picha

PHP somo la 60: namespace na matumizi yake kwenye PHP

Katika somo hili utakwendakujifunza concept ya namespaces na jinsi inavyosaidi kwenye OOP

Namespace

Katika pogramming wakati mwingine unahitaji jina moja la class litumike zaidi ya mara moja kwenye class zaidi ya moja. Sasa OOP inakataa huwezi kuwa na class zaidi ya moja zenye jina moja kwenye ukurasa mmoja. Namespace imekuja kuondoa changamoto hiyo kwa kutumia namespace unaweza kutumia jina moja kwenye class zaidi ya moja.

 

Namespace husaidia kuchanganya class ama code zinazofanana katika utendaji wa kazi kuwa sehemu moja. Tunatengeneza namespace kw akutumia keyword namespace ikifuatiwa na jina la namespace mwanzoni kabisa kabla ya kuandika class. Na tunapotaka kuitumia tunafanya hivyo hivyo. 

 

Hapa chini nimekuletea mfano wa class mbili zenye jina moja kwa kutumia namespace. Ama unaweza kutumia njia ya slash, yaani kwanza utaanza na jina la hiyo namespace ikifuatiwa na backslash ikifutwa na jina la hiyo class. Mfano wa hapo chini nimekuwekea njia zote mbili, namespace ya kwanza nimeitumia kwa njia ya kwanza na ya pili nmetumia hiyo njia ya pili

<?php

 

// Namespace ya "gari"

namespace gari;

 

class gari {

   public static $jina = 'Toyota';

 

   public function tangazo() {

       return 'tunauza gari aina ya ' . self::$jina;

   }

}

 

// Namespace ya "toyota"

namespace toyota;

 

class gari {

   public static $jina = 'Basi';

 

   public function tangazo() {

       return 'tunauza gari aina ya ' . self::$jina . '<br>';

   }

}

 

// Kutumia class "gari" kutoka namespace ya "toyota"

namespace toyota;

$myobToyota = new gari();

echo $myobToyota->tangazo();

 

// Kutumia class "gari" kutoka namespace ya "gari"

$myobGari = new garigari();

echo $myobGari->tangazo();

 

Hapo kuna namespace mbili ambazo ni gari  na toyota, kila namespace moja ina class inayoitwa gari. 

 

Namespace inaweza pia kutumika hata kwenye procedural p">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2023-12-03 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 713

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 web hosting    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Dua za Mitume na Manabii   

Post zinazofanana:

PHP somo la 101: Advanced RedBeanPHP - Usimamizi wa Database, Usalama, na Ufanisi

Hili ni somo la mwisho katika mfululizo huu wa ORM, kupata ujuzi zaidi endelea kusoma ORM nyinginezo ambazo nimetangulia kuzitaja awali ya masomo haya.

Soma Zaidi...
PHP -somo la 33: Matumizi ya while loop kwenye PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika while loop kwenye PHP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 48: Jinsi ya kuzuia hacking kwenye sytem ya kujisajili na ku login

Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo utaweza kutengeneza mfumo wa kuisajiki na ku login, kisha kuangalia usalama wa mfumo kwa kuzuia sql injection.

Soma Zaidi...
PHP somo la 49: utangulizi wa Object Oriented Programming katika PHP

Huu ni mwendelezo wa mafunzo ya PHP na hapa tunaaza rasmi advanced PHP. tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye PHP. Ni vyema kabla ya kuanza course hii ya advanced PHP uwe una uelewa wa kutosha kuhusu mafunzo yetu ya PHP.

Soma Zaidi...
PHP somo la 71: Jinsi ya kutengeneza PDF kwa kutumia PHP na library ya tcpdf

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku generate PDF automatik kutoka kwenye php code , html, javascript na css.

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 1: Utangulizi na jinsi ya kuandaa kwa ajili ya somo

Katika course hii utakwenda kujifundisha jinsi ya lutengeneza blog kutoka mwanzo hadi mwisho.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 3: Maana ya variable na inavyoandika kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kujusu PHP variable, maana yake na sheria za uandishi wa variable

Soma Zaidi...
PHP - somo la 15: Jinsi ya kutengeneza table kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza tabale kwenye database ya mysql .

Soma Zaidi...
PHP - somo la 25: Jinsi ya kukusanya taarifa kutoka kwenye html form kwa kutumia php

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kukusanya taarifa ambazo watu wamezijaza kwa kutumia fomu ya html. Kisha utajifunza jinsi ya kuzisoma hizo taarifa.

Soma Zaidi...
PHP somo la 75: Content-Type Header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu content-type header.

Soma Zaidi...