Katika somo hili utakwend kujifunza kuhusu static property na jnsi inavyotumika
Static property ni nini
Kama ilivyo static method basi na static property ni property ambayo inaweza kutumiaka moja kwa moja bila ya iinstance of class.
Hapa nitakupa mifano miwili tena, kwanz ani property ambayo sio static na mfano wa pili ni property ambayo ni static. Bila shaka utapata kuelewa vyema. Hata hivyo hakuna utofauti na static method.
<?php
class gari {
public $jina = 'Toyota';
}
$myob = new gari();
echo $myob->jina;
?>
Kama tulivyoona kwenye static method basi hata kwenye static property tunatumia scope operator (::) ili kuweza kuitumia
<?php
class gari {
public static $jina = 'Toyota';
}
echo gari::$jina;
?>
Endapo static property itat">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza class na object. Tunakwenda kutumia mfano wetu wa hapo juu kwa ajili ya kukamilisha somo hili.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu cronjob na matumizi yake kwenye PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika constant kwenye PHP. Pia utajifunza utofauti wake na variable
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia PHP.
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia php function ya email()
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda jifunza jinsi ya kuhesabu row kwenye database, kutafuta wastani wa taarifa kwenye database na kutafuta idadi yake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http redirect header
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu access modifier ili kuweza kuthibiti nama ya kuzitumia properties kwenye class.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza aina kuu 3 za variable katika PHP mabzo ni local variable, global variable na static variable.
Soma Zaidi...