Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart.
Katika soo hili tutatumia mifano kwenye list yetu hii
['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft']
Hizi ni sifa ambazo kila list lazima iwe nazo
a. First hii itatuonyesha item ya mwanzo kabisa mwa hiyo list.
void main(){
var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];
print(list1.first);
}
bongoclass
b. isEmpty hii itupa majibu true kama list haina kitu ama false kama ina kitu
void main(){
var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];
print(list1.isEmpty);
}
False
c. isNotEmpty hii itaangaliakama list haina kitu itatupaibu true na kamaina kitu itatupa jibu false
d. length hii itaangalia idadi ya item kwenye hiyo list kwa mfano hapo itatupa jibu 5
e. last hii itatuonyesha item ya mwisho
f. reversed hii itapangilia tena list kutoka mwisho kuja mwanzo
g. single hii itafanya kazi tu kama item kwenye list ni moja, hiyo itadisplay item hiyo, kama ni zaidi ya moja haitafanya kazi.
2. Kuongeza item kwenye list
a. add() hii hutumika kuongeza item moja mwishoni mwa list
void main(){
var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];
var list2 = list1.add('github');
print(list1);
}
[bongoclass, facebook, google, youtube, microsoft, github]
b. addAll hii hutumika kuongeza item zaidi ya moja kwenye list
void main(){
var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];
var list2 = list1.addAll(['github', 'instagram', 'telegram']);
print(list1);
}
[bongoclass, facebook, google, youtube, microsoft, github, instagram, telegram]
c. insert hii hutumika kuongeza item kwenye list sehemu unapotaka.
Hapa tutaangalia index. Kumbuka index huhesabiwa kuanzia 0. Mfano tunataka kuweka item ya tatu kwenye lista yetu iwe apple yaani baada ya facebook ifuate apple na sio google. Hivyo ili ikae hapo tuipe inex ya 2, kwa kuwa tunahesabu kuansi 0.
void main(){
var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];
var list2 = list1.insert(2, 'apple');
print(list1);
}
[bongoclass, facebook, apple, google, youtube, microsoft]
d. insertAll hi ni sawa na insert hiyo hapo juu tofauti ni kuw ahii inaongeza item zaidi ya moja
void main(){
var list1 = ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'];
var list2 = list1.insertAll(2, ['apple', 'tesla']);
print(list1);
}
[bongoclass, facebook, apple, tesla, google, youtube, microsoft]
e. Kubadili (upda">...
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye dart, jisni ya kziandika na matumizi yake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya polymorphism.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza Object pamoja na properties. Haa kwa ufupi tutakwenda kujifunza jinsi ya kutumia class.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutawenda kujifunza kuhusu encapsulatio kwenye Dart OOP na jinsi inavyoweza kutumika.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda ujifunz akuhusu concept ya stream kwenye Dart. pia ttaona kwa namna gani strean inaweza kutofautiana na future wakati zote mbili zipo kwenye asychronous programming.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu kazi za dart language. Pia nimekuandalia istoria fupi ya lugha ya DART.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu switch case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika data kwenye faili. Kwanza utajifunza kutengeneza folda, kisha faili na kuweka data, kisha utajifunza kufuta fali.
Soma Zaidi...Katika masomo yaliopita tumesha jifunza jinsi inheritance inavyokuwa, ila hatujaona kwa namna gani utaweza ku inherit constructor method. Somo hili litashughulika na swla hilo.
Soma Zaidi...