picha

PHP somo la 53: class inheritance kwenye PHP Object Oriented Programming

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class inheritance kwenye object oriented programming.

Inheritance ni nini?

Hiki ni kitendo kuwa class moja inarithi property na method kutoka class nyingine. Hii inayorithi itaitwa child class yaani class toto. Katika kurithi huku tutazingatia access modifier, hivyo basi tutarithi method na property ambazo ni public au  protected. Class ambayo inayorithi (inherited) huongezewa keyword extends wakati wa kuitengeneza.

 

Mfano:

<?php

class Gari {

   

}

class prado extends Gari {

    

}

?>

 

Hapo class Gari huitwa parent class na hiyo class prado huitwa child class. Sasa ngoja tuone namna ambavyo tunaweza kurithi method na property ambazo ni public ama protected.

<?php

 

class Gari

{

   public $jina;

   protected $speed;

 

   public function __construct($jina, $speed)

   {

       $this->jina = $jina;

       $this->speed = $speed;

   }

 

   protected function tangazo()

   {

       echo "Tunauza {$this->jina} yenye speed ya {$this->speed}.";

   }

}

 

class Prado extends Gari

{

   public function tangazo_jipya()

   {

//method tangazo ni protected

       $this->tangazo();

   }

}

 

$Toyota = new Prado("Toyota", "180 km/h");

$Toyota->tangazo_jipya();

?>

 

Hapo utaona method tangazo() ni protected lakini tumeweza kuitumia kwenye child class prado(). Hii ni kwa sababu class Prado() imerithi property na method kutoka kwenye parent class  Gari().

 

Kwa kutumia mfabo huo hata property ikiwa ni protected unaweza kuitumia ndani ya child class bila ya wasi wasi wowote. 

 

Hapo kuna kitu kipya umekiona {$this->jina} umeona hapo tumetumia mabano {} haya hapo yametumika ili tuweze kutumia hizo property kwenye string. Hii kitaalamu inaitwa string interpolation. Angalia mfano mmoja hapo chini

<?php

$x = 4;

$b = 6;

$z = $x +$b;

 

echo "jumala ya {$x} na {$b} ni  {$z}";

jumala ya 4 na 6 ni  10

 

Overriding inherited method

Sasa kuna hii concept hapa tunapasa kuijuwa. Ni kuwa endapo method utaitenegeza upya kwenye child class basi method ya mwanzo itakuwa imebadilishwa. Hapo ndio tunaita overriding method.

 

Angalia mfa...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: PHP Main: Masomo File: Download PDF Views 938

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Dua za Mitume na Manabii     👉3 ai web app     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 kitabu cha Simulizi     👉6 web hosting    

Post zinazofanana:

PHP somo la 74: aina za http headerna server variable

Katika somo hii utakwenda kujifunza aina za http header na server variable. Hapa tutakwenda kuchambuwa mgawanyiko wa httpheader na kazi zake.

Soma Zaidi...
PHP somo la 87: Jinsi ya kuangalia error wakati wa ku decode na ku encode json data

Katika somo hili utakwenda kujifunza jisni ya kudhibiti error ambazo zinaweza kutokea wakati wa ku encode na ku decoe json data

Soma Zaidi...
PHP - somo la 2: sheria za uandishi wa code za PHP

Katika somo hili utajifunza kuhusu syntax za PHP

Soma Zaidi...
PHP somo la 99: Jinsi ya kutumia ORM kwa kutumia library ya RedBeanPHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya kutumia ORM kwa kutumia library ya RedBeanPHP

Soma Zaidi...
PHP somo la 97: Jinsi ya kuchakata data zaidi kwa kutumia ORM

Katika somo hili utakwenda kujifunz akuchakata data zaidi kw akutumia ORM kama ku join table

Soma Zaidi...
PHP somo la 86: JInsi ya ku decode json yaani kubadili json kuwa php data kama array ana object

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kubadili json data na kuwaphp array ama php object. Kwa ufupi tunakwend aku decode json data kuwa phparray amaobject

Soma Zaidi...