picha

PHP somola 63: Jinsi ya ku connect database kwa kutumia PDO na faida zake

Katika soo hili utakwenda kujifunza umuhmu wa kutumia PDO kwenye PHP kwa ajili ya kutumia database.

PHP PDO:

SOMO LA KWANZA

Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya PDO na  faida zake.

 

Ni nini maana ya PDO?

PDO ni kifupisho cha maneno Php Data Object, ni extension ya PHP ambayo hutumika katika ku access aina mbalimbali za database kwa kutumia PHP. kwa kutumia PDO code hizo hizo unaweza kuzitumia kwenye database nyingine tofauti na ilivyo kwa kutumia mysqli.

 

Faida za PDO

  1. Hurahisisha katika kutumia aina nyingine za database
  2. Ni rahisi kutumiwa kwenye OOP
  3. Inaongeza usalama zaidi

 

Database ambazo hutumika kwenye PDO

  1. Mysql
  2. PostgreSQL
  3. Oracle
  4. Firebird
  5. MS SQL Server
  6. Sybase
  7. Informix
  8. IBM
  9. freeTDS
  10. SQLite
  11. Cubrid
  12. 4D

 

PDO Classes:

Kuna class 3 ambazo hutumika kwenye PDO ambazo ni:-

  1. PDO: hii ndio hutumika kwenye connection kati ya PHP na database
  2. PDOStatement hii ndio sehemu ambayo ina prepared statement baada ya ku execute sql statement
  3. PDOException hii ndio sehemu ambayo inatumika kuonyesha error zinazotarajiwa kutokea.

 

Jinsi ya kuunganisha database:

Sasa tutaanza kujifunz ajinsi ya kuunganisha database. Hapa nitatumia njia mbili mbili. Ila kwanza tengeneza database ambayo tutakwenda kuitumia. Kama unakumbuka somo lililotangulia tulitumia database inaitwa matokeo. Hivyo ndio tunakwenda kuitumia.

Mfano:

<?php

$dbHost="localhost";

$dbName="matokeo";

$dbUser="root";

$dbPassword="";

try{

   $conn= new PDO("mysql:host=$dbHost;dbname=$dbName",$dbUser,$dbPassword);

   //Set the PDO error mode to exception.

   $conn->setAttribute(PDO::ATTR_ERRMODE, PDO::ERRMODE_EXCEPTION);

   Echo "Database imeunganishwa";

} catch(Exception $e){

 ">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2023-12-31 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 1416

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 web hosting    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

PHP BLOG - somo la 9: Jinsi ya ku edit poost

Katika somo hil utawenda kujifunza jinsi ya ku edit post kwenye databse

Soma Zaidi...
PHP - somo la 32: Jinsi ya kutumia filter_var() function kwenye PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutumia filter_var() function kwa ajili ya kuchuja code zilizo hatari kwenye PHP file

Soma Zaidi...
PHP somo la 83: Server Variables

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu server variables

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 4: Jinsi ya kutengeneza ukurasa kwa ajili ya kupost

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kupost kwa kutumia html form

Soma Zaidi...
PHP somola 69: jinsi ya kutuma email kwa watu zaidi ya mmoja kwa kutumia PHPMailer

Katika somo il utajifunza kutuma email kwa watu wengi kwa kutumia PHPMailer. Pia utajifunza jinsi ya kuweka Carbon Copy na Blind Carbon Copy

Soma Zaidi...
PHP somo la 97: Jinsi ya kuchakata data zaidi kwa kutumia ORM

Katika somo hili utakwenda kujifunz akuchakata data zaidi kw akutumia ORM kama ku join table

Soma Zaidi...
PHP somo la 91: Mambo ya kuzingatia unapokuwa unashughulika na data za json

Haya ni mabo ya kuzingatia unapo encode ama ku decode data za json

Soma Zaidi...
PHP - somo la 43: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia email() function ya PHP. Hii ni njia rahisi zaidi ya kutuma email. Ila hufanya kazi kwenye hosting.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 15: Jinsi ya kutengeneza table kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza tabale kwenye database ya mysql .

Soma Zaidi...
PHP - somo la 14: Jinsi ya kutengeneza database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza database kwenye mysql database.

Soma Zaidi...