Katika somo hili utakwendakujifunza concept ya namespaces na jinsi inavyosaidi kwenye OOP
Namespace
Katika pogramming wakati mwingine unahitaji jina moja la class litumike zaidi ya mara moja kwenye class zaidi ya moja. Sasa OOP inakataa huwezi kuwa na class zaidi ya moja zenye jina moja kwenye ukurasa mmoja. Namespace imekuja kuondoa changamoto hiyo kwa kutumia namespace unaweza kutumia jina moja kwenye class zaidi ya moja.
Namespace husaidia kuchanganya class ama code zinazofanana katika utendaji wa kazi kuwa sehemu moja. Tunatengeneza namespace kw akutumia keyword namespace ikifuatiwa na jina la namespace mwanzoni kabisa kabla ya kuandika class. Na tunapotaka kuitumia tunafanya hivyo hivyo.
Hapa chini nimekuletea mfano wa class mbili zenye jina moja kwa kutumia namespace. Ama unaweza kutumia njia ya slash, yaani kwanza utaanza na jina la hiyo namespace ikifuatiwa na backslash ikifutwa na jina la hiyo class. Mfano wa hapo chini nimekuwekea njia zote mbili, namespace ya kwanza nimeitumia kwa njia ya kwanza na ya pili nmetumia hiyo njia ya pili
<?php
// Namespace ya "gari"
namespace gari;
class gari {
public static $jina = 'Toyota';
public function tangazo() {
return 'tunauza gari aina ya ' . self::$jina;
}
}
// Namespace ya "toyota"
namespace toyota;
class gari {
public static $jina = 'Basi';
public function tangazo() {
return 'tunauza gari aina ya ' . self::$jina . '<br>';
}
}
// Kutumia class "gari" kutoka namespace ya "toyota"
namespace toyota;
$myobToyota = new gari();
echo $myobToyota->tangazo();
// Kutumia class "gari" kutoka namespace ya "gari"
$myobGari = new garigari();
echo $myobGari->tangazo();
Hapo kuna namespace mbili ambazo ni gari na toyota, kila namespace moja ina class inayoitwa gari.
Namespace inaweza pia kutumika hata kwenye procedural programming. Angalia mfano hapo ch">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowKatika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cookie Headers
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kupost kwa kutumia html form
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Authentication header, najinsi ya kutuma taarifa hizo na kuzisoma
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku update na kufuta data kwenye database kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utajwenda kujifunza jinsi ya kuzuia hacking kwenye website yako
Soma Zaidi...katika somo hili utajifunza jinsi ya ku upload multiple file yaani mafaili mengi kwa wakati mmoja kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku upload mafaili kwenye server kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya traits kwenye OOP. hii itakusaidia ku solve baadhi ya changamoto zinazotokana na inheritance
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia taarifa ambazo zimekusanywa kutoka kwa mtumiaji ili kuweka kutatuwa hoja mbalimbali
Soma Zaidi...