DART somo la 18: Dart method zinazotumika kwenye List data type

Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart.

Katika soo hili tutatumia mifano kwenye list yetu hii 

['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft']

 

  1. List properties

Hizi ni sifa ambazo kila list lazima iwe nazo

a. First hii itatuonyesha item ya mwanzo kabisa mwa hiyo list.

void main(){

 var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];

 print(list1.first);

}

bongoclass

b. isEmpty hii itupa majibu true kama list haina kitu ama false kama ina kitu

void main(){

 var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];

 print(list1.isEmpty);

}

False

c. isNotEmpty hii itaangaliakama list haina kitu itatupaibu true na kamaina kitu itatupa jibu false

d. length hii itaangalia idadi ya item kwenye hiyo list kwa mfano hapo itatupa jibu 5

e. last hii itatuonyesha item ya mwisho

f. reversed hii itapangilia tena list kutoka mwisho kuja mwanzo

g. single  hii itafanya kazi tu kama item kwenye list ni moja, hiyo itadisplay item hiyo, kama ni zaidi ya moja haitafanya kazi.

 

2. Kuongeza item kwenye list

a. add() hii hutumika kuongeza item moja mwishoni mwa list

void main(){

 var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];

 var list2 = list1.add('github');

 print(list1);

}

[bongoclass, facebook, google, youtube, microsoft, github]

 

b. addAll hii hutumika kuongeza item zaidi ya moja kwenye list

void main(){

 var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];

 var list2 = list1.addAll(['github', 'instagram', 'telegram']);

 print(list1);

}

[bongoclass, facebook, google, youtube, microsoft, github, instagram, telegram]

c. insert hii hutumika kuongeza item kwenye list sehemu unapotaka. 

Hapa tutaangalia index. Kumbuka index huhesabiwa kuanzia 0. Mfano tunataka kuweka item ya tatu kwenye lista yetu iwe apple yaani baada ya facebook ifuate apple na sio google. Hivyo ili ikae hapo tuipe inex ya 2, kwa kuwa tunahesabu kuansi 0.

void main(){

 var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];

 var list2 = list1.insert(2, 'apple');

 print(list1);

}

[bongoclass, facebook, apple, google, youtube, microsoft]

 

d. insertAll hi ni sawa na insert hiyo hapo juu tofauti ni kuw ahii inaongeza item zaidi ya moja

void main(){

 var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];

 var list2 = list1.insertAll(2, ['apple', 'tesla']);

 print(list1);

}

[bongoclass, facebook, apple, tesla, google, youtube, microsoft]

 

e. Kubadili (upda">...

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: DART Main: ICT File: Download PDF Views 421

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

DART somo la 4: Jinsi ya kuandika na kutumia variable kwenye Dart

Katika somo lililopita tumejifunza kuhusu sintaksia za dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza variable kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 39: mixin kwenye dart

Katika somo hii utakwenda kujifunza kuhusu concept mixin na jinsi inavyoweza kutumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 20: method zinazotumika kwenye map data type kwenye Dart

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type

Soma Zaidi...
DART somo la 40: factory constructor

Katika somo hiliutakwenda kujifunza aina nyingine ya constructor ambayo hutumika kwenye Dart. aina hiyo ni factory constructory.

Soma Zaidi...
DART SOMO LA 16: String method zinazotumika kwneye Dart

Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 5: Reserved keywords kwenye lugah ya Dart

Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart

Soma Zaidi...
DART somo la 21: Jinsi ya kutengeneza library kwenye Dart

Katika somo hili utajifunza kuhusu dart library. Pia tutakwend aktengeneza library yetu wennyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi.

Soma Zaidi...
DART somo la 33 concept ya polymorphism

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya polymorphism.

Soma Zaidi...
DART somo la 9: for loop na for in loop kwenye dart, kazi zake na jinsi ya kuadika

Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye Dart. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop.

Soma Zaidi...
DART somo la 28: Named constructor na constant constructor kwenye OOP

Ka tika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya named constructor na constant constructor kwenye Object Oriented Programming.

Soma Zaidi...