Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart.
Katika soo hili tutatumia mifano kwenye list yetu hii
['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft']
Hizi ni sifa ambazo kila list lazima iwe nazo
a. First hii itatuonyesha item ya mwanzo kabisa mwa hiyo list.
void main(){
var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];
print(list1.first);
}
bongoclass
b. isEmpty hii itupa majibu true kama list haina kitu ama false kama ina kitu
void main(){
var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];
print(list1.isEmpty);
}
False
c. isNotEmpty hii itaangaliakama list haina kitu itatupaibu true na kamaina kitu itatupa jibu false
d. length hii itaangalia idadi ya item kwenye hiyo list kwa mfano hapo itatupa jibu 5
e. last hii itatuonyesha item ya mwisho
f. reversed hii itapangilia tena list kutoka mwisho kuja mwanzo
g. single hii itafanya kazi tu kama item kwenye list ni moja, hiyo itadisplay item hiyo, kama ni zaidi ya moja haitafanya kazi.
2. Kuongeza item kwenye list
a. add() hii hutumika kuongeza item moja mwishoni mwa list
void main(){
var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];
var list2 = list1.add('github');
print(list1);
}
[bongoclass, facebook, google, youtube, microsoft, github]
b. addAll hii hutumika kuongeza item zaidi ya moja kwenye list
void main(){
var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];
var list2 = list1.addAll(['github', 'instagram', 'telegram']);
print(list1);
}
[bongoclass, facebook, google, youtube, microsoft, github, instagram, telegram]
c. insert hii hutumika kuongeza item kwenye list sehemu unapotaka.
Hapa tutaangalia index. Kumbuka index huhesabiwa kuanzia 0. Mfano tunataka kuweka item ya tatu kwenye lista yetu iwe apple yaani baada ya facebook ifuate apple na sio google. Hivyo ili ikae hapo tuipe inex ya 2, kwa kuwa tunahesabu kuansi 0.
void main(){
var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];
var list2 = list1.insert(2, 'apple');
print(list1);
}
[bongoclass, facebook, apple, google, youtube, microsoft]
d. insertAll hi ni sawa na insert hiyo hapo juu tofauti ni kuw ahii inaongeza item zaidi ya moja
void main(){
var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];
var list2 = list1.insertAll(2, ['apple', 'tesla']);
print(list1);
}
[bongoclass, facebook, apple, tesla, google, youtube, microsoft]
e. Kubadili (upda">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua. Umeionaje Makala hii.. ? Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type Katika somo hili utajifunza maana ya class kwenye OOP paradigm, kisha utajifunza jinsi ya kutengeneza class. Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart. Katika somo hii utakwenda kujifunza kuhusu concept mixin na jinsi inavyoweza kutumika kwenye Dart. Katika somo hili utakwenda kuziona method za dart zinazotumika kwenye namba. pia utajifunzakuhusu math library Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuunganisha databse na Dart. Pia utajifunza jinsi ya kuset environment kwenye kompyuta ili kuweza kutumia Dart sdk kwenye CMD. Katika somo hili tutawenda kujifunza kuhusu encapsulatio kwenye Dart OOP na jinsi inavyoweza kutumika. Ka tika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya named constructor na constant constructor kwenye Object Oriented Programming. Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu switch case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Dart. Download App Yetu
👉1
kitabu cha Simulizi
👉2
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉3
Kitau cha Fiqh
👉4
Bongolite - Game zone - Play free game
👉5
Madrasa kiganjani
👉6
Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
DART somo la 20: method zinazotumika kwenye map data type kwenye Dart
Dart somo la 25: DART OOP Nini maaan ya class na vipi utaweza kuitengeneza
DART SOMO LA 16: String method zinazotumika kwneye Dart
DART somo la 39: mixin kwenye dart
DART somo la 17: method za namba zinazotumika kwenye dart
DART somo la 44: Jinsi ya ku install mysql kwenye program ya dart
DART somo la 29: Dart encapsulation
DART somo la 28: Named constructor na constant constructor kwenye OOP
DART somo la 37: Class interface
DART somo la 8: Matumizi ya switch case