SQL - somo la 13: Jinsi ya kutumia CASE kwenye SQL

SQL - somo la 13: Jinsi ya kutumia CASE kwenye SQL

katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutumia case kwenye databse ili kuchakata taarifa za matokeo

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

katika somo hili utakwenda kujifunza namna ambavyo unaweza kutumia case katika kuchakata data husika.

 

chukulia mfano una list hii ya wanafunzi na maksi zao kwenye database yako. sasa tunataka data zetu ziweke column nyingine ya kuonyesha grade,kama ni 41 kwenda juu hiyo ni A, na 31 kwenda 40 hiyo ni B na 21 - 30 hiyo ni C na 11 - 20 hiyo ni D na 0 - 10 hiyo ni F. sasa hapo ndipo tunahitaji kutumia case.

 

program yetu itakwenda kuangalia yenyewe hizo maksi kisha itatengeneza column nyingine ya GRADE. kwanza tengeneza database iize matokeo ama jina lolote, kisha tengeneza tebo iite majibu ama jina lolote. kisha weka data hizo hapo chini. usisahau kuweka column ya id ama tumia code hizi za sql kutengeneza database na tebo hiyo

 

CREATE TABLE `majibu` (

  `id` int(11) NOT NULL,

  `jina` varchar(255) NOT NULL,

  `alama` int(11) NOT NULL

) ENGINE=InnoDB DEFAULT CHARSET=utf8mb4 COLLATE=utf8mb4_general_ci;

 

INSERT INTO `majibu` (`id`, `jina`, `alama`) VALUES

(1, 'Juma', 45),

(2, 'Halima', 32),

(3, 'Daudi', 15),

(4, 'Saidi', 28),

(5, 'Semeni', 8);

 

ALTER TABLE `majibu`

  ADD PRIMARY KEY (`id`);

ALTER TABLE `majibu`

  MODIFY `id` int(11) NOT NULL AUTO_INCREMENT, AUTO_INCREMENT=6;

COMMIT;

 

 

Kanuni za kutumia case

kwanza utaandika keyword case ikifuatiwa na keyword WHEN kisha itafuatiwa na sharti unalotaka kuweka mfano case WHEN alama > 40  baada ya kuweka sharti utawekakeyword THEN ikifuatiwa na matokeo yaani nni kitokee endapo shari limetimia? mfano case WHEN alama > 40 THEN A itafuatiwa na ELSE ili kuonyesha matokeo nini kionekane endapo sharti halikufikiwa.mfano case WHEN alama > 40 THEN A ELSE “ongeza bidii”. mwisho wa case yako baada ya kuweka sharti zako zote utamaliza na neno END likifuatiwa na AS utaweka jina la column mpya yenye hizo grade. kwa mfano column yetu hapo tutaiita GRADE.

 

case WHEN alama > 40 THEN A ELSE “ongeza bidii” END as GRADE. code nzima itaonekana hivi

 

SELECT *, 

CASE 

     WHEN alama > 40 THEN 'A' 

     ELSE 'Ongeza bidii'

END as GRADE

FROM `majibu` ;

 

 

Sasa wacha wacha tuweke case kwa ajili ya ku display grade A, B, C, D na F

SELECT *, 

CASE 

     WHEN alama > 40 THEN 'A'

     WHEN alama > 30 AND alama <41 THEN 'B'

     WHEN alama > 20 AND alama < 31 THEN 'C'

     WHEN alama > 10 AND alama < 20 THEN 'D'

     ELSE 'F'

END as GRADE

FROM `majibu` ;

 

Kwa ">...

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Database Main: ICT File: Download PDF Views 618

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

SQL somo la 14: Jinsi ya kutafuta rank na position kwa kutumia sql
SQL somo la 14: Jinsi ya kutafuta rank na position kwa kutumia sql

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutafuta rank ama position kwenye data base yako kwa kutumia sql. Pia utajifunza kuhusu table alias

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 7: Jinsi ya kubadili jina table na column kwenye database
SQL - MySQL somo la 7: Jinsi ya kubadili jina table na column kwenye database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili jina la table na jina la column kwenye mysql database.

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 1: Jinsi ya kutumia database
SQL - MySQL somo la 1: Jinsi ya kutumia database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandaa kompyuta ama simu yako kwa ajili ya mafunzo ya database

Soma Zaidi...
SQL somo la 17: Jinsi ya kutengeneza variable kwenye mysql
SQL somo la 17: Jinsi ya kutengeneza variable kwenye mysql

Katika somo ili utakwend akujifunza jinsi ya kuweza kutengeneza variable kwenye database ya mysql

Soma Zaidi...
Database somo la 24: Transaction kwenye database
Database somo la 24: Transaction kwenye database

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu nadharia ya transaction kwenye database

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 10: Kupangilia muonekano wa data wakati wa kuzisoma kwenyed database
SQL - MySQL somo la 10: Kupangilia muonekano wa data wakati wa kuzisoma kwenyed database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database katika mitindo mbalimbali kama kutoka kubwa kwenda ndogo, ama ndogo kwenda kubwa na mingineyo.

Soma Zaidi...
SQL somo la 19: Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function
SQL somo la 19: Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function

Somo hili ni muendelezo wa pale tulipoishia katika somo lililopita, hapa tutakwenda kusoma Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function

Soma Zaidi...
SQL somo la 15: Jinsi ya kutumia sql  function kwenye mysql
SQL somo la 15: Jinsi ya kutumia sql function kwenye mysql

Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function kwenye sql na jinsi ya kuzitumia.

Soma Zaidi...
Database somo la 22: Primary Key na Foreign Key
Database somo la 22: Primary Key na Foreign Key

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu Primary Key na Foreign Key

Soma Zaidi...
Database seomo la 21: Constraints kwenye Database
Database seomo la 21: Constraints kwenye Database

Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu nadharia ya Constraints kwenye Database

Soma Zaidi...