PHP somo la 83: Server Variables
Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu server variables
SERVER VARIABLES
Hizi ni supperclobal variable ambazo zinaweza utumika popote kwenye file. Variable hizi zinatupa information kuhusu header, request, response na taarifa nyinginezo. Miongoni mwa variable hizi tayari tumekuwa tukizitumia mara kwa mara. So hapa tutazigaw akwenye makundi 6 ambayo ni:-
1. Client Information Variables:
Hizi zenyewe zinamuhusu client. So taarifa hizi zinatoka kwa client yaani browser yako wewe mtumiaji kwenda kwa server l uweza upata respond nayoendana na wewe. Variable hiszi ni kma
-
HTTP_AGENT hueleza uhusu ana ya browser
-
HTTP_ACCEPT hueleza ana ya maudhu yanayoubalwa
-
HTTP_ACCEPT_LANGUAGE hueleza lugha nayoubalwa
-
HTTP_ACCEPT_ENCODNG hueleza ana ya encoding nayotawa
-
HTTP_HOST hueleza jna la host
-
HTTP_REFFERER hueleza referring page yaan abla ya uja page hii ameanza page ipi.
-
HTTP_COOE hueleza cope znazopatikana kwenye header
-
HTTP_CONNECTON hueleza aina ya connection
2. Request Information Variables
Hizi zinatoa taarifa kuhusu request ilyofanya na client. Taarifa hizi ni kama:-
-
REQUEST_METHOD hii hutoa taarifa kuhusu method liliyotumika kama POST, GET, DELETE, OPTIONS
-
REQUEST_URI hii hueleza kuhusu link ambayo hiyo request imefanyika
-
REQUEST_STRING hii hueleza kama kuna string ambazo zilmetumika kwenye hiyo page mfano kama uluwa na box ya usert na hivyo mtumiaji aka serch kwaiyo hizo string alizotumia ku serach zinakwenda kwenye server pamoja na request.
-
REQUEST_TIME huonyesha n muda gan hyo request lfanya
-
REQUEST_TIME_FLOAT hueleza timestamp hyo request lfanya pamoja na unyesha microsecond.
3. Server Information Variables
Hizi hutumwa na server pamoja na response
-
SERVER_NAME huonyesha jina la hosting DNS ama IP address
-
SERVER_ADDR huonyesha AP address ya server
-
SERVER_PORT huonyesha post nayotumwa na serevr uwaslana na wewe
-
SERVER_SOFTWARE ni taarifa ma...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Madrasa kiganjani 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Kitau cha Fiqh 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 ai web app
Post zinazofanana:
PHP - somo la 37: Jinsi ya kutengeneza blog post kwa kutumia PHP
Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo unaweza kutengeneza blog ambayo utaweza ku upload faili na kuandika makala kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...PHP somo la 87: Jinsi ya kuangalia error wakati wa ku decode na ku encode json data
Katika somo hili utakwenda kujifunza jisni ya kudhibiti error ambazo zinaweza kutokea wakati wa ku encode na ku decoe json data
Soma Zaidi...Faida za kiafya za kula Viazi mbatata
Viazi mbatata ni katika vyakula ambavyo hupatikana karibia dunia yote. Viazi hivi vimekuwa ni lishe kubwa sana. Ila je unajuwa hasa ni faida gani za kiafya hupatikana kwenye viazi hivi?
Soma Zaidi...PHP somola 78: Cookie Headers
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cookie Headers
Soma Zaidi...PHP somo la 102: Cron job
atika somo hli tutakwenda kujifunza kuhusu kitu kinachitwa cron job. ni moja ya teknolojia zinazotumika kufanya kazi zinazofanyika automatic
Soma Zaidi...PHP somo la 73: Maana ya http header
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http header, maana yake na jinsi ya kusoma taarifa zilizopo kwenye http header.
Soma Zaidi...