Katika soo hili utakwenda kujifunza umuhmu wa kutumia PDO kwenye PHP kwa ajili ya kutumia database.
PHP PDO:
SOMO LA KWANZA
Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya PDO na faida zake.
Ni nini maana ya PDO?
PDO ni kifupisho cha maneno Php Data Object, ni extension ya PHP ambayo hutumika katika ku access aina mbalimbali za database kwa kutumia PHP. kwa kutumia PDO code hizo hizo unaweza kuzitumia kwenye database nyingine tofauti na ilivyo kwa kutumia mysqli.
Faida za PDO
Database ambazo hutumika kwenye PDO
PDO Classes:
Kuna class 3 ambazo hutumika kwenye PDO ambazo ni:-
Jinsi ya kuunganisha database:
Sasa tutaanza kujifunz ajinsi ya kuunganisha database. Hapa nitatumia njia mbili mbili. Ila kwanza tengeneza database ambayo tutakwenda kuitumia. Kama unakumbuka somo lililotangulia tulitumia database inaitwa matokeo. Hivyo ndio tunakwenda kuitumia.
Mfano:
<?php
$dbHost="localhost";
$dbName="matokeo";
$dbUser="root";
$dbPassword="";
try{
$conn= new PDO("mysql:host=$dbHost;dbname=$dbName",$dbUser,$dbPassword);
//Set the PDO error mode to exception.
$conn->setAttribute(PDO::ATTR_ERRMODE, PDO::ERRMODE_EXCEPTION);
Echo "Database imeunganishwa";
} catch(Exception $e){
 ">...
Umeionaje Makala hii.. ?
katika post hii utajifunza jinsi ya kufuta post kwenye database. pia utajifunza jinsi ya kufuta picha kwenye server
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja.
Soma Zaidi...Katika somo hili uatakwenda kujifunza jinsi ya kutumia htaccess ili kubadili muonekano wa link ya website ama blog ili kuifanya iwe rafiki zaidi.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza jinsi ya kutengeneza table ambayo tutaitumia kwenye blog yetu
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku update na kufuta data kwenye database kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya sqlite kwa kutumia PHP.
Soma Zaidi...katika somo hili utajfunza kukusanya taarifa za mafaili. kisha ku upload hayo mafaili. kisha kuandika hizo taarifa za mafaii kwenye database
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http redirect header
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika while loop kwenye PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu array kwenye php, na jinsi zinavyoweza kufanya kazi
Soma Zaidi...