PHP somola 63: Jinsi ya ku connect database kwa kutumia PDO na faida zake
Katika soo hili utakwenda kujifunza umuhmu wa kutumia PDO kwenye PHP kwa ajili ya kutumia database.
PHP PDO:
SOMO LA KWANZA
Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya PDO na faida zake.
Ni nini maana ya PDO?
PDO ni kifupisho cha maneno Php Data Object, ni extension ya PHP ambayo hutumika katika ku access aina mbalimbali za database kwa kutumia PHP. kwa kutumia PDO code hizo hizo unaweza kuzitumia kwenye database nyingine tofauti na ilivyo kwa kutumia mysqli.
Faida za PDO
- Hurahisisha katika kutumia aina nyingine za database
- Ni rahisi kutumiwa kwenye OOP
- Inaongeza usalama zaidi
Database ambazo hutumika kwenye PDO
- Mysql
- PostgreSQL
- Oracle
- Firebird
- MS SQL Server
- Sybase
- Informix
- IBM
- freeTDS
- SQLite
- Cubrid
- 4D
PDO Classes:
Kuna class 3 ambazo hutumika kwenye PDO ambazo ni:-
- PDO: hii ndio hutumika kwenye connection kati ya PHP na database
- PDOStatement hii ndio sehemu ambayo ina prepared statement baada ya ku execute sql statement
- PDOException hii ndio sehemu ambayo inatumika kuonyesha error zinazotarajiwa kutokea.
Jinsi ya kuunganisha database:
Sasa tutaanza kujifunz ajinsi ya kuunganisha database. Hapa nitatumia njia mbili mbili. Ila kwanza tengeneza database ambayo tutakwenda kuitumia. Kama unakumbuka somo lililotangulia tulitumia database inaitwa matokeo. Hivyo ndio tunakwenda kuitumia.
Mfano:
<?php
$dbHost="localhost";
$dbName="matokeo";
$dbUser="root";
$dbPassword="";
try{
$conn= new PDO("mysql:host=$dbHost;dbname=$dbName",$dbUser,$dbPassword);
//Set the PDO error mode to exception.
$conn->setAttribute(PDO::ATTR_ERRMODE, PDO::ERRMODE_EXCEPTION);
Echo "Database imeunganishwa";
} catch(Exception $e){
Echo "Imefeli kuunganishwa" . $e->getMessage();
}
?>
Maelezo:
Ukiangalia hapo mwanzoni kabisa tumetumia try na d catch block. Hizi ni block mbili ambazo tuzo tunakwend akuzifanyia kazi hapa
try{
}catch{
}
Try block:
Ndani ya try ni kuwa unakwenda kuangalia hapa ndipo ambapo panakaa code ambazo zinakwenda kutupa e...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 Dua za Mitume na Manabii 👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉4 kitabu cha Simulizi 👉5 web hosting 👉6 Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
PHP somo la 74: aina za http headerna server variable
Katika somo hii utakwenda kujifunza aina za http header na server variable. Hapa tutakwenda kuchambuwa mgawanyiko wa httpheader na kazi zake.
Soma Zaidi...PHP - somo la 13: Jinsi ya kuunganisha database na website
Katika somo hili utajifunza jinsi ya ku connect database, kwa kutumia php
Soma Zaidi...PHP somola 78: Cookie Headers
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cookie Headers
Soma Zaidi...PHP - somo la 2: sheria za uandishi wa code za PHP
Katika somo hili utajifunza kuhusu syntax za PHP
Soma Zaidi...PHP - somo la 46: Nini maana ya cronjob na matumizi yake
Katika somo hili utajifunza kuhusu cronjob na matumizi yake kwenye PHP
Soma Zaidi...PHP - somo la 37: Jinsi ya kutengeneza blog post kwa kutumia PHP
Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo unaweza kutengeneza blog ambayo utaweza ku upload faili na kuandika makala kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...