image

DART somo la 19: method zinazotumika kwenye set data type kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.

Set zinafanan sana na list ila kuna utofauti katika matumizi, kwanza seti hutumia mabano {}, pia set data zake ni unique yaani haziakiwi kujirudia,, pia data kwenye set zinakuwa katuka aina moja ya data, huwezi kuchanganya namba na string.

 

Katika somo hili tutatumia string ya somo lililopita ili kufanyia mazoezi.

{'bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'}

 

Mfano 

void main(){

 var text1  = <String> {'bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'};

 

 print(text1);

}

Hii itatupa matokeo

{bongoclass, facebook, google, youtube, microsoft}

Apo utaona kuna kitu kipya <String> hii hutumika kuonyesha aina ya data anbayo ipo kwenye set. 

 

Methos zinazotumika:

Method zinazotumika katika set hufanana na zile ambazo tumezona kwenye list. Hapa nitakuorodheshea tu chache.

  1. add()
  2. addAll()
  3. elementAt()
  4. Contains
  5. remove()
  6. forEach
  7. clear()


 

1. elementAt() hii hutumika katika ku display item kwa kuangalia index yake. Ni sawasawa na kutumia index kama tulivyojifunza huko nyuma. Hapa nitakupa mifano miwili

void main(){

 var text1  = <String> {'bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'};

 

 print(text1.elementAt(3));

}

 

2.clear() hii hutumika kufuta item zote kwenye set husika, na ku display empty set.

void main(){

 var text1  = <String> {'bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'};

 text1.clear();

 print(text1);

}

 

Set operation

Hapa tunakwenda kufanya matendo ya set, hizi ni hesabu maalumu ambazo hutumiwa kwenye set data type. Matendo haya ni:-

  1. Union
  2. Intesection
  3. substracting

 

Union hii huhusika na kuunganisha set mbili ili kupata set moja.

void main(){

 var set1  = <String> {'bongoclass', 'facebook', 'goog">...



Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 284


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

DART somo la 10: while loop na do while loop kwenye Dart
Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Dart. Soma Zaidi...

DART somo la 36: Abstract class kweye Dart
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu abstract class na abstract method kwenye Dart. Soma Zaidi...

DART somo la 2: syntax za dart
Katika somo hili tutatkwenda kuziona baadhi ya xyntax yaani kanunu za uandishi wa code za dart. Soma Zaidi...

DART somo la 5: Reserved keywords kwenye lugah ya Dart
Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart Soma Zaidi...

DART somo la 22: Jinsi ya kutumia html library kwenye Dart
Katika somo hili tutakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia library ya html kwenye Dart. somo hili litakupeleka kujifunza jinsi ya ku display dart output kwenye faili la html. Soma Zaidi...

Dart somo la 25: DART OOP Nini maaan ya class na vipi utaweza kuitengeneza
Katika somo hili utajifunza maana ya class kwenye OOP paradigm, kisha utajifunza jinsi ya kutengeneza class. Soma Zaidi...

DART somo la 17: method za namba zinazotumika kwenye dart
Katika somo hili utakwenda kuziona method za dart zinazotumika kwenye namba. pia utajifunzakuhusu math library Soma Zaidi...

DART somo la 21: Jinsi ya kutengeneza library kwenye Dart
Katika somo hili utajifunza kuhusu dart library. Pia tutakwend aktengeneza library yetu wennyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi. Soma Zaidi...

DART somo la 18: Dart method zinazotumika kwenye List data type
Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart. Soma Zaidi...

DART somo la 45: Jinai ys kutuma mysql database
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita. Soma Zaidi...

DART somo la 24: Jinsi ya kutengeneza faili, folda na kuingiza data
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika data kwenye faili. Kwanza utajifunza kutengeneza folda, kisha faili na kuweka data, kisha utajifunza kufuta fali. Soma Zaidi...

DART somo la 31: inheritance kwenye DART OOP
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu inheritance, na inavyoweza kutumika kwenye Dart OOP. Soma Zaidi...