picha

DART somo la 18: Dart method zinazotumika kwenye List data type

Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart.

Katika soo hili tutatumia mifano kwenye list yetu hii 

['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft']

 

  1. List properties

Hizi ni sifa ambazo kila list lazima iwe nazo

a. First hii itatuonyesha item ya mwanzo kabisa mwa hiyo list.

void main(){

 var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];

 print(list1.first);

}

bongoclass

b. isEmpty hii itupa majibu true kama list haina kitu ama false kama ina kitu

void main(){

 var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];

 print(list1.isEmpty);

}

False

c. isNotEmpty hii itaangaliakama list haina kitu itatupaibu true na kamaina kitu itatupa jibu false

d. length hii itaangalia idadi ya item kwenye hiyo list kwa mfano hapo itatupa jibu 5

e. last hii itatuonyesha item ya mwisho

f. reversed hii itapangilia tena list kutoka mwisho kuja mwanzo

g. single  hii itafanya kazi tu kama item kwenye list ni moja, hiyo itadisplay item hiyo, kama ni zaidi ya moja haitafanya kazi.

 

2. Kuongeza item kwenye list

a. add() hii hutumika kuongeza item moja mwishoni mwa list

void main(){

 var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];

 var list2 = list1.add('github');

 print(list1);

}

[bongoclass, facebook, google, youtube, microsoft, github]

 

b. addAll hii hutumika kuongeza item zaidi ya moja kwenye list

void main(){

 var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];

 var list2 = list1.addAll(['github', 'instagram', 'telegram']);

 print(list1);

}

[bongoclass, facebook, google, youtube, microsoft, github, instagram, telegram]

c. insert hii hutumika kuongeza item kwenye list sehemu unapotaka. 

Hapa tutaangalia index. Kumbuka index huhesabiwa kuanzia 0. Mfano tunataka kuweka item ya tatu kwenye lista yetu iwe apple yaani baada ya facebook ifuate apple na sio google. Hivyo ili ikae hapo tuipe inex ya 2, kwa kuwa tunahesabu kuansi 0.

void main(){

 var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];

 var list2 = list1.insert(2, 'apple');

 print(list1);

}

[bongoclass, facebook, apple, google, youtube, microsoft]

 

d. insertAll hi ni sawa na insert hiyo hapo juu tofauti ni kuw ahii inaongeza item zaidi ya moja

void main(){

 var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];

 var list2 = list1.insertAll(2, ['apple', 'tesla']);

 print(list1);

}

[bongoclass, facebook, apple, tesla, google, youtube, microsoft]

 

e. Kubadili (update) item kwenye list

Mfano katika list yetu tunataka kui update kwa  kuondosha google kisha kuweka WhatsApp. Kwanza ha...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: DART Main: Masomo File: Download PDF Views 837

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Bongolite - Game zone - Play free game     👉4 Simulizi za Hadithi Audio     👉5 Dua za Mitume na Manabii     👉6 web hosting    

Post zinazofanana:

DART somo la 17: method za namba zinazotumika kwenye dart

Katika somo hili utakwenda kuziona method za dart zinazotumika kwenye namba. pia utajifunzakuhusu math library

Soma Zaidi...
DART somo la 37: Class interface

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract

Soma Zaidi...
DART somo la 5: Reserved keywords kwenye lugah ya Dart

Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart

Soma Zaidi...
DART somo la 8: Matumizi ya switch case

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu switch case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 7: matumizi ya if, else, if else, else if kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement

Soma Zaidi...
DART somo la 19: method zinazotumika kwenye set data type kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.

Soma Zaidi...