picha

DART SOMO LA 16: String method zinazotumika kwneye Dart

Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart.

Method ni nini?

Method ni kama function tofauti ni kuwa method zina mahusiano makubwa na object. Hapa nitakuletea baadhi tu ya method zinazotumika kwenye string:-

 

1. String length

Hii hutumika katika kujuwa je string ina character ngapi.

void main(){

 String text = "haloo bongoclass";

 print(text.length);

}

Hii itakupa jibu 16 kumaanisha hapo kuna herufi (character) 16

 

2. Kubadili herufi kuwa ndogo au kubwa

kubadil i kuwa herufi ndogo utatumia  toLowerCase     na kubadili kuwa kubwa utatumia toUpperCase

void main(){

 String text1 = "haloo bongoclass";

 String text2 = "HALOO BONGOCLASS";

 print(text1.toUpperCase());

 print(text2.toLowerCase());

}

HALOO BONGOCLASS

haloo bongoclass

 

3. Kuigawa string kwenye (substring)

Kwa mfano katika neno bongoclass tunataka kuprint neno bongo tu. hapo tutaangalia hilo bongo linapatikana kutka characterya ngapi hadi ya ngapi

void main(){

 String text = "bongoclass";

 print(text.substring(0, 5));

}

bongo

 

4. Kuchuja string (contains)

Kwa mfano unahitaji kuangalia kama je neno fulani lipo ama halipo kwenye string.  Kama lipo utapata jibu true na kama halipo jibu ni false. Wacha tuangalie je neno class lipo kwenye neno bongoclass?

void main(){

 String text = "bongoclass";

 print(text.contains('class'));

}

true

 

5. Kubadili string kuwa list data type (split)

Hapa tutakwenda kuigawa string kwenye mafungu. Kw amfano neno haloo karibu bongo class. Tutaga...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: DART Main: Masomo File: Download PDF Views 1000

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉4 ai web app     👉5 Kitau cha Fiqh     👉6 kitabu cha Simulizi    

Post zinazofanana:

DART somo la 10: while loop na do while loop kwenye Dart

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Dart.

Soma Zaidi...
DART - somo la 1: Kazi za dart programming na historia yake

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu kazi za dart language. Pia nimekuandalia istoria fupi ya lugha ya DART.

Soma Zaidi...
DART somo la 40: factory constructor

Katika somo hiliutakwenda kujifunza aina nyingine ya constructor ambayo hutumika kwenye Dart. aina hiyo ni factory constructory.

Soma Zaidi...
DART somo la 21: Jinsi ya kutengeneza library kwenye Dart

Katika somo hili utajifunza kuhusu dart library. Pia tutakwend aktengeneza library yetu wennyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi.

Soma Zaidi...
DART somo la 41: concept ya generic kwenye dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya generics ili kuweza kufanya kazi na aina mbalimbali za data kwenye class.

Soma Zaidi...
DART somo la 7: matumizi ya if, else, if else, else if kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement

Soma Zaidi...