Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type
Tulishajifunza huko nyuma kuwa map data inakuwa na key na value. Pia tulijifunza jinsi ya lutengeneza map. Hapa kwanza tutaziona njia mbili za kutengeneza map ambazo hatukuzisoma huko mwanzoni.
At runtime
Hapa tutatengeneza data ya map wakati program inakuwa ina run
void main() {
var websites = {};
websites['jina'] = 'bongoclass';
websites['umri'] = 5;
websites['mmiliki'] = 'binafsi';
websites['hali'] = 'ipo hai';
print(websites);
}
Hii itatupa matokeo haya:-
{jina: bongoclass, umri: 5, mmiliki: binafsi, hali: ipo hai}
Kwa kutumia constructor
Tutakuja kujifunza zaidi kuhusu constructor kwenye OOP. kw aufupi hii ni njia ambay hutumika kutengeneza object moja kwa moja. Hapa tutatumia new map()
void main() {
var websites = new Map();
websites['jina'] = 'bongoclass';
websites['umri'] = 5;
websites['mmiliki'] = 'binafsi';
websites['hali'] = 'ipo hai';
print(websites);
}
{jina: bongoclass, umri: 5, mmiliki: binafsi, hali: ipo hai}
Map properties:
void main() {
var websites = new Map();
websites['jina'] = 'bongoclass';
websites['umri'] = 5;
websites['mmiliki'] = 'binafsi';
websites['hali'] = 'ipo hai';
print('key');
print(websites.keys);
print('values');
print(websites.values);
print('length');
print(websites.length);
print('is empty');
&nbs">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza jins ya kutengeneza constructor method, pia utajifunza matumizi yake kwenye OOP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya generics ili kuweza kufanya kazi na aina mbalimbali za data kwenye class.
Soma Zaidi...Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Dart kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika data kwenye faili. Kwanza utajifunza kutengeneza folda, kisha faili na kuweka data, kisha utajifunza kufuta fali.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza Object pamoja na properties. Haa kwa ufupi tutakwenda kujifunza jinsi ya kutumia class.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Dart function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator kwenye Dart, kazi zake na jinsi ya kuzitumia.
Soma Zaidi...