picha
JAVASCRIPT - SOMO LA 19: JINSI YA KUTUMIA LOOP KWENYE JAVASCRIPT

Katika somo hilibtutakwenda kujifunza kuhusu loop. Katika programming tunaposema loop tunamaanisha ile hali ya program ku excute code zaidi na...

picha
JAVASCRIPT - SOMO LA 18: JINSI YA KUTUMIA SWITCH CASE KWENYE JAVASCRIPT

Kwa kutumia mfano huu na iliyotangulia unaweza kuweka masharti kadiri uwezavyo. Tukutane somo linalofuata tutajifunza kuhusu switch statement.

picha
JAVASCRIPT - SOMO LA 17: CONDITION STATEMENT ZA IF ELSE, ELSE IF KWENYE JAVASCRIPT

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu condition statemant. Darasa hili ni moja katika madarasa muhimu programming. Katika somo hili tutajifunza...

picha
JAVASCRIPT - SOMO LA 16: JINSI YA KUTUMIA HTML FORM KWENYE JAVASCRIPT

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku dili na html form kwenye javascript. Javascript inaweza kufanya mengi kwenye html...

picha
JAVASCRIPT - SOMO LA 15: JINSI YA KUKUSANYA USER INPUT

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu user input. Somo hili litaangalia html form na attribute zake na jinsi zinavyohusiana na...

picha
JAVASCRIPT - SOMO LA 14: JIFUNZE KUHUSU EVENT KWENYE JAVASCRIPT

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu javascript events. Event ni neno la Kiingereza lenye maana tukio wingi wake events kumaanisha...

picha
JAVASCRIPT - SOMO LA 13: FUNCTION ZINAZOFANYA KAZI KWENYE ARRAY.

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu array pamoja na method zinazohusiana na array. Pia nitakujuza tena kuhusu array ni nini....

picha
JAVASCRIPT - SOMO LA 12: FUNCTION ZINAZOTUMIKA KWENYE NAMBA

Katika somo hili utajifunz kuhusu baadhi ya function ambazo hutumika kwenye namba

picha
JAVASCRIPT - SOMO LA 11: FUNCTION MAALUMU ZINAZOTUMIKA KWENYE STRING YAANI STRING METHOD

Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function maaumu zinazotumika kwenye string yaani string method.

picha
JAVASCRIPT - SOMO LA 10: JINSI YA KUANDIKA OBJECT NA MATUMIZI YAKE KWENYE JAVASCRIPT

Ksomo hili litakwenda kukufundisha kuhusu object kwenye javascript, kazi zake na sheria zake katika kuiandika.

picha
JAVASCRIPT - SOMO LA 9: JINSI YA KUANDIKA FUNCTION KWENYE JAVASCRIPT

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function kwenye javascript. Utajifunz apia namna ya kuitumia function hiyo

picha
JAVASCRIPT - SOMO LA 8: AINA ZA DATA ZINAZOTUMIKA KWENYE JAVASCRIPT

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za data ambazo hutumika kwenye javascript

picha
JAVASCRIPT - SOMO LA 7: JINSI YA KUTUMIA LOGICAL OPERATOR KWENYE JAVASCRIPT

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia logical operator kwenye javascript. Katika somo hili tutakwenda kutumia mahesabu.

picha
JAVASCRIPT - SOMO LA 6: JINSI YA KUFANYA MAHESABU KWENYE JAVASCRIPT

Katika somo hili utajifunza kuhusu matendo ya hesabu ambayo ni kugawanya, kujumlisha, kuzidisha na kutoa

picha
JAVASCRIPT - SOMO LA 5: JINSI YA KUPANGILIA MAANDISHI WAKATI WA KU OUTPUT KWENYE JAVASCRIPT

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kupangilia muonekano wa maandishi (text) wakati wa ku out put matokeo ya code

picha
JAVASCRIPT - SOMO LA 4: JINSI YA KUANDIKA VARIABLE KWENYE JAVASCRIPT

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika variable. Hapa utajifunza sheria zinazohusu variable katika javascript

picha
JAVASCRIPT - SOMO LA 3: SHERIA ZA UANDISHI WA CODE ZA JAVASCRIPT YAANI SYNTAX ZA JAVASCRIPT

Katika somo hili utakwenda kujifunza sheria ama syntax za kuandika javascript. Hii itakuwezesha kuelwa zaidi code za javascript.

picha
JAVASCRIPT - SOMO LA 2: JISI YA KU PRINT OUTPUT YA CODE ZA JAVASCRIPT.

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ambavyo utaweza ku display matokeo ya code za javascript.

picha
JAVASCRIPT -SOMO LA 1: KWA NINI NI MUHIMU KUJIFUNZA JAVASCRIPT

Katika somo hili utajifunza kuhusu historia ya javacsript pamoja na kazi za javascript. Pia utayajuwa makampuni makubwa yanayotumia javascript.

picha
PHP - SOMO LA 48: JINSI YA KUZUIA HACKING KWENYE SYTEM YA KUJISAJILI NA KU LOGIN

Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo utaweza kutengeneza mfumo wa kuisajiki na ku login, kisha kuangalia usalama wa mfumo kwa...

picha
PHP - SOMO LA 47: JIFUNZE KUHUSU SQL INJECTION NA KUIZUIA

Katika somo hili utajwenda kujifunza jinsi ya kuzuia hacking kwenye website yako

picha
PHP - SOMO LA 46: NINI MAANA YA CRONJOB NA MATUMIZI YAKE

Katika somo hili utajifunza kuhusu cronjob na matumizi yake kwenye PHP

picha
PHP - SOMO LA 45: JINSI YA KUTUMA SMS KWA KUTUMIA PHP

Katika soko hili takwenda kujufunza jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP. Hii itasaidia kama unataka kutuma OTP yaqni...

picha
PHP - SOMO LA 44: NINI CURL NA NI YAPI MATUMIZI YAKE?

Katika somo hilibutajifunza maana ya cURL pamoja na matumini yake

Page 40 of 228

Kuhusu Bongoclass

image

Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.