Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu server variables
SERVER VARIABLES
Hizi ni supperclobal variable ambazo zinaweza utumika popote kwenye file. Variable hizi zinatupa information kuhusu header, request, response na taarifa nyinginezo. Miongoni mwa variable hizi tayari tumekuwa tukizitumia mara kwa mara. So hapa tutazigaw akwenye makundi 6 ambayo ni:-
1. Client Information Variables:
Hizi zenyewe zinamuhusu client. So taarifa hizi zinatoka kwa client yaani browser yako wewe mtumiaji kwenda kwa server l uweza upata respond nayoendana na wewe. Variable hiszi ni kma
HTTP_AGENT hueleza uhusu ana ya browser
HTTP_ACCEPT hueleza ana ya maudhu yanayoubalwa
HTTP_ACCEPT_LANGUAGE hueleza lugha nayoubalwa
HTTP_ACCEPT_ENCODNG hueleza ana ya encoding nayotawa
HTTP_HOST hueleza jna la host
HTTP_REFFERER hueleza referring page yaan abla ya uja page hii ameanza page ipi.
HTTP_COOE hueleza cope znazopatikana kwenye header
HTTP_CONNECTON hueleza aina ya connection
2. Request Information Variables
Hizi zinatoa taarifa kuhusu request ilyofanya na client. Taarifa hizi ni kama:-
REQUEST_METHOD hii hutoa taarifa kuhusu method liliyotumika kama POST, GET, DELETE, OPTIONS
REQUEST_URI hii hueleza kuhusu link ambayo hiyo request imefanyika
REQUEST_STRING hii hueleza kama kuna string ambazo zilmetumika kwenye hiyo page mfano kama uluwa na box ya usert na hivyo mtumiaji aka serch kwaiyo hizo string alizotumia ku serach zinakwenda kwenye server pamoja na request.
REQUEST_TIME huonyesha n muda gan hyo request lfanya
REQUEST_TIME_FLOAT hueleza timestamp hyo request lfanya pamoja na unyesha microsecond.
3. Server Information Variables
Hizi hutumwa na server pamoja na response
SERVER_NAME huonyesha jina la hosting DNS ama IP address
SERVER_ADDR huonyesha AP address ya server
SERVER_PORT huonyesha post nayotumwa na serevr uwaslana na wewe
...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hii utakwenda kujifunza aina za http header na server variable. Hapa tutakwenda kuchambuwa mgawanyiko wa httpheader na kazi zake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function za PHP kama require() na iclude()
Soma Zaidi...Katika course hii utakwenda kujifundisha jinsi ya lutengeneza blog kutoka mwanzo hadi mwisho.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina ya header inayoitwa Content-Disposition
Soma Zaidi...Katika somo hili uatakwenda kujifunza jinsi ya kutumia htaccess ili kubadili muonekano wa link ya website ama blog ili kuifanya iwe rafiki zaidi.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda jifunza jinsi ya kuhesabu row kwenye database, kutafuta wastani wa taarifa kwenye database na kutafuta idadi yake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu access modifier ili kuweza kuthibiti nama ya kuzitumia properties kwenye class.
Soma Zaidi...Katika somo hili uttakwend akujifunz ajinsi ambavyo utaweza kutengeneza simple ORM yakwako mwenyewe
Soma Zaidi...Katika soo hili utakwenda kujifunza umuhmu wa kutumia PDO kwenye PHP kwa ajili ya kutumia database.
Soma Zaidi...