DART SOMO LA 16: String method zinazotumika kwneye Dart
Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart.
Method ni nini?
Method ni kama function tofauti ni kuwa method zina mahusiano makubwa na object. Hapa nitakuletea baadhi tu ya method zinazotumika kwenye string:-
1. String length
Hii hutumika katika kujuwa je string ina character ngapi.
void main(){
String text = "haloo bongoclass";
print(text.length);
}
Hii itakupa jibu 16 kumaanisha hapo kuna herufi (character) 16
2. Kubadili herufi kuwa ndogo au kubwa
kubadil i kuwa herufi ndogo utatumia toLowerCase na kubadili kuwa kubwa utatumia toUpperCase
void main(){
String text1 = "haloo bongoclass";
String text2 = "HALOO BONGOCLASS";
print(text1.toUpperCase());
print(text2.toLowerCase());
}
HALOO BONGOCLASS
haloo bongoclass
3. Kuigawa string kwenye (substring)
Kwa mfano katika neno bongoclass tunataka kuprint neno bongo tu. hapo tutaangalia hilo bongo linapatikana kutka characterya ngapi hadi ya ngapi
void main(){
String text = "bongoclass";
print(text.substring(0, 5));
}
bongo
4. Kuchuja string (contains)
Kwa mfano unahitaji kuangalia kama je neno fulani lipo ama halipo kwenye string. Kama lipo utapata jibu true na kama halipo jibu ni false. Wacha tuangalie je neno class lipo kwenye neno bongoclass?
void main(){
String text = "bongoclass";
print(text.contains('class'));
}
true
5. Kubadili string kuwa list data type (split)
Hapa tutakwenda kuigawa string kwenye mafungu. Kw amfano neno haloo karibu bongo class. Tutaga...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 ai web app
Post zinazofanana:
DART SOMO LA 14: Aina za function kwenye Dart
Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.
Soma Zaidi...DART somo la 20: method zinazotumika kwenye map data type kwenye Dart
Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type
Soma Zaidi...DART somo la 37: Class interface
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract
Soma Zaidi...DART somo la 10: while loop na do while loop kwenye Dart
Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Dart.
Soma Zaidi...DART somo la 29: Dart encapsulation
Katika somo hili tutawenda kujifunza kuhusu encapsulatio kwenye Dart OOP na jinsi inavyoweza kutumika.
Soma Zaidi...DART somo la 28: Named constructor na constant constructor kwenye OOP
Ka tika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya named constructor na constant constructor kwenye Object Oriented Programming.
Soma Zaidi...