Katika somo hili utakwendakujifunza concept ya namespaces na jinsi inavyosaidi kwenye OOP
Namespace
Katika pogramming wakati mwingine unahitaji jina moja la class litumike zaidi ya mara moja kwenye class zaidi ya moja. Sasa OOP inakataa huwezi kuwa na class zaidi ya moja zenye jina moja kwenye ukurasa mmoja. Namespace imekuja kuondoa changamoto hiyo kwa kutumia namespace unaweza kutumia jina moja kwenye class zaidi ya moja.
Namespace husaidia kuchanganya class ama code zinazofanana katika utendaji wa kazi kuwa sehemu moja. Tunatengeneza namespace kw akutumia keyword namespace ikifuatiwa na jina la namespace mwanzoni kabisa kabla ya kuandika class. Na tunapotaka kuitumia tunafanya hivyo hivyo.
Hapa chini nimekuletea mfano wa class mbili zenye jina moja kwa kutumia namespace. Ama unaweza kutumia njia ya slash, yaani kwanza utaanza na jina la hiyo namespace ikifuatiwa na backslash ikifutwa na jina la hiyo class. Mfano wa hapo chini nimekuwekea njia zote mbili, namespace ya kwanza nimeitumia kwa njia ya kwanza na ya pili nmetumia hiyo njia ya pili
<?php
// Namespace ya "gari"
namespace gari;
class gari {
public static $jina = 'Toyota';
public function tangazo() {
return 'tunauza gari aina ya ' . self::$jina;
}
}
// Namespace ya "toyota"
namespace toyota;
class gari {
public static $jina = 'Basi';
public function tangazo() {
return 'tunauza gari aina ya ' . self::$jina . '<br>';
}
}
// Kutumia class "gari" kutoka namespace ya "toyota"
namespace toyota;
$myobToyota = new gari();
echo $myobToyota->tangazo();
// Kutumia class "gari" kutoka namespace ya "gari"
$myobGari = new garigari();
echo $myobGari->tangazo();
Hapo kuna namespace mbili ambazo ni gari na toyota, kila namespace moja ina class inayoitwa gari.
Namespace inaweza pia kutumika hata kwenye procedural p">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia email() function ya PHP. Hii ni njia rahisi zaidi ya kutuma email. Ila hufanya kazi kwenye hosting.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu server variables
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http redirect header
Soma Zaidi...Katika somo ili utakwenda kujifunz ahatuwa kwa hatuwa jinsi ya kutengeneza json data kutkana na data ambazo zio kwenye database
Soma Zaidi...Katika somo hili utajwenda kujifunza jinsi ya kuzuia hacking kwenye website yako
Soma Zaidi...Katika ukurasa huu utakwenda kujifunz jinsi ya kuandika code za php kwa ajili ya kutuma post yetu kwenye blog.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifundisha kuhus matumizi ya function kwenye php. Pia utajifunza jinsi ya kuandika function
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufuta table ya databse kwa kutumia PHP. Pia utajifunza jinsi ya kututa database yeto
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function yako mwenyewe yaani user defined function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza tabale kwenye database ya mysql .
Soma Zaidi...