PHP somo la 83: Server Variables

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu server variables

SERVER VARIABLES

Hizi ni supperclobal variable ambazo zinaweza utumika popote kwenye file. Variable hizi zinatupa information kuhusu header, request, response na taarifa nyinginezo. Miongoni mwa variable hizi tayari tumekuwa tukizitumia mara kwa mara. So hapa tutazigaw akwenye makundi 6 ambayo ni:-

 

1. Client Information Variables:

Hizi zenyewe zinamuhusu client. So taarifa hizi zinatoka kwa client yaani browser yako wewe mtumiaji kwenda kwa server l uweza upata respond nayoendana na wewe. Variable hiszi ni kma

  1. HTTP_AGENT hueleza uhusu ana ya browser

  2. HTTP_ACCEPT hueleza ana ya maudhu yanayoubalwa

  3. HTTP_ACCEPT_LANGUAGE hueleza lugha nayoubalwa

  4. HTTP_ACCEPT_ENCODNG hueleza ana ya encoding nayotawa

  5. HTTP_HOST hueleza jna la host

  6. HTTP_REFFERER hueleza referring page yaan abla ya uja page hii ameanza page ipi.

  7. HTTP_COOE hueleza cope znazopatikana kwenye header

  8. HTTP_CONNECTON hueleza aina ya connection

 

2. Request Information Variables

Hizi zinatoa taarifa kuhusu request ilyofanya na client. Taarifa hizi ni kama:-

  1. REQUEST_METHOD hii hutoa taarifa kuhusu method liliyotumika kama POST, GET, DELETE, OPTIONS

  2. REQUEST_URI hii hueleza kuhusu link ambayo hiyo request imefanyika

  3. REQUEST_STRING hii hueleza kama kuna string ambazo zilmetumika kwenye hiyo page mfano kama uluwa na box ya usert na hivyo mtumiaji aka serch kwaiyo hizo string alizotumia ku serach zinakwenda kwenye server pamoja na request.

  4. REQUEST_TIME huonyesha n muda gan hyo request lfanya

  5. REQUEST_TIME_FLOAT hueleza timestamp hyo request lfanya pamoja na unyesha microsecond.

 

3. Server Information Variables

Hizi hutumwa na server pamoja na response

  1. SERVER_NAME huonyesha jina la hosting DNS ama IP address

  2. SERVER_ADDR huonyesha AP address ya server

  3. SERVER_PORT huonyesha post nayotumwa na serevr uwaslana na wewe

  4. ...

    Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

    Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 688

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

    Post zinazofanana:

    PHP BLOG - somo la 1: Utangulizi na jinsi ya kuandaa kwa ajili ya somo

    Katika course hii utakwenda kujifundisha jinsi ya lutengeneza blog kutoka mwanzo hadi mwisho.

    Soma Zaidi...
    PHP somola 69: jinsi ya kutuma email kwa watu zaidi ya mmoja kwa kutumia PHPMailer

    Katika somo il utajifunza kutuma email kwa watu wengi kwa kutumia PHPMailer. Pia utajifunza jinsi ya kuweka Carbon Copy na Blind Carbon Copy

    Soma Zaidi...
    PHP BLOG - somo la 11: Jinsi ya kutumia prepared statement

    Katika somo hili utajifnza jinsi ya kufanya prepared statement kama njia ya kuzuia sql ingection kwenye PHP blog

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 39: Jinsi ya kutengeneza mafaili na mafolda kwenye server kwa kutumia PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuzungumza na server ili kutengeneza mafaili, mafolda, kufuta na ku edit kwa kutumia PHP.

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 47: Jifunze kuhusu sql injection na kuizuia

    Katika somo hili utajwenda kujifunza jinsi ya kuzuia hacking kwenye website yako

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 66: Jinsi ya ku edit data na kufuta kwenye database kwa kutumia PDO

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi jinsi ya ku edit ama ku update data na kuzifuta kwenye database kwa kutumia PDO

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 65: Jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO.

    Soma Zaidi...
    PHP -somo la 6: Jinsi ya kusoma saa na tarehe kwenye PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma muda kama saa na tarehe kwa kutumia PHP

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 57: class traits kwenye PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya traits kwenye OOP. hii itakusaidia ku solve baadhi ya changamoto zinazotokana na inheritance

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 23: Jinsi ya kutumia condition statement kwenye database kwa kutumia PHP

    Katika somo hili utakwenda kuona namna ya kutuia if else kwenye data zilizopo kwenye database kwa kutumia PHP

    Soma Zaidi...