Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart.
Katika soo hili tutatumia mifano kwenye list yetu hii
['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft']
Hizi ni sifa ambazo kila list lazima iwe nazo
a. First hii itatuonyesha item ya mwanzo kabisa mwa hiyo list.
void main(){
var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];
print(list1.first);
}
bongoclass
b. isEmpty hii itupa majibu true kama list haina kitu ama false kama ina kitu
void main(){
var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];
print(list1.isEmpty);
}
False
c. isNotEmpty hii itaangaliakama list haina kitu itatupaibu true na kamaina kitu itatupa jibu false
d. length hii itaangalia idadi ya item kwenye hiyo list kwa mfano hapo itatupa jibu 5
e. last hii itatuonyesha item ya mwisho
f. reversed hii itapangilia tena list kutoka mwisho kuja mwanzo
g. single hii itafanya kazi tu kama item kwenye list ni moja, hiyo itadisplay item hiyo, kama ni zaidi ya moja haitafanya kazi.
2. Kuongeza item kwenye list
a. add() hii hutumika kuongeza item moja mwishoni mwa list
void main(){
var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];
var list2 = list1.add('github');
print(list1);
}
[bongoclass, facebook, google, youtube, microsoft, github]
b. addAll hii hutumika kuongeza item zaidi ya moja kwenye list
void main(){
var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];
var list2 = list1.addAll(['github', 'instagram', 'telegram']);
print(list1);
}
[bongoclass, facebook, google, youtube, microsoft, github, instagram, telegram]
c. insert hii hutumika kuongeza item kwenye list sehemu unapotaka.
Hapa tutaangalia index. Kumbuka index huhesabiwa kuanzia 0. Mfano tunataka kuweka item ya tatu kwenye lista yetu iwe apple yaani baada ya facebook ifuate apple na sio google. Hivyo ili ikae hapo tuipe inex ya 2, kwa kuwa tunahesabu kuansi 0.
void main(){
var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];
var list2 = list1.insert(2, 'apple');
print(list1);
}
[bongoclass, facebook, apple, google, youtube, microsoft]
d. insertAll hi ni sawa na insert hiyo hapo juu tofauti ni kuw ahii inaongeza item zaidi ya moja
void main(){
var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];
var list2 = list1.insertAll(2, ['apple', 'tesla']);
print(list1);
}
[bongoclass, facebook, apple, tesla, google, youtube, microsoft]
e. Kubadili (upda">... Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu Umeionaje Makala hii.. ? Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data zinazotumika kwenye Dart. Katika somo hili tutakwenda kujifunza concept nyingine ya asynchronous programming. Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu enum na inavyotumika kwenye Dart. Katika somo hili utajifunza kuhusu dart library. Pia tutakwend aktengeneza library yetu wennyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi. Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Dart. Katika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kuhusu method za getter na setter. Tutakwenda kuona hasa zinavyotumika na zinavyotengenezwa. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza Object pamoja na properties. Haa kwa ufupi tutakwenda kujifunza jinsi ya kutumia class. Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu inheritance, na inavyoweza kutumika kwenye Dart OOP.
👉1
Simulizi za Hadithi Audio
👉2
Tafasiri ya Riyadh Swalihina
👉3
kitabu cha Simulizi
👉4
Bongolite - Game zone - Play free game
👉5
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉6
Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
DART somo la 5: Reserved keywords kwenye lugah ya Dart
DART somo la 3: Aina za Data
DART somola 42: Asynchronous programming
DART somo la 37: Class interface
DART somo la 35: Enum kwenye Dart:
DART somo la 21: Jinsi ya kutengeneza library kwenye Dart
DART somo la 10: while loop na do while loop kwenye Dart
DART somo la 30 :Jinsi ya kutengeneza setter na geter kwenye OOP
Dart somo la 26: DART OOP maana ya object, na jinsi ya kuitengeneza kwenye OOP
DART somo la 31: inheritance kwenye DART OOP