Katika soo hili utakwenda kujifunza umuhmu wa kutumia PDO kwenye PHP kwa ajili ya kutumia database.
PHP PDO:
SOMO LA KWANZA
Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya PDO na faida zake.
Ni nini maana ya PDO?
PDO ni kifupisho cha maneno Php Data Object, ni extension ya PHP ambayo hutumika katika ku access aina mbalimbali za database kwa kutumia PHP. kwa kutumia PDO code hizo hizo unaweza kuzitumia kwenye database nyingine tofauti na ilivyo kwa kutumia mysqli.
Faida za PDO
Database ambazo hutumika kwenye PDO
PDO Classes:
Kuna class 3 ambazo hutumika kwenye PDO ambazo ni:-
Jinsi ya kuunganisha database:
Sasa tutaanza kujifunz ajinsi ya kuunganisha database. Hapa nitatumia njia mbili mbili. Ila kwanza tengeneza database ambayo tutakwenda kuitumia. Kama unakumbuka somo lililotangulia tulitumia database inaitwa matokeo. Hivyo ndio tunakwenda kuitumia.
Mfano:
<?php
$dbHost="localhost";
$dbName="matokeo";
$dbUser="root";
$dbPassword="";
try{
$conn= new PDO("mysql:host=$dbHost;dbname=$dbName",$dbUser,$dbPassword);
//Set the PDO error mode to exception.
$conn->setAttribute(PDO::ATTR_ERRMODE, PDO::ERRMODE_EXCEPTION);
Echo "Database imeunganishwa";
} catch(Exception $e){
 ">...
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utajifunza kuhusu syntax za PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cross - Orgn Resource Sharing ama inafupishwa kama CORSE header
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Authentication header, najinsi ya kutuma taarifa hizo na kuzisoma
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda Jinsi ya kutengeneza ORM inayofanya CDRUDE operation.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kutumia prepared ststement kwenye ku fetch data kutoka kwenye database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za loop DO, FOR, FOREACH LOOPS kwenye PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo unaweza kutengeneza blog ambayo utaweza ku upload faili na kuandika makala kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu condition statements if, ifelse na switch case. Hata utajifunza jnsi ya kuziandika na zinavyofanya kazi
Soma Zaidi...Huu ni mwendelezo wa mafunzo ya PHP na hapa tunaaza rasmi advanced PHP. tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye PHP. Ni vyema kabla ya kuanza course hii ya advanced PHP uwe una uelewa wa kutosha kuhusu mafunzo yetu ya PHP.
Soma Zaidi...katika post hii utajifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa dashboard kwa ajili ya kutibti post
Soma Zaidi...