image

DART SOMO LA 16: String method zinazotumika kwneye Dart

Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart.

Method ni nini?

Method ni kama function tofauti ni kuwa method zina mahusiano makubwa na object. Hapa nitakuletea baadhi tu ya method zinazotumika kwenye string:-

 

1. String length

Hii hutumika katika kujuwa je string ina character ngapi.

void main(){

 String text = "haloo bongoclass";

 print(text.length);

}

Hii itakupa jibu 16 kumaanisha hapo kuna herufi (character) 16

 

2. Kubadili herufi kuwa ndogo au kubwa

kubadil i kuwa herufi ndogo utatumia  toLowerCase     na kubadili kuwa kubwa utatumia toUpperCase

void main(){

 String text1 = "haloo bongoclass";

 String text2 = "HALOO BONGOCLASS";

 print(text1.toUpperCase());

 print(text2.toLowerCase());

}

HALOO BONGOCLASS

haloo bongoclass

 

3. Kuigawa string kwenye (substring)

Kwa mfano katika neno bongoclass tunataka kuprint neno bongo tu. hapo tutaangalia hilo bongo linapatikana kutka characterya ngapi hadi ya ngapi

void main(){

 String text = "bongoclass";

 print(text.substring(0, 5));

}

bongo

 

4. Kuchuja string (contains)

Kwa mfano unahitaji kuangalia kama je neno fulani lipo ama halipo kwenye string.  Kama lipo utapata jibu true na kama halipo jibu ni false. Wacha tuangalie je neno class lipo kwenye neno bongoclass?

void main(){

 String text = "bongoclass";

 print(text.contains('class'));

}

true

 

5. Kubadili string kuwa list data type (split)

Hapa tutakwenda kuigawa string kwenye mafungu. Kw amfano neno haloo karibu bongo class. Tutagawa kwa kila neno

void main(){

 String text = "haloo karibu bongoclass";<">...



Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 274


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

DART somo la 15: parameter kwenye function za Dart
Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Dart function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function Soma Zaidi...

DART somo la 11:break and continue statement kwenye Dat loop
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Dart loop za for loop na while loop. Soma Zaidi...

DART somo la 29: Dart encapsulation
Katika somo hili tutawenda kujifunza kuhusu encapsulatio kwenye Dart OOP na jinsi inavyoweza kutumika. Soma Zaidi...

DART somo la 41: concept ya generic kwenye dart
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya generics ili kuweza kufanya kazi na aina mbalimbali za data kwenye class. Soma Zaidi...

DART somo la 10: while loop na do while loop kwenye Dart
Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Dart. Soma Zaidi...

DART somo la 24: Dart OOP maana ya Object Oriented Programming kwenye Dart
Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya OOP na faida zake. Pia utakwenda kujifunza kuhusu features za OOP. Soma Zaidi...

DART somo la 5: Reserved keywords kwenye lugah ya Dart
Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart Soma Zaidi...

DART somo la 40: factory constructor
Katika somo hiliutakwenda kujifunza aina nyingine ya constructor ambayo hutumika kwenye Dart. aina hiyo ni factory constructory. Soma Zaidi...

DART somo la 6: Dart operator na jinsi zinavyofanya kazi.
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator kwenye Dart, kazi zake na jinsi ya kuzitumia. Soma Zaidi...

DART somo la 37: Class interface
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract Soma Zaidi...

DART somo la 36: Abstract class kweye Dart
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu abstract class na abstract method kwenye Dart. Soma Zaidi...

DART somo la 17: method za namba zinazotumika kwenye dart
Katika somo hili utakwenda kuziona method za dart zinazotumika kwenye namba. pia utajifunzakuhusu math library Soma Zaidi...