Somo hili linalenga kukujuza juu ya umuhimu wa tikiti kwenye afya ya mwili
Umuhimu wa tikiti
1. Hufanya mwili uwe na maji mengi
2. Tikiti Lina virutubisho Kama vitamin C, A, B1, B5 na B6 pia Lina madini ya magnesium na potassium
3. Husaidia kuzuia saratani
4. Huimarisha afya ya moyo
5. Hupunguza msongo wa mawazo
6. Hupunguza udhaifu wa viungo kwa wazee
7. Husaidia kuboresha afya ya nywele na ngozi
8. Huboresha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Usiwashangae wanaokula lima, kwa hakika kuna faida kubwa kiafya kula limao, je unazijuwa faida hizo
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa maziwa
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya hatari kwa mjamzito hasa mimba changa
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu upungufu wa protini na dalili zake
Soma Zaidi...Nyanya ni katika viungio vya mboga, kuna faida kubwa za kiafya katika nyanya
Soma Zaidi...Palachichi lina virutubisho vingi na vitamini, kula palachichi uiokoe afya yako
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa chai
Soma Zaidi...