SQL somo la 16: Jinsi ya kuandaa matokeo ya Mtihani kwa kutumia database

Katika somo hili tutakwenda kumalizia program yetu ya kutengeneza matokeo ya wanafunzi kwa kuweka position kwa kila somo na position ya ujumla.

Kuweka poston kwa kila somo:

Sasa tutaanza na kutafuta position ya mwanafunzi kwa kila somo. Pia tutamuwekea Daraja lake.

 

Hapa tunakwenda kutumia kanuni nyingine. Kwanza tutatengeneza table alias ambayo tutanaka kuitengenezea position. Kwa mfano tutaanza na mtihani wa kusoma. KWa kuwa tayar tunajuwa jinsi ya kukokotoa Daraja yaan Grade hapo sitazungumznia. 

 

Kuhusu position kwanza tutatengeneza table alias. badala ya luita kusoma yutaipa alias Reading. Kisha ili tuweze kutafuta positio kwa simo husika hapa hatutatumia rank() over(). HApa tutatumia mfummo mwingine wa ku count, na kulinganisha alama.

(

    SELECT COUNT(kusoma)

    FROM majibu

    WHERE (kusoma > reading)

  ) AS kus_pafasi,

 

utaona hapo kwanz atime count row zinazohuscolumn ya kusoma, kwa kuangalia maksi kubwa. HApo itaangalia yenye maksi kubwa ndio inatangulia. mfano code hizo zitakupa matokeo haya

Changamoto ya kwanz ahapo utangunduwa kuw aimeanza kuhesabu kutoka 0 kwenda juu. sasa ili tuanzie moja tutaongeza namba moja hapo kwenye ku count

 

Sasa ngoja tuongeze na column ya grade. Lengo tuwe na somo, grade na position .

SELECT DISTINCT(concat(jina_la_kwanza, "  ", jina_la_pili)) as jina, kusoma as Reading,

CASE 

     WHEN kusoma > 40 THEN 'A'

     WHEN kusoma > 30 AND kusoma <41 THEN 'B'

     WHEN kusoma > 20 AND kusoma < 31 THEN 'C'

     WHEN kusoma > 10 AND kusoma < 20 THEN 'D'

     ELSE 'F'

END as GRADE,

 

(

    SELECT COUNT(kusoma) + 1

    FROM majibu

    WHERE (kusoma > reading)

  ) AS Rank,


 

kuandika, kuhesabu, (kusoma + kuandika + kuhesabu) as jumla, round(((kusoma + kuandika + kuhesabu)/3),1) as wastani FROM majibu;

 

Sasa ngoja tufanye hivyo kwa masomo yote yaliobakia.

SELECT DISTINCT(concat(jina_la_kwanza, "  ", jina_la_pili)) as jina, kusoma as Reading, 

CASE 

     WHEN kusoma > 40 THEN 'A'

     WHEN kusoma > 30 AND kusoma <41 THEN 'B'

     WHEN kusoma > 20 AND kusoma < 31 THEN 'C'

     WHEN kusoma > 10 AND kusoma < 20 THEN 'D'

     ELSE 'F'

END as GRADE,

 

(

    SELECT COUNT(kusoma) + 1

    FROM majibu

    WHERE (kusoma > reading)

  ) AS Rank,

kuandika as writing,

CASE 

     WHEN kuandika > 40 THEN 'A'

     WHEN kuandika > 30 AND kuandika <41 THEN 'B'

     WHEN kuandika > 20 AND kuandika < 31 THEN 'C'

     WHEN kuandika > 10 AND kuandika < 20 THEN 'D'

     ELSE 'F'

END as GRADE,

 

(

    SELECT COUNT(kuandika) + 1

    FROM majibu

    WHERE (kuandika > writing)

  ) AS Rank,


 

kuhesabu as arthmetics,

CASE 

     WHEN kuhesabu > 40 THEN 'A'

     WHEN kuhesabu > 30 AND kuhesabu <41 THEN 'B'

     WHEN kuhesabu > 20 AND kuhesabu < 31 THEN 'C'

     WHEN kuhesabu > 10 AND kuhesabu < 20 THEN 'D'

     ELSE 'F'

END as GRADE,

 

(

    SELECT COUNT(kuhesabu) + 1

    FROM majibu

    WHERE (kuhesabu > arthmetics)

  ) AS Rank,

 

(kusoma + kuandika + kuhesabu) as jumla, round(((kusoma + kuandika + kuhesabu)/3),1) as wastani FROM majibu;

 

 

Sasa tunakwenda kumalizia na kuweka position ya ujumla, kw akuangalia jumla ya asomo yake yote.

 

SELECT DISTINCT(concat(jina_la_kwanza, "  ", jina_la_pili)) as jina, kusoma as Reading, 

CASE 

     WHEN kusoma > 40 THEN 'A'

     WHEN kusoma > 30 AND kusoma <41 THEN 'B'

   &nbs">...

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Database Main: ICT File: Download PDF Views 883

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

SQL - MySQL somo la 10: Kupangilia muonekano wa data wakati wa kuzisoma kwenyed database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database katika mitindo mbalimbali kama kutoka kubwa kwenda ndogo, ama ndogo kwenda kubwa na mingineyo.

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 2: Maana ya database na ina za database na kazi zake

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za database, lugha ya sql pamoja kuzijuwa kazi zake

Soma Zaidi...
SQL somo la 20: Jinsi ya kuunganisha table kwneye database

Katika somo hili utakwend akujifunz akuunganisha table zaidi ya moja kwneye database.

Soma Zaidi...
SQL -MySQL somo la 4; Jinsi ya kufuta database, kuitumia database na kubadili jina la database pamoja

Katika somo hili utajifunza kupata orodha ya database, kubadilibjina la database, kufuta database

Soma Zaidi...
SQL -MySQL somo la 5: Aina za data zinazotumika kwenye Mysql Database

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za data zinazotumika kwenye mysql database

Soma Zaidi...
Database somo la 23: View kwenye Database

Katika somo hili utakwend akujifunza nadharia nzima ya view.

Soma Zaidi...
SQL somo la 19: Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function

Somo hili ni muendelezo wa pale tulipoishia katika somo lililopita, hapa tutakwenda kusoma Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function

Soma Zaidi...
Database somo la 22: Primary Key na Foreign Key

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu Primary Key na Foreign Key

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 11: Kudhibiti muonekano wa usomaji wa data kwenye database.

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kupangilia muonekano wa data kutoka kwenye database, kwa kudhibiti mpangilio wake.

Soma Zaidi...
SQL somo la 17: Jinsi ya kutengeneza variable kwenye mysql

Katika somo ili utakwend akujifunza jinsi ya kuweza kutengeneza variable kwenye database ya mysql

Soma Zaidi...