image

PHP somo la 59: static property kwenye PHP

Katika somo hili utakwend kujifunza kuhusu static property na jnsi inavyotumika

Static property ni  nini

Kama ilivyo static method basi na static property ni property ambayo inaweza kutumiaka moja kwa moja bila ya iinstance of class. 

 

Hapa nitakupa mifano miwili tena, kwanz ani property ambayo sio static na mfano wa pili ni property ambayo ni static. Bila shaka utapata kuelewa vyema. Hata hivyo hakuna utofauti na static method.

 

<?php

class gari {

   public $jina = 'Toyota';

}

$myob = new gari();

echo $myob->jina;

?>

Kama tulivyoona kwenye static method basi hata kwenye static property tunatumia scope operator (::) ili kuweza kuitumia

<?php

class gari {

   public static $jina = 'Toyota';

}

echo gari::$jina;

?>

Endapo static property itatumika ndani ya class basi tutatumia ke">...



Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 226


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

PHP somola 63: Jinsi ya ku connect database kwa kutumia PDO na faida zake
Katika soo hili utakwenda kujifunza umuhmu wa kutumia PDO kwenye PHP kwa ajili ya kutumia database. Soma Zaidi...

PHP - somo la 35: Jinsi ya ku upload mafaili kwa kutumia PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku upload mafaili kwenye server kwa kutumia PHP Soma Zaidi...

PHP somo la 51: Jinsi ya kutumia consctuct na destruct function
Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP Soma Zaidi...

PHP somo la 66: Jinsi ya ku edit data na kufuta kwenye database kwa kutumia PDO
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi jinsi ya ku edit ama ku update data na kuzifuta kwenye database kwa kutumia PDO Soma Zaidi...

PHP BLOG - somo la 5: Jinsi ya kuandika code za PHP kwa ajili ya kuweka post kwenye blog
Katika ukurasa huu utakwenda kujifunz jinsi ya kuandika code za php kwa ajili ya kutuma post yetu kwenye blog. Soma Zaidi...

PHP - somo la 45: Jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP
Katika soko hili takwenda kujufunza jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP. Hii itasaidia kama unataka kutuma OTP yaqni Onetime password Soma Zaidi...

PHP somo la 19: Jinsi ya kudhibiti mpangilio wa data baada ya kuzisoma
Katika somo hili utajifunza kupangilia data wakati wa kuzisoma kwenye database kw akutumia PHP Soma Zaidi...

PHP somo la 65: Jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO. Soma Zaidi...

PHP BLOG - somo la 4: Jinsi ya kutengeneza ukurasa kwa ajili ya kupost
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kupost kwa kutumia html form Soma Zaidi...

PHP - somo la 12: Jinsi ya kufanyia kazi taarifa zilizokusanywa kutoka kwa mtumiaji
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia taarifa ambazo zimekusanywa kutoka kwa mtumiaji ili kuweka kutatuwa hoja mbalimbali Soma Zaidi...

PHP - somo la 10: Jinsi ya kundika condition statement if, ifelse na switch case
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu condition statements if, ifelse na switch case. Hata utajifunza jnsi ya kuziandika na zinavyofanya kazi Soma Zaidi...

PHP - somo la 23: Jinsi ya kutumia condition statement kwenye database kwa kutumia PHP
Katika somo hili utakwenda kuona namna ya kutuia if else kwenye data zilizopo kwenye database kwa kutumia PHP Soma Zaidi...