Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu access modifier ili kuweza kuthibiti nama ya kuzitumia properties kwenye class.
Access modifier zipo katika makundi makuu matatu ambayo ni:-
Public hii inaweza kutumiwa popote, protected hii hutumiwa popote ndani ya class husika ama class iliyotokana na class husika, private, hii hutumka ndani ya class husika tu. ili uelewa hapa angalia mfano huu
<?php
class gari {
public $jina;
protected $speed;
private $transition;
}
$toyota = new gari();
$toyota->jina = 'Toyota avalon'; // OK
echo $toyota->jina;
$speed = new gari();
$speed->speed = '180k/h'; // ERROR
echo $speed->speed;
$transition = new gari();
$transition->transition = 'manual'; // ERROR
echo $transition->transition;
?>
Code hizi zina error kwenye speed na transition ni kwa sababu hizo hapo tumezitumia nje ya class gari. Sasa kwa mujibu wa access modifire ili tuweze kui access nje a class lazima iwe public kama ilivyo hapo kwa jina. Lakini speed na transition sio public hivyo hatuwezi kuzitumia nje ya clas">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutumia filter_var() function kwa ajili ya kuchuja code zilizo hatari kwenye PHP file
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za loop DO, FOR, FOREACH LOOPS kwenye PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifnza jinsi ya kufanya prepared statement kama njia ya kuzuia sql ingection kwenye PHP blog
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email ambayo ina HTML, pia utajifunza kutuma email yenye picha na attachment nyinginezo kama pdf
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuzungumza na server ili kutengeneza mafaili, mafolda, kufuta na ku edit kwa kutumia PHP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function za PHP kama require() na iclude()
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye PHP
Soma Zaidi...