Navigation Menu



SQL - somo la 13: Jinsi ya kutumia CASE kwenye SQL

katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutumia case kwenye databse ili kuchakata taarifa za matokeo

katika somo hili utakwenda kujifunza namna ambavyo unaweza kutumia case katika kuchakata data husika.

 

chukulia mfano una list hii ya wanafunzi na maksi zao kwenye database yako. sasa tunataka data zetu ziweke column nyingine ya kuonyesha grade,kama ni 41 kwenda juu hiyo ni A, na 31 kwenda 40 hiyo ni B na 21 - 30 hiyo ni C na 11 - 20 hiyo ni D na 0 - 10 hiyo ni F. sasa hapo ndipo tunahitaji kutumia case.

 

program yetu itakwenda kuangalia yenyewe hizo maksi kisha itatengeneza column nyingine ya GRADE. kwanza tengeneza database iize matokeo ama jina lolote, kisha tengeneza tebo iite majibu ama jina lolote. kisha weka data hizo hapo chini. usisahau kuweka column ya id ama tumia code hizi za sql kutengeneza database na tebo hiyo

 

CREATE TABLE `majibu` (

  `id` int(11) NOT NULL,

  `jina` varchar(255) NOT NULL,

  `alama` int(11) NOT NULL

) ENGINE=InnoDB DEFAULT CHARSET=utf8mb4 COLLATE=utf8mb4_general_ci;

 

INSERT INTO `majibu` (`id`, `jina`, `alama`) VALUES

(1, 'Juma', 45),

(2, 'Halima', 32),

(3, 'Daudi', 15),

(4, 'Saidi', 28),

(5, 'Semeni', 8);

 

ALTER TABLE `majibu`

  ADD PRIMARY KEY (`id`);

ALTER TABLE `majibu`

  MODIFY `id` int(11) NOT NULL AUTO_INCREMENT, AUTO_INCREMENT=6;

COMMIT;

 

 

Kanuni za kutumia case

kwanza utaandika keyword case ikifuatiwa na keyword WHEN kisha itafuatiwa na sharti unalotaka kuweka mfano case WHEN alama > 40  baada ya kuweka sharti utawekakeyword THEN ikifuatiwa na matokeo yaani nni kitokee endapo shari limetimia? mfano case WHEN alama > 40 THEN A itafuatiwa na ELSE ili kuonyesha matokeo nini kionekane endapo sharti halikufikiwa.mfano case WHEN alama > 40 THEN A ELSE “ongeza bidii”. mwisho wa case yako baada ya kuweka sharti zako zote utamaliza na neno END likifuatiwa na AS utaweka jina la column mpya yenye hizo grade. kwa mfano column yetu hapo tutaiita GRADE.

 

case WHEN alama > 40 THEN A ELSE “ongeza bidii” END as GRADE. code nzima itaonekana hivi

 

SELECT *, 

CASE 

     WHEN alama > 40 THEN 'A' 

     ELSE 'Ongeza bidii'

END as GRADE

FROM `majibu` ;

 

 

Sasa wacha wacha tuweke case kwa ajili ya ku display grade A, B, C, D na F

SELECT *, 

CASE 

     WHEN alama > 40 THEN 'A'

     WHEN alama > 30 AND alama <41 THEN 'B'

     WHEN alama > 20 AND alama < 31 THEN 'C'

     WHEN alama > 10 AND alama < 20 THEN 'D'

     ELSE 'F'

END as GRADE

FROM `majibu` ;

 

Kwa namna kama hii tunaweza kuongeza ">...

Download app yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download

Download Now Bongoclass

           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu image Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Database Main: Masomo File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Views 492


Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 Simulizi za Hadithi Audio     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitabu cha Afya     👉5 Madrasa kiganjani     👉6 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

SQL -MySQL somo la 4; Jinsi ya kufuta database, kuitumia database na kubadili jina la database pamoja
Katika somo hili utajifunza kupata orodha ya database, kubadilibjina la database, kufuta database Soma Zaidi...

SQL - MySQL somo la 10: Kupangilia muonekano wa data wakati wa kuzisoma kwenyed database
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database katika mitindo mbalimbali kama kutoka kubwa kwenda ndogo, ama ndogo kwenda kubwa na mingineyo. Soma Zaidi...

SQL - MySQL somo la 1: Jinsi ya kutumia database
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandaa kompyuta ama simu yako kwa ajili ya mafunzo ya database Soma Zaidi...

SQL - MySQL somo la 12: Jinsi ya kutafuta wastani, jumla na idadi kwenye database
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya mahesabu mbalimbali kwenye database. Kwa mfano kutafuta jumla, idadi na wastani Soma Zaidi...

Database somo la 23: View kwenye Database
Katika somo hili utakwend akujifunza nadharia nzima ya view. Soma Zaidi...

SQL somo la 15: Jinsi ya kutumia sql function kwenye mysql
Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function kwenye sql na jinsi ya kuzitumia. Soma Zaidi...

Database seomo la 21: Constraints kwenye Database
Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu nadharia ya Constraints kwenye Database Soma Zaidi...

SQL somo la 17: Jinsi ya kutengeneza variable kwenye mysql
Katika somo ili utakwend akujifunza jinsi ya kuweza kutengeneza variable kwenye database ya mysql Soma Zaidi...

SQL - MySQL somo la 6: Jinsibya kutengeneza table kwenye database
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza table za database Soma Zaidi...

SQL somo la 16: Jinsi ya kuandaa matokeo ya Mtihani kwa kutumia database
Katika somo hili tutakwenda kumalizia program yetu ya kutengeneza matokeo ya wanafunzi kwa kuweka position kwa kila somo na position ya ujumla. Soma Zaidi...