DART somo la 20: method zinazotumika kwenye map data type kwenye Dart

DART somo la 20: method zinazotumika kwenye map data type kwenye Dart

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type

Download Post hii hapa

Tulishajifunza huko nyuma kuwa map data inakuwa na key na value. Pia tulijifunza jinsi ya lutengeneza map. Hapa kwanza tutaziona njia mbili za kutengeneza map ambazo hatukuzisoma huko mwanzoni.

 

At runtime

Hapa tutatengeneza data ya map wakati program inakuwa ina run

 

void main() {

 var websites = {};

 websites['jina'] = 'bongoclass';

 websites['umri'] = 5;

 websites['mmiliki'] = 'binafsi';

 websites['hali'] = 'ipo hai';

 

 print(websites);

}

Hii itatupa matokeo haya:-

{jina: bongoclass, umri: 5, mmiliki: binafsi, hali: ipo hai}

 

Kwa kutumia constructor 

Tutakuja kujifunza zaidi kuhusu constructor kwenye OOP. kw aufupi hii ni njia ambay hutumika kutengeneza object moja kwa moja. Hapa tutatumia new map()

 

void main() {

 var websites = new Map();

 websites['jina'] = 'bongoclass';

 websites['umri'] = 5;

 websites['mmiliki'] = 'binafsi';

 websites['hali'] = 'ipo hai';

 

 print(websites);

}

{jina: bongoclass, umri: 5, mmiliki: binafsi, hali: ipo hai}

 

Map properties:

  1. Key hutumika kupata key za map
  2. Values hutumika kupata value za map
  3. Lenght hutumika kupata idadi ya item
  4. isEmpty  kuangalia kama map ni tupu
  5. isNotEmpty kuangali kama map sio tupu

 

void main() {

 var websites = new Map();

 websites['jina'] = 'bongoclass';

 websites['umri'] = 5;

 websites['mmiliki'] = 'binafsi';

 websites['hali'] = 'ipo hai';

 

 print('key');

 print(websites.keys);

 

 print('values');

 print(websites.values);

 

 print('length');

 print(websites.length);

 

 print('is empty');

&nbs">...

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: DART Main: ICT File: Download PDF Views 491

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

DART somo la 34: Static variable kwenye Dart
DART somo la 34: Static variable kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static property na jinsi ambavyo inavyotumika.

Soma Zaidi...
DART somo la 31: inheritance kwenye DART OOP
DART somo la 31: inheritance kwenye DART OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu inheritance, na inavyoweza kutumika kwenye Dart OOP.

Soma Zaidi...
DART somo la 33 concept ya polymorphism
DART somo la 33 concept ya polymorphism

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya polymorphism.

Soma Zaidi...
Dart somo la 26: DART OOP maana ya object, na jinsi ya kuitengeneza kwenye OOP
Dart somo la 26: DART OOP maana ya object, na jinsi ya kuitengeneza kwenye OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza Object pamoja na properties. Haa kwa ufupi tutakwenda kujifunza jinsi ya kutumia class.

Soma Zaidi...
DART somo la 17: method za namba zinazotumika kwenye dart
DART somo la 17: method za namba zinazotumika kwenye dart

Katika somo hili utakwenda kuziona method za dart zinazotumika kwenye namba. pia utajifunzakuhusu math library

Soma Zaidi...
DART somo la 23: Jinsi ya kusoma mafaili kwa kutumia Dart
DART somo la 23: Jinsi ya kusoma mafaili kwa kutumia Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma na kuandika faili kwa kutumia Dart programming.

Soma Zaidi...
DART somo la 7: matumizi ya if, else, if else, else if kwenye Dart
DART somo la 7: matumizi ya if, else, if else, else if kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement

Soma Zaidi...
DART somo la 6: Dart operator na jinsi zinavyofanya kazi.
DART somo la 6: Dart operator na jinsi zinavyofanya kazi.

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator kwenye Dart, kazi zake na jinsi ya kuzitumia.

Soma Zaidi...
DART somo la 37: Class interface
DART somo la 37: Class interface

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract

Soma Zaidi...
DART somo la 8: Matumizi ya switch case
DART somo la 8: Matumizi ya switch case

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu switch case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Dart.

Soma Zaidi...