Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP.
Abstract class ni nini?
Abstract class ni class ambayo moja katika method zake ni abstract method. Nini sasa abstract method?. Hi ni method ambayo imetajwa tu jina lakini implementation (vitendea kazi vyake) yake hupatikana kwenye child class.
Ili kutengeneza abstract class ama abstract method utatumia keyword abstract angalia mfano hapo chini
<?php
abstract class gari{
abstract public function jina();
abstract public function tangazo($aina, $speed);
}
Utaona hapo kuna abstract class gari, ama abstract method mbili ambazo ni jina na tangazo.
Abstract method inaweza kutumiawa zaidi ya mara moja kwenye child class. Yaani unaweza kuwa na child class zaidi ya moja na zote zikatumia abstract method moja. Mambo ya kuzingatia unapotumia abstract method:
Angalia mfano hapo chini:-
<?php
// Abstract class
abstract class Gari {
//abstract function
abstract function tangazo();
}
class post extends Gari {
function tangazo() {
echo "Tunauza gari aina zote";
}
}
$news = new post();
$news->tangazo();
?>
Tunau">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua. Umeionaje Makala hii.. ? Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufanya sanitization kwenye user input ili kuzuia sql injection kwenye database. Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu server variables Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cross - Orgn Resource Sharing ama inafupishwa kama CORSE header Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye PHP Katika somo hili utakwenda kujifundisha jinsi ya kutafuta taarifa maalumu kwenye database kwa kutumia PHP Katika post hii utajifunza jinsi ya kupata taarifa muhimu za mtumiaji kw akutumia Ip address yake. Huu ni mwendelezo wa mafunzo ya PHP na hapa tunaaza rasmi advanced PHP. tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye PHP. Ni vyema kabla ya kuanza course hii ya advanced PHP uwe una uelewa wa kutosha kuhusu mafunzo yetu ya PHP. Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya kutumia ORM kwa kutumia library ya RedBeanPHP Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class. Download App Yetu
👉1
Madrasa kiganjani
👉2
Simulizi za Hadithi Audio
👉3
Kitau cha Fiqh
👉4
kitabu cha Simulizi
👉5
Bongolite - Game zone - Play free game
👉6
Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
PHP BLOG - somo la 10: Jinsi ya kufanya sanitization
PHP somo la 83: Server Variables
PHP somo la 81: Cross - Orgn Resource Sharing - CORSE header
PHP - somo la 4: Aina za data zinazotumika kwenye PHP
PHP - somo la 21: Jinsi ya kutafuta kitu kwenye database kwa mutumia PHP
Jinsi ya kupata location ya mtu lwa kutumia IP address
PHP somo la 49: utangulizi wa Object Oriented Programming katika PHP
PHP somo la 99: Jinsi ya kutumia ORM kwa kutumia library ya RedBeanPHP
PHP somo la 85: Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php
PHP somo la 54: class constant kwenye php