Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class inheritance kwenye object oriented programming.
Inheritance ni nini?
Hiki ni kitendo kuwa class moja inarithi property na method kutoka class nyingine. Hii inayorithi itaitwa child class yaani class toto. Katika kurithi huku tutazingatia access modifier, hivyo basi tutarithi method na property ambazo ni public au protected. Class ambayo inayorithi (inherited) huongezewa keyword extends wakati wa kuitengeneza.
Mfano:
<?php
class Gari {
}
class prado extends Gari {
}
?>
Hapo class Gari huitwa parent class na hiyo class prado huitwa child class. Sasa ngoja tuone namna ambavyo tunaweza kurithi method na property ambazo ni public ama protected.
<?php
class Gari
{
public $jina;
protected $speed;
public function __construct($jina, $speed)
{
$this->jina = $jina;
$this->speed = $speed;
}
protected function tangazo()
{
echo "Tunauza {$this->jina} yenye speed ya {$this->speed}.";
}
}
class Prado extends Gari
{
public function tangazo_jipya()
{
//method tangazo ni protected
$this->tangazo();
}
}
$Toyota = new Prado("Toyota", "180 km/h");
$Toyota->tangazo_jipya();
?>
Hapo utaona method tangazo() ni protected lakini tumeweza kuitumia kwenye child class prado(). Hii ni kwa sababu class Prado() imerithi property na method kutoka kwenye parent class Gari().
Kwa kutumia mfabo huo hata property ikiwa ni protected unaweza kuitumia ndani ya child class bila ya wasi wasi wowote.
Hapo kuna kitu kipya umekiona {$this->jina} umeona hapo tumetumia mabano {} haya hapo yametumika ili tuweze kutumia hizo property kwenye string. Hii kitaalamu inaitwa string interpolation. Angalia mfano mmoja hapo chini
<?php
$x = 4;
$b = 6;
$z = $x +$b;
echo "jumala ya {$x} na {$b} ni {$z}";
jumala ya ">... Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu Umeionaje Makala hii.. ? Katika somo hili utakwenda kujifunza aina kuu 3 za variable katika PHP mabzo ni local variable, global variable na static variable. Katika somo hili utakwenda kujifunza kujusu PHP variable, maana yake na sheria za uandishi wa variable Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku update na kufuta data kwenye database kwa kutumia PHP Katika post hii utajifunza jinsi ya kupata taarifa muhimu za mtumiaji kw akutumia Ip address yake. Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http redirect header Katika somo hili utakwend akujifunza ni kwa namna gani utaweza kuzitumiadata za jsonkwenye program yako Katika somo hili utajifunza jinsi ya ku connect database, kwa kutumia php Katika somo hili utakwend kujifunza kuhusu static property na jnsi inavyotumika Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class. Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina ya header inayoitwa Content-Disposition
👉1
Simulizi za Hadithi Audio
👉2
kitabu cha Simulizi
👉3
Bongolite - Game zone - Play free game
👉4
Kitabu cha Afya
👉5
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉6
Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
PHP - somo la 27: aina za variable kwenye PHP
PHP - somo la 3: Maana ya variable na inavyoandika kwenye PHP
PHP - somo la 20 : Jinsi ya kufuta na ku update data kwenye database kwa kutumia PHP
Jinsi ya kupata location ya mtu lwa kutumia IP address
PHP somo la 77: aina za http redirect
PHP somo la 89: Jinsi ya kutumia data za json kwenye program ya php na html
PHP - somo la 13: Jinsi ya kuunganisha database na website
PHP somo la 59: static property kwenye PHP
PHP somo la 54: PHP OOP class constant
PHP somo la 82: Content-Disposition