Katika somo hili utakwendakujifunza concept ya namespaces na jinsi inavyosaidi kwenye OOP
Namespace
Katika pogramming wakati mwingine unahitaji jina moja la class litumike zaidi ya mara moja kwenye class zaidi ya moja. Sasa OOP inakataa huwezi kuwa na class zaidi ya moja zenye jina moja kwenye ukurasa mmoja. Namespace imekuja kuondoa changamoto hiyo kwa kutumia namespace unaweza kutumia jina moja kwenye class zaidi ya moja.
Namespace husaidia kuchanganya class ama code zinazofanana katika utendaji wa kazi kuwa sehemu moja. Tunatengeneza namespace kw akutumia keyword namespace ikifuatiwa na jina la namespace mwanzoni kabisa kabla ya kuandika class. Na tunapotaka kuitumia tunafanya hivyo hivyo.
Hapa chini nimekuletea mfano wa class mbili zenye jina moja kwa kutumia namespace. Ama unaweza kutumia njia ya slash, yaani kwanza utaanza na jina la hiyo namespace ikifuatiwa na backslash ikifutwa na jina la hiyo class. Mfano wa hapo chini nimekuwekea njia zote mbili, namespace ya kwanza nimeitumia kwa njia ya kwanza na ya pili nmetumia hiyo njia ya pili
<?php
// Namespace ya "gari"
namespace gari;
class gari {
public static $jina = 'Toyota';
public function tangazo() {
return 'tunauza gari aina ya ' . self::$jina;
}
}
// Namespace ya "toyota"
namespace toyota;
class gari {
public static $jina = 'Basi';
public function tangazo() {
return 'tunauza gari aina ya ' . self::$jina . '<br>';
}
}
// Kutumia class "gari" kutoka namespace ya "toyota"
namespace toyota;
$myobToyota = new gari();
echo $myobToyota->tangazo();
// Kutumia class "gari" kutoka namespace ya "gari"
$myobGari = new garigari();
echo $myobGari->tangazo();
Hapo kuna namespace mbili ambazo ni gari na toyota, kila namespace moja ina class inayoitwa gari.
Namespace inaweza pia kutumika hata kwenye procedural p">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
katika somo hili utajifunza jinsi ya ku upload multiple file yaani mafaili mengi kwa wakati mmoja kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza database kwenye mysql database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunzo kuhusu teknolojia ya ORM na inavyotumika kulinda usalama wa database
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kuhifunza kuhusu Custom header na aina zake
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza ni kwa namna gani utaweza kuzitumiadata za jsonkwenye program yako
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Authentication header, najinsi ya kutuma taarifa hizo na kuzisoma
Soma Zaidi...Katika somo il utajifunza kutuma email kwa watu wengi kwa kutumia PHPMailer. Pia utajifunza jinsi ya kuweka Carbon Copy na Blind Carbon Copy
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku upload mafaili kwenye server kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza system ambayo mta atajisajili pamoja na kuchat na watumiaji wengine
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static method na inavtotumika kwenye OOP
Soma Zaidi...