Katika somo hili tutakwenda kumalizia program yetu ya kutengeneza matokeo ya wanafunzi kwa kuweka position kwa kila somo na position ya ujumla.
Kuweka poston kwa kila somo:
Sasa tutaanza na kutafuta position ya mwanafunzi kwa kila somo. Pia tutamuwekea Daraja lake.
Hapa tunakwenda kutumia kanuni nyingine. Kwanza tutatengeneza table alias ambayo tutanaka kuitengenezea position. Kwa mfano tutaanza na mtihani wa kusoma. KWa kuwa tayar tunajuwa jinsi ya kukokotoa Daraja yaan Grade hapo sitazungumznia.
Kuhusu position kwanza tutatengeneza table alias. badala ya luita kusoma yutaipa alias Reading. Kisha ili tuweze kutafuta positio kwa simo husika hapa hatutatumia rank() over(). HApa tutatumia mfummo mwingine wa ku count, na kulinganisha alama.
(
SELECT COUNT(kusoma)
FROM majibu
WHERE (kusoma > reading)
) AS kus_pafasi,
utaona hapo kwanz atime count row zinazohuscolumn ya kusoma, kwa kuangalia maksi kubwa. HApo itaangalia yenye maksi kubwa ndio inatangulia. mfano code hizo zitakupa matokeo haya
Changamoto ya kwanz ahapo utangunduwa kuw aimeanza kuhesabu kutoka 0 kwenda juu. sasa ili tuanzie moja tutaongeza namba moja hapo kwenye ku count
Sasa ngoja tuongeze na column ya grade. Lengo tuwe na somo, grade na position .
SELECT DISTINCT(concat(jina_la_kwanza, " ", jina_la_pili)) as jina, kusoma as Reading,
CASE
WHEN kusoma > 40 THEN 'A'
WHEN kusoma > 30 AND kusoma <41 THEN 'B'
WHEN kusoma > 20 AND kusoma < 31 THEN 'C'
WHEN kusoma > 10 AND kusoma < 20 THEN 'D'
ELSE 'F'
END as GRADE,
(
SELECT COUNT(kusoma) + 1
FROM majibu
WHERE (kusoma > reading)
) AS Rank,
kuandika, kuhesabu, (kusoma + kuandika + kuhesabu) as jumla, round(((kusoma + kuandika + kuhesabu)/3),1) as wastani FROM majibu;
Sasa ngoja tufanye hivyo kwa masomo yote yaliobakia.
SELECT DISTINCT(concat(jina_la_kwanza, " ", jina_la_pili)) as jina, kusoma as Reading,
CASE
WHEN kusoma > 40 THEN 'A'
WHEN kusoma > 30 AND kusoma <41 THEN 'B'
WHEN kusoma > 20 AND kusoma < 31 THEN 'C'
WHEN kusoma > 10 AND kusoma < 20 THEN 'D'
ELSE 'F'
END as GRADE,
(
SELECT COUNT(kusoma) + 1
FROM majibu
WHERE (kusoma > reading)
) AS Rank,
kuandika as writing,
CASE
WHEN kuandika > 40 THEN 'A'
WHEN kuandika > 30 AND kuandika <41 THEN 'B'
WHEN kuandika > 20 AND kuandika < 31 THEN 'C'
WHEN kuandika > 10 AND kuandika < 20 THEN 'D'
ELSE 'F'
END as GRADE,
(
SELECT COUNT(kuandika) + 1
FROM majibu
WHERE (kuandika > writing)
) AS Rank,
kuhesabu as arthmetics,
CASE
WHEN kuhesabu > 40 THEN 'A'
WHEN kuhesabu > 30 AND kuhesabu <41 THEN 'B'
WHEN kuhesabu > 20 AND kuhesabu < 31 THEN 'C'
WHEN kuhesabu > 10 AND kuhesabu < 20 THEN 'D'
ELSE 'F'
END as GRADE,
(
SELECT COUNT(kuhesabu) + 1
FROM majibu
WHERE (kuhesabu > arthmetics)
) AS Rank,
(kusoma + kuandika + kuhesabu) as jumla, round(((kusoma + kuandika + kuhesabu)/3),1) as wastani FROM majibu;
Sasa tunakwenda kumalizia na kuweka position ya ujumla, kw akuangalia jumla ya asomo yake yote.
SELECT DISTINCT(concat(jina_la_kwanza, " ", jina_la_pili)) as jina, kusoma as Reading,
CASE
WHEN kusoma > 40 THEN 'A'
WHEN kusoma > 30 AND kusoma <41 THEN 'B'
WHEN kusoma > 20 AND k">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuweka data kwenye database, ku edit pamoja na kufuta kwa kutumia SQL na Myql interface
Soma Zaidi...katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutumia case kwenye databse ili kuchakata taarifa za matokeo
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu Primary Key na Foreign Key
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutafuta rank ama position kwenye data base yako kwa kutumia sql. Pia utajifunza kuhusu table alias
Soma Zaidi...Function hizi ni muhimu katika kubadili data kabla ya kuzionyesha. Hii ni muhimu ili kupata structure maalum ya data.
Soma Zaidi...Somo hili ni muendelezo wa pale tulipoishia katika somo lililopita, hapa tutakwenda kusoma Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function kwenye sql na jinsi ya kuzitumia.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza database kwenye mysql kwa kutumia interface ya mysql na kwa kutumia sql langauge
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database. Pia utajifunza jinsi ya ku limit kiasi cha data ambazo zitaonekana.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz akuunganisha table zaidi ya moja kwneye database.
Soma Zaidi...