Menu



DART somo la 18: Dart method zinazotumika kwenye List data type

Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart.

Katika soo hili tutatumia mifano kwenye list yetu hii 

['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft']

 

  1. List properties

Hizi ni sifa ambazo kila list lazima iwe nazo

a. First hii itatuonyesha item ya mwanzo kabisa mwa hiyo list.

void main(){

 var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];

 print(list1.first);

}

bongoclass

b. isEmpty hii itupa majibu true kama list haina kitu ama false kama ina kitu

void main(){

 var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];

 print(list1.isEmpty);

}

False

c. isNotEmpty hii itaangaliakama list haina kitu itatupaibu true na kamaina kitu itatupa jibu false

d. length hii itaangalia idadi ya item kwenye hiyo list kwa mfano hapo itatupa jibu 5

e. last hii itatuonyesha item ya mwisho

f. reversed hii itapangilia tena list kutoka mwisho kuja mwanzo

g. single  hii itafanya kazi tu kama item kwenye list ni moja, hiyo itadisplay item hiyo, kama ni zaidi ya moja haitafanya kazi.

 

2. Kuongeza item kwenye list

a. add() hii hutumika kuongeza item moja mwishoni mwa list

void main(){

 var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];

 var list2 = list1.add('github');

 print(list1);

}

[bongoclass, facebook, google, youtube, microsoft, github]

 

b. addAll hii hutumika kuongeza item zaidi ya moja kwenye list

void main(){

 var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];

 var list2 = list1.addAll(['github', 'instagram', 'telegram']);

 print(list1);

}

[bongoclass, facebook, google, youtube, microsoft, github, instagram, telegram]

c. insert hii hutumika kuongeza item kwenye list sehemu unapotaka. 

Hapa tutaangalia index. Kumbuka index huhesabiwa kuanzia 0. Mfano tunataka kuweka item ya tatu kwenye lista yetu iwe apple yaani baada ya facebook ifuate apple na sio google. Hivyo ili ikae hapo tuipe inex ya 2, kwa kuwa tunahesabu kuansi 0.

void main(){

 var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];

 var list2 = list1.insert(2, 'apple');

 print(list1);

}

[bongoclass, facebook, apple, google, youtube, microsoft]

 

d. insertAll hi ni sawa na insert hiyo hapo juu tofauti ni kuw ahii inaongeza item zaidi ya moja

void main(){

 var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];

 var list2 = list1.insertAll(2, ['apple', 'tesla']);

 print(list1);

}

[bongoclass, facebook, apple, tesla, google, youtube, microsoft]

 

e. Kubadili (update) item kwenye list

">...

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea

Ndio     Hapana     Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: DART Main: Masomo File: Download PDF Views 389

Share On:

Facebook WhatsApp

Post zinazofanana:

DART somo la 24: Jinsi ya kutengeneza faili, folda na kuingiza data

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika data kwenye faili. Kwanza utajifunza kutengeneza folda, kisha faili na kuweka data, kisha utajifunza kufuta fali.

Soma Zaidi...
Dart somo la 26: DART OOP maana ya object, na jinsi ya kuitengeneza kwenye OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza Object pamoja na properties. Haa kwa ufupi tutakwenda kujifunza jinsi ya kutumia class.

Soma Zaidi...
DART somo la 32: Inheritance kwenye construct method:

Katika masomo yaliopita tumesha jifunza jinsi inheritance inavyokuwa, ila hatujaona kwa namna gani utaweza ku inherit constructor method. Somo hili litashughulika na swla hilo.

Soma Zaidi...
DART somo la 36: Abstract class kweye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu abstract class na abstract method kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 9: for loop na for in loop kwenye dart, kazi zake na jinsi ya kuadika

Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye Dart. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop.

Soma Zaidi...
DART somo la 30 :Jinsi ya kutengeneza setter na geter kwenye OOP

Katika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kuhusu method za getter na setter. Tutakwenda kuona hasa zinavyotumika na zinavyotengenezwa.

Soma Zaidi...
DART somo la 23: Jinsi ya kusoma mafaili kwa kutumia Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma na kuandika faili kwa kutumia Dart programming.

Soma Zaidi...
DART somo la 39: mixin kwenye dart

Katika somo hii utakwenda kujifunza kuhusu concept mixin na jinsi inavyoweza kutumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 21: Jinsi ya kutengeneza library kwenye Dart

Katika somo hili utajifunza kuhusu dart library. Pia tutakwend aktengeneza library yetu wennyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi.

Soma Zaidi...
DART somola 42: Asynchronous programming

Katika somo hili tutakwenda kujifunza concept nyingine ya asynchronous programming.

Soma Zaidi...