DART somo la 20: method zinazotumika kwenye map data type kwenye Dart

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type

Tulishajifunza huko nyuma kuwa map data inakuwa na key na value. Pia tulijifunza jinsi ya lutengeneza map. Hapa kwanza tutaziona njia mbili za kutengeneza map ambazo hatukuzisoma huko mwanzoni.

 

At runtime

Hapa tutatengeneza data ya map wakati program inakuwa ina run

 

void main() {

 var websites = {};

 websites['jina'] = 'bongoclass';

 websites['umri'] = 5;

 websites['mmiliki'] = 'binafsi';

 websites['hali'] = 'ipo hai';

 

 print(websites);

}

Hii itatupa matokeo haya:-

{jina: bongoclass, umri: 5, mmiliki: binafsi, hali: ipo hai}

 

Kwa kutumia constructor 

Tutakuja kujifunza zaidi kuhusu constructor kwenye OOP. kw aufupi hii ni njia ambay hutumika kutengeneza object moja kwa moja. Hapa tutatumia new map()

 

void main() {

 var websites = new Map();

 websites['jina'] = 'bongoclass';

 websites['umri'] = 5;

 websites['mmiliki'] = 'binafsi';

 websites['hali'] = 'ipo hai';

 

 print(websites);

}

{jina: bongoclass, umri: 5, mmiliki: binafsi, hali: ipo hai}

 

Map properties:

  1. Key hutumika kupata key za map
  2. Values hutumika kupata value za map
  3. Lenght hutumika kupata idadi ya item
  4. isEmpty  kuangalia kama map ni tupu
  5. isNotEmpty kuangali kama map sio tupu

 

void main() {

 var websites = new Map();

 websites['jina'] = 'bongoclass';

 websites['umri'] = 5;

 websites['mmiliki'] = 'binafsi';

 websites['hali'] = 'ipo hai';

 

 print('key');

 print(websites.keys);

 

 print('values');

 print(websites.values);

 

 print('length');

 print(websites.length);

 

 print('is empty');

&nbs">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: DART Main: ICT File: Download PDF Views 751

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Dua za Mitume na Manabii    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 web hosting   

Post zinazofanana:

DART somo la 29: Dart encapsulation

Katika somo hili tutawenda kujifunza kuhusu encapsulatio kwenye Dart OOP na jinsi inavyoweza kutumika.

Soma Zaidi...
DART somo la 5: Reserved keywords kwenye lugah ya Dart

Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart

Soma Zaidi...
DART SOMO LA 16: String method zinazotumika kwneye Dart

Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 34: Static variable kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static property na jinsi ambavyo inavyotumika.

Soma Zaidi...
DART somo la 4: Jinsi ya kuandika na kutumia variable kwenye Dart

Katika somo lililopita tumejifunza kuhusu sintaksia za dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza variable kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 32: Inheritance kwenye construct method:

Katika masomo yaliopita tumesha jifunza jinsi inheritance inavyokuwa, ila hatujaona kwa namna gani utaweza ku inherit constructor method. Somo hili litashughulika na swla hilo.

Soma Zaidi...
DART somo la 24: Jinsi ya kutengeneza faili, folda na kuingiza data

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika data kwenye faili. Kwanza utajifunza kutengeneza folda, kisha faili na kuweka data, kisha utajifunza kufuta fali.

Soma Zaidi...
DART somo la 36: Abstract class kweye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu abstract class na abstract method kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 3: Aina za Data

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data zinazotumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 22: Jinsi ya kutumia html library kwenye Dart

Katika somo hili tutakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia library ya html kwenye Dart. somo hili litakupeleka kujifunza jinsi ya ku display dart output kwenye faili la html.

Soma Zaidi...