Kupata Ukimwi ama HIV hufungamana na mambo mengi. Si kila anayefanya ngono zembe nabmuathiria naye lazima aathirike. Hiivsibkweli, ila tangu kuwa hali hii ni hatari kwani kupata maambukizi ni rahisi sana.
Swali
Je ukitokea mchuko wakati wa ngono je naweza pata Ukimwi?
Jibu
Ndio unaweza pata Ukimwi huwenda pia usipate. Itambulike kuwa muathirika anayetumia dawa vyema kwa taratibu zote kwa muda mrefu anakuwa nabhataribndigo ya kuambukiza wengine.
Pia niweke jambo wazi hapa kuwa kuvaa kondomu pekee hakuwezi kujikinga na HIV kwa 100% kwani unaweza pata maambukizi kupitia michubuko na minato kama ulivyoa na mwenzio alinyoa na kwa. Bahati mbaya wakati wa shughuli vijeraha vidogo vikatia maji na yakakutana.
Hii inamaanisha mtu awe makini hata kama amevaa kondomu. Pia wakati mwingine inaweza kupasuka na. Kusababisha makutano ya majimajibya mwilini na kusababisha maambukizi.
Katika hali ya kawaida endapo hakukutokea michubuko hatari ya kupata maambukizi huwa ni ndogo. Nasema ni ndogo kwa sababu ngono sio njia pekee ya kusababisha maambukizi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Hutokea uchungu wa kujifunguwa ukakati. Unadhani ni kitugani kinatokea.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea njia za asili walizotumia zamani katika kupima ujauzito
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia ambazo tunaweza kutumia ili kuweza kupunguza tatizo hili la kutanuka kwa tezi dume, kwa hiyo tunaweza kutumia njia zifuatazo ili kuweza kupunguza tatizo hili kwenye jamii kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu changamoto za ujauzito na dalili zake endelevu
Soma Zaidi...Posti hii inahusu msaada kwa mwenye maumivu ya tumbo la hedhi, hizi ni huduma ambazo utolewa kwa wale wenye maumivu ya tumbo la hedhi.
Soma Zaidi...Hivi unadhani kuharisha ni katika dalili za mimba, vipi kuhusu kutopata choo pia inaweza kuwa ni ujauzito?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kuhusu kwa mimba kutoka kabla ya mda wake,ni kitendo ambacho mimba utoka kabla ya wiki ishilini na na nane.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi siku za kubeba mimba na zisizo za kubeba mimba , tunapaswa kujua hivi Ili kuweza kupanga uzazi na kuepuka njia ambazo ni hatarishi kwa afya zetu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi uhusiano uliopo kati ya Mama Mjamzito na kibofu cha mkojo.ni mwingiliano unaokuwepo ambao usababisha Mama kukojoa sana wakati wa ujauzito.
Soma Zaidi...