Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu server variables
SERVER VARIABLES
Hizi ni supperclobal variable ambazo zinaweza utumika popote kwenye file. Variable hizi zinatupa information kuhusu header, request, response na taarifa nyinginezo. Miongoni mwa variable hizi tayari tumekuwa tukizitumia mara kwa mara. So hapa tutazigaw akwenye makundi 6 ambayo ni:-
1. Client Information Variables:
Hizi zenyewe zinamuhusu client. So taarifa hizi zinatoka kwa client yaani browser yako wewe mtumiaji kwenda kwa server l uweza upata respond nayoendana na wewe. Variable hiszi ni kma
HTTP_AGENT hueleza uhusu ana ya browser
HTTP_ACCEPT hueleza ana ya maudhu yanayoubalwa
HTTP_ACCEPT_LANGUAGE hueleza lugha nayoubalwa
HTTP_ACCEPT_ENCODNG hueleza ana ya encoding nayotawa
HTTP_HOST hueleza jna la host
HTTP_REFFERER hueleza referring page yaan abla ya uja page hii ameanza page ipi.
HTTP_COOE hueleza cope znazopatikana kwenye header
HTTP_CONNECTON hueleza aina ya connection
2. Request Information Variables
Hizi zinatoa taarifa kuhusu request ilyofanya na client. Taarifa hizi ni kama:-
REQUEST_METHOD hii hutoa taarifa kuhusu method liliyotumika kama POST, GET, DELETE, OPTIONS
REQUEST_URI hii hueleza kuhusu link ambayo hiyo request imefanyika
REQUEST_STRING hii hueleza kama kuna string ambazo zilmetumika kwenye hiyo page mfano kama uluwa na box ya usert na hivyo mtumiaji aka serch kwaiyo hizo string alizotumia ku serach zinakwenda kwenye server pamoja na request.
REQUEST_TIME huonyesha n muda gan hyo request lfanya
REQUEST_TIME_FLOAT hueleza timestamp hyo request lfanya pamoja na unyesha microsecond.
3. Server Information Variables
Hizi hutumwa na server pamoja na response
SERVER_NAME huonyesha jina la hosting DNS ama IP address
SERVER_ADDR huonyesha AP address ya server
SERVER_PORT huonyesha post nayotumwa na serevr uwaslana na wewe
...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function yako mwenyewe yaani user defined function
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu syntax za PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi jinsi ya ku edit ama ku update data na kuzifuta kwenye database kwa kutumia PDO
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku generate PDF automatik kutoka kwenye php code , html, javascript na css.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static method na inavtotumika kwenye OOP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http header, maana yake na jinsi ya kusoma taarifa zilizopo kwenye http header.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya iteration kwenye PHP OOP hapa tutakwenda kuiona jinsi inavyofanya kazi pamoja na foreach loop
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza ni kwa namna gani utaweza kuzitumiadata za jsonkwenye program yako
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifnza jinsi ya ku upload file kwenye database. Kisha utajifunza jinsi ya kulisoma faili hilo kwa kutumia php
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya traits kwenye OOP. hii itakusaidia ku solve baadhi ya changamoto zinazotokana na inheritance
Soma Zaidi...