Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.
Set zinafanan sana na list ila kuna utofauti katika matumizi, kwanza seti hutumia mabano {}, pia set data zake ni unique yaani haziakiwi kujirudia,, pia data kwenye set zinakuwa katuka aina moja ya data, huwezi kuchanganya namba na string.
Katika somo hili tutatumia string ya somo lililopita ili kufanyia mazoezi.
{'bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'}
Mfano
void main(){
var text1 = <String> {'bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'};
print(text1);
}
Hii itatupa matokeo
{bongoclass, facebook, google, youtube, microsoft}
Apo utaona kuna kitu kipya <String> hii hutumika kuonyesha aina ya data anbayo ipo kwenye set.
Methos zinazotumika:
Method zinazotumika katika set hufanana na zile ambazo tumezona kwenye list. Hapa nitakuorodheshea tu chache.
1. elementAt() hii hutumika katika ku display item kwa kuangalia index yake. Ni sawasawa na kutumia index kama tulivyojifunza huko nyuma. Hapa nitakupa mifano miwili
void main(){
var text1 = <String> {'bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'};
print(text1.elementAt(3));
}
2.clear() hii hutumika kufuta item zote kwenye set husika, na ku display empty set.
void main(){
var text1 = <String> {'bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'};
text1.clear();
print(text1);
}
Set operation
Hapa tunakwenda kufanya matendo ya set, hizi ni hesabu maalumu ambazo hutumiwa kwenye set data type. Matendo haya ni:-
Union hii huhusika na kuunganisha set mbili ili kupata set moja.
void main(){
var set1 = <String> {'bongocla">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart.
Soma Zaidi...Leo tutajifunza kuhusu majani ya kunde — mboga za kijani zinazotokana na mmea wa kunde (beans). Wengi hula mbegu za kunde pekee, wakisahau kuwa hata majani yake yana virutubisho vya thamani kubwa kwa mwili. Tutazungumzia vitamini, madini, na faida mbalimbali za kiafya zinazopatikana katika majani haya.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma na kuandika faili kwa kutumia Dart programming.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu dart library. Pia tutakwend aktengeneza library yetu wennyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya polymorphism.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuunganisha databse na Dart. Pia utajifunza jinsi ya kuset environment kwenye kompyuta ili kuweza kutumia Dart sdk kwenye CMD.
Soma Zaidi...Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart
Soma Zaidi...