picha

DART somo la 20: method zinazotumika kwenye map data type kwenye Dart

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type

Tulishajifunza huko nyuma kuwa map data inakuwa na key na value. Pia tulijifunza jinsi ya lutengeneza map. Hapa kwanza tutaziona njia mbili za kutengeneza map ambazo hatukuzisoma huko mwanzoni.

 

At runtime

Hapa tutatengeneza data ya map wakati program inakuwa ina run

 

void main() {

 var websites = {};

 websites['jina'] = 'bongoclass';

 websites['umri'] = 5;

 websites['mmiliki'] = 'binafsi';

 websites['hali'] = 'ipo hai';

 

 print(websites);

}

Hii itatupa matokeo haya:-

{jina: bongoclass, umri: 5, mmiliki: binafsi, hali: ipo hai}

 

Kwa kutumia constructor 

Tutakuja kujifunza zaidi kuhusu constructor kwenye OOP. kw aufupi hii ni njia ambay hutumika kutengeneza object moja kwa moja. Hapa tutatumia new map()

 

void main() {

 var websites = new Map();

 websites['jina'] = 'bongoclass';

 websites['umri'] = 5;

 websites['mmiliki'] = 'binafsi';

 websites['hali'] = 'ipo hai';

 

 print(websites);

}

{jina: bongoclass, umri: 5, mmiliki: binafsi, hali: ipo hai}

 

Map properties:

  1. Key hutumika kupata key za map
  2. Values hutumika kupata value za map
  3. Lenght hutumika kupata idadi ya item
  4. isEmpty  kuangalia kama map ni tupu
  5. isNotEmpty kuangali kama map sio tupu

 

void main() {

 var websites = new Map();

 websites['jina'] = 'bongoclass';

 websites['umri'] = 5;

 websites['mmiliki'] = 'binafsi';

 websites['hali'] = 'ipo hai';

 

 print('key');

 print(websites.keys);

 

 print('values');

 print(websites.values);

 

 print('length');

 print(websites.length);

 

 print('is empty');

&nbs">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2023-11-28 Topic: DART Main: ICT File: Download PDF Views 855

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 ai web app    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 web hosting    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

DART somo la 4: Jinsi ya kuandika na kutumia variable kwenye Dart

Katika somo lililopita tumejifunza kuhusu sintaksia za dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza variable kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 41: concept ya generic kwenye dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya generics ili kuweza kufanya kazi na aina mbalimbali za data kwenye class.

Soma Zaidi...
DART somo la 28: Named constructor na constant constructor kwenye OOP

Ka tika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya named constructor na constant constructor kwenye Object Oriented Programming.

Soma Zaidi...
DART somo la 36: Abstract class kweye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu abstract class na abstract method kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 7: matumizi ya if, else, if else, else if kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement

Soma Zaidi...
DART somo la 35: Enum kwenye Dart:

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu enum na inavyotumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 22: Jinsi ya kutumia html library kwenye Dart

Katika somo hili tutakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia library ya html kwenye Dart. somo hili litakupeleka kujifunza jinsi ya ku display dart output kwenye faili la html.

Soma Zaidi...
DART somo la 10: while loop na do while loop kwenye Dart

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 32: Inheritance kwenye construct method:

Katika masomo yaliopita tumesha jifunza jinsi inheritance inavyokuwa, ila hatujaona kwa namna gani utaweza ku inherit constructor method. Somo hili litashughulika na swla hilo.

Soma Zaidi...
DART somo la 27: DART OOP: maana ya constructor method na jinsi inavyotumika kwenye OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jins ya kutengeneza constructor method, pia utajifunza matumizi yake kwenye OOP.

Soma Zaidi...