Katika somo hili tutakwenda kumalizia program yetu ya kutengeneza matokeo ya wanafunzi kwa kuweka position kwa kila somo na position ya ujumla.
Kuweka poston kwa kila somo:
Sasa tutaanza na kutafuta position ya mwanafunzi kwa kila somo. Pia tutamuwekea Daraja lake.
Hapa tunakwenda kutumia kanuni nyingine. Kwanza tutatengeneza table alias ambayo tutanaka kuitengenezea position. Kwa mfano tutaanza na mtihani wa kusoma. KWa kuwa tayar tunajuwa jinsi ya kukokotoa Daraja yaan Grade hapo sitazungumznia.
Kuhusu position kwanza tutatengeneza table alias. badala ya luita kusoma yutaipa alias Reading. Kisha ili tuweze kutafuta positio kwa simo husika hapa hatutatumia rank() over(). HApa tutatumia mfummo mwingine wa ku count, na kulinganisha alama.
(
SELECT COUNT(kusoma)
FROM majibu
WHERE (kusoma > reading)
) AS kus_pafasi,
utaona hapo kwanz atime count row zinazohuscolumn ya kusoma, kwa kuangalia maksi kubwa. HApo itaangalia yenye maksi kubwa ndio inatangulia. mfano code hizo zitakupa matokeo haya
Changamoto ya kwanz ahapo utangunduwa kuw aimeanza kuhesabu kutoka 0 kwenda juu. sasa ili tuanzie moja tutaongeza namba moja hapo kwenye ku count
Sasa ngoja tuongeze na column ya grade. Lengo tuwe na somo, grade na position .
SELECT DISTINCT(concat(jina_la_kwanza, " ", jina_la_pili)) as jina, kusoma as Reading,
CASE
WHEN kusoma > 40 THEN 'A'
WHEN kusoma > 30 AND kusoma <41 THEN 'B'
WHEN kusoma > 20 AND kusoma < 31 THEN 'C'
WHEN kusoma > 10 AND kusoma < 20 THEN 'D'
ELSE 'F'
END as GRADE,
(
SELECT COUNT(kusoma) + 1
FROM majibu
WHERE (kusoma > reading)
) AS Rank,
kuandika, kuhesabu, (kusoma + kuandika + kuhesabu) as jumla, round(((kusoma + kuandika + kuhesabu)/3),1) as wastani FROM majibu;
Sasa ngoja tufanye hivyo kwa masomo yote yaliobakia.
SELECT DISTINCT(concat(jina_la_kwanza, " ", jina_la_pili)) as jina, kusoma as Reading,
CASE
WHEN kusoma > 40 THEN 'A'
WHEN kusoma > 30 AND kusoma <41 THEN 'B'
WHEN kusoma > 20 AND kusoma < 31 THEN 'C'
WHEN kusoma > 10 AND kusoma < 20 THEN 'D'
ELSE 'F'
END as GRADE,
(
SELECT COUNT(kusoma) + 1
FROM majibu
WHERE (kusoma > reading)
) AS Rank,
kuandika as writing,
CASE
WHEN kuandika > 40 THEN 'A'
WHEN kuandika > 30 AND kuandika <41 THEN 'B'
WHEN kuandika > 20 AND kuandika < 31 THEN 'C'
WHEN kuandika > 10 AND kuandika < 20 THEN 'D'
ELSE 'F'
END as GRADE,
(
SELECT COUNT(kuandika) + 1
FROM majibu
WHERE (kuandika > writing)
) AS Rank,
kuhesabu as arthmetics,
CASE
WHEN kuhesabu > 40 THEN 'A'
WHEN kuhesabu > 30 AND kuhesabu <41 THEN 'B'
WHEN kuhesabu > 20 AND kuhesabu < 31 THEN 'C'
WHEN kuhesabu > 10 AND kuhesabu < 20 THEN 'D'
ELSE 'F'
END as GRADE,
(
SELECT COUNT(kuhesabu) + 1
FROM majibu
WHERE (kuhesabu > arthmetics)
) AS Rank,
(kusoma + kuandika + kuhesabu) as jumla, round(((kusoma + kuandika + kuhesabu)/3),1) as wastani FROM majibu;
Sasa tunakwenda kumalizia na kuweka position ya ujumla, kw akuangalia jumla ya asomo yake yote.
SELECT DISTINCT(concat(jina_la_kwanza, " ", jina_la_pili)) as jina, kusoma as Reading,
CASE
WHEN kusoma > 40 THEN 'A'
WHEN kusoma > 30 AND kusoma <41 THEN 'B'
&nbs">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Somo hili ni muendelezo wa pale tulipoishia katika somo lililopita, hapa tutakwenda kusoma Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili jina la table na jina la column kwenye mysql database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za data zinazotumika kwenye mysql database
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kupangilia muonekano wa data kutoka kwenye database, kwa kudhibiti mpangilio wake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya mahesabu mbalimbali kwenye database. Kwa mfano kutafuta jumla, idadi na wastani
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database katika mitindo mbalimbali kama kutoka kubwa kwenda ndogo, ama ndogo kwenda kubwa na mingineyo.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu nadharia ya transaction kwenye database
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function kwenye sql na jinsi ya kuzitumia.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz akuunganisha table zaidi ya moja kwneye database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu aina nyingine ya database inayoitwa sqlite. Hii haihitaji server, na ni faili moja tu.
Soma Zaidi...