picha

SQL somo la 16: Jinsi ya kuandaa matokeo ya Mtihani kwa kutumia database

Katika somo hili tutakwenda kumalizia program yetu ya kutengeneza matokeo ya wanafunzi kwa kuweka position kwa kila somo na position ya ujumla.

Kuweka poston kwa kila somo:

Sasa tutaanza na kutafuta position ya mwanafunzi kwa kila somo. Pia tutamuwekea Daraja lake.

 

Hapa tunakwenda kutumia kanuni nyingine. Kwanza tutatengeneza table alias ambayo tutanaka kuitengenezea position. Kwa mfano tutaanza na mtihani wa kusoma. KWa kuwa tayar tunajuwa jinsi ya kukokotoa Daraja yaan Grade hapo sitazungumznia. 

 

Kuhusu position kwanza tutatengeneza table alias. badala ya luita kusoma yutaipa alias Reading. Kisha ili tuweze kutafuta positio kwa simo husika hapa hatutatumia rank() over(). HApa tutatumia mfummo mwingine wa ku count, na kulinganisha alama.

(

    SELECT COUNT(kusoma)

    FROM majibu

    WHERE (kusoma > reading)

  ) AS kus_pafasi,

 

utaona hapo kwanz atime count row zinazohuscolumn ya kusoma, kwa kuangalia maksi kubwa. HApo itaangalia yenye maksi kubwa ndio inatangulia. mfano code hizo zitakupa matokeo haya

Changamoto ya kwanz ahapo utangunduwa kuw aimeanza kuhesabu kutoka 0 kwenda juu. sasa ili tuanzie moja tutaongeza namba moja hapo kwenye ku count

 

Sasa ngoja tuongeze na column ya grade. Lengo tuwe na somo, grade na position .

SELECT DISTINCT(concat(jina_la_kwanza, "  ", jina_la_pili)) as jina, kusoma as Reading,

CASE 

     WHEN kusoma > 40 THEN 'A'

     WHEN kusoma > 30 AND kusoma <41 THEN 'B'

     WHEN kusoma > 20 AND kusoma < 31 THEN 'C'

     WHEN kusoma > 10 AND kusoma < 20 THEN 'D'

     ELSE 'F'

END as GRADE,

 

(

    SELECT COUNT(kusoma) + 1

    FROM majibu

    WHERE (kusoma > reading)

  ) AS Rank,


 

kuandika, kuhesabu, (kusoma + kuandika + kuhesabu) as jumla, round(((kusoma + kuandika + kuhesabu)/3),1) as wastani FROM majibu;

 

Sasa ngoja tufanye hivyo kwa masomo yote yaliobakia.

SELECT DISTINCT(concat(jina_la_kwanza, "  ", jina_la_pili)) as jina, kusoma as Reading, 

CASE 

     WHEN kusoma > 40 THEN 'A'

     WHEN kusoma > 30 AND kusoma <41 THEN 'B'

     WHEN kusoma > 20 AND kusoma < 31 THEN 'C'

     WHEN kusoma > 10 AND kusoma < 20 THEN 'D'

     ELSE 'F'

END as GRADE,

 

(

    SELECT COUNT(kusoma) + 1

    FROM majibu

    WHERE (kusoma > reading)

  ) AS Rank,

kuandika as writing,

CASE 

     WHEN kuandika > 40 THEN 'A'

     WHEN kuandika > 30 AND kuandika <41 THEN 'B'

     WHEN kuandika > 20 AND kuandika < 31 THEN 'C'

     WHEN kuandika > 10 AND kuandika < 20 THEN 'D'

     ELSE 'F'

END as GRADE,

 

(

    SELECT COUNT(kuandika) + 1

    FROM majibu

    WHERE (kuandika > writing)

  ) AS Rank,


 

kuhesabu as arthmetics,

CASE 

     WHEN kuhesabu > 40 THEN 'A'

     WHEN kuhesabu > 30 AND kuhesabu <41 THEN 'B'

     WHEN kuhesabu > 20 AND kuhesabu < 31 THEN 'C'

     WHEN kuhesabu > 10 AND kuhesabu < 20 THEN 'D'

     ELSE 'F'

END as GRADE,

 

(

    SELECT COUNT(kuhesabu) + 1

    FROM majibu

    WHERE (kuhesabu > arthmetics)

  ) AS Rank,

 

(kusoma + kuandika + kuhesabu) as jumla, round(((kusoma + kuandika + kuhesabu)/3),1) as wastani FROM majibu;

 

 

Sasa tunakwenda kumalizia na kuweka position ya ujumla, kw akuangalia jumla ya asomo yake yote.

 

SELECT DISTINCT(concat(jina_la_kwanza, "  ", jina_la_pili)) as jina, kusoma as Reading, 

CASE 

     WHEN kusoma > 40 THEN 'A'

     WHEN kusoma > 30 AND kusoma <41 THEN 'B'

   &nbs">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2023-12-10 Topic: Database Main: ICT File: Download PDF Views 1836

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

SQL - MySQL somo la 12: Jinsi ya kutafuta wastani, jumla na idadi kwenye database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya mahesabu mbalimbali kwenye database. Kwa mfano kutafuta jumla, idadi na wastani

Soma Zaidi...
Database somo la 23: View kwenye Database

Katika somo hili utakwend akujifunza nadharia nzima ya view.

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 6: Jinsibya kutengeneza table kwenye database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza table za database

Soma Zaidi...
SQL somo la 15: Jinsi ya kutumia sql function kwenye mysql

Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function kwenye sql na jinsi ya kuzitumia.

Soma Zaidi...
SQL somo la 17: Jinsi ya kutengeneza variable kwenye mysql

Katika somo ili utakwend akujifunza jinsi ya kuweza kutengeneza variable kwenye database ya mysql

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 1: Jinsi ya kutumia database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandaa kompyuta ama simu yako kwa ajili ya mafunzo ya database

Soma Zaidi...
SQL - somo la 13: Jinsi ya kutumia CASE kwenye SQL

katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutumia case kwenye databse ili kuchakata taarifa za matokeo

Soma Zaidi...
SQL somo la 19: Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function

Somo hili ni muendelezo wa pale tulipoishia katika somo lililopita, hapa tutakwenda kusoma Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function

Soma Zaidi...
SQL -MySQL somo la 5: Aina za data zinazotumika kwenye Mysql Database

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za data zinazotumika kwenye mysql database

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 3: Jinsi ya kutengeneza database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza database kwenye mysql kwa kutumia interface ya mysql na kwa kutumia sql langauge

Soma Zaidi...