Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya traits kwenye OOP. hii itakusaidia ku solve baadhi ya changamoto zinazotokana na inheritance
Traits ni nini?
Miongoni mwa changamoto za inheritance ni kuwa inakuwaga ni moja tu, yaani class haiwezi kurithi kutoka kwenye class zaidi ya moja. Kw alugha rahisi child class haiwezi kurithi kutoka kwenye class zaidi ya moja. Kwenye maisha ya kawaida ni sawa na kusema mtoto hawezi kuwa na mzazi zaidi ya mmoja.
Sasa hapo utaona kuna shida, ni kwa sababu mtoto ana wazazi wawili, lamda kwa Yesu, Adamu na Hawa (Eva) ila tuliobakia tuna wazazi wawili. Ukiachana na hiyo pia mtoto anaweza kuridhi baadhi ya sifa kutoka kwa mababu zake na mabibi kupitia kwa wazazi wake. Sasa concept ya inheritance itatulazimisha mtoto arithi kwa mzazi mmoja tu.
Traits itatuwezesha sasa child class ku inherit kutoka kwa class zaidi ya moja. Hivyo trait itawezesha method moja iweze kutumika kwenye class zaidi ya moja. Na method inaweza kuwa na access modifier yryote ile hata kama hiyo method ni abstract. Traits hutengenezawa kwa kutumia keyword trait
Mfano:
<?php
trait gari {
}
?>
Ili uweze kutumia trait class utatumia key word use
Mfabno:
<?php
trait gari {
public function tangazo() {
echo "Tunauza magari <br>";
}
public function mawasiliano() {
echo "Mawasiliano yetu ni : dukag@gmailcom ";
}
}
class ujumbe {
use gari;
}
class contact {
use gari;
}
$obj = new ujumbe();
$obj->tangazo();
$obj->mawasiliano();
?>
Maelezo zaidi
Hapa ni ufafanuzi wa msimbo wako:
1. Traits (gari na duka):
- Traits ni class inavyoweza kutumika upya katika PHP.
- Trait `gari` ina method moja, `tangazo1`, ambayo inachapisha ujumbe "tunauza gari aina zote."
- Trait `duka` ina method nyingine, `tangazo2`, ambayo inachapisha ujumbe "tunatengeneza gari aina zote."
2. Classes (mauzo na matengenezo):
- Class `mauzo` inatumia trait `gari` kupitia use yaani inachukua sifa na method za trait hiyo.
- Class `matengenezo` inatumia traits zote mbili, `gari` na `duka`, na hivyo inarithi sifa na method zote za hizo traits.
3. Matumizi ya Objects:
- Unajenga object la class `mauzo` na kuita method `tangazo1`, ambayo itachapisha "tunauza gari aina zote."
- Kisha, unajenga object la class `matengenezo` na kuita method `tangazo2`, ambayo itachapisha "tunatengeneza gari aina zote."
Msimbo wako unaonyesha jinsi traits zinavyoweza kutumika kuongeza sifa na method kwa classes mbalimbali bila kubadilisha urithi wa class yenyewe.&nbs">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda jifunza jinsi ya kuhesabu row kwenye database, kutafuta wastani wa taarifa kwenye database na kutafuta idadi yake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku update na kufuta data kwenye database kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya iteration kwenye PHP OOP hapa tutakwenda kuiona jinsi inavyofanya kazi pamoja na foreach loop
Soma Zaidi...atika somo hli tutakwenda kujifunza kuhusu kitu kinachitwa cron job. ni moja ya teknolojia zinazotumika kufanya kazi zinazofanyika automatic
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifundisha kuhus matumizi ya function kwenye php. Pia utajifunza jinsi ya kuandika function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jisniya kutuma email kwa kutumia PHPMailer kwenye project ya PHP. Katika somo hili tutakwend akutuma email kwa kutumia localhost.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Authentication header, najinsi ya kutuma taarifa hizo na kuzisoma
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunzo kuhusu teknolojia ya ORM na inavyotumika kulinda usalama wa database
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya interface na concept ya polymorphism kwenye PHP OOP.
Soma Zaidi...