PHP somo la 56:class interface na polymorphism kwenye PHP OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya interface na concept ya polymorphism kwenye PHP OOP.

Interface ni nini?

Interface inafanana na abstract na hata ufanyaji kazi wake ila kuna utofauti kadhaa yutakuja kuuona hapo chini. Interface hasa yenewe hasa inarahisisha kwa class zaidi ya moja kufanya kazi sawa. Ikiwa kuna class zaidi ya moja zimetumia interface moja hii huulikana kama polymorphism.

 

Ili tuweze kutengeneza class yenye interface tutatumia keyword interface na ili kuitumia hiyo class yenye interface tutatumia keyword implement. Angalia mfano hapo chini:-

<?php

Interface gari {

  

}

class tangazo implements gari {

  

}

 

Utaona hapo kuna class mbili, ya kwanza ni gari na ya pili ni tangazo. Sasa class gari ndio ina interface na class tangazo inatumia interface ndio utaona hapo tmetumia keyword implement. Sasa hicho kitendo cha kutumia interface kwenye class nyingine ndio kinaitwa polymorphism.

 

<?php

Interface gari {

   public function jina();

   public function speed();

}

class tangazo implements gari {

   public function jina() {

       echo "Jina la gari ni toyota".'<br>';

   }

   public function speed(){

       echo "speed ni 180 km/h";

   }

}

echo "Tunauza gari <br>";

$obj = new tangazo();

$obj->jina();

$obj->speed();

?>

 

 

Utofauti kati ya insterface na abstract

  1. Interface haiwezi kuwa na  property ambapo abstract inaweza kuwa
  2. Method zote za kwenye interface ni public ila kwenye abstract ni protected ama public
  3. Metod zote kwenye interface ni abstract ijapokuwa hakuna kutumia keyword abstract
  4. Class inaweza kutumia interface na hata kama itakuwa imerithi kutoka kwenye class nyingine.

Angalia mfano mwingine hapo chini

<?php
interface mnyama
{

    public function analiaje();

}

class mbuzi implements mnyama
{

    public function analiaje()
    {
        echo " Meee ";
    }
}


class paka implements mnyama
{
    public function analiaje()
    {
        echo">
...

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 399

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

PHP - somo la 8: jinsi ya kuandika constant kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika constant kwenye PHP. Pia utajifunza utofauti wake na variable

Soma Zaidi...
PHP - somo la 48: Jinsi ya kuzuia hacking kwenye sytem ya kujisajili na ku login

Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo utaweza kutengeneza mfumo wa kuisajiki na ku login, kisha kuangalia usalama wa mfumo kwa kuzuia sql injection.

Soma Zaidi...
Jinsi ya kutuma Email kwa kutumia PHP

Katika post hii utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia php function ya email()

Soma Zaidi...
PHP - somo la 4: Aina za data zinazotumika kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye PHP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 7: Jinsi ya kaundika function yakwako

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function yako mwenyewe yaani user defined function

Soma Zaidi...
PHP - somo la 44: Nini cURL na ni yapi matumizi yake?

Katika somo hilibutajifunza maana ya cURL pamoja na matumini yake

Soma Zaidi...
PHP somo la 88: Jisnsi ya kutengeneza json data kutoka kwenye database

Katika somo ili utakwenda kujifunz ahatuwa kwa hatuwa jinsi ya kutengeneza json data kutkana na data ambazo zio kwenye database

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 12: Jinsi ya kutumia prepared statement kwenye kusoma post za blog

Katika somo hili tutakwenda kutumia prepared ststement kwenye ku fetch data kutoka kwenye database.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 22: Kutafuta jumla, wastani na idani ya vitu kwenye database kw akutumia PHP

Katika somo hili utakwenda jifunza jinsi ya kuhesabu row kwenye database, kutafuta wastani wa taarifa kwenye database na kutafuta idadi yake.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 20 : Jinsi ya kufuta na ku update data kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku update na kufuta data kwenye database kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...