PHP somo la 56:class interface na polymorphism kwenye PHP OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya interface na concept ya polymorphism kwenye PHP OOP.

Interface ni nini?

Interface inafanana na abstract na hata ufanyaji kazi wake ila kuna utofauti kadhaa yutakuja kuuona hapo chini. Interface hasa yenewe hasa inarahisisha kwa class zaidi ya moja kufanya kazi sawa. Ikiwa kuna class zaidi ya moja zimetumia interface moja hii huulikana kama polymorphism.

 

Ili tuweze kutengeneza class yenye interface tutatumia keyword interface na ili kuitumia hiyo class yenye interface tutatumia keyword implement. Angalia mfano hapo chini:-

<?php

Interface gari {

  

}

class tangazo implements gari {

  

}

 

Utaona hapo kuna class mbili, ya kwanza ni gari na ya pili ni tangazo. Sasa class gari ndio ina interface na class tangazo inatumia interface ndio utaona hapo tmetumia keyword implement. Sasa hicho kitendo cha kutumia interface kwenye class nyingine ndio kinaitwa polymorphism.

 

<?php

Interface gari {

   public function jina();

   public function speed();

}

class tangazo implements gari {

   public function jina() {

       echo "Jina la gari ni toyota".'<br>';

   }

   public function speed(){

       echo "speed ni 180 km/h";

   }

}

echo "Tunauza gari <br>";

$obj = new tangazo();

$obj->jina();

$obj->speed();

?>

 

 

Utofauti kati ya insterface na abstract

  1. Interface haiwezi kuwa na  property ambapo abstract inaweza kuwa
  2. Method zote za kwenye interface ni public ila kwenye abstract ni protected ama public
  3. Metod zote kwenye interface ni abstract ijapokuwa hakuna kutumia keyword abstract
  4. Class inaweza kutumia interface na hata kama itakuwa imerithi kutoka kwenye class nyingine.

Angalia mfano mwingine hapo chini

<?php
interface mnyama
{

    public function analiaje();

}

class mbuzi implements mnyama
{

    public function analiaje()
    {
        echo " Meee ";
    }
}


class paka implements mnyama
{
    public function analiaje()
    {
        echo">
...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 701

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉3 web hosting    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Dua za Mitume na Manabii   

Post zinazofanana:

PHP somo la 61: jinsi ya kufanya loop kwenye class kw akutumia foreach loop

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya iteration kwenye PHP OOP hapa tutakwenda kuiona jinsi inavyofanya kazi pamoja na foreach loop

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 8: Jinsi ya kufuta post kwenye database

katika post hii utajifunza jinsi ya kufuta post kwenye database. pia utajifunza jinsi ya kufuta picha kwenye server

Soma Zaidi...
PHP somo la 93: Jinsi ya kutumia faili la env

Faili la env ni moja kati ya mafaili ambayo ni muhimu kwa usalama wa project. Fili hili hutumika kuhifadhi data za siri

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 2: Jinsi ya kutengeneza database na kuiunganisha kwenye blog

Katika somo hili unakwenda kujifunza jinsi y kutengeneza database na kuungansha kwenye blog yetu.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 43: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia email() function ya PHP. Hii ni njia rahisi zaidi ya kutuma email. Ila hufanya kazi kwenye hosting.

Soma Zaidi...
PHP somo la 88: Jisnsi ya kutengeneza json data kutoka kwenye database

Katika somo ili utakwenda kujifunz ahatuwa kwa hatuwa jinsi ya kutengeneza json data kutkana na data ambazo zio kwenye database

Soma Zaidi...
PHP somo la 83: Server Variables

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu server variables

Soma Zaidi...
PHP - somo la 47: Jifunze kuhusu sql injection na kuizuia

Katika somo hili utajwenda kujifunza jinsi ya kuzuia hacking kwenye website yako

Soma Zaidi...
PHP somo la 80: Authentication header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Authentication header, najinsi ya kutuma taarifa hizo na kuzisoma

Soma Zaidi...
PHP - somo la 25: Jinsi ya kukusanya taarifa kutoka kwenye html form kwa kutumia php

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kukusanya taarifa ambazo watu wamezijaza kwa kutumia fomu ya html. Kisha utajifunza jinsi ya kuzisoma hizo taarifa.

Soma Zaidi...