Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP.
Abstract class ni nini?
Abstract class ni class ambayo moja katika method zake ni abstract method. Nini sasa abstract method?. Hi ni method ambayo imetajwa tu jina lakini implementation (vitendea kazi vyake) yake hupatikana kwenye child class.
Ili kutengeneza abstract class ama abstract method utatumia keyword abstract angalia mfano hapo chini
<?php
abstract class gari{
abstract public function jina();
abstract public function tangazo($aina, $speed);
}
Utaona hapo kuna abstract class gari, ama abstract method mbili ambazo ni jina na tangazo.
Abstract method inaweza kutumiawa zaidi ya mara moja kwenye child class. Yaani unaweza kuwa na child class zaidi ya moja na zote zikatumia abstract method moja. Mambo ya kuzingatia unapotumia abstract method:
Angalia mfano hapo chini:-
<?php
// Abstract class
abstract class Gari {
//abstract function
abstract function tangazo();
}
class post extends Gari {
function tangazo() {
echo "Tunauza gari aina zote";
}
}
$news = new post();
$news->tangazo();
?>
Tunau">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua. Umeionaje Makala hii.. ? Katika soo hili utakwenda kujifunza umuhmu wa kutumia PDO kwenye PHP kwa ajili ya kutumia database. Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kuandika query ndani ya ORM. Hii inakupa uhuru wa kufanya kileunachotaka bila ya kuathiri usalama wa project Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za loop DO, FOR, FOREACH LOOPS kwenye PHP Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye PHP na jinsi ya kuweza kuzitumia Katika somo hili utakwenda kuhifunza kuhusu Custom header na aina zake Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutumia filter_var() function kwa ajili ya kuchuja code zilizo hatari kwenye PHP file Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo unaweza kutengeneza blog ambayo utaweza ku upload faili na kuandika makala kwa kutumia PHP Katika somo il utajifunza kutuma email kwa watu wengi kwa kutumia PHPMailer. Pia utajifunza jinsi ya kuweka Carbon Copy na Blind Carbon Copy Katika somo hili utakwenda kujifundisha jinsi ya kutafuta taarifa maalumu kwenye database kwa kutumia PHP Download App Yetu
👉1
Kitabu cha Afya
👉2
kitabu cha Simulizi
👉3
Kitau cha Fiqh
👉4
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉5
Bongolite - Game zone - Play free game
👉6
Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
PHP somola 63: Jinsi ya ku connect database kwa kutumia PDO na faida zake
PHP somo la 84: Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json
PHP somo la 100: Jinsi ya kutumia sql moja kwa moja kwenye ORM ya RedBeanPHP
PHP - somo la 34: Jinsi ya kutumia do loop, while loop na foreach kwenye PHP
PHP - somo la 5: Maana ya function na jinsi inavyotengenezwa kwa ktumia PHP
PHP somo la 79: Custom header
PHP - somo la 32: Jinsi ya kutumia filter_var() function kwenye PHP
PHP - somo la 37: Jinsi ya kutengeneza blog post kwa kutumia PHP
PHP somola 69: jinsi ya kutuma email kwa watu zaidi ya mmoja kwa kutumia PHPMailer
PHP - somo la 21: Jinsi ya kutafuta kitu kwenye database kwa mutumia PHP