Mbinu za kupunguza Kichefuchefu

Point hii inahusu zaidi mbinu za kupunguza Kichefuchefu hasa kwa wagonjwa na watumiaji wa madawa mbalimbali yanayoweza kusababisha kichefuchefu.

Mbinu za kupunguza Kichefuchefu.

1. Kutumia vyakula vigumu vigumu.

Kama mtu anayetumia dawa zinazosababisha kichefuchefu au mgonjwa wanapaswa kutumia vyakula vigumu kama vile mkate chapati na vyakula kama mihogo iliyopikwa, viazi na vyakula vigumu kwa ujumla na pia mwenye Kichefuchefu anapaswa kuachana na vyakula ambavyo havipendi akiwa mzima kwa sababu vinaweza kusababisha kichefuchefu.

 

2. Kunywa na kula kidogo kidogo.

Mwenye kichefuchefu anapaswa kula na kunywa kidogo kidogo kwa sababu akila na kunywa kidogo kidogo na kwa mda mwingi hawezi kutapika kuliko yule anayekula chakula kingi Yuko kwenye hatari ya kutapika. Kwa hiyo mgonjwa anapaswa kula kidogo kidogo mara nyingi na kunywa kidogo kidogo kwa mara nyingi.

 

3. Mwenye kichefuchefu anapaswa kukaa wima baada ya kula.

Baada ya kula chakula mwenye kichefuchefu anapaswa kukaa wima maana akikaa wima hawezi kuruhusu chakula kupita lakini akiinama anaweka chakula katika mfumo wa kukiruhusu chakula na kuweza kupita kwa hiyo wauguzi na wote wanaoudumia wagonjwa wanapaswa kuwasaidia wale ambao hawajiwezi Ili kuwafanya wasiiname pindi wanapomaliza kula Ili kuepuka kichefuchefu.

 

4. Tumia Tiba asili ya kubonyeza sehemu mbalimbali za mwili.

Kuna wakati mwingine watu ubonyeza kwenye sehemu za mkono Ili kuzuia kichefuchefu kwa kufanya hivyo wanaweza kuzuia kichefuchefu na walio wengi wameitumia njia hiyo na wamefaulu kwa hiyo Kuna Tiba za asili ambazo watu wanazitumia na kufanikisha kupunguza Kichefuchefu.

 

5. Kwa hiyo tunapaswa kujua kuwa kichefuchefu ni dalili kubwa ya kutaka kutapika kwa hiyo tunapaswa kuwasaidia wagonjwa wetu kutibu kichefuchefu na kuzuia kutapika Ili kufanya matibabu yaende vizuri kwa hiyo tusiwanyanyapae wale wenye tatizo hilo kwa maana ni la kawaida na uwapata watu wengi hasa wenye matumizi ya madawa na wagonjwa.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 2120

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
πŸ‘‰1 Kitau cha Fiqh    πŸ‘‰2 kitabu cha Simulizi    πŸ‘‰3 Kitabu cha Afya    πŸ‘‰4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    πŸ‘‰5 Madrasa kiganjani    πŸ‘‰6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

mpenzi wangu nimeshiriki nae tendo la ndoa akiwa siku zake za hatar kwa siku 3 lakin hajashika mimba tatizo linaweza kuwa ni nini?

Kupata ujauzito hufungamana na mambo mengi ikiwepo afya vya wawili yaani me na mume na mengineyo. Unaweza kushiriki sikuvhatari na usiupate mimba. Postivhii ibakwendavkukufahamisha undani wa jambo hili.

Soma Zaidi...
Dalili za kujifungua hatua kwa hatua

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za kujifungua hatua kwa hatua

Soma Zaidi...
VYAKULA VYA KUONGEZA HAMU YA TENDO LA NDOA NA NGUVU ZA KIUME

Matatizo yahusianayo na nguvu za kume na kukosa hamu ya tendo la ndoa kwahuweza kuchangiwa sana na mpangilio mbovu wa vyakula pamoja na saikolojia ya mtu.

Soma Zaidi...
DALILI ZA TEZI DUME

Tezi dume hii ni tezi inayopatikana katika katika mfumo wa uzazi wa mwanaume Ila hujulikana kama PROSTATE GLAND. pia hukua karibu na kibofu Cha mkojo na mirija ya mkojo hutumika kuzalisha majimaji (simen) yanayobeba mbegu hivyo bas mk

Soma Zaidi...
Njia za kutibu mbegu dhaifu.

Posti hii inahusu zaidi njia za kutibu mbegu dhaifu, ni njia ambazo utumika kutibu mbegu ambazo ni dhaifu ili kuweza kuondoa tatizo hili ambalo limewakumba wanaume wengi na kusababisha madhara makubwa kwenye ndoa au familia.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusiana na kubalehe kwa msichana na mvulana.

Kubalehe ni wakati mwili wa mtoto unapoanza kubadilika na kuwa wa mtu mzima (balehe) hivi karibuni. Kubalehe ambao huanza kabla ya umri wa miaka 8 kwa wasichana na kabla ya umri wa miaka 9 kwa wavulana.

Soma Zaidi...
Mda wa kufanya tendo la ndoa baada ya kujifungua

Posti hii inahusu zaidi mda ambao mama anapaswa kukaa bila kufanya tendo la ndoa mara tu baada ya kujifungua.

Soma Zaidi...
Mwenye ujauzito wa wiki moja na ana u.t.i anaweza kutumia dawa za aina gani ambozo zitakua salama kwa kiumbe kilichoanza kukua?

Ujauzito unaweza kutoka kwa sababu nyingi kama maradhi, madawa, vyakula na ajali. Unawezakutoa mimba bila kujuwa amakwakujuwa. Damu kutoka ni moja ya dalili za kutoka kwa mimba hata hivyo maumivu ya tumbo huweza kuandamana na damu hii.

Soma Zaidi...