Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart.
Katika soo hili tutatumia mifano kwenye list yetu hii
['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft']
Hizi ni sifa ambazo kila list lazima iwe nazo
a. First hii itatuonyesha item ya mwanzo kabisa mwa hiyo list.
void main(){
var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];
print(list1.first);
}
bongoclass
b. isEmpty hii itupa majibu true kama list haina kitu ama false kama ina kitu
void main(){
var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];
print(list1.isEmpty);
}
False
c. isNotEmpty hii itaangaliakama list haina kitu itatupaibu true na kamaina kitu itatupa jibu false
d. length hii itaangalia idadi ya item kwenye hiyo list kwa mfano hapo itatupa jibu 5
e. last hii itatuonyesha item ya mwisho
f. reversed hii itapangilia tena list kutoka mwisho kuja mwanzo
g. single hii itafanya kazi tu kama item kwenye list ni moja, hiyo itadisplay item hiyo, kama ni zaidi ya moja haitafanya kazi.
2. Kuongeza item kwenye list
a. add() hii hutumika kuongeza item moja mwishoni mwa list
void main(){
var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];
var list2 = list1.add('github');
print(list1);
}
[bongoclass, facebook, google, youtube, microsoft, github]
b. addAll hii hutumika kuongeza item zaidi ya moja kwenye list
void main(){
var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];
var list2 = list1.addAll(['github', 'instagram', 'telegram']);
print(list1);
}
[bongoclass, facebook, google, youtube, microsoft, github, instagram, telegram]
c. insert hii hutumika kuongeza item kwenye list sehemu unapotaka.
Hapa tutaangalia index. Kumbuka index huhesabiwa kuanzia 0. Mfano tunataka kuweka item ya tatu kwenye lista yetu iwe apple yaani baada ya facebook ifuate apple na sio google. Hivyo ili ikae hapo tuipe inex ya 2, kwa kuwa tunahesabu kuansi 0.
void main(){
var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];
var list2 = list1.insert(2, 'apple');
print(list1);
}
[bongoclass, facebook, apple, google, youtube, microsoft]
d. insertAll hi ni sawa na insert hiyo hapo juu tofauti ni kuw ahii inaongeza item zaidi ya moja
void main(){
var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];
var list2 = list1.insertAll(2, ['apple', 'tesla']);
print(list1);
}
[bongoclass, facebook, apple, tesla, google, youtube, microsoft]
e. Kubadili (upda">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua. Umeionaje Makala hii.. ? Katika somo lililopita tumejifunza kuhusu sintaksia za dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza variable kwenye Dart. Katika somo hii utakwenda kujifunza kuhusu concept mixin na jinsi inavyoweza kutumika kwenye Dart. Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type Katika somo hiliutakwenda kujifunza aina nyingine ya constructor ambayo hutumika kwenye Dart. aina hiyo ni factory constructory. Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart. Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart Katika somo hili utajifunza kuhusu dart library. Pia tutakwend aktengeneza library yetu wennyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi. Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya polymorphism. Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye Dart. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop. Ka tika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya named constructor na constant constructor kwenye Object Oriented Programming. Download App Yetu
👉1
Kitabu cha Afya
👉2
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉3
Madrasa kiganjani
👉4
Simulizi za Hadithi Audio
👉5
Bongolite - Game zone - Play free game
👉6
Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
DART somo la 4: Jinsi ya kuandika na kutumia variable kwenye Dart
DART somo la 39: mixin kwenye dart
DART somo la 20: method zinazotumika kwenye map data type kwenye Dart
DART somo la 40: factory constructor
DART SOMO LA 16: String method zinazotumika kwneye Dart
DART somo la 5: Reserved keywords kwenye lugah ya Dart
DART somo la 21: Jinsi ya kutengeneza library kwenye Dart
DART somo la 33 concept ya polymorphism
DART somo la 9: for loop na for in loop kwenye dart, kazi zake na jinsi ya kuadika
DART somo la 28: Named constructor na constant constructor kwenye OOP