picha
PYTHON - SOMO LA 7: JINSI YA KUBADILI AINA YA DATA

Katika soo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubaduli aina moja ya data kwena aina nyingine. Kwa mfano unaweza kubadili namba...

picha
PYTHON - SOMO LA 6: JINSI YA KUJUWA AINA YA DATA ILIYOTUMIKA

Katika somo hili utajifunza jisni ya kujuwa aina ya data iliyotumika kwenye python

picha
PYHON - SOMO LA 5: AINA ZA DATA LIST, TURPLE, DICTIONARY NA BOOLEAN

Katika somo hili tunakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python.

picha
PYTHON - SOMO LA 4: AINA ZA DATA KWENYE PYTHON

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye python. hapa utajifunza aina kuu 3 za data.

picha
PYTHON - SOMO LA 3: JINSI YA KUANDIKA VARIABLE KWENYE PYTHON

Katika somo hili utajifunza maana ya variable, na sheria za kutengeneza variable kwenye python. Pia utajifunza maneno ambayo hayafai kutumiwa...

picha
PYTHON - SOMO LA 2: SHERIA ZA UANDISHI WA PYHTON YAANI SYNTAX ZA PYTHON

Katika somo hili utakwenda kujifunza syntaxy za python yaani sheria na kanuni za kuandika code za python

picha
PYTHON - SOMO LA 1: JINSI YA KU INSTALL PYTHON

Katika somo hili utajifunza kuhusu maana ya python na kazi zake. pia jinsi ya kuandaa kifaa chako kwa ajili ya...

picha
PHP BLOG - SOMO LA 12: JINSI YA KUTUMIA PREPARED STATEMENT KWENYE KUSOMA POST ZA BLOG

Katika somo hili tutakwenda kutumia prepared ststement kwenye ku fetch data kutoka kwenye database.

picha
PHP BLOG - SOMO LA 11: JINSI YA KUTUMIA PREPARED STATEMENT

Katika somo hili utajifnza jinsi ya kufanya prepared statement kama njia ya kuzuia sql ingection kwenye PHP blog

picha
PHP BLOG - SOMO LA 10: JINSI YA KUFANYA SANITIZATION

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufanya sanitization kwenye user input ili kuzuia sql injection kwenye database.

picha
PHP BLOG - SOMO LA 9: JINSI YA KU EDIT POOST

Katika somo hil utawenda kujifunza jinsi ya ku edit post kwenye databse

picha
PHP BLOG - SOMO LA 8: JINSI YA KUFUTA POST KWENYE DATABASE

katika post hii utajifunza jinsi ya kufuta post kwenye database. pia utajifunza jinsi ya kufuta picha kwenye server

picha
PHP BLOG - SOMO LA 7: JINSI YA KUTENGENEZA UKURASA WA KUSOMA POST KWENYE BLOG

HApa utakwenda kujifunza sasa namna ya kuzisoma post kutoka kwenye blog

picha
PHP BLOG - SOMO LA 6: JINSI YA KUTENGENEZA DASHBOARD KWA AJILI YA BLOG

katika post hii utajifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa dashboard kwa ajili ya kutibti post

picha
PHP BLOG - SOMO LA 5: JINSI YA KUANDIKA CODE ZA PHP KWA AJILI YA KUWEKA POST KWENYE BLOG

Katika ukurasa huu utakwenda kujifunz jinsi ya kuandika code za php kwa ajili ya kutuma post yetu kwenye blog.

picha
PHP BLOG - SOMO LA 4: JINSI YA KUTENGENEZA UKURASA KWA AJILI YA KUPOST

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kupost kwa kutumia html form

picha
PHP BLOG - SOMO LA 3: JINSI YA KUTENGENEZA TABLE KWENYE DATABSE KWA AJILI YA BLOG

Hapa utajifunza jinsi ya kutengeneza table ambayo tutaitumia kwenye blog yetu

picha
PHP BLOG - SOMO LA 2: JINSI YA KUTENGENEZA DATABASE NA KUIUNGANISHA KWENYE BLOG

Katika somo hili unakwenda kujifunza jinsi y kutengeneza database na kuungansha kwenye blog yetu.

picha
PHP BLOG - SOMO LA 1: UTANGULIZI NA JINSI YA KUANDAA KWA AJILI YA SOMO

Katika course hii utakwenda kujifundisha jinsi ya lutengeneza blog kutoka mwanzo hadi mwisho.

picha
JAVASCRIPT - SOMO LA 24: JINSI YA KUTENGENEZA ONLINE KEYBOARD

Katika project hii utakwenda kufunza jinsi utakavyoweza kutengeneza keyboard ya online kwa kutumia javascript

picha
JAVASCRIPT - SOMO LA 23: JINSI YA KUTENGENEZA CALCULATOR YAANI KIKOKOTOO CHA HESABU KWA KUTUMIA JAVASCRIPT

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ambavyo utaweza kutumia javascript kutengeneza kikokotoo cha hesabu yaani calculator

picha
JAVASCRIPT - SOMO LA 22: JINSI YA KU SET TIME NA TAREHE

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu ku set time. Yaani tutaweka muda ambao code zinatakiwa ndio zilete matokeo.

picha
JAVASCRIPT - SOMO LA 21: JINSI YA KUTUMIA WHILE LOOP NA DO WHILE LOOP

Katika somo hili tutakwenda kujifunza khusu while loop na do while loop.

picha
JAVASCRIPT - SOMO LA 20 JINSI YA KUTUMIA FOOFLOOP KWENYE JAVASCRIPT

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutumia forOfLoop. Hii ni aina ya loop ambayo yenyewe inahusisha item zote kwenye array.

Page 39 of 228

Kuhusu Bongoclass

image

Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.