picha

PHP somo la 83: Server Variables

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu server variables

SERVER VARIABLES

Hizi ni supperclobal variable ambazo zinaweza utumika popote kwenye file. Variable hizi zinatupa information kuhusu header, request, response na taarifa nyinginezo. Miongoni mwa variable hizi tayari tumekuwa tukizitumia mara kwa mara. So hapa tutazigaw akwenye makundi 6 ambayo ni:-

 

1. Client Information Variables:

Hizi zenyewe zinamuhusu client. So taarifa hizi zinatoka kwa client yaani browser yako wewe mtumiaji kwenda kwa server l uweza upata respond nayoendana na wewe. Variable hiszi ni kma

  1. HTTP_AGENT hueleza uhusu ana ya browser

  2. HTTP_ACCEPT hueleza ana ya maudhu yanayoubalwa

  3. HTTP_ACCEPT_LANGUAGE hueleza lugha nayoubalwa

  4. HTTP_ACCEPT_ENCODNG hueleza ana ya encoding nayotawa

  5. HTTP_HOST hueleza jna la host

  6. HTTP_REFFERER hueleza referring page yaan abla ya uja page hii ameanza page ipi.

  7. HTTP_COOE hueleza cope znazopatikana kwenye header

  8. HTTP_CONNECTON hueleza aina ya connection

 

2. Request Information Variables

Hizi zinatoa taarifa kuhusu request ilyofanya na client. Taarifa hizi ni kama:-

  1. REQUEST_METHOD hii hutoa taarifa kuhusu method liliyotumika kama POST, GET, DELETE, OPTIONS

  2. REQUEST_URI hii hueleza kuhusu link ambayo hiyo request imefanyika

  3. REQUEST_STRING hii hueleza kama kuna string ambazo zilmetumika kwenye hiyo page mfano kama uluwa na box ya usert na hivyo mtumiaji aka serch kwaiyo hizo string alizotumia ku serach zinakwenda kwenye server pamoja na request.

  4. REQUEST_TIME huonyesha n muda gan hyo request lfanya

  5. REQUEST_TIME_FLOAT hueleza timestamp hyo request lfanya pamoja na unyesha microsecond.

 

3. Server Information Variables

Hizi hutumwa na server pamoja na response

  1. SERVER_NAME huonyesha jina la hosting DNS ama IP address

  2. SERVER_ADDR huonyesha AP address ya server

  3. SERVER_PORT huonyesha post nayotumwa na serevr uwaslana na wewe

  4. ...

    Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

    Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 2024-08-06 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 1012

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 web hosting    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

    Post zinazofanana:

    PHP somo la 19: Jinsi ya kudhibiti mpangilio wa data baada ya kuzisoma

    Katika somo hili utajifunza kupangilia data wakati wa kuzisoma kwenye database kw akutumia PHP

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 25: Jinsi ya kukusanya taarifa kutoka kwenye html form kwa kutumia php

    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kukusanya taarifa ambazo watu wamezijaza kwa kutumia fomu ya html. Kisha utajifunza jinsi ya kuzisoma hizo taarifa.

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 14: Jinsi ya kutengeneza database kwa kutumia PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza database kwenye mysql database.

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 8: jinsi ya kuandika constant kwenye PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika constant kwenye PHP. Pia utajifunza utofauti wake na variable

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 81: Cross - Orgn Resource Sharing - CORSE header

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cross - Orgn Resource Sharing ama inafupishwa kama CORSE header

    Soma Zaidi...
    PHP BLOG - somo la 7: Jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kusoma post kwenye blog

    HApa utakwenda kujifunza sasa namna ya kuzisoma post kutoka kwenye blog

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 27: aina za variable kwenye PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza aina kuu 3 za variable katika PHP mabzo ni local variable, global variable na static variable.

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 38: Jinsi ya ku upload mafaili zaidi ya moja kwa kutumia PHP

    katika somo hili utajifunza jinsi ya ku upload multiple file yaani mafaili mengi kwa wakati mmoja kwa kutumia PHP

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 58: static method kwenye PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static method na inavtotumika kwenye OOP

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 88: Jisnsi ya kutengeneza json data kutoka kwenye database

    Katika somo ili utakwenda kujifunz ahatuwa kwa hatuwa jinsi ya kutengeneza json data kutkana na data ambazo zio kwenye database

    Soma Zaidi...