PHP somo la 53: class inheritance kwenye PHP Object Oriented Programming

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class inheritance kwenye object oriented programming.

Inheritance ni nini?

Hiki ni kitendo kuwa class moja inarithi property na method kutoka class nyingine. Hii inayorithi itaitwa child class yaani class toto. Katika kurithi huku tutazingatia access modifier, hivyo basi tutarithi method na property ambazo ni public au  protected. Class ambayo inayorithi (inherited) huongezewa keyword extends wakati wa kuitengeneza.

 

Mfano:

<?php

class Gari {

   

}

class prado extends Gari {

    

}

?>

 

Hapo class Gari huitwa parent class na hiyo class prado huitwa child class. Sasa ngoja tuone namna ambavyo tunaweza kurithi method na property ambazo ni public ama protected.

<?php

 

class Gari

{

   public $jina;

   protected $speed;

 

   public function __construct($jina, $speed)

   {

       $this->jina = $jina;

       $this->speed = $speed;

   }

 

   protected function tangazo()

   {

       echo "Tunauza {$this->jina} yenye speed ya {$this->speed}.";

   }

}

 

class Prado extends Gari

{

   public function tangazo_jipya()

   {

//method tangazo ni protected

       $this->tangazo();

   }

}

 

$Toyota = new Prado("Toyota", "180 km/h");

$Toyota->tangazo_jipya();

?>

 

Hapo utaona method tangazo() ni protected lakini tumeweza kuitumia kwenye child class prado(). Hii ni kwa sababu class Prado() imerithi property na method kutoka kwenye parent class  Gari().

 

Kwa kutumia mfabo huo hata property ikiwa ni protected unaweza kuitumia ndani ya child class bila ya wasi wasi wowote. 

 

Hapo kuna kitu kipya umekiona {$this->jina} umeona hapo tumetumia mabano {} haya hapo yametumika ili tuweze kutumia hizo property kwenye string. Hii kitaalamu inaitwa string interpolation. Angalia mfano mmoja hapo chini

<?php

$x = 4;

$b = 6;

$z = $x +$b;

 

echo "jumala ya {$x} na {$b} ni  {$z}";

jumala ya ">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 488

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 web hosting    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

PHP somo la 80: Authentication header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Authentication header, najinsi ya kutuma taarifa hizo na kuzisoma

Soma Zaidi...
PHP - somo la 14: Jinsi ya kutengeneza database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza database kwenye mysql database.

Soma Zaidi...
PHP somo la 61: jinsi ya kufanya loop kwenye class kw akutumia foreach loop

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya iteration kwenye PHP OOP hapa tutakwenda kuiona jinsi inavyofanya kazi pamoja na foreach loop

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 4: Jinsi ya kutengeneza ukurasa kwa ajili ya kupost

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kupost kwa kutumia html form

Soma Zaidi...
PHP - somo la 20 : Jinsi ya kufuta na ku update data kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku update na kufuta data kwenye database kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 17: Jinsi ya kuingiza data kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuingiza data kwenye dtabase kwa kutumia PHP.

Soma Zaidi...
PHP somola 63: Jinsi ya ku connect database kwa kutumia PDO na faida zake

Katika soo hili utakwenda kujifunza umuhmu wa kutumia PDO kwenye PHP kwa ajili ya kutumia database.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 48: Jinsi ya kuzuia hacking kwenye sytem ya kujisajili na ku login

Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo utaweza kutengeneza mfumo wa kuisajiki na ku login, kisha kuangalia usalama wa mfumo kwa kuzuia sql injection.

Soma Zaidi...
PHP somo la 60: namespace na matumizi yake kwenye PHP

Katika somo hili utakwendakujifunza concept ya namespaces na jinsi inavyosaidi kwenye OOP

Soma Zaidi...
PHP somo la 94: Maana ya ORM na kazi zake

Katika somo hili utakwenda kujifunzo kuhusu teknolojia ya ORM na inavyotumika kulinda usalama wa database

Soma Zaidi...