PHP somo la 56:class interface na polymorphism kwenye PHP OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya interface na concept ya polymorphism kwenye PHP OOP.

Interface ni nini?

Interface inafanana na abstract na hata ufanyaji kazi wake ila kuna utofauti kadhaa yutakuja kuuona hapo chini. Interface hasa yenewe hasa inarahisisha kwa class zaidi ya moja kufanya kazi sawa. Ikiwa kuna class zaidi ya moja zimetumia interface moja hii huulikana kama polymorphism.

 

Ili tuweze kutengeneza class yenye interface tutatumia keyword interface na ili kuitumia hiyo class yenye interface tutatumia keyword implement. Angalia mfano hapo chini:-

<?php

Interface gari {

  

}

class tangazo implements gari {

  

}

 

Utaona hapo kuna class mbili, ya kwanza ni gari na ya pili ni tangazo. Sasa class gari ndio ina interface na class tangazo inatumia interface ndio utaona hapo tmetumia keyword implement. Sasa hicho kitendo cha kutumia interface kwenye class nyingine ndio kinaitwa polymorphism.

 

<?php

Interface gari {

   public function jina();

   public function speed();

}

class tangazo implements gari {

   public function jina() {

       echo "Jina la gari ni toyota".'<br>';

   }

   public function speed(){

       echo "speed ni 180 km/h";

   }

}

echo "Tunauza gari <br>";

$obj = new tangazo();

$obj->jina();

$obj->speed();

?>

 

 

Utofauti kati ya insterface na abstract

  1. Interface haiwezi kuwa na  property ambapo abstract inaweza kuwa
  2. Method zote za kwenye interface ni public ila kwenye abstract ni protected ama public
  3. Metod zote kwenye interface ni abstract ijapokuwa hakuna kutumia keyword abstract
  4. Class inaweza kutumia interface na hata kama itakuwa imerithi kutoka kwenye class nyingine.

Angalia mfano mwingine hapo chini

<?php
interface mnyama
{

    public function analiaje();

}

class mbuzi implements mnyama
{

    public function analiaje()
    {
        echo " Meee ";
    }
}


class paka implements mnyama
{
    public function analiaje()
    {
        echo">
...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 651

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 web hosting    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

PHP - somo la 12: Jinsi ya kufanyia kazi taarifa zilizokusanywa kutoka kwa mtumiaji

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia taarifa ambazo zimekusanywa kutoka kwa mtumiaji ili kuweka kutatuwa hoja mbalimbali

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 9: Jinsi ya ku edit poost

Katika somo hil utawenda kujifunza jinsi ya ku edit post kwenye databse

Soma Zaidi...
PHP somo la 81: Cross - Orgn Resource Sharing - CORSE header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cross - Orgn Resource Sharing ama inafupishwa kama CORSE header

Soma Zaidi...
PHP somo la 58: static method kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static method na inavtotumika kwenye OOP

Soma Zaidi...
PHP somo la 64: Jinsi ya kutengeneza database na kuingiza data kwa kuumia PDO

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 37: Jinsi ya kutengeneza blog post kwa kutumia PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo unaweza kutengeneza blog ambayo utaweza ku upload faili na kuandika makala kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 40: Jinsi ya kutumia htaccess file kubadilisha muonekano wa link

Katika somo hili uatakwenda kujifunza jinsi ya kutumia htaccess ili kubadili muonekano wa link ya website ama blog ili kuifanya iwe rafiki zaidi.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 14: Jinsi ya kutengeneza database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza database kwenye mysql database.

Soma Zaidi...
PHP somo la 68: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHPMailer

Katika somo hili utakwenda kujifunza jisniya kutuma email kwa kutumia PHPMailer kwenye project ya PHP. Katika somo hili tutakwend akutuma email kwa kutumia localhost.

Soma Zaidi...
PHP somo la 53: class inheritance kwenye PHP Object Oriented Programming

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class inheritance kwenye object oriented programming.

Soma Zaidi...