Point hii inahusu zaidi mbinu za kupunguza Kichefuchefu hasa kwa wagonjwa na watumiaji wa madawa mbalimbali yanayoweza kusababisha kichefuchefu.
Mbinu za kupunguza Kichefuchefu.
1. Kutumia vyakula vigumu vigumu.
Kama mtu anayetumia dawa zinazosababisha kichefuchefu au mgonjwa wanapaswa kutumia vyakula vigumu kama vile mkate chapati na vyakula kama mihogo iliyopikwa, viazi na vyakula vigumu kwa ujumla na pia mwenye Kichefuchefu anapaswa kuachana na vyakula ambavyo havipendi akiwa mzima kwa sababu vinaweza kusababisha kichefuchefu.
2. Kunywa na kula kidogo kidogo.
Mwenye kichefuchefu anapaswa kula na kunywa kidogo kidogo kwa sababu akila na kunywa kidogo kidogo na kwa mda mwingi hawezi kutapika kuliko yule anayekula chakula kingi Yuko kwenye hatari ya kutapika. Kwa hiyo mgonjwa anapaswa kula kidogo kidogo mara nyingi na kunywa kidogo kidogo kwa mara nyingi.
3. Mwenye kichefuchefu anapaswa kukaa wima baada ya kula.
Baada ya kula chakula mwenye kichefuchefu anapaswa kukaa wima maana akikaa wima hawezi kuruhusu chakula kupita lakini akiinama anaweka chakula katika mfumo wa kukiruhusu chakula na kuweza kupita kwa hiyo wauguzi na wote wanaoudumia wagonjwa wanapaswa kuwasaidia wale ambao hawajiwezi Ili kuwafanya wasiiname pindi wanapomaliza kula Ili kuepuka kichefuchefu.
4. Tumia Tiba asili ya kubonyeza sehemu mbalimbali za mwili.
Kuna wakati mwingine watu ubonyeza kwenye sehemu za mkono Ili kuzuia kichefuchefu kwa kufanya hivyo wanaweza kuzuia kichefuchefu na walio wengi wameitumia njia hiyo na wamefaulu kwa hiyo Kuna Tiba za asili ambazo watu wanazitumia na kufanikisha kupunguza Kichefuchefu.
5. Kwa hiyo tunapaswa kujua kuwa kichefuchefu ni dalili kubwa ya kutaka kutapika kwa hiyo tunapaswa kuwasaidia wagonjwa wetu kutibu kichefuchefu na kuzuia kutapika Ili kufanya matibabu yaende vizuri kwa hiyo tusiwanyanyapae wale wenye tatizo hilo kwa maana ni la kawaida na uwapata watu wengi hasa wenye matumizi ya madawa na wagonjwa.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye ngozi wakati wa ujauzito, ni mabadiliko yanayotokea kwenye ngozi ya Mama wakati wa ujauzito.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mda ambao mama anapaswa kukaa bila kufanya tendo la ndoa mara tu baada ya kujifungua.
Soma Zaidi...Je wewe ni mwanmake unayepata shida kufika kileleni? (Kukojoa wakati wa tendo lwa ndoa). Post hii itakujibu baadhi ya maswali yako.
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea namna mwanamke anavyoweza kupata Ugonjwa wa Maambukizi ya mfumo wa Uzazi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi sababu mbalimbali za mtoto kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa, mara nyingi tatizo hili uwakumba akina mama mbalimbali ambapo mtoto uzaliwa akiwa na uzito mkubwa
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Majimaji msule sehemu za siriyanaweza kuashiria mambo mengi ka mwanamke. Ikiwemo ujauzitina maradhi. Pia yanaweza kuashiria kuwa mwanamke unaweza kuoatavujauzito amalaa.
Soma Zaidi...Kufanya tendo la ndoa wakati wa ujauzito kina faida nyingi kwa mama na mtoto. Miongni mwa faida hizo ni kuimarisha mfumo wa kinga wa mama, kumuondolea stress na ukuajinmzuri wa mimba
Soma Zaidi...Kutokuwa na damu wakati wa ujauzito ni hali uliyo ya kawida lakini inapaswa kujuwa sifa za damu hiyo nabje unatoka kwa namna gani. Kama unasumbuliwa na tatizo hili makala hii ni kwa ajili yako.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi madhara ya kutoka kwa mimba, kwa kawaida tunafahamu kwamba mimba ikitungwa na mwili mzima huwa na wajibu wa kutunza kilichotungwa kwa hiyo ikitokea mimba ikatoka usababisha madhara yafuatayo.
Soma Zaidi...