Katika somo hili utakwend kujifunza kuhusu static property na jnsi inavyotumika
Static property ni nini
Kama ilivyo static method basi na static property ni property ambayo inaweza kutumiaka moja kwa moja bila ya iinstance of class.
Hapa nitakupa mifano miwili tena, kwanz ani property ambayo sio static na mfano wa pili ni property ambayo ni static. Bila shaka utapata kuelewa vyema. Hata hivyo hakuna utofauti na static method.
<?php
class gari {
public $jina = 'Toyota';
}
$myob = new gari();
echo $myob->jina;
?>
Kama tulivyoona kwenye static method basi hata kwenye static property tunatumia scope operator (::) ili kuweza kuitumia
<?php
class gari {
public static $jina = 'Toyota';
}
echo gari::$jina;
?>
Endapo static property itat">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
katika post hii utajifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa dashboard kwa ajili ya kutibti post
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jisni ya kudhibiti error ambazo zinaweza kutokea wakati wa ku encode na ku decoe json data
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufuta table ya databse kwa kutumia PHP. Pia utajifunza jinsi ya kututa database yeto
Soma Zaidi...Faili la env ni moja kati ya mafaili ambayo ni muhimu kwa usalama wa project. Fili hili hutumika kuhifadhi data za siri
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda Jinsi ya kutengeneza ORM inayofanya CDRUDE operation.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kukusanya taarifa ambazo watu wamezijaza kwa kutumia fomu ya html. Kisha utajifunza jinsi ya kuzisoma hizo taarifa.
Soma Zaidi...Katika somo hilibutajifunza maana ya cURL pamoja na matumini yake
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuingiza data kwenye dtabase kwa kutumia PHP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email ambayo ina HTML, pia utajifunza kutuma email yenye picha na attachment nyinginezo kama pdf
Soma Zaidi...