SQL somo la 14: Jinsi ya kutafuta rank na position kwa kutumia sql

SQL somo la 14: Jinsi ya kutafuta rank na position kwa kutumia sql

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutafuta rank ama position kwenye data base yako kwa kutumia sql. Pia utajifunza kuhusu table alias

Download Post hii hapa

Kabla ya kuendelea na somo, kwanza nataka kukufundisha kitu kinachoitwa alias. kwenye database hii keyword ina maana unakwenda kubadili jina la table ama database temporary yaani sio permanent. tulishatumia hii keyword hapo juu. hapa nitakupa ,ifano zaidi.

 

Tebo yetu ina column 3 ambazo ni id, jina, alama. Sasa kwa sababu za kiusalama tunataka column jina na alama tuzipe majina ya utani ili mtu mwingine asijuwe jina halisi la hizo column. kwa nini ni muhimu? ni kwa sababu hacker anaweza kufanya uharibifu kwa haraka endapo atalijuwa jina halisi la databae ama column.

 

Hivyo column id  tutatiita, column jina  tutaiita name na column alama tutaiita marks. Kwa kutumia alias tunaweza kufanya hivyo. kwanza utaweka jina halisi likifuatiwa na keyword as ikifuatiwa na jina la utani ama alias .

Mfano.

 

SELECT id as NO, jina as name, alama as marks FROM `majibu` 

 

Utaona hapo column zetu zimepata majina mapya. Sasa unaweza kutumia majina hayo kwenye code zako za PHP kwa usalama zaidi wa project yako.

 

Sasa turudi kwenye somo letu la kutafuta rank ama position. Ili uweze kutafuta rank zipo njia nyingi ila hapa tutatumia function ya RANK() OVER () katika somo linalofuata tutajifunza kuhusu function kwenye sql. hivyo hapa elewa kwanza functio hii tunayokwend akuitumia.

 

Ndani ya function hii tutakwenda ku order by hapa utachaguwa hiyo position yako ama rank unataka kuangalia vigezo gani. Kwa mfano hapo tutaangalia kmwenye marks nyingi zaidi ndiye wa kwanza, hivyo  itatubidi ku oder by marks ila tutazipanga kutoka kubwa kuja ndogo yaani desc hivyo function yetu itasomeka hivi rank over(order by marks desc) baada ya hapo utaweka alias na kuweka jina la hiyo column yenye rank, ">...

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Database Main: ICT File: Download PDF Views 479

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

SQL - MySQL somo la 1: Jinsi ya kutumia database
SQL - MySQL somo la 1: Jinsi ya kutumia database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandaa kompyuta ama simu yako kwa ajili ya mafunzo ya database

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 6: Jinsibya kutengeneza table kwenye database
SQL - MySQL somo la 6: Jinsibya kutengeneza table kwenye database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza table za database

Soma Zaidi...
Database seomo la 21: Constraints kwenye Database
Database seomo la 21: Constraints kwenye Database

Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu nadharia ya Constraints kwenye Database

Soma Zaidi...
SQL -MySQL somo la 5: Aina za data zinazotumika kwenye Mysql Database
SQL -MySQL somo la 5: Aina za data zinazotumika kwenye Mysql Database

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za data zinazotumika kwenye mysql database

Soma Zaidi...
SQL somo la 15: Jinsi ya kutumia sql  function kwenye mysql
SQL somo la 15: Jinsi ya kutumia sql function kwenye mysql

Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function kwenye sql na jinsi ya kuzitumia.

Soma Zaidi...
SQL -MySQL somo la 4; Jinsi ya kufuta database, kuitumia database na kubadili jina la database pamoja
SQL -MySQL somo la 4; Jinsi ya kufuta database, kuitumia database na kubadili jina la database pamoja

Katika somo hili utajifunza kupata orodha ya database, kubadilibjina la database, kufuta database

Soma Zaidi...
Database somo la 22: Primary Key na Foreign Key
Database somo la 22: Primary Key na Foreign Key

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu Primary Key na Foreign Key

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 10: Kupangilia muonekano wa data wakati wa kuzisoma kwenyed database
SQL - MySQL somo la 10: Kupangilia muonekano wa data wakati wa kuzisoma kwenyed database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database katika mitindo mbalimbali kama kutoka kubwa kwenda ndogo, ama ndogo kwenda kubwa na mingineyo.

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 3: Jinsi ya kutengeneza database
SQL - MySQL somo la 3: Jinsi ya kutengeneza database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza database kwenye mysql kwa kutumia interface ya mysql na kwa kutumia sql langauge

Soma Zaidi...
Database somo la 25: Utangulizi wa Database ya sqlite
Database somo la 25: Utangulizi wa Database ya sqlite

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu aina nyingine ya database inayoitwa sqlite. Hii haihitaji server, na ni faili moja tu.

Soma Zaidi...