Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static method na inavtotumika kwenye OOP
STATIC METHOD
Hii ni method ambayo inaweza kutumika moja kwa moja bila ya kutengeneza class instance (yaani bila ya kutengeneza object). Kutengeneza static method tutatumia keyword static . angalia mifano hapo chini kwanza nitakuletea mfano wa function ambayo sio static. Na kisha ambayo ni static.
Mfano1;
<?php
class gari {
public function tangazo() {
echo "Tunauza gari";
}
}
$my = new gari();
$my->tangazo();
?>
Utaona hapo ili tuweze kuitumia method tangazo imetubidi kwanza kutengeneza instance of class hapo tumeanza kwanza kutengeneza object $my = new gari(); Wacha sasa tuone mfano wa method hii hii ila ikiwa static utaona hapo hatuna haja ya kutengeneza object tena yaani instance of class. Pia tutatumia scope operator (::)
<?php
class gari {
public static function tangazo() {
echo "Tunauza Gari";
}
}
gari::tangazo();
?>
Pia endapo ststic method itatumika ndani ya class tutatumia keyword self ikifuatiwa na scope operator (::)
<?php
class gari {
public static function tangazo() {
<">...Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kukusanya taarifa ambazo watu wamezijaza kwa kutumia fomu ya html. Kisha utajifunza jinsi ya kuzisoma hizo taarifa.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina ya header inayoitwa Content-Disposition
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia PHP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu condition statements if, ifelse na switch case. Hata utajifunza jnsi ya kuziandika na zinavyofanya kazi
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kujusu PHP variable, maana yake na sheria za uandishi wa variable
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz akuchakata data zaidi kw akutumia ORM kama ku join table
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo utaweza kutengeneza mfumo wa kuisajiki na ku login, kisha kuangalia usalama wa mfumo kwa kuzuia sql injection.
Soma Zaidi...Katika somo il utajifunza kutuma email kwa watu wengi kwa kutumia PHPMailer. Pia utajifunza jinsi ya kuweka Carbon Copy na Blind Carbon Copy
Soma Zaidi...Katika soko hili takwenda kujufunza jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP. Hii itasaidia kama unataka kutuma OTP yaqni Onetime password
Soma Zaidi...