SQL  somo la 16:  Jinsi ya kuandaa matokeo ya Mtihani kwa kutumia database

SQL somo la 16: Jinsi ya kuandaa matokeo ya Mtihani kwa kutumia database

Katika somo hili tutakwenda kumalizia program yetu ya kutengeneza matokeo ya wanafunzi kwa kuweka position kwa kila somo na position ya ujumla.

Download Post hii hapa

Kuweka poston kwa kila somo:

Sasa tutaanza na kutafuta position ya mwanafunzi kwa kila somo. Pia tutamuwekea Daraja lake.

 

Hapa tunakwenda kutumia kanuni nyingine. Kwanza tutatengeneza table alias ambayo tutanaka kuitengenezea position. Kwa mfano tutaanza na mtihani wa kusoma. KWa kuwa tayar tunajuwa jinsi ya kukokotoa Daraja yaan Grade hapo sitazungumznia. 

 

Kuhusu position kwanza tutatengeneza table alias. badala ya luita kusoma yutaipa alias Reading. Kisha ili tuweze kutafuta positio kwa simo husika hapa hatutatumia rank() over(). HApa tutatumia mfummo mwingine wa ku count, na kulinganisha alama.

(

    SELECT COUNT(kusoma)

    FROM majibu

    WHERE (kusoma > reading)

  ) AS kus_pafasi,

 

utaona hapo kwanz atime count row zinazohuscolumn ya kusoma, kwa kuangalia maksi kubwa. HApo itaangalia yenye maksi kubwa ndio inatangulia. mfano code hizo zitakupa matokeo haya

Changamoto ya kwanz ahapo utangunduwa kuw aimeanza kuhesabu kutoka 0 kwenda juu. sasa ili tuanzie moja tutaongeza namba moja hapo kwenye ku count

 

Sasa ngoja tuongeze na column ya grade. Lengo tuwe na somo, grade na position .

SELECT DISTINCT(concat(jina_la_kwanza, "  ", jina_la_pili)) as jina, kusoma as Reading,

CASE 

     WHEN kusoma > 40 THEN 'A'

     WHEN kusoma > 30 AND kusoma <41 THEN 'B'

     WHEN kusoma > 20 AND kusoma < 31 THEN 'C'

     WHEN kusoma > 10 AND kusoma < 20 THEN 'D'

     ELSE 'F'

END as GRADE,

 

(

    SELECT COUNT(kusoma) + 1

    FROM majibu

    WHERE (kusoma > reading)

  ) AS Rank,


 

kuandika, kuhesabu, (kusoma + kuandika + kuhesabu) as jumla, round(((kusoma + kuandika + kuhesabu)/3),1) as wastani FROM majibu;

 

Sasa ngoja tufanye hivyo kwa masomo yote yaliobakia.

SELECT DISTINCT(concat(jina_la_kwanza, "  ", jina_la_pili)) as jina, kusoma as Reading, 

CASE 

     WHEN kusoma > 40 THEN 'A'

     WHEN kusoma > 30 AND kusoma <41 THEN 'B'

     WHEN kusoma > 20 AND kusoma < 31 THEN 'C'

     WHEN kusoma > 10 AND kusoma < 20 THEN 'D'

     ELSE 'F'

END as GRADE,

 

(

    SELECT COUNT(kusoma) + 1

    FROM majibu

    WHERE (kusoma > reading)

  ) AS Rank,

kuandika as writing,

CASE 

     WHEN kuandika > 40 THEN 'A'

     WHEN kuandika > 30 AND kuandika <41 THEN 'B'

     WHEN kuandika > 20 AND kuandika < 31 THEN 'C'

     WHEN kuandika > 10 AND kuandika < 20 THEN 'D'

     ELSE 'F'

END as GRADE,

 

(

    SELECT COUNT(kuandika) + 1

    FROM majibu

    WHERE (kuandika > writing)

  ) AS Rank,


 

kuhesabu as arthmetics,

CASE 

     WHEN kuhesabu > 40 THEN 'A'

     WHEN kuhesabu > 30 AND kuhesabu <41 THEN 'B'

     WHEN kuhesabu > 20 AND kuhesabu < 31 THEN 'C'

     WHEN kuhesabu > 10 AND kuhesabu < 20 THEN 'D'

     ELSE 'F'

END as GRADE,

 

(

    SELECT COUNT(kuhesabu) + 1

    FROM majibu

    WHERE (kuhesabu > arthmetics)

  ) AS Rank,

 

(kusoma + kuandika + kuhesabu) as jumla, round(((kusoma + kuandika + kuhesabu)/3),1) as wastani FROM majibu;

 

 

Sasa tunakwenda kumalizia na kuweka position ya ujumla, kw akuangalia jumla ya asomo yake yote.

 

SELECT DISTINCT(concat(jina_la_kwanza, "  ", jina_la_pili)) as jina, kusoma as Reading, 

CASE 

     WHEN kusoma > 40 THEN 'A'

     WHEN kusoma > 30 AND kusoma <41 THEN 'B'

   &nbs">...

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Database Main: ICT File: Download PDF Views 923

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

SQL -MySQL somo la 4; Jinsi ya kufuta database, kuitumia database na kubadili jina la database pamoja
SQL -MySQL somo la 4; Jinsi ya kufuta database, kuitumia database na kubadili jina la database pamoja

Katika somo hili utajifunza kupata orodha ya database, kubadilibjina la database, kufuta database

Soma Zaidi...
SQL somo la 20: Jinsi ya kuunganisha table kwneye database
SQL somo la 20: Jinsi ya kuunganisha table kwneye database

Katika somo hili utakwend akujifunz akuunganisha table zaidi ya moja kwneye database.

Soma Zaidi...
Database somo la 26: Baadhi ya function za SQL ambayo hutumika kubadili data
Database somo la 26: Baadhi ya function za SQL ambayo hutumika kubadili data

Function hizi ni muhimu katika kubadili data kabla ya kuzionyesha. Hii ni muhimu ili kupata structure maalum ya data.

Soma Zaidi...
SQL -MySQL somo la 5: Aina za data zinazotumika kwenye Mysql Database
SQL -MySQL somo la 5: Aina za data zinazotumika kwenye Mysql Database

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za data zinazotumika kwenye mysql database

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 2: Maana ya database na ina za database na kazi zake
SQL - MySQL somo la 2: Maana ya database na ina za database na kazi zake

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za database, lugha ya sql pamoja kuzijuwa kazi zake

Soma Zaidi...
SQL somo la 19: Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function
SQL somo la 19: Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function

Somo hili ni muendelezo wa pale tulipoishia katika somo lililopita, hapa tutakwenda kusoma Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function

Soma Zaidi...
SQL somo la 14: Jinsi ya kutafuta rank na position kwa kutumia sql
SQL somo la 14: Jinsi ya kutafuta rank na position kwa kutumia sql

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutafuta rank ama position kwenye data base yako kwa kutumia sql. Pia utajifunza kuhusu table alias

Soma Zaidi...
Database somo la 24: Transaction kwenye database
Database somo la 24: Transaction kwenye database

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu nadharia ya transaction kwenye database

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 1: Jinsi ya kutumia database
SQL - MySQL somo la 1: Jinsi ya kutumia database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandaa kompyuta ama simu yako kwa ajili ya mafunzo ya database

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 6: Jinsibya kutengeneza table kwenye database
SQL - MySQL somo la 6: Jinsibya kutengeneza table kwenye database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza table za database

Soma Zaidi...