Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart.
Method ni nini?
Method ni kama function tofauti ni kuwa method zina mahusiano makubwa na object. Hapa nitakuletea baadhi tu ya method zinazotumika kwenye string:-
1. String length
Hii hutumika katika kujuwa je string ina character ngapi.
void main(){
String text = "haloo bongoclass";
print(text.length);
}
Hii itakupa jibu 16 kumaanisha hapo kuna herufi (character) 16
2. Kubadili herufi kuwa ndogo au kubwa
kubadil i kuwa herufi ndogo utatumia toLowerCase na kubadili kuwa kubwa utatumia toUpperCase
void main(){
String text1 = "haloo bongoclass";
String text2 = "HALOO BONGOCLASS";
print(text1.toUpperCase());
print(text2.toLowerCase());
}
HALOO BONGOCLASS
haloo bongoclass
3. Kuigawa string kwenye (substring)
Kwa mfano katika neno bongoclass tunataka kuprint neno bongo tu. hapo tutaangalia hilo bongo linapatikana kutka characterya ngapi hadi ya ngapi
void main(){
String text = "bongoclass";
print(text.substring(0, 5));
}
bongo
4. Kuchuja string (contains)
Kwa mfano unahitaji kuangalia kama je neno fulani lipo ama halipo kwenye string. Kama lipo utapata jibu true na kama halipo jibu ni false. Wacha tuangalie je neno class lipo kwenye neno bongoclass?
void main(){
String text = "bongoclass";
print(text.contains('class'));
}
true
5. Kubadili string kuwa list data type (split)
Hapa tutakwenda kuigawa string kwenye mafungu. Kw amfano neno haloo karibu bongo class. Tutagawa kwa kila neno
void main(){
String text =">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo lililopita tumejifunza kuhusu sintaksia za dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza variable kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart
Soma Zaidi...Katika somo hii utakwenda kujifunza kuhusu concept mixin na jinsi inavyoweza kutumika kwenye Dart.
Soma Zaidi...Ka tika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya named constructor na constant constructor kwenye Object Oriented Programming.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutawenda kujifunza kuhusu encapsulatio kwenye Dart OOP na jinsi inavyoweza kutumika.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kuhusu method za getter na setter. Tutakwenda kuona hasa zinavyotumika na zinavyotengenezwa.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract
Soma Zaidi...