Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart.
Method ni nini?
Method ni kama function tofauti ni kuwa method zina mahusiano makubwa na object. Hapa nitakuletea baadhi tu ya method zinazotumika kwenye string:-
1. String length
Hii hutumika katika kujuwa je string ina character ngapi.
void main(){
String text = "haloo bongoclass";
print(text.length);
}
Hii itakupa jibu 16 kumaanisha hapo kuna herufi (character) 16
2. Kubadili herufi kuwa ndogo au kubwa
kubadil i kuwa herufi ndogo utatumia toLowerCase na kubadili kuwa kubwa utatumia toUpperCase
void main(){
String text1 = "haloo bongoclass";
String text2 = "HALOO BONGOCLASS";
print(text1.toUpperCase());
print(text2.toLowerCase());
}
HALOO BONGOCLASS
haloo bongoclass
3. Kuigawa string kwenye (substring)
Kwa mfano katika neno bongoclass tunataka kuprint neno bongo tu. hapo tutaangalia hilo bongo linapatikana kutka characterya ngapi hadi ya ngapi
void main(){
String text = "bongoclass";
print(text.substring(0, 5));
}
bongo
4. Kuchuja string (contains)
Kwa mfano unahitaji kuangalia kama je neno fulani lipo ama halipo kwenye string. Kama lipo utapata jibu true na kama halipo jibu ni false. Wacha tuangalie je neno class lipo kwenye neno bongoclass?
void main(){
String text = "bongoclass";
print(text.contains('class'));
}
true
5. Kubadili string kuwa list data type (split)
Hapa tutakwenda kuigawa string kwenye mafungu. Kw amfano neno haloo karibu bongo class. Tutagawa kwa kila neno
void main(){
String text = "haloo karibu bongoclass&qu">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowKatika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya polymorphism.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda ujifunz akuhusu concept ya stream kwenye Dart. pia ttaona kwa namna gani strean inaweza kutofautiana na future wakati zote mbili zipo kwenye asychronous programming.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia library ya html kwenye Dart. somo hili litakupeleka kujifunza jinsi ya ku display dart output kwenye faili la html.
Soma Zaidi...Katika somo lililopita tumejifunza kuhusu sintaksia za dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza variable kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza Object pamoja na properties. Haa kwa ufupi tutakwenda kujifunza jinsi ya kutumia class.
Soma Zaidi...Katika masomo yaliopita tumesha jifunza jinsi inheritance inavyokuwa, ila hatujaona kwa namna gani utaweza ku inherit constructor method. Somo hili litashughulika na swla hilo.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu inheritance, na inavyoweza kutumika kwenye Dart OOP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu switch case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu kazi za dart language. Pia nimekuandalia istoria fupi ya lugha ya DART.
Soma Zaidi...