Kupata Ukimwi ama HIV hufungamana na mambo mengi. Si kila anayefanya ngono zembe nabmuathiria naye lazima aathirike. Hiivsibkweli, ila tangu kuwa hali hii ni hatari kwani kupata maambukizi ni rahisi sana.
Swali
Je ukitokea mchuko wakati wa ngono je naweza pata Ukimwi?
Jibu
Ndio unaweza pata Ukimwi huwenda pia usipate. Itambulike kuwa muathirika anayetumia dawa vyema kwa taratibu zote kwa muda mrefu anakuwa nabhataribndigo ya kuambukiza wengine.
Pia niweke jambo wazi hapa kuwa kuvaa kondomu pekee hakuwezi kujikinga na HIV kwa 100% kwani unaweza pata maambukizi kupitia michubuko na minato kama ulivyoa na mwenzio alinyoa na kwa. Bahati mbaya wakati wa shughuli vijeraha vidogo vikatia maji na yakakutana.
Hii inamaanisha mtu awe makini hata kama amevaa kondomu. Pia wakati mwingine inaweza kupasuka na. Kusababisha makutano ya majimajibya mwilini na kusababisha maambukizi.
Katika hali ya kawaida endapo hakukutokea michubuko hatari ya kupata maambukizi huwa ni ndogo. Nasema ni ndogo kwa sababu ngono sio njia pekee ya kusababisha maambukizi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Kuna uwezekano una ujauzito ila hujajijuwa, huwenda hujapata dalili zozote. Unataka kujuwa kama una ujauzito baada ya tendo la ndoa.
Soma Zaidi...Post hii itakwenda kuangalia madhara ya tumbaku na sigara anayoweza kuyapata mvutaji
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi kazi za homoni katika Mzunguko wa hedhi, katika kipindi hiki kuna homoni mbalimbali ambazo ufanya kazi kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...Utajifunza dalili za minyoo, sababu za minyoo na namna ya kujiepusha na minyoo. Dalili kuu 5 za minyoo mwilini
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Utasa wa Mwanaume hutokana na uzalishaji mdogo wa mbegu za kiume, utendakazi usio wa kawaida wa manii au kuziba kwa manii ambayo huzuia utoaji wa mbegu za kiume. Magonjwa, majeraha, matatizo ya kiafya sugu, u
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mambo mbalimbali ambayo yanapelekea Mjamzito kutokwa na damu, hizi ni baadhi ya sababu ambazo usababisha Mjamzito kutokwa na damu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi changamoto za kwenye ndoa kwa wale waliotoa mimba mara Kwa mara,hizi ni changamoto za wakati wa kufanya tendo na mme wake au mtu mwingine kwa ajili ya kupata mtoto.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye mfumo wa chakula kwa wajawazito, ni mabadiliko ambayo utokea kwa wajawazito hasa kwenye mfumo wa chakula.
Soma Zaidi...Maumivu yavtumbo huwenda yakachanganya sana, Keane yanahusianana sababu nyingi sana. Kina baadhi ya watu hupata na maumivu ya tumbo wakati wa tendo la ndoa ama punde tu baada ya kumaliza.
Soma Zaidi...