SQL somo la 16: Jinsi ya kuandaa matokeo ya Mtihani kwa kutumia database
Katika somo hili tutakwenda kumalizia program yetu ya kutengeneza matokeo ya wanafunzi kwa kuweka position kwa kila somo na position ya ujumla.
Kuweka poston kwa kila somo:
Sasa tutaanza na kutafuta position ya mwanafunzi kwa kila somo. Pia tutamuwekea Daraja lake.
Hapa tunakwenda kutumia kanuni nyingine. Kwanza tutatengeneza table alias ambayo tutanaka kuitengenezea position. Kwa mfano tutaanza na mtihani wa kusoma. KWa kuwa tayar tunajuwa jinsi ya kukokotoa Daraja yaan Grade hapo sitazungumznia.
Kuhusu position kwanza tutatengeneza table alias. badala ya luita kusoma yutaipa alias Reading. Kisha ili tuweze kutafuta positio kwa simo husika hapa hatutatumia rank() over(). HApa tutatumia mfummo mwingine wa ku count, na kulinganisha alama.
(
SELECT COUNT(kusoma)
FROM majibu
WHERE (kusoma > reading)
) AS kus_pafasi,
utaona hapo kwanz atime count row zinazohuscolumn ya kusoma, kwa kuangalia maksi kubwa. HApo itaangalia yenye maksi kubwa ndio inatangulia. mfano code hizo zitakupa matokeo haya
Changamoto ya kwanz ahapo utangunduwa kuw aimeanza kuhesabu kutoka 0 kwenda juu. sasa ili tuanzie moja tutaongeza namba moja hapo kwenye ku count
Sasa ngoja tuongeze na column ya grade. Lengo tuwe na somo, grade na position .
SELECT DISTINCT(concat(jina_la_kwanza, " ", jina_la_pili)) as jina, kusoma as Reading,
CASE
WHEN kusoma > 40 THEN 'A'
WHEN kusoma > 30 AND kusoma <41 THEN 'B'
WHEN kusoma > 20 AND kusoma < 31 THEN 'C'
WHEN kusoma > 10 AND kusoma < 20 THEN 'D'
ELSE 'F'
END as GRADE,
(
SELECT COUNT(kusoma) + 1
FROM majibu
WHERE (kusoma > reading)
) AS Rank,
kuandika, kuhesabu, (kusoma + kuandika + kuhesabu) as jumla, round(((kusoma + kuandika + kuhesabu)/3),1) as wastani FROM majibu;
Sasa ngoja tufanye hivyo kwa masomo yote yaliobakia.
SELECT DISTINCT(concat(jina_la_kwanza, " ", jina_la_pili)) as jina, kusoma as Reading,
CASE
WHEN kusoma > 40 THEN 'A'
WHEN kusoma > 30 AND kusoma <41 THEN 'B'
WHEN kusoma > 20 AND kusoma < 31 THEN 'C'
WHEN kusoma > 10 AND kusoma < 20 THEN 'D'
ELSE 'F'
END as GRADE,
(
SELECT COUNT(kusoma) + 1
FROM majibu
WHERE (kusoma > reading)
) AS Rank,
kuandika as writing,
CASE
WHEN kuandika > 40 THEN 'A'
WHEN kuandika > 30 AND kuandika <41 THEN 'B'
WHEN kuandika > 20 AND kuandika < 31 THEN 'C'
WHEN kuandika > 10 AND kuandika < 20 THEN 'D'
ELSE 'F'
END as GRADE,
(
SELECT COUNT(kuandika) + 1
FROM majibu
WHERE (kuandika > writing)
) AS Rank,
kuhesabu as arthmetics,
CASE
WHEN kuhesabu > 40 THEN 'A'
WHEN kuhesabu > 30 AND kuhesabu <41 THEN 'B'
WHEN kuhesabu > 20 AND kuhesabu < 31 THEN 'C'
WHEN kuhesabu > 10 AND kuhesabu < 20 THEN 'D'
ELSE 'F'
END as GRADE,
(
SELECT COUNT(kuhesabu) + 1
FROM majibu
WHERE (kuhesabu > arthmetics)
) AS Rank,
(kusoma + kuandika + kuhesabu) as jumla, round(((kusoma + kuandika + kuhesabu)/3),1) as wastani FROM majibu;
Sasa tunakwenda kumalizia na kuweka position ya ujumla, kw akuangalia jumla ya asomo yake yote.
SELECT DISTINCT(concat(jina_la_kwanza, " ", jina_la_pili)) as jina, kusoma as Reading,
CASE
WHEN kusoma > 40 THEN 'A'
WHEN kusoma > 30 AND kusoma <41 THEN 'B'
WHEN kusoma > 20 AND kusoma < 31 THEN 'C'
...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Simulizi za Hadithi Audio 👉2 Dua za Mitume na Manabii 👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉4 Kitabu cha Afya 👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉6 web hosting
Post zinazofanana:
SQL -MySQL somo la 5: Aina za data zinazotumika kwenye Mysql Database
Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za data zinazotumika kwenye mysql database
Soma Zaidi...Database somo la 22: Primary Key na Foreign Key
Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu Primary Key na Foreign Key
Soma Zaidi...Database seomo la 21: Constraints kwenye Database
Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu nadharia ya Constraints kwenye Database
Soma Zaidi...SQL - MySQL somo la 3: Jinsi ya kutengeneza database
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza database kwenye mysql kwa kutumia interface ya mysql na kwa kutumia sql langauge
Soma Zaidi...Database somo la 26: Baadhi ya function za SQL ambayo hutumika kubadili data
Function hizi ni muhimu katika kubadili data kabla ya kuzionyesha. Hii ni muhimu ili kupata structure maalum ya data.
Soma Zaidi...Database somo la 24: Transaction kwenye database
Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu nadharia ya transaction kwenye database
Soma Zaidi...