Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type
Tulishajifunza huko nyuma kuwa map data inakuwa na key na value. Pia tulijifunza jinsi ya lutengeneza map. Hapa kwanza tutaziona njia mbili za kutengeneza map ambazo hatukuzisoma huko mwanzoni.
At runtime
Hapa tutatengeneza data ya map wakati program inakuwa ina run
void main() {
var websites = {};
websites['jina'] = 'bongoclass';
websites['umri'] = 5;
websites['mmiliki'] = 'binafsi';
websites['hali'] = 'ipo hai';
print(websites);
}
Hii itatupa matokeo haya:-
{jina: bongoclass, umri: 5, mmiliki: binafsi, hali: ipo hai}
Kwa kutumia constructor
Tutakuja kujifunza zaidi kuhusu constructor kwenye OOP. kw aufupi hii ni njia ambay hutumika kutengeneza object moja kwa moja. Hapa tutatumia new map()
void main() {
var websites = new Map();
websites['jina'] = 'bongoclass';
websites['umri'] = 5;
websites['mmiliki'] = 'binafsi';
websites['hali'] = 'ipo hai';
print(websites);
}
{jina: bongoclass, umri: 5, mmiliki: binafsi, hali: ipo hai}
Map properties:
void main() {
var websites = new Map();
websites['jina'] = 'bongoclass';
websites['umri'] = 5;
websites['mmiliki'] = 'binafsi';
websites['hali'] = 'ipo hai';
print('key');
print(websites.keys);
print('values');
print(websites.values);
print('length');
print(websites.length);
print('is empty');
&nbs">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static property na jinsi ambavyo inavyotumika.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu inheritance, na inavyoweza kutumika kwenye Dart OOP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya polymorphism.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza Object pamoja na properties. Haa kwa ufupi tutakwenda kujifunza jinsi ya kutumia class.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kuziona method za dart zinazotumika kwenye namba. pia utajifunzakuhusu math library
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma na kuandika faili kwa kutumia Dart programming.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator kwenye Dart, kazi zake na jinsi ya kuzitumia.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu switch case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Dart.
Soma Zaidi...