SQL somo la 14: Jinsi ya kutafuta rank na position kwa kutumia sql

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutafuta rank ama position kwenye data base yako kwa kutumia sql. Pia utajifunza kuhusu table alias

Kabla ya kuendelea na somo, kwanza nataka kukufundisha kitu kinachoitwa alias. kwenye database hii keyword ina maana unakwenda kubadili jina la table ama database temporary yaani sio permanent. tulishatumia hii keyword hapo juu. hapa nitakupa ,ifano zaidi.

 

Tebo yetu ina column 3 ambazo ni id, jina, alama. Sasa kwa sababu za kiusalama tunataka column jina na alama tuzipe majina ya utani ili mtu mwingine asijuwe jina halisi la hizo column. kwa nini ni muhimu? ni kwa sababu hacker anaweza kufanya uharibifu kwa haraka endapo atalijuwa jina halisi la databae ama column.

 

Hivyo column id  tutatiita, column jina  tutaiita name na column alama tutaiita marks. Kwa kutumia alias tunaweza kufanya hivyo. kwanza utaweka jina halisi likifuatiwa na keyword as ikifuatiwa na jina la utani ama alias .

Mfano.

 

SELECT id as NO, jina as name, alama as marks FROM `majibu` 

 

Utaona hapo column zetu zimepata majina mapya. Sasa unaweza kutumia majina hayo kwenye code zako za PHP kwa usalama zaidi wa project yako.

 

Sasa turudi kwenye somo letu la kutafuta rank ama position. Ili uweze kutafuta rank zipo njia nyingi ila hapa tutatumia function ya RANK() OVER () katika somo linalofuata tutajifunza kuhusu function kwenye sql. hivyo hapa elewa kwanza functio hii tunayokwend akuitumia.

 

Ndani ya function hii tutakwenda ku order by hapa utachaguwa hiyo position yako ama rank unataka kuangalia vigezo gani. Kwa mfano hapo tutaangalia kmwenye marks nyingi zaidi ndiye wa kwanza, hivyo  itatubidi ku oder by marks ila tutazipanga kutoka kubwa kuja ndogo yaani desc hivyo function yetu itasomeka hivi rank over(order by marks desc) baada ya hapo utaweka alias na kuweka jina la hiyo column yenye rank, ">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Database Main: ICT File: Download PDF Views 664

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

SQL - MySQL somo la 7: Jinsi ya kubadili jina table na column kwenye database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili jina la table na jina la column kwenye mysql database.

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 3: Jinsi ya kutengeneza database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza database kwenye mysql kwa kutumia interface ya mysql na kwa kutumia sql langauge

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 12: Jinsi ya kutafuta wastani, jumla na idadi kwenye database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya mahesabu mbalimbali kwenye database. Kwa mfano kutafuta jumla, idadi na wastani

Soma Zaidi...
Database somo la 24: Transaction kwenye database

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu nadharia ya transaction kwenye database

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 6: Jinsibya kutengeneza table kwenye database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza table za database

Soma Zaidi...
Database somo la 25: Utangulizi wa Database ya sqlite

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu aina nyingine ya database inayoitwa sqlite. Hii haihitaji server, na ni faili moja tu.

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 2: Maana ya database na ina za database na kazi zake

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za database, lugha ya sql pamoja kuzijuwa kazi zake

Soma Zaidi...
SQL somo la 18: Jinsi ya kutengeneza function kwenye mysql database

Wakati mwingne utahitaji kuwa na function ili kurahisisha uchakataji wa data nyingi bila ya kurudia rudia kuandika code.

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 9: Jinsi ya kusoma data kwenye database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database. Pia utajifunza jinsi ya ku limit kiasi cha data ambazo zitaonekana.

Soma Zaidi...
SQL somo la 15: Jinsi ya kutumia sql function kwenye mysql

Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function kwenye sql na jinsi ya kuzitumia.

Soma Zaidi...