PHP somo la 83: Server Variables

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu server variables

SERVER VARIABLES

Hizi ni supperclobal variable ambazo zinaweza utumika popote kwenye file. Variable hizi zinatupa information kuhusu header, request, response na taarifa nyinginezo. Miongoni mwa variable hizi tayari tumekuwa tukizitumia mara kwa mara. So hapa tutazigaw akwenye makundi 6 ambayo ni:-

 

1. Client Information Variables:

Hizi zenyewe zinamuhusu client. So taarifa hizi zinatoka kwa client yaani browser yako wewe mtumiaji kwenda kwa server l uweza upata respond nayoendana na wewe. Variable hiszi ni kma

  1. HTTP_AGENT hueleza uhusu ana ya browser

  2. HTTP_ACCEPT hueleza ana ya maudhu yanayoubalwa

  3. HTTP_ACCEPT_LANGUAGE hueleza lugha nayoubalwa

  4. HTTP_ACCEPT_ENCODNG hueleza ana ya encoding nayotawa

  5. HTTP_HOST hueleza jna la host

  6. HTTP_REFFERER hueleza referring page yaan abla ya uja page hii ameanza page ipi.

  7. HTTP_COOE hueleza cope znazopatikana kwenye header

  8. HTTP_CONNECTON hueleza aina ya connection

 

2. Request Information Variables

Hizi zinatoa taarifa kuhusu request ilyofanya na client. Taarifa hizi ni kama:-

  1. REQUEST_METHOD hii hutoa taarifa kuhusu method liliyotumika kama POST, GET, DELETE, OPTIONS

  2. REQUEST_URI hii hueleza kuhusu link ambayo hiyo request imefanyika

  3. REQUEST_STRING hii hueleza kama kuna string ambazo zilmetumika kwenye hiyo page mfano kama uluwa na box ya usert na hivyo mtumiaji aka serch kwaiyo hizo string alizotumia ku serach zinakwenda kwenye server pamoja na request.

  4. REQUEST_TIME huonyesha n muda gan hyo request lfanya

  5. REQUEST_TIME_FLOAT hueleza timestamp hyo request lfanya pamoja na unyesha microsecond.

 

3. Server Information Variables

Hizi hutumwa na server pamoja na response

  1. SERVER_NAME huonyesha jina la hosting DNS ama IP address

  2. SERVER_ADDR huonyesha AP address ya server

  3. SERVER_PORT huonyesha post nayotumwa na serevr uwaslana na wewe

  4. ...

    Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

    Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 650

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 Madrasa kiganjani    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Kitabu cha Afya   

    Post zinazofanana:

    PHP somo la 60: namespace na matumizi yake kwenye PHP

    Katika somo hili utakwendakujifunza concept ya namespaces na jinsi inavyosaidi kwenye OOP

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 32: Jinsi ya kutumia filter_var() function kwenye PHP

    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutumia filter_var() function kwa ajili ya kuchuja code zilizo hatari kwenye PHP file

    Soma Zaidi...
    PHP BLOG - somo la 10: Jinsi ya kufanya sanitization

    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufanya sanitization kwenye user input ili kuzuia sql injection kwenye database.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 65: Jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 82: Content-Disposition

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina ya header inayoitwa Content-Disposition

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 70: jinsi ya kutuma email yenye html, picha na attachment

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email ambayo ina HTML, pia utajifunza kutuma email yenye picha na attachment nyinginezo kama pdf

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 101: Advanced RedBeanPHP - Usimamizi wa Database, Usalama, na Ufanisi

    Hili ni somo la mwisho katika mfululizo huu wa ORM, kupata ujuzi zaidi endelea kusoma ORM nyinginezo ambazo nimetangulia kuzitaja awali ya masomo haya.

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 35: Jinsi ya ku upload mafaili kwa kutumia PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku upload mafaili kwenye server kwa kutumia PHP

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 92: Jinsi ya kuunganisha php na database ya sqlite

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya sqlite kwa kutumia PHP.

    Soma Zaidi...
    PHP BLOG - somo la 6: Jinsi ya kutengeneza dashboard kwa ajili ya blog

    katika post hii utajifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa dashboard kwa ajili ya kutibti post

    Soma Zaidi...