PHP somol la 55: PHP Abstract Class na abstract method

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP.

Abstract class ni nini?

Abstract class ni class ambayo moja katika method zake ni abstract method. Nini sasa abstract method?. Hi ni method ambayo imetajwa tu jina lakini implementation (vitendea kazi vyake) yake hupatikana kwenye child class.

 

Ili kutengeneza abstract class ama abstract method utatumia keyword abstract angalia mfano hapo chini

<?php

abstract class gari{

   abstract public function jina();

   abstract public function tangazo($aina, $speed);

}

 

Utaona hapo kuna abstract class gari, ama abstract method mbili ambazo ni jina na tangazo.

 

Abstract method inaweza kutumiawa zaidi ya mara moja kwenye child class. Yaani unaweza kuwa na child class zaidi ya moja na zote zikatumia abstract method moja. Mambo ya kuzingatia unapotumia abstract method:

  1. Jina la method lazima lifanane
  2. Kama method inahitaji parameter zinatakiwa ziwe sawa ila kwenye child class unaweza kuongeza obtion paameter
  3. Kama umetumia protected modifier basi hata kwenye child class iwe hivyo hivyo ama uondoe kabisa protected iwe public.

 

Angalia mfano hapo chini:-

<?php

 

// Abstract class

abstract class Gari {

   //abstract function

   abstract function tangazo();

}

class post extends Gari {

   function tangazo() {

       echo "Tunauza gari aina zote";

   }

}

 

$news = new post();

$news->tangazo();

?>

Tunau">...

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 347

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

PHP BLOG - somo la 10: Jinsi ya kufanya sanitization

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufanya sanitization kwenye user input ili kuzuia sql injection kwenye database.

Soma Zaidi...
PHP somo la 83: Server Variables

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu server variables

Soma Zaidi...
PHP somo la 81: Cross - Orgn Resource Sharing - CORSE header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cross - Orgn Resource Sharing ama inafupishwa kama CORSE header

Soma Zaidi...
PHP - somo la 4: Aina za data zinazotumika kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye PHP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 21: Jinsi ya kutafuta kitu kwenye database kwa mutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifundisha jinsi ya kutafuta taarifa maalumu kwenye database kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...
Jinsi ya kupata location ya mtu lwa kutumia IP address

Katika post hii utajifunza jinsi ya kupata taarifa muhimu za mtumiaji kw akutumia Ip address yake.

Soma Zaidi...
PHP somo la 49: utangulizi wa Object Oriented Programming katika PHP

Huu ni mwendelezo wa mafunzo ya PHP na hapa tunaaza rasmi advanced PHP. tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye PHP. Ni vyema kabla ya kuanza course hii ya advanced PHP uwe una uelewa wa kutosha kuhusu mafunzo yetu ya PHP.

Soma Zaidi...
PHP somo la 99: Jinsi ya kutumia ORM kwa kutumia library ya RedBeanPHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya kutumia ORM kwa kutumia library ya RedBeanPHP

Soma Zaidi...
PHP somo la 85: Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php

Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php

Soma Zaidi...
PHP somo la 54: class constant kwenye php

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.

Soma Zaidi...