Point hii inahusu zaidi mbinu za kupunguza Kichefuchefu hasa kwa wagonjwa na watumiaji wa madawa mbalimbali yanayoweza kusababisha kichefuchefu.
Mbinu za kupunguza Kichefuchefu.
1. Kutumia vyakula vigumu vigumu.
Kama mtu anayetumia dawa zinazosababisha kichefuchefu au mgonjwa wanapaswa kutumia vyakula vigumu kama vile mkate chapati na vyakula kama mihogo iliyopikwa, viazi na vyakula vigumu kwa ujumla na pia mwenye Kichefuchefu anapaswa kuachana na vyakula ambavyo havipendi akiwa mzima kwa sababu vinaweza kusababisha kichefuchefu.
2. Kunywa na kula kidogo kidogo.
Mwenye kichefuchefu anapaswa kula na kunywa kidogo kidogo kwa sababu akila na kunywa kidogo kidogo na kwa mda mwingi hawezi kutapika kuliko yule anayekula chakula kingi Yuko kwenye hatari ya kutapika. Kwa hiyo mgonjwa anapaswa kula kidogo kidogo mara nyingi na kunywa kidogo kidogo kwa mara nyingi.
3. Mwenye kichefuchefu anapaswa kukaa wima baada ya kula.
Baada ya kula chakula mwenye kichefuchefu anapaswa kukaa wima maana akikaa wima hawezi kuruhusu chakula kupita lakini akiinama anaweka chakula katika mfumo wa kukiruhusu chakula na kuweza kupita kwa hiyo wauguzi na wote wanaoudumia wagonjwa wanapaswa kuwasaidia wale ambao hawajiwezi Ili kuwafanya wasiiname pindi wanapomaliza kula Ili kuepuka kichefuchefu.
4. Tumia Tiba asili ya kubonyeza sehemu mbalimbali za mwili.
Kuna wakati mwingine watu ubonyeza kwenye sehemu za mkono Ili kuzuia kichefuchefu kwa kufanya hivyo wanaweza kuzuia kichefuchefu na walio wengi wameitumia njia hiyo na wamefaulu kwa hiyo Kuna Tiba za asili ambazo watu wanazitumia na kufanikisha kupunguza Kichefuchefu.
5. Kwa hiyo tunapaswa kujua kuwa kichefuchefu ni dalili kubwa ya kutaka kutapika kwa hiyo tunapaswa kuwasaidia wagonjwa wetu kutibu kichefuchefu na kuzuia kutapika Ili kufanya matibabu yaende vizuri kwa hiyo tusiwanyanyapae wale wenye tatizo hilo kwa maana ni la kawaida na uwapata watu wengi hasa wenye matumizi ya madawa na wagonjwa.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Nitajuwaje kama mjamzito amekaribia kujifunguwa, ni dalili gani anaonyesha, dalili za uchungu wa kujifunguwa
Soma Zaidi...Je unawaza nini endapo bikra itatolewa bila wewe kukusudia, je imetolewa kwa njia ya kawaida yaani uume ama ilikuwa ni ajali?
Soma Zaidi...Ni mida gani njamzito ananza kuhisi kuwa tumboni anebeba mtoto.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi, tunajua kabisa wakati wa hedhi damu inapaswa kuwa nyepesi na ya kawaida ila kuna wakati mwingine inakuwa na mabonge zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za mbegu za kiume kuwa dhaifu, hali hii uwatokea wanaume wengi kwa sababu mbalimbali za kimaisha ambazo ufanya mbegu za kiume kuwa dhaifu na kusababisha madhara makubwa zaidi kwa sababu wanaume wengi ushindwa kujiamini kwa h
Soma Zaidi...Ni vyakula gani anapasa kula mjamzito, na utaratibu mzima wa lishe kwa wajawazito
Soma Zaidi...Korodani ni kiungo muhimu kwa mwanaume, katika afya ya uzazi. Unaweza kusema ni kiwanda cha kutengeneza mbegu za kiume. Kiungo hiki ni sawa na ovari kwa mwanamke.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa
Soma Zaidi...Post hii inazungumzia mama wajawazito Mara tu mama anapohisi kuwa yeye ni mjamzito anashauriwa kuanza clinic.na clinic hizi zinasaidia kuwapatia wakina mama elimu,namna ya kumkinga Mtoto asipatwe na maradhi Kama UKIMWI. Pia mama anapoanza clinic
Soma Zaidi...Je unaweza kunielezaKwa mjamzito kuumia wakati wa tendo la ndoa tatizo linaweza kuwa ni nini?
Soma Zaidi...