PHP somo la 52: Aina za access modifire na zinavyotofautiana.

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu access modifier ili kuweza kuthibiti nama ya kuzitumia properties kwenye class.

Access modifier zipo katika makundi makuu matatu ambayo ni:-

  1. Public
  2. Protected
  3. Private

 

Public hii inaweza kutumiwa popote, protected hii hutumiwa popote ndani ya class husika ama class iliyotokana na class husika, private, hii hutumka ndani ya class husika tu. ili uelewa hapa angalia mfano huu

<?php

class gari {

    public $jina;

    protected $speed;

    private $transition;

}

 

$toyota = new gari();

$toyota->jina = 'Toyota avalon'; // OK

echo $toyota->jina;

 

$speed = new gari();

$speed->speed = '180k/h'; // ERROR

echo $speed->speed;

 

$transition = new gari();

$transition->transition = 'manual'; // ERROR

echo $transition->transition;

?>

 

Code hizi zina error kwenye speed na transition ni kwa sababu hizo hapo tumezitumia nje ya class gari. Sasa kwa mujibu wa access modifire ili tuweze kui access nje a class lazima iwe public kama ilivyo hapo kwa jina. Lakini speed na transition sio public hivyo hatuwezi kuzitumia nje ya clas">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 1639

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

PHP somo la 60: namespace na matumizi yake kwenye PHP

Katika somo hili utakwendakujifunza concept ya namespaces na jinsi inavyosaidi kwenye OOP

Soma Zaidi...
PHP somo la 64: Jinsi ya kutengeneza database na kuingiza data kwa kuumia PDO

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja.

Soma Zaidi...
PHP somo la 96: Jinsi ya kutengeneza ORM inayofanya CDRUDE operation

Katika somo hili utakwenda Jinsi ya kutengeneza ORM inayofanya CDRUDE operation.

Soma Zaidi...
PHP somo la 79: Custom header

Katika somo hili utakwenda kuhifunza kuhusu Custom header na aina zake

Soma Zaidi...
PHP - somo la 48: Jinsi ya kuzuia hacking kwenye sytem ya kujisajili na ku login

Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo utaweza kutengeneza mfumo wa kuisajiki na ku login, kisha kuangalia usalama wa mfumo kwa kuzuia sql injection.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 21: Jinsi ya kutafuta kitu kwenye database kwa mutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifundisha jinsi ya kutafuta taarifa maalumu kwenye database kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...
PHP somo la 70: jinsi ya kutuma email yenye html, picha na attachment

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email ambayo ina HTML, pia utajifunza kutuma email yenye picha na attachment nyinginezo kama pdf

Soma Zaidi...
PHP - somo la 41: Jinsi ya kufanya hashing kwenye PHP

Katika somo hili utajifunza jinsiya kufanya hashing taarifa muhimu kama password. Kufanya hashing kunaongeza usalama wa taarifa za waumiaji kwenye blog yako.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 11: Jinsi ya kutuma tarifa zilizojazwa kwenye form

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kukusanya taarifa za watumiaji kwa kutumia html form.

Soma Zaidi...
Jinsi ya kutuma Email kwa kutumia PHP

Katika post hii utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia php function ya email()

Soma Zaidi...