image

SQL somo la 16: Jinsi ya kuandaa matokeo ya Mtihani kwa kutumia database

Katika somo hili tutakwenda kumalizia program yetu ya kutengeneza matokeo ya wanafunzi kwa kuweka position kwa kila somo na position ya ujumla.

Kuweka poston kwa kila somo:

Sasa tutaanza na kutafuta position ya mwanafunzi kwa kila somo. Pia tutamuwekea Daraja lake.

 

Hapa tunakwenda kutumia kanuni nyingine. Kwanza tutatengeneza table alias ambayo tutanaka kuitengenezea position. Kwa mfano tutaanza na mtihani wa kusoma. KWa kuwa tayar tunajuwa jinsi ya kukokotoa Daraja yaan Grade hapo sitazungumznia. 

 

Kuhusu position kwanza tutatengeneza table alias. badala ya luita kusoma yutaipa alias Reading. Kisha ili tuweze kutafuta positio kwa simo husika hapa hatutatumia rank() over(). HApa tutatumia mfummo mwingine wa ku count, na kulinganisha alama.

(

    SELECT COUNT(kusoma)

    FROM majibu

    WHERE (kusoma > reading)

  ) AS kus_pafasi,

 

utaona hapo kwanz atime count row zinazohuscolumn ya kusoma, kwa kuangalia maksi kubwa. HApo itaangalia yenye maksi kubwa ndio inatangulia. mfano code hizo zitakupa matokeo haya

Changamoto ya kwanz ahapo utangunduwa kuw aimeanza kuhesabu kutoka 0 kwenda juu. sasa ili tuanzie moja tutaongeza namba moja hapo kwenye ku count

 

Sasa ngoja tuongeze na column ya grade. Lengo tuwe na somo, grade na position .

SELECT DISTINCT(concat(jina_la_kwanza, "  ", jina_la_pili)) as jina, kusoma as Reading,

CASE 

     WHEN kusoma > 40 THEN 'A'

     WHEN kusoma > 30 AND kusoma <41 THEN 'B'

     WHEN kusoma > 20 AND kusoma < 31 THEN 'C'

     WHEN kusoma > 10 AND kusoma < 20 THEN 'D'

     ELSE 'F'

END as GRADE,

 

(

    SELECT COUNT(kusoma) + 1

    FROM majibu

    WHERE (kusoma > reading)

  ) AS Rank,


 

kuandika, kuhesabu, (kusoma + kuandika + kuhesabu) as jumla, round(((kusoma + kuandika + kuhesabu)/3),1) as wastani FROM majibu;

 

Sasa ngoja tufanye hivyo kwa masomo yote yaliobakia.

SELECT DISTINCT(concat(jina_la_kwanza, "  ", jina_la_pili)) as jina, kusoma as Reading, 

CASE 

     WHEN kusoma > 40 THEN 'A'

     WHEN kusoma > 30 AND kusoma <41 THEN 'B'

     WHEN kusoma > 20 AND kusoma < 31 THEN 'C'

     WHEN kusoma > 10 AND kusoma < 20 THEN 'D'

     ELSE 'F'

END as GRADE,

 

(

    SELECT COUNT(kusoma) + 1

    FROM majibu

    WHERE (kusoma > reading)

  ) AS Rank,

kuandika as writing,

CASE 

     WHEN kuandika > 40 THEN 'A'

     WHEN kuandika > 30 AND kuandika <41 THEN 'B'

     WHEN kuandika > 20 AND kuandika < 31 THEN 'C'

     WHEN kuandika > 10 AND kuandika < 20 THEN 'D'

     ELSE 'F'

END as GRADE,

 

(

    SELECT COUNT(kuandika) + 1

    FROM majibu

    WHERE (kuandika > writing)

  ) AS Rank,


 

kuhesabu as arthmetics,

CASE 

     WHEN kuhesabu > 40 THEN 'A'

     WHEN kuhesabu > 30 AND kuhesabu <41 THEN 'B'

     WHEN kuhesabu > 20 AND kuhesabu < 31 THEN 'C'

     WHEN kuhesabu > 10 AND kuhesabu < 20 THEN 'D'

     ELSE 'F'

END as GRADE,

 

(

    SELECT COUNT(kuhesabu) + 1

    FROM majibu

    WHERE (kuhesabu > arthmetics)

  ) AS Rank,

 

(kusoma + kuandika + kuhesabu) as jumla, round(((kusoma + kuandika + kuhesabu)/3),1) as wastani FROM majibu;

 

 

Sasa tunakwenda kumalizia na kuweka position ya ujumla, kw akuangalia jumla ya asomo yake yote.

 

SELECT DISTINCT(concat(jina_la_kwanza, "  ", jina_la_pili)) as jina, kusoma as Reading, 

CASE 

     WHEN kusoma > 40 THEN 'A'

     WHEN kusoma > 30 AND kusoma <41 THEN 'B'

     WHEN kusoma > 20 AND kusoma">...



Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 490


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

SQL - MySQL somo la 6: Jinsibya kutengeneza table kwenye database
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza table za database Soma Zaidi...

SQL - MySQL somo la 11: Kudhibiti muonekano wa usomaji wa data kwenye database.
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kupangilia muonekano wa data kutoka kwenye database, kwa kudhibiti mpangilio wake. Soma Zaidi...

SQL - MySQL somo la 7: Jinsi ya kubadili jina table na column kwenye database
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili jina la table na jina la column kwenye mysql database. Soma Zaidi...

SQL somo la 15: Jinsi ya kutumia sql function kwenye mysql
Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function kwenye sql na jinsi ya kuzitumia. Soma Zaidi...

SQL - MySQL somo la 8: Jinsi ya kuweka data (taarifa) kwenye database
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuweka data kwenye database, ku edit pamoja na kufuta kwa kutumia SQL na Myql interface Soma Zaidi...

SQL - MySQL somo la 9: Jinsi ya kusoma data kwenye database
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database. Pia utajifunza jinsi ya ku limit kiasi cha data ambazo zitaonekana. Soma Zaidi...

SQL -MySQL somo la 4; Jinsi ya kufuta database, kuitumia database na kubadili jina la database pamoja
Katika somo hili utajifunza kupata orodha ya database, kubadilibjina la database, kufuta database Soma Zaidi...

SQL somo la 14: Jinsi ya kutafuta rank na position kwa kutumia sql
Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutafuta rank ama position kwenye data base yako kwa kutumia sql. Pia utajifunza kuhusu table alias Soma Zaidi...

SQL - MySQL somo la 1: Jinsi ya kutumia database
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandaa kompyuta ama simu yako kwa ajili ya mafunzo ya database Soma Zaidi...

SQL -MySQL somo la 5: Aina za data zinazotumika kwenye Mysql Database
Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za data zinazotumika kwenye mysql database Soma Zaidi...

SQL - somo la 13: Jinsi ya kutumia CASE kwenye SQL
katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutumia case kwenye databse ili kuchakata taarifa za matokeo Soma Zaidi...

SQL - MySQL somo la 12: Jinsi ya kutafuta wastani, jumla na idadi kwenye database
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya mahesabu mbalimbali kwenye database. Kwa mfano kutafuta jumla, idadi na wastani Soma Zaidi...