PHP somo la 57: class traits kwenye PHP

PHP somo la 57: class traits kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya traits kwenye OOP. hii itakusaidia ku solve baadhi ya changamoto zinazotokana na inheritance

Download Post hii hapa

Traits ni nini?

Miongoni mwa changamoto za inheritance ni kuwa inakuwaga ni moja tu, yaani class haiwezi kurithi kutoka kwenye class zaidi ya moja. Kw alugha rahisi child class haiwezi kurithi kutoka kwenye class zaidi ya moja. Kwenye maisha ya kawaida ni sawa na kusema mtoto hawezi kuwa na mzazi zaidi ya mmoja.

 

Sasa hapo utaona kuna shida, ni kwa sababu mtoto ana wazazi wawili, lamda kwa Yesu, Adamu na Hawa (Eva) ila tuliobakia tuna wazazi wawili. Ukiachana na hiyo pia mtoto anaweza kuridhi baadhi ya sifa kutoka kwa mababu zake na mabibi kupitia kwa wazazi wake. Sasa concept ya inheritance itatulazimisha mtoto arithi kwa mzazi mmoja tu.

 

Traits itatuwezesha sasa child class ku inherit kutoka kwa class zaidi ya moja. Hivyo trait itawezesha method moja iweze kutumika kwenye class zaidi ya  moja. Na method inaweza kuwa na access modifier yryote ile hata kama hiyo method ni abstract. Traits hutengenezawa kwa kutumia keyword trait

Mfano:

<?php

trait gari {

  

}

?>

Ili uweze kutumia trait class utatumia key word use

Mfabno:

<?php

trait gari {

   public function tangazo() {

       echo "Tunauza magari <br>";

   }

   public function mawasiliano() {

       echo "Mawasiliano yetu ni : dukag@gmailcom ";

   }

}

 

class ujumbe {

   use gari;

}

 

class contact {

   use gari;

}

 

$obj = new ujumbe();

$obj->tangazo();

$obj->mawasiliano();

?>

Maelezo zaidi

Hapa ni ufafanuzi wa msimbo wako:

 

1. Traits (gari na duka):

   - Traits ni class inavyoweza kutumika upya katika PHP.

   - Trait `gari` ina method moja, `tangazo1`, ambayo inachapisha ujumbe "tunauza gari aina zote."

   - Trait `duka` ina method nyingine, `tangazo2`, ambayo inachapisha ujumbe "tunatengeneza gari aina zote."

 

2. Classes (mauzo na matengenezo):

   - Class `mauzo` inatumia trait `gari` kupitia use yaani inachukua sifa na method za trait hiyo.

   - Class `matengenezo` inatumia traits zote mbili, `gari` na `duka`, na hivyo inarithi sifa na method zote za hizo traits.

 

3. Matumizi ya Objects:

   - Unajenga object la class `mauzo` na kuita method `tangazo1`, ambayo itachapisha "tunauza gari aina zote."

   - Kisha, unajenga object la class `matengenezo` na kuita method `tangazo2`, ambayo itachapisha "tunatengeneza gari aina zote."

 

Msimbo wako unaonyesha jinsi traits zinavyoweza kutumika kuongeza sifa na method kwa classes mbalimbali bila kubadilisha urithi wa class yenyewe.&nbs">...

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 390

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

PHP somo la 76: Aina za cache header
PHP somo la 76: Aina za cache header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Aina za cache header

Soma Zaidi...
PHP somo la 97: Jinsi ya kuchakata data zaidi kwa kutumia ORM
PHP somo la 97: Jinsi ya kuchakata data zaidi kwa kutumia ORM

Katika somo hili utakwenda kujifunz akuchakata data zaidi kw akutumia ORM kama ku join table

Soma Zaidi...
PHP somol  la 55: PHP Abstract Class na abstract method
PHP somol la 55: PHP Abstract Class na abstract method

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 21: Jinsi ya kutafuta kitu kwenye database kwa mutumia PHP
PHP - somo la 21: Jinsi ya kutafuta kitu kwenye database kwa mutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifundisha jinsi ya kutafuta taarifa maalumu kwenye database kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...
PHP somo la 65: Jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO
PHP somo la 65: Jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 22: Kutafuta jumla, wastani na idani ya vitu kwenye database kw akutumia PHP
PHP - somo la 22: Kutafuta jumla, wastani na idani ya vitu kwenye database kw akutumia PHP

Katika somo hili utakwenda jifunza jinsi ya kuhesabu row kwenye database, kutafuta wastani wa taarifa kwenye database na kutafuta idadi yake.

Soma Zaidi...
PHP somo la 81: Cross - Orgn Resource Sharing - CORSE header
PHP somo la 81: Cross - Orgn Resource Sharing - CORSE header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cross - Orgn Resource Sharing ama inafupishwa kama CORSE header

Soma Zaidi...
PHP somo la 51: Jinsi ya kutumia consctuct na destruct function
PHP somo la 51: Jinsi ya kutumia consctuct na destruct function

Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 34: Jinsi ya kutumia do loop, while loop na foreach kwenye PHP
PHP - somo la 34: Jinsi ya kutumia do loop, while loop na foreach kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za loop DO, FOR, FOREACH LOOPS kwenye PHP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 5: Maana ya function na jinsi inavyotengenezwa kwa ktumia PHP
PHP - somo la 5: Maana ya function na jinsi inavyotengenezwa kwa ktumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye PHP na jinsi ya kuweza kuzitumia

Soma Zaidi...