picha

PHP somo la 83: Server Variables

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu server variables

SERVER VARIABLES

Hizi ni supperclobal variable ambazo zinaweza utumika popote kwenye file. Variable hizi zinatupa information kuhusu header, request, response na taarifa nyinginezo. Miongoni mwa variable hizi tayari tumekuwa tukizitumia mara kwa mara. So hapa tutazigaw akwenye makundi 6 ambayo ni:-

 

1. Client Information Variables:

Hizi zenyewe zinamuhusu client. So taarifa hizi zinatoka kwa client yaani browser yako wewe mtumiaji kwenda kwa server l uweza upata respond nayoendana na wewe. Variable hiszi ni kma

  1. HTTP_AGENT hueleza uhusu ana ya browser

  2. HTTP_ACCEPT hueleza ana ya maudhu yanayoubalwa

  3. HTTP_ACCEPT_LANGUAGE hueleza lugha nayoubalwa

  4. HTTP_ACCEPT_ENCODNG hueleza ana ya encoding nayotawa

  5. HTTP_HOST hueleza jna la host

  6. HTTP_REFFERER hueleza referring page yaan abla ya uja page hii ameanza page ipi.

  7. HTTP_COOE hueleza cope znazopatikana kwenye header

  8. HTTP_CONNECTON hueleza aina ya connection

 

2. Request Information Variables

Hizi zinatoa taarifa kuhusu request ilyofanya na client. Taarifa hizi ni kama:-

  1. REQUEST_METHOD hii hutoa taarifa kuhusu method liliyotumika kama POST, GET, DELETE, OPTIONS

  2. REQUEST_URI hii hueleza kuhusu link ambayo hiyo request imefanyika

  3. REQUEST_STRING hii hueleza kama kuna string ambazo zilmetumika kwenye hiyo page mfano kama uluwa na box ya usert na hivyo mtumiaji aka serch kwaiyo hizo string alizotumia ku serach zinakwenda kwenye server pamoja na request.

  4. REQUEST_TIME huonyesha n muda gan hyo request lfanya

  5. REQUEST_TIME_FLOAT hueleza timestamp hyo request lfanya pamoja na unyesha microsecond.

 

3. Server Information Variables

Hizi hutumwa na server pamoja na response

  1. SERVER_NAME huonyesha jina la hosting DNS ama IP address

  2. SERVER_ADDR huonyesha AP address ya server

  3. SERVER_PORT huonyesha post nayotumwa na serevr uwaslana na wewe

  4. ...

    Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

    Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 2024-08-06 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 1053

    Share On:

    Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
    Sponsored links
    👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 ai web app    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Kitau cha Fiqh   

    Post zinazofanana:

    PHP somo la 95: Jinsi ya kutengeneza customer ORM

    Katika somo hili uttakwend akujifunz ajinsi ambavyo utaweza kutengeneza simple ORM yakwako mwenyewe

    Soma Zaidi...
    PHP BLOG - somo la 3: Jinsi ya kutengeneza table kwenye databse kwa ajili ya blog

    Hapa utajifunza jinsi ya kutengeneza table ambayo tutaitumia kwenye blog yetu

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 2: sheria za uandishi wa code za PHP

    Katika somo hili utajifunza kuhusu syntax za PHP

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 35: Jinsi ya ku upload mafaili kwa kutumia PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku upload mafaili kwenye server kwa kutumia PHP

    Soma Zaidi...
    PHP -somo la 6: Jinsi ya kusoma saa na tarehe kwenye PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma muda kama saa na tarehe kwa kutumia PHP

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 13: Jinsi ya kuunganisha database na website

    Katika somo hili utajifunza jinsi ya ku connect database, kwa kutumia php

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 57: class traits kwenye PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya traits kwenye OOP. hii itakusaidia ku solve baadhi ya changamoto zinazotokana na inheritance

    Soma Zaidi...
    PHP BLOG - somo la 9: Jinsi ya ku edit poost

    Katika somo hil utawenda kujifunza jinsi ya ku edit post kwenye databse

    Soma Zaidi...
    PHP BLOG - somo la 11: Jinsi ya kutumia prepared statement

    Katika somo hili utajifnza jinsi ya kufanya prepared statement kama njia ya kuzuia sql ingection kwenye PHP blog

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 51: Jinsi ya kutumia consctuct na destruct function

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP

    Soma Zaidi...