Somo hili linalenga kukujuza juu ya umuhimu wa tikiti kwenye afya ya mwili
Umuhimu wa tikiti
1. Hufanya mwili uwe na maji mengi
2. Tikiti Lina virutubisho Kama vitamin C, A, B1, B5 na B6 pia Lina madini ya magnesium na potassium
3. Husaidia kuzuia saratani
4. Huimarisha afya ya moyo
5. Hupunguza msongo wa mawazo
6. Hupunguza udhaifu wa viungo kwa wazee
7. Husaidia kuboresha afya ya nywele na ngozi
8. Huboresha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi faida za majani ya mstafeli,ni majani ambayo utibu magonjwa mbalimbali hasa saratani, kwa hiyo tunapaswa kuyatumia ili tuweze kupata matibabu ya kansa mbalimbali.
Soma Zaidi...Somo hili litakwenda kukueleza kuhusu faida za chungwa na chenza mwilini
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha aina za vyakula ambavyo vinaweza kuongeza damu kwa haraka.
Soma Zaidi...hivi ndio vyakula vya protini kwa wingi, maziwa, mayai, samaki, dagaa, nyama, maini. Endelea na zaidi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula topetope
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea matunda yenye vitamin C kwa wingi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi ya Piriton katika kutibu mzio au akeji ni dawa ambayo kwa lingine huitwa chlorpheniramine Maleate.
Soma Zaidi...