunza jinsi ya kupata taarifa muhimu za mtumiaji kw akutumia Ip address yake.

picha
DART SOMO LA 23: JINSI YA KUSOMA MAFAILI KWA KUTUMIA DART

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma na kuandika faili kwa kutumia Dart programming.

picha
DART SOMO LA 22: JINSI YA KUTUMIA HTML LIBRARY KWENYE DART

Katika somo hili tutakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia library ya html kwenye Dart. somo hili litakupeleka kujifunza jinsi ya ku...

picha
DART SOMO LA 21: JINSI YA KUTENGENEZA LIBRARY KWENYE DART

Katika somo hili utajifunza kuhusu dart library. Pia tutakwend aktengeneza library yetu wennyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi.

picha
SQL SOMO LA 14: JINSI YA KUTAFUTA RANK NA POSITION KWA KUTUMIA SQL

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutafuta rank ama position kwenye data base yako kwa kutumia sql. Pia utajifunza...

picha
PHP SOMO LA 51: JINSI YA KUTUMIA CONSCTUCT NA DESTRUCT FUNCTION

Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP

picha
DART SOMO LA 20: METHOD ZINAZOTUMIKA KWENYE MAP DATA TYPE KWENYE DART

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type

picha
DART SOMO LA 19: METHOD ZINAZOTUMIKA KWENYE SET DATA TYPE KWENYE DART

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.

picha
SQL - SOMO LA 13: JINSI YA KUTUMIA CASE KWENYE SQL

katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutumia case kwenye databse ili kuchakata taarifa za matokeo

picha
DART SOMO LA 18: DART METHOD ZINAZOTUMIKA KWENYE LIST DATA TYPE

Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart.

picha
DART SOMO LA 17: METHOD ZA NAMBA ZINAZOTUMIKA KWENYE DART

Katika somo hili utakwenda kuziona method za dart zinazotumika kwenye namba. pia utajifunzakuhusu math library

picha
DART SOMO LA 16: STRING METHOD ZINAZOTUMIKA KWNEYE DART

Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart.

picha
DART SOMO LA 15: PARAMETER KWENYE FUNCTION ZA DART

Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Dart function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function

Page 38 of 230

Kuhusu Bongoclass

image

Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.