image

DART somo la 18: Dart method zinazotumika kwenye List data type

Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart.

Katika soo hili tutatumia mifano kwenye list yetu hii 

['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft']

 

  1. List properties

Hizi ni sifa ambazo kila list lazima iwe nazo

a. First hii itatuonyesha item ya mwanzo kabisa mwa hiyo list.

void main(){

 var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];

 print(list1.first);

}

bongoclass

b. isEmpty hii itupa majibu true kama list haina kitu ama false kama ina kitu

void main(){

 var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];

 print(list1.isEmpty);

}

False

c. isNotEmpty hii itaangaliakama list haina kitu itatupaibu true na kamaina kitu itatupa jibu false

d. length hii itaangalia idadi ya item kwenye hiyo list kwa mfano hapo itatupa jibu 5

e. last hii itatuonyesha item ya mwisho

f. reversed hii itapangilia tena list kutoka mwisho kuja mwanzo

g. single  hii itafanya kazi tu kama item kwenye list ni moja, hiyo itadisplay item hiyo, kama ni zaidi ya moja haitafanya kazi.

 

2. Kuongeza item kwenye list

a. add() hii hutumika kuongeza item moja mwishoni mwa list

void main(){

 var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];

 var list2 = list1.add('github');

 print(list1);

}

[bongoclass, facebook, google, youtube, microsoft, github]

 

b. addAll hii hutumika kuongeza item zaidi ya moja kwenye list

void main(){

 var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];

 var list2 = list1.addAll(['github', 'instagram', 'telegram']);

 print(list1);

}

[bongoclass, facebook, google, youtube, microsoft, github, instagram, telegram]

c. insert hii hutumika kuongeza item kwenye list sehemu unapotaka. 

Hapa tutaangalia index. Kumbuka index huhesabiwa kuanzia 0. Mfano tunataka kuweka item ya tatu kwenye lista yetu iwe apple yaani baada ya facebook ifuate apple na sio google. Hivyo ili ikae hapo tuipe inex ya 2, kwa kuwa tunahesabu kuansi 0.

void main(){

 var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];

 var list2 = list1.insert(2, 'apple');

 print(list1);

}

[bongoclass, facebook, apple, google, youtube, microsoft]

 

d. insertAll hi ni sawa na insert hiyo hapo juu tofauti ni kuw ahii inaongeza item zaidi ya moja

void main(){

 var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];

 var list2 = list1.insertAll(2, ['apple', 'tesla']);

 print(list1);

}

[bongoclass, facebook, apple, tesla, google, youtube, microsoft]

 

e. Kubadili (update) item kwenye list

<">...



Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 315


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

DART somo la 27: DART OOP: maana ya constructor method na jinsi inavyotumika kwenye OOP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jins ya kutengeneza constructor method, pia utajifunza matumizi yake kwenye OOP. Soma Zaidi...

Dart somo la 25: DART OOP Nini maaan ya class na vipi utaweza kuitengeneza
Katika somo hili utajifunza maana ya class kwenye OOP paradigm, kisha utajifunza jinsi ya kutengeneza class. Soma Zaidi...

DART SOMO LA 14: Aina za function kwenye Dart
Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function. Soma Zaidi...

DART somo la 4: Jinsi ya kuandika na kutumia variable kwenye Dart
Katika somo lililopita tumejifunza kuhusu sintaksia za dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza variable kwenye Dart. Soma Zaidi...

DART somo la 11:break and continue statement kwenye Dat loop
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Dart loop za for loop na while loop. Soma Zaidi...

DART somo la 45: Jinai ys kutuma mysql database
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita. Soma Zaidi...

DART somo la 29: Dart encapsulation
Katika somo hili tutawenda kujifunza kuhusu encapsulatio kwenye Dart OOP na jinsi inavyoweza kutumika. Soma Zaidi...

DART somo la 41: concept ya generic kwenye dart
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya generics ili kuweza kufanya kazi na aina mbalimbali za data kwenye class. Soma Zaidi...

DART somo la 33 concept ya polymorphism
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya polymorphism. Soma Zaidi...

DART somo la 24: Dart OOP maana ya Object Oriented Programming kwenye Dart
Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya OOP na faida zake. Pia utakwenda kujifunza kuhusu features za OOP. Soma Zaidi...

DART somo la 12: Kuchukuwa user input kwenye Dart
Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Dart kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program. Soma Zaidi...

DART somo la 32: Inheritance kwenye construct method:
Katika masomo yaliopita tumesha jifunza jinsi inheritance inavyokuwa, ila hatujaona kwa namna gani utaweza ku inherit constructor method. Somo hili litashughulika na swla hilo. Soma Zaidi...