Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP.
Abstract class ni nini?
Abstract class ni class ambayo moja katika method zake ni abstract method. Nini sasa abstract method?. Hi ni method ambayo imetajwa tu jina lakini implementation (vitendea kazi vyake) yake hupatikana kwenye child class.
Ili kutengeneza abstract class ama abstract method utatumia keyword abstract angalia mfano hapo chini
<?php
abstract class gari{
abstract public function jina();
abstract public function tangazo($aina, $speed);
}
Utaona hapo kuna abstract class gari, ama abstract method mbili ambazo ni jina na tangazo.
Abstract method inaweza kutumiawa zaidi ya mara moja kwenye child class. Yaani unaweza kuwa na child class zaidi ya moja na zote zikatumia abstract method moja. Mambo ya kuzingatia unapotumia abstract method:
Angalia mfano hapo chini:-
<?php
// Abstract class
abstract class Gari {
//abstract function
abstract function tangazo();
}
class post extends Gari {
function tangazo() {
echo "Tunauza gari aina zote";
}
}
$news = new post();
$news->tangazo();
?>
Tunau">...
Umeionaje Makala hii.. ?
Hili ni somo la mwisho katika mfululizo huu wa ORM, kupata ujuzi zaidi endelea kusoma ORM nyinginezo ambazo nimetangulia kuzitaja awali ya masomo haya.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye PHP na jinsi ya kuweza kuzitumia
Soma Zaidi...Katika somo hili utajwenda kujifunza jinsi ya kuzuia hacking kwenye website yako
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda jifunza jinsi ya kuhesabu row kwenye database, kutafuta wastani wa taarifa kwenye database na kutafuta idadi yake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifundisha jinsi ya kutafuta taarifa maalumu kwenye database kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kubadili json data na kuwaphp array ama php object. Kwa ufupi tunakwend aku decode json data kuwa phparray amaobject
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku update na kufuta data kwenye database kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kuona namna ya kutuia if else kwenye data zilizopo kwenye database kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza system ambayo mta atajisajili pamoja na kuchat na watumiaji wengine
Soma Zaidi...