Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static method na inavtotumika kwenye OOP
STATIC METHOD
Hii ni method ambayo inaweza kutumika moja kwa moja bila ya kutengeneza class instance (yaani bila ya kutengeneza object). Kutengeneza static method tutatumia keyword static . angalia mifano hapo chini kwanza nitakuletea mfano wa function ambayo sio static. Na kisha ambayo ni static.
Mfano1;
<?php
class gari {
public function tangazo() {
echo "Tunauza gari";
}
}
$my = new gari();
$my->tangazo();
?>
Utaona hapo ili tuweze kuitumia method tangazo imetubidi kwanza kutengeneza instance of class hapo tumeanza kwanza kutengeneza object $my = new gari(); Wacha sasa tuone mfano wa method hii hii ila ikiwa static utaona hapo hatuna haja ya kutengeneza object tena yaani instance of class. Pia tutatumia scope operator (::)
<?php
class gari {
public static function tangazo() {
echo "Tunauza Gari";
}
}
gari::tangazo();
?>
Pia endapo ststic method itatumika ndani ya class tutatumia keyword self ikifuatiwa na scope operator (::)
<?php
class gari {
public static function tangazo() {
echo "Tunauza magari";
}
public function __c...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia PHP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jisni ya kudhibiti error ambazo zinaweza kutokea wakati wa ku encode na ku decoe json data
Soma Zaidi...Huu ni mwendelezo wa mafunzo ya PHP na hapa tunaaza rasmi advanced PHP. tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye PHP. Ni vyema kabla ya kuanza course hii ya advanced PHP uwe una uelewa wa kutosha kuhusu mafunzo yetu ya PHP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za loop DO, FOR, FOREACH LOOPS kwenye PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Aina za cache header
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kukusanya taarifa ambazo watu wamezijaza kwa kutumia fomu ya html. Kisha utajifunza jinsi ya kuzisoma hizo taarifa.
Soma Zaidi...