DART SOMO LA 16: String method zinazotumika kwneye Dart
Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart.
Method ni nini?
Method ni kama function tofauti ni kuwa method zina mahusiano makubwa na object. Hapa nitakuletea baadhi tu ya method zinazotumika kwenye string:-
1. String length
Hii hutumika katika kujuwa je string ina character ngapi.
void main(){
String text = "haloo bongoclass";
print(text.length);
}
Hii itakupa jibu 16 kumaanisha hapo kuna herufi (character) 16
2. Kubadili herufi kuwa ndogo au kubwa
kubadil i kuwa herufi ndogo utatumia toLowerCase na kubadili kuwa kubwa utatumia toUpperCase
void main(){
String text1 = "haloo bongoclass";
String text2 = "HALOO BONGOCLASS";
print(text1.toUpperCase());
print(text2.toLowerCase());
}
HALOO BONGOCLASS
haloo bongoclass
3. Kuigawa string kwenye (substring)
Kwa mfano katika neno bongoclass tunataka kuprint neno bongo tu. hapo tutaangalia hilo bongo linapatikana kutka characterya ngapi hadi ya ngapi
void main(){
String text = "bongoclass";
print(text.substring(0, 5));
}
bongo
4. Kuchuja string (contains)
Kwa mfano unahitaji kuangalia kama je neno fulani lipo ama halipo kwenye string. Kama lipo utapata jibu true na kama halipo jibu ni false. Wacha tuangalie je neno class lipo kwenye neno bongoclass?
void main(){
String text = "bongoclass";
print(text.contains('class'));
}
true
5. Kubadili string kuwa list data type (split)
Hapa tutakwenda kuigawa string kwenye mafungu. Kw amfano neno haloo karibu bongo class. Tutaga...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitau cha Fiqh 👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉3 Dua za Mitume na Manabii 👉4 ai web app 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 Bongolite - Game zone - Play free game
Post zinazofanana:
DART somo la 35: Enum kwenye Dart:
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu enum na inavyotumika kwenye Dart.
Soma Zaidi...DART somo la 5: Reserved keywords kwenye lugah ya Dart
Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart
Soma Zaidi...DART somo la 10: while loop na do while loop kwenye Dart
Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Dart.
Soma Zaidi...DART somo la 9: for loop na for in loop kwenye dart, kazi zake na jinsi ya kuadika
Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye Dart. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop.
Soma Zaidi...DART somo la 8: Matumizi ya switch case
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu switch case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Dart.
Soma Zaidi...DART somo la 23: Jinsi ya kusoma mafaili kwa kutumia Dart
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma na kuandika faili kwa kutumia Dart programming.
Soma Zaidi...