Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type
Tulishajifunza huko nyuma kuwa map data inakuwa na key na value. Pia tulijifunza jinsi ya lutengeneza map. Hapa kwanza tutaziona njia mbili za kutengeneza map ambazo hatukuzisoma huko mwanzoni.
At runtime
Hapa tutatengeneza data ya map wakati program inakuwa ina run
void main() {
var websites = {};
websites['jina'] = 'bongoclass';
websites['umri'] = 5;
websites['mmiliki'] = 'binafsi';
websites['hali'] = 'ipo hai';
print(websites);
}
Hii itatupa matokeo haya:-
{jina: bongoclass, umri: 5, mmiliki: binafsi, hali: ipo hai}
Kwa kutumia constructor
Tutakuja kujifunza zaidi kuhusu constructor kwenye OOP. kw aufupi hii ni njia ambay hutumika kutengeneza object moja kwa moja. Hapa tutatumia new map()
void main() {
var websites = new Map();
websites['jina'] = 'bongoclass';
websites['umri'] = 5;
websites['mmiliki'] = 'binafsi';
websites['hali'] = 'ipo hai';
print(websites);
}
{jina: bongoclass, umri: 5, mmiliki: binafsi, hali: ipo hai}
Map properties:
void main() {
var websites = new Map();
websites['jina'] = 'bongoclass';
websites['umri'] = 5;
websites['mmiliki'] = 'binafsi';
websites['hali'] = 'ipo hai';
print('key');
print(websites.keys);
print('values');
print(websites.values);
print('length');
print(websites.length);
print('is empty');
&nbs">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza Object pamoja na properties. Haa kwa ufupi tutakwenda kujifunza jinsi ya kutumia class.
Soma Zaidi...Katika somo lililopita tumejifunza kuhusu sintaksia za dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza variable kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static property na jinsi ambavyo inavyotumika.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kuziona method za dart zinazotumika kwenye namba. pia utajifunzakuhusu math library
Soma Zaidi...Katika somo hili tutawenda kujifunza kuhusu encapsulatio kwenye Dart OOP na jinsi inavyoweza kutumika.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia library ya html kwenye Dart. somo hili litakupeleka kujifunza jinsi ya ku display dart output kwenye faili la html.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jins ya kutengeneza constructor method, pia utajifunza matumizi yake kwenye OOP.
Soma Zaidi...Katika somo hiliutakwenda kujifunza aina nyingine ya constructor ambayo hutumika kwenye Dart. aina hiyo ni factory constructory.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya OOP na faida zake. Pia utakwenda kujifunza kuhusu features za OOP.
Soma Zaidi...