PHP somo la 57: class traits kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya traits kwenye OOP. hii itakusaidia ku solve baadhi ya changamoto zinazotokana na inheritance

Traits ni nini?

Miongoni mwa changamoto za inheritance ni kuwa inakuwaga ni moja tu, yaani class haiwezi kurithi kutoka kwenye class zaidi ya moja. Kw alugha rahisi child class haiwezi kurithi kutoka kwenye class zaidi ya moja. Kwenye maisha ya kawaida ni sawa na kusema mtoto hawezi kuwa na mzazi zaidi ya mmoja.

 

Sasa hapo utaona kuna shida, ni kwa sababu mtoto ana wazazi wawili, lamda kwa Yesu, Adamu na Hawa (Eva) ila tuliobakia tuna wazazi wawili. Ukiachana na hiyo pia mtoto anaweza kuridhi baadhi ya sifa kutoka kwa mababu zake na mabibi kupitia kwa wazazi wake. Sasa concept ya inheritance itatulazimisha mtoto arithi kwa mzazi mmoja tu.

 

Traits itatuwezesha sasa child class ku inherit kutoka kwa class zaidi ya moja. Hivyo trait itawezesha method moja iweze kutumika kwenye class zaidi ya  moja. Na method inaweza kuwa na access modifier yryote ile hata kama hiyo method ni abstract. Traits hutengenezawa kwa kutumia keyword trait

Mfano:

<?php

trait gari {

  

}

?>

Ili uweze kutumia trait class utatumia key word use

Mfabno:

<?php

trait gari {

   public function tangazo() {

       echo "Tunauza magari <br>";

   }

   public function mawasiliano() {

       echo "Mawasiliano yetu ni : dukag@gmailcom ";

   }

}

 

class ujumbe {

   use gari;

}

 

class contact {

   use gari;

}

 

$obj = new ujumbe();

$obj->tangazo();

$obj->mawasiliano();

?>

Maelezo zaidi

Hapa ni ufafanuzi wa msimbo wako:

 

1. Traits (gari na duka):

   - Traits ni class inavyoweza kutumika upya katika PHP.

   - Trait `gari` ina method moja, `tangazo1`, ambayo inachapisha ujumbe "tunauza gari aina zote."

   - Trait `duka` ina method nyingine, `tangazo2`, ambayo inachapisha ujumbe "tunatengeneza gari aina zote."

 

2. Classes (mauzo na matengenezo):

   - Class `mauzo` inatumia trait `gari` kupitia use yaani inachukua sifa na method za trait hiyo.

   - Class `matengenezo` inatumia traits zote mbili, `gari` na `duka`, na hivyo inarithi sifa na method zote za hizo traits.

 

3. Matumizi ya Objects:

   - Unajenga object la class `mauzo` na kuita method `tangazo1`, ambayo itachapisha "tunauza gari aina zote."

   - Kisha, unajenga object la class `matengenezo` na kuita method `tangazo2`, ambayo itachapisha "tunatengeneza gari aina zote."

 

Msimbo wako unaonyesha jinsi traits zinavyoweza kutumika kuongeza sifa na method kwa classes mbalimbali bila kubadilisha urithi wa class yenyewe.&nbs">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 404

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

PHP somo la 76: Aina za cache header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Aina za cache header

Soma Zaidi...
PHP - somo la 27: aina za variable kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina kuu 3 za variable katika PHP mabzo ni local variable, global variable na static variable.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 10: Jinsi ya kundika condition statement if, ifelse na switch case

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu condition statements if, ifelse na switch case. Hata utajifunza jnsi ya kuziandika na zinavyofanya kazi

Soma Zaidi...
PHP - somo la 11: Jinsi ya kutuma tarifa zilizojazwa kwenye form

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kukusanya taarifa za watumiaji kwa kutumia html form.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 20 : Jinsi ya kufuta na ku update data kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku update na kufuta data kwenye database kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 5: Jinsi ya kuandika code za PHP kwa ajili ya kuweka post kwenye blog

Katika ukurasa huu utakwenda kujifunz jinsi ya kuandika code za php kwa ajili ya kutuma post yetu kwenye blog.

Soma Zaidi...
PHP somol la 55: PHP Abstract Class na abstract method

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP.

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 6: Jinsi ya kutengeneza dashboard kwa ajili ya blog

katika post hii utajifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa dashboard kwa ajili ya kutibti post

Soma Zaidi...
PHP - somo la 17: Jinsi ya kuingiza data kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuingiza data kwenye dtabase kwa kutumia PHP.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 12: Jinsi ya kufanyia kazi taarifa zilizokusanywa kutoka kwa mtumiaji

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia taarifa ambazo zimekusanywa kutoka kwa mtumiaji ili kuweka kutatuwa hoja mbalimbali

Soma Zaidi...