DART somo la 20: method zinazotumika kwenye map data type kwenye Dart

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type

Tulishajifunza huko nyuma kuwa map data inakuwa na key na value. Pia tulijifunza jinsi ya lutengeneza map. Hapa kwanza tutaziona njia mbili za kutengeneza map ambazo hatukuzisoma huko mwanzoni.

 

At runtime

Hapa tutatengeneza data ya map wakati program inakuwa ina run

 

void main() {

 var websites = {};

 websites['jina'] = 'bongoclass';

 websites['umri'] = 5;

 websites['mmiliki'] = 'binafsi';

 websites['hali'] = 'ipo hai';

 

 print(websites);

}

Hii itatupa matokeo haya:-

{jina: bongoclass, umri: 5, mmiliki: binafsi, hali: ipo hai}

 

Kwa kutumia constructor 

Tutakuja kujifunza zaidi kuhusu constructor kwenye OOP. kw aufupi hii ni njia ambay hutumika kutengeneza object moja kwa moja. Hapa tutatumia new map()

 

void main() {

 var websites = new Map();

 websites['jina'] = 'bongoclass';

 websites['umri'] = 5;

 websites['mmiliki'] = 'binafsi';

 websites['hali'] = 'ipo hai';

 

 print(websites);

}

{jina: bongoclass, umri: 5, mmiliki: binafsi, hali: ipo hai}

 

Map properties:

  1. Key hutumika kupata key za map
  2. Values hutumika kupata value za map
  3. Lenght hutumika kupata idadi ya item
  4. isEmpty  kuangalia kama map ni tupu
  5. isNotEmpty kuangali kama map sio tupu

 

void main() {

 var websites = new Map();

 websites['jina'] = 'bongoclass';

 websites['umri'] = 5;

 websites['mmiliki'] = 'binafsi';

 websites['hali'] = 'ipo hai';

 

 print('key');

 print(websites.keys);

 

 print('values');

 print(websites.values);

 

 print('length');

 print(websites.length);

 

 print('is empty');

&nbs">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: DART Main: ICT File: Download PDF Views 503

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

DART somo la 21: Jinsi ya kutengeneza library kwenye Dart

Katika somo hili utajifunza kuhusu dart library. Pia tutakwend aktengeneza library yetu wennyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi.

Soma Zaidi...
DART somola 42: Asynchronous programming

Katika somo hili tutakwenda kujifunza concept nyingine ya asynchronous programming.

Soma Zaidi...
DART somo la 29: Dart encapsulation

Katika somo hili tutawenda kujifunza kuhusu encapsulatio kwenye Dart OOP na jinsi inavyoweza kutumika.

Soma Zaidi...
DART somo la 43: Stream kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda ujifunz akuhusu concept ya stream kwenye Dart. pia ttaona kwa namna gani strean inaweza kutofautiana na future wakati zote mbili zipo kwenye asychronous programming.

Soma Zaidi...
DART somo la 28: Named constructor na constant constructor kwenye OOP

Ka tika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya named constructor na constant constructor kwenye Object Oriented Programming.

Soma Zaidi...
DART somo la 40: factory constructor

Katika somo hiliutakwenda kujifunza aina nyingine ya constructor ambayo hutumika kwenye Dart. aina hiyo ni factory constructory.

Soma Zaidi...
DART somo la 32: Inheritance kwenye construct method:

Katika masomo yaliopita tumesha jifunza jinsi inheritance inavyokuwa, ila hatujaona kwa namna gani utaweza ku inherit constructor method. Somo hili litashughulika na swla hilo.

Soma Zaidi...
DART somo la 23: Jinsi ya kusoma mafaili kwa kutumia Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma na kuandika faili kwa kutumia Dart programming.

Soma Zaidi...
DART somo la 5: Reserved keywords kwenye lugah ya Dart

Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart

Soma Zaidi...
Dart somo la 25: DART OOP Nini maaan ya class na vipi utaweza kuitengeneza

Katika somo hili utajifunza maana ya class kwenye OOP paradigm, kisha utajifunza jinsi ya kutengeneza class.

Soma Zaidi...