DART somo la 20: method zinazotumika kwenye map data type kwenye Dart
Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type
Tulishajifunza huko nyuma kuwa map data inakuwa na key na value. Pia tulijifunza jinsi ya lutengeneza map. Hapa kwanza tutaziona njia mbili za kutengeneza map ambazo hatukuzisoma huko mwanzoni.
At runtime
Hapa tutatengeneza data ya map wakati program inakuwa ina run
void main() {
var websites = {};
websites['jina'] = 'bongoclass';
websites['umri'] = 5;
websites['mmiliki'] = 'binafsi';
websites['hali'] = 'ipo hai';
print(websites);
}
Hii itatupa matokeo haya:-
{jina: bongoclass, umri: 5, mmiliki: binafsi, hali: ipo hai}
Kwa kutumia constructor
Tutakuja kujifunza zaidi kuhusu constructor kwenye OOP. kw aufupi hii ni njia ambay hutumika kutengeneza object moja kwa moja. Hapa tutatumia new map()
void main() {
var websites = new Map();
websites['jina'] = 'bongoclass';
websites['umri'] = 5;
websites['mmiliki'] = 'binafsi';
websites['hali'] = 'ipo hai';
print(websites);
}
{jina: bongoclass, umri: 5, mmiliki: binafsi, hali: ipo hai}
Map properties:
- Key hutumika kupata key za map
- Values hutumika kupata value za map
- Lenght hutumika kupata idadi ya item
- isEmpty kuangalia kama map ni tupu
- isNotEmpty kuangali kama map sio tupu
void main() {
var websites = new Map();
websites['jina'] = 'bongoclass';
websites['umri'] = 5;
websites['mmiliki'] = 'binafsi';
websites['hali'] = 'ipo hai';
print('key');
print(websites.keys);
print('values');
print(websites.values);
print('length');
print(websites.length);
print('is empty');
print(websites.isEmpty);
print('is not empty'...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 web hosting 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 Kitau cha Fiqh 👉4 Kitabu cha Afya 👉5 ai web app 👉6 Bongolite - Game zone - Play free game
Post zinazofanana:
DART somo la 22: Jinsi ya kutumia html library kwenye Dart
Katika somo hili tutakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia library ya html kwenye Dart. somo hili litakupeleka kujifunza jinsi ya ku display dart output kwenye faili la html.
Soma Zaidi...DART somo la 30 :Jinsi ya kutengeneza setter na geter kwenye OOP
Katika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kuhusu method za getter na setter. Tutakwenda kuona hasa zinavyotumika na zinavyotengenezwa.
Soma Zaidi...DART SOMO LA 16: String method zinazotumika kwneye Dart
Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart.
Soma Zaidi...DART somo la 24: Dart OOP maana ya Object Oriented Programming kwenye Dart
Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya OOP na faida zake. Pia utakwenda kujifunza kuhusu features za OOP.
Soma Zaidi...DART somo la 40: factory constructor
Katika somo hiliutakwenda kujifunza aina nyingine ya constructor ambayo hutumika kwenye Dart. aina hiyo ni factory constructory.
Soma Zaidi...DART somo la 23: Jinsi ya kusoma mafaili kwa kutumia Dart
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma na kuandika faili kwa kutumia Dart programming.
Soma Zaidi...