Katika soo hili utakwenda kujifunza umuhmu wa kutumia PDO kwenye PHP kwa ajili ya kutumia database.
PHP PDO:
SOMO LA KWANZA
Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya PDO na faida zake.
Ni nini maana ya PDO?
PDO ni kifupisho cha maneno Php Data Object, ni extension ya PHP ambayo hutumika katika ku access aina mbalimbali za database kwa kutumia PHP. kwa kutumia PDO code hizo hizo unaweza kuzitumia kwenye database nyingine tofauti na ilivyo kwa kutumia mysqli.
Faida za PDO
Database ambazo hutumika kwenye PDO
PDO Classes:
Kuna class 3 ambazo hutumika kwenye PDO ambazo ni:-
Jinsi ya kuunganisha database:
Sasa tutaanza kujifunz ajinsi ya kuunganisha database. Hapa nitatumia njia mbili mbili. Ila kwanza tengeneza database ambayo tutakwenda kuitumia. Kama unakumbuka somo lililotangulia tulitumia database inaitwa matokeo. Hivyo ndio tunakwenda kuitumia.
Mfano:
<?php
$dbHost="localhost";
$dbName="matokeo";
$dbUser="root";
$dbPassword="";
try{
$conn= new PDO("mysql:host=$dbHost;dbname=$dbName",$dbUser,$dbPassword);
//Set the PDO error mode to exception.
$conn->setAttribute(PDO::ATTR_ERRMODE, PDO::ERRMODE_EXCEPTION);
Echo "Database imeunganishwa";
} catch(Exception $e){
 ">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua. Umeionaje Makala hii.. ? Hapa utajifunza jinsi ya kutengeneza table ambayo tutaitumia kwenye blog yetu Katika somo hili uttakwend akujifunz ajinsi ambavyo utaweza kutengeneza simple ORM yakwako mwenyewe Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya interface na concept ya polymorphism kwenye PHP OOP. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi jinsi ya ku edit ama ku update data na kuzifuta kwenye database kwa kutumia PDO Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO. Katika somo hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PDO. crude operation inahusu create, read, update. Delete. Katika somo hili utakwenda Jinsi ya kutengeneza ORM inayofanya CDRUDE operation. Katika ukurasa huu utakwenda kujifunz jinsi ya kuandika code za php kwa ajili ya kutuma post yetu kwenye blog. Katika somo hili utakwendakujifunza concept ya namespaces na jinsi inavyosaidi kwenye OOP katika post hii utajifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa dashboard kwa ajili ya kutibti post Download App Yetu
👉1
Kitabu cha Afya
👉2
kitabu cha Simulizi
👉3
Bongolite - Game zone - Play free game
👉4
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉5
Kitau cha Fiqh
👉6
Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
PHP BLOG - somo la 3: Jinsi ya kutengeneza table kwenye databse kwa ajili ya blog
PHP somo la 95: Jinsi ya kutengeneza customer ORM
PHP somo la 56:class interface na polymorphism kwenye PHP OOP
PHP somo la 66: Jinsi ya ku edit data na kufuta kwenye database kwa kutumia PDO
PHP somo la 65: Jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO
PHP somo la 67: Project ya CUDE operaton wa utuma OOP na PDO
PHP somo la 96: Jinsi ya kutengeneza ORM inayofanya CDRUDE operation
PHP BLOG - somo la 5: Jinsi ya kuandika code za PHP kwa ajili ya kuweka post kwenye blog
PHP somo la 60: namespace na matumizi yake kwenye PHP
PHP BLOG - somo la 6: Jinsi ya kutengeneza dashboard kwa ajili ya blog