Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.
Set zinafanan sana na list ila kuna utofauti katika matumizi, kwanza seti hutumia mabano {}, pia set data zake ni unique yaani haziakiwi kujirudia,, pia data kwenye set zinakuwa katuka aina moja ya data, huwezi kuchanganya namba na string.
Katika somo hili tutatumia string ya somo lililopita ili kufanyia mazoezi.
{'bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'}
Mfano
void main(){
var text1 = <String> {'bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'};
print(text1);
}
Hii itatupa matokeo
{bongoclass, facebook, google, youtube, microsoft}
Apo utaona kuna kitu kipya <String> hii hutumika kuonyesha aina ya data anbayo ipo kwenye set.
Methos zinazotumika:
Method zinazotumika katika set hufanana na zile ambazo tumezona kwenye list. Hapa nitakuorodheshea tu chache.
1. elementAt() hii hutumika katika ku display item kwa kuangalia index yake. Ni sawasawa na kutumia index kama tulivyojifunza huko nyuma. Hapa nitakupa mifano miwili
void main(){
var text1 = <String> {'bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'};
print(text1.elementAt(3));
}
2.clear() hii hutumika kufuta item zote kwenye set husika, na ku display empty set.
void main(){
var text1 = <String> {'bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'};
text1.clear();
print(text1);
}
Set operation
Hapa tunakwenda kufanya matendo ya set, hizi ni hesabu maalumu ambazo hutumiwa kwenye set data type. Matendo haya ni:-
Union hii huhusika na kuunganisha set mbili ili kupata set moja.
void main(){
var set1 = <String> {'bongocla">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma na kuandika faili kwa kutumia Dart programming.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya class kwenye OOP paradigm, kisha utajifunza jinsi ya kutengeneza class.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kuziona method za dart zinazotumika kwenye namba. pia utajifunzakuhusu math library
Soma Zaidi...Katika somo lililopita tumejifunza kuhusu sintaksia za dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza variable kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static property na jinsi ambavyo inavyotumika.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika data kwenye faili. Kwanza utajifunza kutengeneza folda, kisha faili na kuweka data, kisha utajifunza kufuta fali.
Soma Zaidi...Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye Dart. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza concept nyingine ya asynchronous programming.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Dart loop za for loop na while loop.
Soma Zaidi...