Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.
Set zinafanan sana na list ila kuna utofauti katika matumizi, kwanza seti hutumia mabano {}, pia set data zake ni unique yaani haziakiwi kujirudia,, pia data kwenye set zinakuwa katuka aina moja ya data, huwezi kuchanganya namba na string.
Katika somo hili tutatumia string ya somo lililopita ili kufanyia mazoezi.
{'bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'}
Mfano
void main(){
var text1 = <String> {'bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'};
print(text1);
}
Hii itatupa matokeo
{bongoclass, facebook, google, youtube, microsoft}
Apo utaona kuna kitu kipya <String> hii hutumika kuonyesha aina ya data anbayo ipo kwenye set.
Methos zinazotumika:
Method zinazotumika katika set hufanana na zile ambazo tumezona kwenye list. Hapa nitakuorodheshea tu chache.
1. elementAt() hii hutumika katika ku display item kwa kuangalia index yake. Ni sawasawa na kutumia index kama tulivyojifunza huko nyuma. Hapa nitakupa mifano miwili
void main(){
var text1 = <String> {'bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'};
print(text1.elementAt(3));
}
2.clear() hii hutumika kufuta item zote kwenye set husika, na ku display empty set.
void main(){
var text1 = <String> {'bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'};
text1.clear();
print(text1);
}
Set operation
Hapa tunakwenda kufanya matendo ya set, hizi ni hesabu maalumu ambazo hutumiwa kwenye set data type. Matendo haya ni:-
Union hii huhusika na kuunganisha set mbili ili kupata set moja.
void main(){
var set1 = <String> {'bongocla">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya polymorphism.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu enum na inavyotumika kwenye Dart.
Soma Zaidi...Ka tika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya named constructor na constant constructor kwenye Object Oriented Programming.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza Object pamoja na properties. Haa kwa ufupi tutakwenda kujifunza jinsi ya kutumia class.
Soma Zaidi...Katika somo hiliutakwenda kujifunza aina nyingine ya constructor ambayo hutumika kwenye Dart. aina hiyo ni factory constructory.
Soma Zaidi...Katika masomo yaliopita tumesha jifunza jinsi inheritance inavyokuwa, ila hatujaona kwa namna gani utaweza ku inherit constructor method. Somo hili litashughulika na swla hilo.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jins ya kutengeneza constructor method, pia utajifunza matumizi yake kwenye OOP.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Dart function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type
Soma Zaidi...