PHP somo la 83: Server Variables

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu server variables

SERVER VARIABLES

Hizi ni supperclobal variable ambazo zinaweza utumika popote kwenye file. Variable hizi zinatupa information kuhusu header, request, response na taarifa nyinginezo. Miongoni mwa variable hizi tayari tumekuwa tukizitumia mara kwa mara. So hapa tutazigaw akwenye makundi 6 ambayo ni:-

 

1. Client Information Variables:

Hizi zenyewe zinamuhusu client. So taarifa hizi zinatoka kwa client yaani browser yako wewe mtumiaji kwenda kwa server l uweza upata respond nayoendana na wewe. Variable hiszi ni kma

  1. HTTP_AGENT hueleza uhusu ana ya browser

  2. HTTP_ACCEPT hueleza ana ya maudhu yanayoubalwa

  3. HTTP_ACCEPT_LANGUAGE hueleza lugha nayoubalwa

  4. HTTP_ACCEPT_ENCODNG hueleza ana ya encoding nayotawa

  5. HTTP_HOST hueleza jna la host

  6. HTTP_REFFERER hueleza referring page yaan abla ya uja page hii ameanza page ipi.

  7. HTTP_COOE hueleza cope znazopatikana kwenye header

  8. HTTP_CONNECTON hueleza aina ya connection

 

2. Request Information Variables

Hizi zinatoa taarifa kuhusu request ilyofanya na client. Taarifa hizi ni kama:-

  1. REQUEST_METHOD hii hutoa taarifa kuhusu method liliyotumika kama POST, GET, DELETE, OPTIONS

  2. REQUEST_URI hii hueleza kuhusu link ambayo hiyo request imefanyika

  3. REQUEST_STRING hii hueleza kama kuna string ambazo zilmetumika kwenye hiyo page mfano kama uluwa na box ya usert na hivyo mtumiaji aka serch kwaiyo hizo string alizotumia ku serach zinakwenda kwenye server pamoja na request.

  4. REQUEST_TIME huonyesha n muda gan hyo request lfanya

  5. REQUEST_TIME_FLOAT hueleza timestamp hyo request lfanya pamoja na unyesha microsecond.

 

3. Server Information Variables

Hizi hutumwa na server pamoja na response

  1. SERVER_NAME huonyesha jina la hosting DNS ama IP address

  2. SERVER_ADDR huonyesha AP address ya server

  3. SERVER_PORT huonyesha post nayotumwa na serevr uwaslana na wewe

  4. ...

    Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

    Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 833

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 kitabu cha Simulizi   

    Post zinazofanana:

    PHP - somo la 7: Jinsi ya kaundika function yakwako

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function yako mwenyewe yaani user defined function

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 2: sheria za uandishi wa code za PHP

    Katika somo hili utajifunza kuhusu syntax za PHP

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 66: Jinsi ya ku edit data na kufuta kwenye database kwa kutumia PDO

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi jinsi ya ku edit ama ku update data na kuzifuta kwenye database kwa kutumia PDO

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 71: Jinsi ya kutengeneza PDF kwa kutumia PHP na library ya tcpdf

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku generate PDF automatik kutoka kwenye php code , html, javascript na css.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 58: static method kwenye PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static method na inavtotumika kwenye OOP

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 73: Maana ya http header

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http header, maana yake na jinsi ya kusoma taarifa zilizopo kwenye http header.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 61: jinsi ya kufanya loop kwenye class kw akutumia foreach loop

    Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya iteration kwenye PHP OOP hapa tutakwenda kuiona jinsi inavyofanya kazi pamoja na foreach loop

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 89: Jinsi ya kutumia data za json kwenye program ya php na html

    Katika somo hili utakwend akujifunza ni kwa namna gani utaweza kuzitumiadata za jsonkwenye program yako

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 24: Jinsi ya ku upload file kwenye database na kulisoma kw akutumia php

    Katika somo hili utajifnza jinsi ya ku upload file kwenye database. Kisha utajifunza jinsi ya kulisoma faili hilo kwa kutumia php

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 57: class traits kwenye PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya traits kwenye OOP. hii itakusaidia ku solve baadhi ya changamoto zinazotokana na inheritance

    Soma Zaidi...